Mlevi anusurika kufa kwa madawa ya kichina
Baada ya kaya yetu kuhalalisha haramu ya sera holela chini ya kisingizio cha ruksa na biashara huria si matapeli wengi waliingia kayani kiasi cha kuhatarisha maisha ya walevi. Hata bangi...
View ArticleWho truly runs Bongolalaland?
However, Jake Kiquette once told us that his regime is not a coop-like in that there are no shareholders to it, the bigger picture shows otherwise. To answer the above question as to who...
View ArticleBreaking news: Nyuma Ya Pazia yaingia kwenye vitabu vya kiada kwenye mtandao...
Kwa wasomi wanaopenda kuandika juu ya masuala mbali mbali ni lazima watoe ushahidi toka kwenye kazi za kitaaluma za wasomi wengine zilizopitiwa, kuhakikiwa, kupitiwa na kupitishwa na jopo la wasomi...
View ArticleKijiwe chatabiri maafa baada ya uchakachuaji
Baada ya kijiwe kushuhudia wajivuni na wasaka tonge wanavyoshindana kuonyesha ubabe katika kutapanya ukwasi wao wa kutisha shaka jinsi ulivyopatikana, kimeamua kutoa onyo na angalizo kwa...
View ArticleKumbe wagombea CCM ni mabilionea!
Hivi karibuni watanzania walishuhudia mashindano ya kuonyesha ukwasi na “upendo” wa wanaopigiwa upata kutoa mgombea wa chama tawala CCM. Mafahari wa tatu kati ya wengine wanaopigiwa upata kuutaka urais...
View ArticleMlevi alazwa kwa mstuko wa usafi wa escrow
Baada ya kuzinyaka kuwa watuhumiwa wakuu na wengine mizigo kusafishwa na wenzao, nilipatwa na shambulio la moyo kiasi cha kukikimbizwa hospitalini ambako niliishia kumuona daktari na...
View ArticleBravo ikulu for cleansing escrow suspects
I hope. Like me, many were dazed to hear that the mizigo and escrow old lags are now clean like snow after ikulu washed them. Again, when Ikulu becomes a judge, what did you expect? I knew. There’s an...
View ArticleHizi ni dalili kuwa serikali ya CCM ikiri imeshindwa
Kwa wafuatiliaji wazuri wa mambo yanayoendelea nchini, kuna dalili tosha kuwa serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imeshindwa vibaya sana. Ingekuwa ni dini tungesema kiama kimekaribia....
View ArticleKijiwe chamshangaa mzee Pinda
Baada ya Mzee Mizengwe iliyoPinda kuja na mizengwe yake akisema kuwa kaya ilipata mafanikio ndani ya miaka kumi ya jamaa yetu, wanakijiwe wameamua kumpa vipande vyake kuwa asemeyo ni sisasa na usanii...
View ArticleKikwete anapouuza twiga akaahidi kutunza mbwamwitu!
Rais Jakaya Kikwete ni mtu asiyeishiwa vituko. Wakati mwingine akiongea –licha ya kujipinga hata kujipiga kijembe –wenye kuchambua mambo hushangaa kama anasoma hizo hotuba anazoandaliwa kabla au...
View ArticleMlevi kumkabili Nkurumbwiza
Baada ya wachovu wa Urundi kulianzisha wakipinga upuuzi wa mlevi mmoja wa madaraka Pyere Nkurumbwiza kutaka abaki madarakani kinyume cha sheria ili akwanyue zaidi, dunia ilishangaa sana roho...
View ArticleOpen letter to president Nkurumbwiza
Dear Monsieur Pyere Nkurumbwiza,Boozers from Urundi confided me that you want to sip more from the chalice of power. Boozers there are still hell bent to bar you come shine come rain. It is easier...
View ArticleWabunge mabubu wasirejeshwe bungeni
Hivi karibuni vyombo vya habari vimetoa ripoti ya uchangiaji wa hoja bungeni kwa wabunge. Kwa ujumla wabunge wa upinzani wameonyesha kutoa michango mingi tofauti na wale wa chama tawala. Inashangaza...
View ArticleKijiwe chalaani ndoa ya dini na sias
Hivi karibuni wanakijiwe walichukia nusu ya kuanza kuandamana hata kabla mkuu sijatoa ruhusa. Baada ya kushuhudia ndoa iliyofungwa baina ya viongozi wa kiroho na mafisadi ya kisiasa...
View ArticleMoja ya sifa za Kikwete ni kulea ufisadi
Rais Jakaya Kikwete karibuni atatundika jezi kama rais wa nchi baada ya kuitawala Tanzania kwa vipi viwili vyenye utata. Hata hivyo, atakumbukwa kwa hisia tofauti kulingana na anayemtathimini...
View ArticleAs I bid farewell to Kikwete
Go Kikwete go we're tired of youGo never turn back, we won't miss youGo without budging though fisadi will miss youGo Kikwete go, we don't need anybody like youGo Kikwete go, you tuned us into...
View Article