Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nadhani sasa Malawi na Rwanda wataache kiherehere

http://www.youtube.com/watch?v=aDci72DG9D4Kumekuwapo na chokochoko kati ya Malawi na Tanzania na hivi karibuni Rwanda. Rais Jakaya Kikwete alikuwa kimya kwa muda mrefu hadi juzi tu alipoamua kupasua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Walevi wampongeza `Jei Kei’ kuwakabili wanasiasa mufilis

Mwalimu Nkwazi Mhango.Japo wabaya wa Mkuu wanamuona na kumueleza kama mtu aliyeshindwa vibaya baada ya kuingia madarakani, walevi wanaona ana mfanikio tena ya kupigiwa mfano. Mfano, amefanikisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ruling class or bullying class?

Bibbers are openly at loggerhead with the power that-be thinking they’re bullied in lieu of being ruled. They feel betrayed and vended by the same guys they gave ulaji. Such sentiments become a reality...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jana ilikuwa Birthday ya Kamanda Nkwazi Jr.

Jana Kamanda Nkwazi Jr. alisherehekea mwaka wake wa kwanza. Si haba tulijumuika na kumkaribisha kwenye jamii ya kuhesabu miaka badala ya miezi. Taratibu ataanza kuachana na diapers na kufikiri kwenda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wabunge wanaojua wajibu wao

Hong Kong inasifika kwa wabunge wake kuzichapa. Hivi karibuni walilianzisha tena kwa kuchapana wakigombea maslahi ya wananchi wao. Laiti nasi tungekuwa na wabunge kama hawa wenye uchungu na wale...

View Article


Inakuwaje kufungua mashtaka kwa ajili ya Yesu ukashindwa kufungua kwa ajili...

Mwanasheria mmoja nchini Kenya ameacha watu vinywa wazi. Haijulikani kama ni mzima au mgonjwa wa akili au mtafuta sifa wa kawaida. Mwanasheria amefungua kesi kwenye mahakama ya Kimataifa ya Jinai...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi aja na MLO na sera ya Uhujumaa na Kujimegea

Ninajua wengi wanajiuliza MLO ni nini. Msikonde. MLO ni kifupi cha jina la chama changu cha Mlo Laini Organization, kilicholenga kuwakomboa bila kuwakomoa walevi baada ya kugundua kuwa sasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Call it Bongo International Bwibwi Airport (BIBA)

  When boozers read stories that Mwl Nyerere International Airport (JNIA) formerly known as Dar International Airport (DIA) has been turned into a drug conduit-cum-hub felt that something must be...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Swaumu inaanza kupoteza maana

Hivi karibuni umetokea mtindo wa ajabu sana ambapo watu wasio waislamu huandaa futari. Imefikia mahali hata makampuni fisadi kama ya simu ambayo yanawapa watanzania huduma mbovu eti nayo yanafuturisha....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kufuru hata mwezi mtukufu?

Baadhi ya wateja wa Airtel wakijichana futari iliyoandaliwa na kampuni hiyo.MIMI huwa sipendi unafiki. Wasiojua kitu huita hali hii uswahili japo ni makosa. Nakipenda Kiswahili ila sitaki kinipende...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hongera Kikwete, Tanzania isichezewe

KUNA usemi wa Kiingereza usemao, ‘extraordinary problems need extraordinary solution’. Hii imethibitika juzi pale Rais Jakaya Kikwete alipoamua kuwatolea uvivu wanaoota ndoto mbaya mchana kuwa nchi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Drums of War Between Tanzania and Rwanda Must Cease

Presidents Kikwete and Kagame share a light momentA few days ago, tension engulfed the whole East Africa region especially after presidents Jakaya Kikwete and Paul Kagame openly showed their...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi apanga kufanya biashara ya bwimbwi

Baada ya vyombo vya umbea kuripoti kuwa siku hizi Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Mchonga unatoa nafasi kwa wauza bwimbwi kupitisha `kago’, mlevi nimekuja na mkakati mzito wa kujiingiza full...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tendwa alikuwa msajili au mnajisi wa vyama?

<a href="http://adserver.adtech.de/adlink/3.0/1332/4486816/0/357/ADTECH;loc=300" target="_blank"><img...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Only leaders with big heart can do this

Just imagine. You re in Dar and you call a taxi and the guy behind the wheel is Jakaya Kikwete. Put it this way. You are in Nairobi. You flag a taxi and the guy packing in front of you is Uhuru...

View Article


Are we this balmy really?

Boozers have one major foe soon after swallowing. They face what I’ll call a “what ifs-only ifs-and-should haves” dilemma. “What if I did not drink yesterday?” Only if I did not swallow, I wouldn't...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Angalia watu wenye akili wanavyopambana na janga la moto

Hivi karibuni uwanja wa kimataifa wa Jomo Kenyatta nchini Kenya ulishika moto na kutekea pakubwa. Hata hivyo, kulikuwa na lawama kuhusiana na uchelewaji wa zima moto kufika na kuuzima moto ule....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtawala gani wa ki-Afrika anaweza kurejea darasani?

Chancellor wa Ujerumani, Angela Merkel ametoa mpya kwa kurejea darasani kufundisha historia ya taifa lake. Wakati wa maadhimisho ya 52 ya kujengwa kwa ukuta wa Berlin ambao kuangushwa kwake kulimaliza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hii akili au matope na ufujaji wa pesa na kuhatarisha maisha?

Tajiri mmoja wa kichina alikuja na mpya kwa kujenga mlima juu ya villa yake huko Uchina kiasi cha kulazimisha mamlaka za Uchina kumuamuru aondoe balaa lake. Usishangae kusikia matajiri uchwara na wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe chamuunga mkono Mr Six juu ya viti maalumu

<a href="http://adserver.adtech.de/adlink/3.0/1332/4486816/0/357/ADTECH;loc=300" target="_blank"><img...

View Article
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live