Quantcast
Channel: Free Thinking
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3173

Swaumu inaanza kupoteza maana

$
0
0
sf5 da738
Hivi karibuni umetokea mtindo wa ajabu sana ambapo watu wasio waislamu huandaa futari. Imefikia mahali hata makampuni fisadi kama ya simu ambayo yanawapa watanzania huduma mbovu eti nayo yanafuturisha. Huwezi kuamini kuona Radio Clouds inayosifika kwa kuvunja maadili eti nayo inafuturisha. Je hapa tatizo ni njaa au kutojua maana ya dhana nzima ya kufunga na kufuturu? Hebe angalia hapa chini 'alhaj' Benjamin Mkapa akitoka kufuturu na marais Jakaya Kikwete na Ali Hassan Mwinyi. Je hii ni aina mpya ya uislamu au aina mpya ya ujinga? Sitashangaa kusikia askofu naye akifuturisha au kufuturu.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 3173