Quantcast

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uhuru na usiri ni siri za mafanikio ya ndoa

Ndoa inapaswa kuwa huru na isiyotegemea au kuingiliwa na watu wengine katika uendeshaji wenu. Mliapishwa wawili tu na si mia mbili. Hivyo, jukumu na wajibu wa kutunza kiapo chenu ni lenu. Si la watoto...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hamisheni mafisi, mafisadi au waanimo na si akina Yero

Kejaa enteipa inno? Jibuni  kasidai endama, ai, maata enyemali. Keje ninye eninno. Kwanza, nimshukuru mheshimiwa Rais kwa kutuliza joto la Nrongonrongo. Huwa nashangaa mafyatu wanavyofikiri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIKA NDOA, USIHUKUMU KABLA YA KUJIHUKUMU

Tutaanza na kisa ambacho tulishuhudia kwa ndugu yetu mmoja. Huyu bwana, kuna kipindi alichishwa kazi. Hivyo, alianza kuamka kila asubuhi akielekea mjini kusaka vibarua ili mkono uende kinywani. Mambo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mpumbavu aliyevunja ndoa akiamini anaihami

Kuna kisa cha mwanandoa Gilombo (si jinale) tulichoshuhudia.  Gilo hakujaliwa sura wala tabia nzuri. Alikuwa mzinzi wa kutisha aliyelazimisha ndoa kwa kijana handsome na mwenye nazo asiye na uzoefu....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Woga, ukale, kujifyatulisha na kufyatuliwa

Juzi nilipata mstuko, mshangao, na masikitiko sina mfano. Nilisoma taarifa kuwa Kenya inafyatua takribani dolari bilioni tano toka kwa diaspora dhidi ya dolari bilioni 1.50 za uwekezaji. Kwa taarifa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

I Cry fo Ambazonia and Darfur–––My baby

I Cry for Ambazonia and DarfurISBN9789956554935Pages150Dimensions203x127 mmPublished2025PublisherLangaa RPCIG, CameroonFormatPaperbackNEWISBN9789956554935Pages150Dimensions203x127...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndoa na vibabu, vibibi vya kizungu vijana muwe macho

 Tunaona bibi wa kizungu na kijana MwAfrika uwanja wa ndege–––hatuutaji–––wakibusiana. Tumeamua kuandika haya juu utumwa kimapenzi ambamo waafrika ndiyo wahanga. Utumwa huu umejikita kwenye mapenzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndoa yako imejengwa kwa nguzo ngapi?

Ndoa inaweza kuwa nzuri au mbaya. Pia, ndoa inaweza kujengwa au kubomolewa. Wajenzi na wabomozi wa ndoa ni wanandoa. Ndoa, kama taasisi yoyote ina changamoto zake. Kuna kufanya makosa kwa sababu, kama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barua kwa waliofyatuliwa na Tarampu

Kwanza, nawasalimia kabla kuwafyatua lau mfyatuke muwafyatue waliofyatua hadi mkakufyatuliwa na shida mkakimbilia kwa Tarampu aliyefyatuka na kuwafyatua. Nilimwandikia barua. Hajanijibu. Pili,...

View Article


Chunga usiolewe majuu ukidhani umeoa!

Kisa cha jamaa yetu toka tena kwetu Tanzania (mji hatutaji) kinafikirisha na kufundisha kwa wale ambao hawajaingia mkenge kama huyu bwana. Akiwa amesikia mazuri mengi juu ya kuukata kwa kwenda majuu,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

No reforms, no elections ilhali tushageuzwa na kuchakachuliwa!!

 Mjini hakuna stori ya no reforms no elections, kwa kisambaa, hakuna mageuzi, hakuna uchaguzi. Kwanza, sijui kama mafyatu waliofyatuliwa na shida wanaweza kufyatuka wakawafyatua wawafyatuao. Wapo...

View Article

Chunga yasikukute ya Aziz na ndoa ya majuu

Aziz ni kijana wa miaka 24 wa Kipalestina aliyekimbia udhalilishaji kwao akaishia kudhalilika majuu. Kisa cha Aziz kinafikirisha, kusikitisha, na kufundisha. Wapo wengi kama Aziz walioharibikiwa maisha...

View Article

Sasa Kanji nafyatuka nageuka fyatu dugu yangu!

Juzi natoka Bombei ona mama na toto. Iko furahi kuba sana. Naacha toto moja. Nakuta mama nakwisazaa toto sita. Yote faida. Nakaa Bombei. Woo! heva iko chafu veve hapana ona. Sikia tu. Nalala naota...

View Article


Tunashangaa, Tunashangazwa, na Kushangaza

 Huwa nashangaa. Sijui kama nawe hushangaa kushangaza? Kama hushangai, unashangaza. Kama unashangaa, pia, unashangaza. Hata nami nashangaza kwa kushangaashangaa bila kufyatua. Huwa nashangaa kwa...

View Article

Tulifyatuliwa, tunafyatuliwa, tutafyatuliwe tena

Mwaka jana, Mkaguaji mkubwa wa njuluku za sirkal aka KAGO alitoa taarifa ya kuchefua baada ya baadhi ya mafyatu kufyatua mafyatu wote waliokataa kufyatuka wakafyatua wapigaji wakaishia kuufyata....

View Article


Shemeji, huwezi kumpiga mke wangu

Kisa hiki kinamhusu rafiki yetu. Siku moja, rafiki yetu alisimulia kuwa kulikuwa na mabishano juu ya suala la kifamilia baina ya mkewe na kaka zake wawili ambao ni mashemeji zake. Katika ubishi huu,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tusichachawe, kuchawishwa, tukachawishana

 Kuna usemi wa hovyo. Kila nikiusikia, natamani nifyatuke na kuwafyua wadudu hawa wawe ni wadudu au ngurumbili waliofilisika kimawazo hadi kuwa hivyo walivyo hovyo. Msemo unaonichachefua na kunifyatua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wamefyatuka wanafyatuana mbele ya mafyatu!

Juzi tilishangaa sana. Mwe! Nani angeamini kuwa mafyatu wanene na wanono wangefyatukiana na kufyatuana hadharani? Unene kweli taabu japo una raha ya kula bila kutoa jasho! Si fyatu mmoja aliyekaribu na...

View Article

Umuhimi wa Wanandoa Kutunza Siri

Kuna busara wakati wa kuwafunda wanawali katika jamii moja nchini Uganda isemayo kuwa wanapoolewa lazima wajifunze kufunga miguu na kufungua macho badala ya kufungua miguu na kufunga macho. Hii...

View Article

‘Niite’ Fyatu Mfyatuzi Nchonga Kambarange Nyerere

 Juzi nilimsikia tapeli na zwazwa mmoja akijita kitegemezi cha mzee Nchonga (RIP). Ajabu, nasi mafyatu wake tuliufyata tukafyatuliwa utadhani huu si utapeli. Haraka haraka, niliwasiliana na Madaraka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Napanga kuuza au kubinafsisha ubongo wangu

 Sihitaji ubongo tena. Kwanza, umenifyatua nikafyatua wengine hadi wanatishia kunifyatua kwa kuninyotoa roho. Ubongo umesababishe kero na hatari hadi nikageuka machukizo ukiachia kujiudhi mwenyewe....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Talaka na Madhara Yake

Tunajua fika kwa uzoefu wetu hata utafiti. Hakuna binadamu wala mwanandoa anayependa wala kushabikia talaka hata kama baadhi ya dini na sheria vimeiridhia kutokea ikilazimu. Hivyo, katika kipengee hiki...

View Article


Fyatu afyatua figa na fwakit kuhusu Kanada

Tangu nifyatukie Kanada, nimekuwa nashuhudia mambo ya ajabu toka kwa mafyatu. Wapo wanaoomba mialiko ili waje huku wagome kurejea kwao na kufanya niwatunze hadi nifyatuke. Wapo wanaonipiga mizinga tena...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nitashinda urahis wa mafyatu kimiujiza na vishindo

Najua. Kaya yetu inafanya uchakachuaji, sorry, uchaguzi mwaka huu. Sambamba, nasi mafyatu tutafanya uchaguzi si uchakachuaji wa rahis wa mafyatu Mheshimiwa, Daktari, Profesa, ustaadh, Al haj, Muadhamu,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

nani kasema kitanda kinazaa haramu?

Kuna imani kuwa kitanda hakizai haramu. Uzoefu wetu unaonyesha kuwa kitanda kinazaa haramu japo uhalalishwa kwa visingizio mbali mbali kama mila, ujinga, na ubutu wa teknolojia. Ujio wa kipimo cha DNA...

View Article