Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live

Tuisaidie CCM kulikomboa taifa

          Kwa hali iliyo, ni dhahiri. Chama Cha Mapinduzi (CCM) chini ya uongozi wa mwenyekiti wake, rais Jakaya Kikwete, kimeanzisha, bila kujua, safari ya kulikomboa taifa toka kwenye mikono michafu...

View Article


Huu wimbo ni zawadi ya mwaka kwa viongozi feki wa dini

Tokana na kutamalaki kwa utapeli kwa kutumia jina la Mungu, blog hii imeamua kutoa wimbo huu kama dedication kwa wote wanaoibiwa na matapeli wa kidini kwa kutumia mbinu mbali mbali kuanzia kutenda...

View Article


Leo nimemkumba Samira Said wallahi

View Article

Kijiwe chalaani mizengwe ya escrew

          Leo Msomi amejilawa kweli kweli. Anaingia akiwa ameweka ndita usoni huku akiwa amevaa magunia. Leo wanakijiwe wote wametinga kwenye magunia, kwa mara nyungine, kama alama ya kuombolezea kaya...

View Article

Bado serikali ya Kikwete si ya Ubia?

Japo rais Jakaya Kikwete huwa haishiwi vituko au mazingaombwe au sanaa kama watani zake wapendavyo kusema, juzi aliwaacha wengi hoi. Alikaririwa na vyombo vya habari akisema, “Kimsingi fedha hizi ni za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 0

For some a few hours are left just for the New Year 2015 to kick in. Others are just a few minutes away from New Year. We, once again, wish you all a very spiffy and prosperous New Year 2015.

View Article

Kwa Walevi 2015 ni mwaka wa kupigika sana

          Baada ya kushuhudia ujambazi na kila aina ya jinai vikiteka kaya, Mlevi napanga kunywa na kuvuta kama sina akili nzuri. Japo si muumini wa utabiri uchwara ulengao kuwapa wasaka tonge ulaji,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ridhiwani: Wazazi walimpa kura anawapa watoto ndizi!

Ridhiwani Kikwete mbunge wa Chalinze akigawa ndizi kijini Kwa MsanjaPicha nyingine ukizitazama zinasikitisha na kuchochea hasira. Ukiangalia mtoto wa rais Ridhiwani Kikwete mbunge wa Chalinze...

View Article


Does the hunk belong to IPTL too?

               They year 2014 lapsed as boozers are still pondering on unbelievable, unthinkable, and unacceptable answers biggie Jake Kiquette offered in dealing with escrow theft. When Jake said that...

View Article


Kwa ufisadi huu amani itatoweka haraka

          Pamoja na kwamba ufisadi umeanza kuzoeleka nchini, madhara yake yanaanza kujitokeza japo kwa kiwango cha chini na kidogo. Japo watawala wetu wamejiridhisha wakiimba wimbo wa amani, mambo si...

View Article

How do you evaluate and assess Jammeh here?

View Article

Kijiwe chafunga mwaka na pongezi kwa wafadhili

 Kijiwe kimemaliza mwaka kivyake vyake kwa kutoa msimamo wake dhidi ya ufisadi na jinsi wafadhili walivyojitahidi kumtoa nyoka pangoni hata kama hatukumkata kichwa. Kwa mwaka mzima tulikuwa...

View Article

2014 ilikuwa hasara je 2015 ni zaidi?

Kwanza, tunamshukuru Mwenyezi Mungu kuumaliza mwaka pia kuuona mwingine. Wengi hawakuumaliza. Ni majaliwa na mapenzi ya Subhana. Kifupi, tunajaribu kudurusu yaliyojiri mwaka 2014 ili kujiandaa kwa...

View Article


Kuruhusu wageni kujilimia nchini ni utumwa

Hivi karibuni waziri mkuu Mizengo Pinda alifanya ziara ya kikazi nchini Qatar na kutangaza “neema” kwa watanzania. Pinda alikaririwa akisema kuwa watanzania watanufaika na ajira nchini Qatar japo hili...

View Article

The music of the week

View Article


Mlevi kuandaa mkesha wa kuliambia taifa

Baada ya kuona wasanii wenye `roho mtakakitu’ wakiukata kwa kula na kunywa na `wanene’, Mlevi `nimeskuti’ nikaona nisipofanya kitu, wengi watapotea na Bwana Mkubwa aliye juu ataniadhibu kwa kutotoa...

View Article

Let’s make 2015 year of change

     I can clearly see. Someone’s holding breath thinking I’m going to drop a bombshell, predict what’ll transpire in this year after the past one saw the hunk off form. Please separate me from quacks...

View Article


Kwa ufisadi huu amani itatoweka haraka

          Pamoja na kwamba ufisadi umeanza kuzoeleka nchini, madhara yake yanaanza kujitokeza japo kwa kiwango cha chini na kidogo. Japo watawala wetu wamejiridhisha wakiimba wimbo wa amani, mambo si...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Leo tunatoka na Cleopatra mlimbwende asiye kifani

View Article

Angalia wanyama wanavyopata kanywaji na kuhangaika

View Article
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live