Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live

Dk., Prof, alhaj Mpayukaji alazwa kuchunguzwa ubongo

Baada ya Prof., Dk., Alhaj, Sheikh, Kanali, Ustaadh, Mtukufu, Maulana Mpayukaji Msemahovyo kukabiliwa na hasira, sononi na mfadhaiko vilivosababishwa na kashfa zilizotamalaki kayani, amekutikana na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tunapoadhimisha miaka 53 ya Udhuru!

Kila Desemba 9 kila mwaka Tanzania huazimisha siku ya uhuru wake. Ni siku ya kutafakari tulipotoka, tulipo na tuendako. Kwa wenye kufuatilia historia ya taifa, watakubaliana nasi kuwa uhuru wetu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nenda Werema

Nenda  Fredrick Werema nenda. Nenda jaji junk. nenda jaji janga. Nenda tu umenyea kambi.Nenda wala usiangalie nyuma. Nenda tu mwanakwenda. Msiba uliotuachia ni mkubwa. Nenda ukaajiriwe na PAP na VIP...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tibaijuka kitoe acha uhuni

Picha kwa hisani ya gazeti la MtanzaniaWaziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Anna Tibaijuka anachekesha. Amechemsha na anaonekana kuishi katika ndoto. Kwanza ni muongo na fisadi tokana na...

View Article

Hii ngoma vipi?

View Article


Huwa napenda nyimbo za Akorino

View Article

Mwaka ujao elimu ipeni kipaumbele jamani

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Anna Tibaijuka unangoja nini?

Anna Tibaijuka akisakata ngoma ya kihaya na James Rugemalira baada ya kumkatia shilingi bilioni moja na nuka sita (A day Tibaijuka danced with the devil)Anna Tibaijuka akimsomesha Rugemalayer ili akate...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je Tibaijuka ni kafara ya mwaka ya Kikwete?

Japo Profesa Anna Tibaijuka waziri wa zamani wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi alipaswa kutimuliwa, hakupaswa kwenda peke yake. Kama kawaida yake, bingwa wa sanaa za mazingaombwe Jakaya Kikwete...

View Article


Independence Day of dependence

I know. Many danganyikans spent Dec., 9 eating chickens and drinking for their peril under the so-called Uhuru or Independence Day. For boozers, it was totally different. What’d they celebrate if at...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi amshauri Obama amheshimu dingi wetu

       Pamoja na mibangi na ulabu wangu, huwa ni mpenzi wa rais Brack Obama wa kwa Joji Kichaka. Namhuhusudu kwa jinsi alivyopenya ubaguzi wa kunuka kuanzia kule Furgson Missouri hadi New York ambako...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

We wish you Merry X-mas and Happy New Year 2015

      Dear Readers, Follower, Fans and Sympathizers,Once again, we are blessed and elated to wish you Merry Xmas and New Spiffy Year 2015. We hope. The year will be full of pleasure. Let it be the year...

View Article

Somebody sent this on Kikwete

Tanzania's Kikwete is one of the most pathetic African leaders of our times. He is a peacetime leader for a country known to be one of the richest in the world in terms of natural resources, yet he...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe chamuaga Werema kwa mipasho!

          Mgosi Machungi anaingia huku akiimba kana kwamba ana mtu wake anayempa vipande vyake.          Anaamkua bila kujali na kuendelea kuimba, “Nenda Fedick Weeema nenda. Nenda jaji junk. Nenda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uwendawazimu wetu, ufisadi na wafadhili

 Si uchochezi kusema kuwa watawala wetu wameshindwa, tena vibaya sana. Ni aibu kwa taifa ambalo limesherehekea miaka 53 ya uhuru kushindwa kufanya maamuzi magumu hadi lishinikizwe na wafadhili. Tishio...

View Article


Let's celebrate with a drummer boy

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zawadi yangu bora ya Krsimas

 Huwa napokea zawadi nyingi na mbalimbali wakati wa Krsimas. Mwaka huu nimepokea zawadi ambayo imenifurahisha kuliko nyingi nilizowahi kupewa. Nimefurahi kiasi cha kushindwa kujizuia kuiweka hapa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nukuu mbovu za mwaka 2014

“Watanzania tumejaa ubinafsi, kila mtu anafikiria kila anafanya jambo anategemea kupata posho, na niwahakikishieni mimi sina uchu wa ubinafsi wala tamaa za vyeo kwani kama ni cheo nilichoacha UN...

View Article

Mlevi aomba ateuliwa mwanasheria mkuu

Baada ya jamaa yetu tuliyemtonya kuwa alivyokuwa akifanya sivyo, jaji Freddie We-rema kuachia ngazi kwa aibu na kuzomewa, mlevi anataka kuomba ateuliwe kuziba pengo lake ili aisafishe kaya. Japo huwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Go Tibai-juka go

Prof Annae Kajuamlo Tiba-ijuka former minister for Lands, Housing and Human hoo-ha is a very interesting character. She’s offered a whopping 1.6 billion dafus from the guy who called 75 million bucks...

View Article
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live