Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live

Kijiwe chataka wachovu waingie mitaani

Baada ya kushuhudia mazingaombwe, ngonjera na mizengwe kuhusiana na kashfa ya escrew ambapo wachovu have been screwed, Kijiwe kimeamua kuhamasisha wachovu kuingia mitaani ili kujikomboa vilivyo once...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Escrow imefichua utawala na mfumo vya kijambazi

          Mazingaombwe yanayoendelea ambapo watawala wanataka kujinasua kwenye kashfa itokanayo na ufisi na ufisadi yamefichua uoza wa mfumo, utawala na taasisi zetu. Bila shaka, yamefichua aibu ya...

View Article


Escrow-IPTL: CCM wanamhadaa nani?

Si kupiga chuku. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimo kwenye hali mbaya tokana na kukumbwa na kashfa ya wizi wa mabilioni ya umma toka kwenye mfuko wa escrow. Kinachoshangaza ni ile hali ya CCM kutaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkiwa na watawala hamnazo matatizo matupu!

Waziri wa Fedheha, sorry Fedha, Saada Mkuya akisaini mkataba wa makabidhiano ya shilingi bilioni 45  na mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo la Saudi Arabia Hassan al Attas jijini Dar. Inashangaza nchi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wananchi wanyang'anyeni polisi kadi za CCM

Japo kinaweza kuchukuliwa kirahisirahisi na kitendo cha kawaida, kitendo walichotenda polisi kule Kyerwa mkoani Kagera ni cha aibu kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) serikali na jeshi la polisi kwa ujumla....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hii imenichefua na kunichafua

Kama wangetaka kututendea haki basi wangehukumu na wote waliowezesha dili hili kuanzia serikali iliyojifanya kutojua wakati wakubwa zake walishiriki kikamilifu.. Huu ni uchavda mwingine. Mnakumbuka...

View Article

Mlevi alazwa Manzese kuchunguzwa ubongo

Baada ya Mlevi kukabiliwa na hasira, sononi na mfadhaiko vilivosababishwa na kashfa zilizotamalaki kayani, amekutikana na ugonjwa wa sononi kiasi cha kulazwa kwenye hospitali ambayo ni siri kubwa eneo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Go tell it to the birds Muhongo

The other day I heard a good Prof Sossie Muongo, sorry, Muhongo who is also alleged to have scooped our dosh under IPTLescrow project adding pepper to injuries. He told the Hishimiwas that they’re not...

View Article


No man kill another man

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Unapotimiza miaka 53 ukiwa katika hali hii tafakari!

Je hiki kibonzo ni utani au ukweli? Ni mtanzania gani anaweza kusema hayuko hivi? Kama hauko hivi basi ndugu, majirani hata ndugu wa ndugu wa ndugu zako hata marafiki wa marafiki wa marafiki zako wako...

View Article

Kijiwe chataka wahukumiwe waliotorosha wanyama

Baada ya waishiwa kulipua kazi ya kuwalipua majambawazi wa escrow, Kijiwe, japo hakikuridhika na hukumu ya waishiwa, kimeamua kusonga mbele kwa kushguhulika na wengine ambao hawajashughulikiwa. Wiki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Escrow: Tumeahirisha tatizo “kumalizana”

Ukichunguza kwa makini jinsi sakata la kashfa ya escrow “lilivyomalizwa’ kimizengwe, haraka na kulindana, utagundua mapungufu mengi. Bunge, pamoja na kujivuvumua kuwa limefanya kazi pevu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Viongozi wa dini na kujikomba kwa rais

Rais Jakaya Kikwete akiwa pichani ikulu pamoja na baadhi ya viongozi wa dini waliokwenda kumuombea baada ya kurejea toka kwenye matibabu ya kansa ya kizazi huko Marekani. Inashangaza viongozi wetu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IPTL: Uhuni huu hadi lini?

                   Vyombo vya habari viliripoti hivi karibuni kuwa kampuni tata ya Independence Power Tanzania Limited inayotuhumiwa kuliibia taifa zaidi ya shilingi bilioni 200 ilifungua mashtaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kuombea taifa au kuganga njaa?

Baada ya ufisadi na ujambazi kulipa, umezuka mtindo mwingine mpya wa wasaka tonge kula kwa kujifanya wanajali taifa. Hapo juu ni waganga njaa wanaojificha nyuma ya dini za kuzua eti wanapanga kuombea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 0

Najua wengi walisherehekea zaidi ya nusu karne ya udhuru, sorry, uhuru. Kwa mlevi haikuwa sherehe kitu bali kumwaga michozi na kuungulia utadhani mamisap wake amerejesha namba. Baada ya kupiga mibangi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Cancer: Is the monarch cancer free really?

          When Jake Kiquette let drop the bombshell that he concealed prostate cancer for years, boozers were shocked, upset and downcast. As he, proudly and confidently, proclaimed to the hunk that...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aliyeghushi vyetu kuanzisha mfuko wa Elimu!

Balozi wa Tanzania nchiniUbelgiji anayedaiwa kughushi shahada ya Udaktari Deodorus Kamala akitangaza kuanzisha mfuko wa kuwazawadia wanafunzi wenye vipaji. Watawala wetu kwa unafiki hakuna mfano. Je...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CSO STATEMENT: Power sector fraud tests the Tanzanian government’s integrity...

Following the recent tabling and discussion of the Controller and Auditor General's (CAG) report on the Independent Power Tanzania Limited (IPTL) Tegeta Escrow Account (TEA) in parliament and the...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Africa and Bedroom Democracy

         Grace Marufu Mugabe, former personal secretary in the office of president with whom President Robert Mugabe had an affair even before the death of his terminally-ill wife Sally Hayfron is the...

View Article
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live