Yakhe mwatangaza utalii au mwatalii wenyewe?
Juzi nikiwa nakamata kanywaji baada ya kupiga mibangi si bim kubwa wangu akanipa inshu moja kali. Kwanza, nikiri, pamoja na ubingwa wangu wa udaku, hii ilikuwa imenipiga chenga tokana na kuutwika sana...
View ArticleKumbe ndiyo maana uongoziu umegeuka almasi siyo!
Mnapokuwa na viongozi walafi na wachovyo hivi unategemea nini? Hata hivyo, hata wachungaji siku hizi wamebadilika. Wapo wanaokula kondoo wa bwana. Wapo fisi wengi waliovaa ngozi ya kondoo wakivaa...
View ArticleYuko wapi Rahma Kharoos malkia wa Bongo?
Hii manzi ya bwana mkubwa kiranja imefichwa wapi siku hizi? Tuliiandama hadi ujumbe ukafika? Au ndiyo mambo ya Dubai? Hakika Rahma Kharoos alitingisha kabla hatujamgutukia hadi akatimua mbio.
View ArticleWill JK spare scarecrows of escrow?
Those of us who read The Wonderful Wizard of Oz, L.Frank Baum, still believe in mythology and the art of changing things aka abracadabra science of deceit. When Dorothy was asking of the city, the...
View ArticleSijui hili dege nalo litatuibia kiasi gani?
Baada ya mafisadi kuliua shirika la Ndege Tanzania (ATC) kumekuwa na mchezo wa kwenda nje na kukodi ndege mbovu toka kwenye makampuni ya kitapeli mojawapo likwa la Lebanon na hatimaye kukatiza mkataba...
View ArticleDo You Remember Sarah Palin?
Believe ye me. The lady above is Sarah Palin showing off after copying her daughter Bristol and decided to get out like her. Wow! Guess what. Promotion is not necessarily climbing up the ladder. Even...
View ArticleKijiwe Kugomea Kura ya Uchakachuaji
Baada ya wachovu kustukia rongorongo za kutaka kuwabamiza mkenge kupitia kura ya maoni, kijiwe –kwa makusudi mazima – kimeamua kujitoa kwenye dhambi hii. Hivyo – rasmi – tunatangaza kuwa...
View ArticleWatanzania gomeeni kura ya maoni
Kwa hali ilivyo, serikali na Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamedhamiria kuendelea kuwageuza watanzania majuha na vifaa vya kubarikia mipango yao michafu. Hii inatokana na kuendelea na maandalizi...
View ArticleWizi na Utalii Mwingine Huu Hapa
Hapa ni ujumbe wa wazira ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi ukiwa kwenye matanuzi huko Singapore kwa kisingizio cha ziara ya kikazi. Kwanini ziara ya kikazi isifanyike nchini badala yake ifanyike...
View ArticleMtesi wa Ulimboka anapozawadiwa ubalozi Kanada!
Rais Jakaya Kikwete ataingia kwenye vitabu vya historia kama rais wa hovyo ambaye Tanzania haijawahi, na saa nyingine, hatawahi kupata. Hivi karibuni alimteua afisa usalama aliyetuhumiwa kumtesa Dk...
View ArticleUhuni wa Kikwete na Makonda huu hapa
Paulo Makonda mwenye shati jeupe anayeangaliana jaji Joseph Warioba akimvuta kutaka kumpiga. Jana kateuliwa mkuu wa wilaya ya Kinondoni na wale waliomtuma kumdhalilisha Mzee Warioba. Hapa ndipo unafiki...
View ArticleBila kujikomba kwa CCM, Kikwete na ukoo wake baadhi ya mlioko nje hamuwezi...
Kuna tabia ya ajabu imejitokeza ambapo baadhi ya watanzania wanaoishi nje ya nchi hujikomba kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kama njia ya kurejerea nyumbani. Majiji ya Washington, New York na London...
View Article'Njooni niwatungie vitabu niwasifu mshinde kiulaini'
Mwenzenu leo nina furaha ajuaye ni Mungu na bi mkubwa wangu ambaye kama mpango huu utajipa lazima ajinome kama hana akili nzuri au vipi? Nina dili bab kubwa. Naona yule anatoa mimacho akidhani dili hii...
View ArticleUDA rip-off: Who’d we believe?
By the look of things, Usafiri Dar si-Salama aka UDA is under a cloud after being grabbed dubiously in a deal that keeps on backfiring. There have been many exchanges of fires between those...
View ArticleHii nayo imekaaje?
Inaonekana rais Jakaya Kikwete anazidi kuendelea kufungwa mdomo. Maana haongelei lolote kuhusiana na matatizo ya nchi kama vile kuletwa kwa upuuzi unaoitwa sera mpya ya elimu ambayo ni mauti kwa taifa...
View ArticleTAKUKURU inapopambana na rushwa kwa kuishiriki
Mkurugenzi wa Taasisi ya Kupamba na Kushiriki Rushwa (TAKUKURU) nchini Dk Edward Hosea Taarifa ya Afrobarometer, taasisi inayotathimini viwango vya rushwa nchini kuwa Taasisi ya Kuzuia na...
View ArticleSiku mfalme Kikwete akiondoka Prince Riz atakuwa mgeni wa nani?
Siku hizi kujikomba kwa Kikwete imekuwa fasheni au tuseme njia ya kujihakikishia kuendelea kwenye ulaji. Hapa Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa Tuvako Manongi na naibu wake...
View ArticleKupambana na ufisadi,Takukuru na wimbo wa jogoo
Jogoo ni ndege mbabe afugwaye tena wa kuhurumiwa. Anasifika kwa kuwanyanyasa majike na vifaranga huku naye akinyanyaswa na aliyemfuga. Pia ndege huyu shaufu lakini dhaifu husifika kwa kupenda...
View Article