Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live

Kanji apanga kupeleka toto yake Bombei

          Baada ya waswahili kuanza kuingiza uswahili hata kwenye elimu, Kanji anapanga kuregesha watoto wake Bombay ili wakapate elimu safi warejee huku watawale na kuhomola.          Si kawaida ya...

View Article


Mnaua elimu na kusingizia lugha!

Taarifa za hivi karibuni kuwa Tanzania imeanzisha mpango mpya wa elimu ambapo elimu ya awali itakwenda hadi kidato cha nne, kama ingekuwa siyo siasa ni ya kufurahisha. Pamoja na kujivuvumua huku, wengi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sijui Kikwete analipwa kwa nini na lipi wakati ni mzururaji?

Kikwete akiweka shada la maua kwenye makaburi wa wendazake marais wa zamani wa Zambia Levy Mwanawasa na Fredrick Chiluba mjini Lusaka.Juzi alikuwa nchini Kenya kwenye mkutano wa wakuuw a EAC. Kabla ya...

View Article

Mnaua elimu wasomi wametosha eeh!

Kaya yetu inasifika duniani kuwa ya wasomi. Rais wetu ni profesa. Wengi wa mawaziri na wabunge ni madaktari wasiotibu.Usiniulize kama wameghushi au la. Kaya ina wasomi kila tabaka.Wapo wa ukweli, wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinana akimaliza S.Sudan akasuluhishe Somalia

Mratibu wa kampeni wa rais Kikwete, Abdulrahaman Kinana akiagana na rais Salva Mayardit wa Sudan ya Kusini baada ya kusimamia mazungumzo ya amani mjini Juba juzi.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Afrika mke wa rais ni rais pia hata kama nyuma ya pazia

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

John Komba afariki

 Habari tulizopata ni kwamba Mbunge wa Mbinga Magharibi (CCM) John Damian Komba hatunaye tena.  Atakumbukwa kwa nyimbo zake na kuuchapa usingizi mjengoni  ukiachia tishio la kwenda porini kama Katiba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hii imekaaje nayo?

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PCCB and cops are corrupt through and through!

            I’d not believe my eyes when I read Afrobarometer’s findings-cum-bombshell that Prevention and Condoning Corruption Bureau (PCCB) is among the most corrupt govt agents in the hunk I thought...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha ya mwezi: Senior na Junior wanapochonga

Hapa ni mimi na Junior tukichonga. Si haba sasa bwana mdogo anaikimbilia miaka mitatu. Anaonekana kuzimilki nyayo za Senior kuliko hata kaka yake Nkuzi.

View Article

Can you kiss this guy?

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hawa ni katika wachache waliobarikiwa na kuwahi kuishi

Duranord Veillard (108) na Mkewe Jeanne Veillard, (105) Ni wakazi wa  Spring Valley New York licha ya kuwa na miaka mia na ushei wamedumu katika ndoa kwa jumla ya miaka  82. Je ni wangapi wanabahati...

View Article

Nimegundua kwanini tuna maprofesa kama Tibaijuka Maji Marefu na Kikwete

Peter Msigwa wa Iringa Mjini (CHADEMA) amenifumbua macho ni kwanini taifa letu lina vihiyo wanaoitwa profesa na waheshimiwa. 

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe Chagundua Waliomtumia Wahuni Warioba

         Baada ya wengi kuwa wanamtafuta mchawi wa gwiji la Katiba ya wananchi mzee Jose Shinda Waryuba bila mafanikio, Kijiwe kimemuibua hivi karibni baada ya kupewa malipo ya uhuni na usaliti wake....

View Article

Escrow inapoiteka hata ikulu!

          Japo kashfa ya wizi wa mabilioni ya fedha za umma kupitia kashfa ya escrow umefutikwa chini ya busati, bado unazidi kuwaandama na kuwaumbua wakubwa wanaojifanya kutohusika wala kuchukua hatua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nyarandu ni waziri wa utalii au waziri wa kutali?

View Article

Mwaadhimisha kuzaliwa CcM au njaa zenu?

          Baada ya Mlevi kubadili jina na kujiita Ml JK ambayo wengi hudhani ni Mteule Jaa Kaya au Riz, mambo yameanza kujipa. Juzi nikiwa zangu kwa Joji Kichaka nilipokwenda kumpa somo la kuchora...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Anachapa kazi au kutafuta ujiko, kwani lazima ukifanya kazi upigwe picha?

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kipanya leo umeua

Kibonzo hiki kimenikuna na usomi wa majambazi wanaoibia taifa. Ni bahati mbaya kuwa Tanzania inaongozwa na profesa hata kama ni wa kuzawadiwa lakini ni ya hovyo kuliko hata viinchi vidogo vilivyotoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais ajaye awe na uchungu na nchi apende elimu

           Ingawa kila mtu ana vigezo vyake vya rais anayemtaka, kuna haja ya sisi –kama taifa – kuwa na vigezo vya pamoja –hasa tukiangalia matatizo yanayolikabili taifa –vya kumpata rais ajaye ili...

View Article
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live