
Hivi karibuni uwanja wa kimataifa wa Jomo Kenyatta nchini Kenya ulishika moto na kutekea pakubwa. Hata hivyo, kulikuwa na lawama kuhusiana na uchelewaji wa zima moto kufika na kuuzima moto ule. Sambamba na tukio hili, nchini Kanada kwenye jimbo la Newfoundland and Labrador ulitokea moto mdogo ukilinganishwa na wa JKIA. Link hii inaonyesha jinsi moto huu ulivyoshughullikiwa kwa sekunde. Natamani na nchi zetu za kiswahili zingekuwa na uwezo kama huu badala ya kujikita kwenye ufisadi na ujambazi wa mchana. FUATILIA LINK HI http://www.youtube.com/watch?feature=player_detailpage&v=LQWTTOm6loM