Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3177 articles
Browse latest View live

Amani itaondolewa na ufisadi na si mataifa ya magharibi

Baada ya wimbi la ufisadi kutikisa taifa letu, kumeanza kujitokeza dalili za woga miongoni mwetu. Hii ni baada ya kuwepo manung’uniko mengi toka kwa wananchi wanaoona kama mambo yanakwenda ndiyo siyo....

View Article


What'd you expect if it were a Tanzanian cop?

The cop in Montana broke down after shooting unarmed person early last year. This photo became viral after being posted recently. Despite racism in the US at least this cop perfected the art of...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe chalilia wanyama

         Baada ya kushuhudia mauzauza, wizi, ujambazi, ufisadi na mazabe mengi, kijiwe kimeamua kulia na kufunga kwa ajili ya wanayama wetu wanaotoroshwa kila uchao kana kwamba kaya yetu haina wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hivi ndivyo nilivyotabiri kifo cha ACT

           Mwezi Julai 2004 niliandika makala hii ambayo utabiri wake umetimilika chini ya mwaka mmoja. Sina ugomvi na kuanzisha chama kipya cha siasa cha Alliance for Change and Transparency (ACT)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Africa needs localized market

 Although Adam Smith is credited for having contributed colossally to the current world economy he missed a point, especially, when he postulated that the market will regulate itself while it actually...

View Article


IPTL "kupunguza" bei ya umeme huruma hadaa?

Baada ya kampuni ya kuzalisha umeme yenye utata ya International Power Tanzania Limited (IPTL) kukumbwa na kashfa ya kuiba mabilioni ya fedha za wananchi kwenye fuko la escrow, imekuja na mbinu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bravo bro Muongo stay put

          Hello bro Prof Souse-pie Muongo,Before saying anything, please understand. Muongo I mean here’s different from Mwongo. You know. I’m sizzled after “puffing” and sipping. Again, in my language...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

When Kingunge spills beans on CCM candidate

When Chama Cha Mapinduzi (CCM) cadre and doyen , Kingunge Ngombale-Mwiru said that all those making noises that will run for president come next general elections, many Tanzanians didn't get it....

View Article


Kijiwe chajadili uzabazabina wa escrew

           Baada ya kuanza kushuhudia mazingaombwe juu ya kuwafikisha wa pilato majembuzi ya esrew, Kijiwe kimekaa kama kamati kujaribu kupitia nini kifanyike na nini kimepungua. Kijiwe kinatamka wazi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais ajitoe kwenye makucha ya mafisadi

          Hali ilivyo, rais Jakaya Kikwete ametekwa na mafisadi kiasi cha kutofurukuta hata baada ya wananchi kulalamika na kupiga kelele. Inavyoonekana, Kikwete hasikii wala haoni. Ametekwa kiasi cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nenda Muongo na uongo wako

Nenda Sospeter Muongo profesa wa hovyo,Nenda kaongee uongo wako na profesa Anna TibaijukaNenda usiangalie nyuma Nenda kwa James Rugemalayer na TibaijukaNenda mpange dili jingineAu nenda kaongee na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

I bet Hakainde Hachilema will become Zambia's President

Although this time around the ruling Party in Zambia may use its incumbency to win  presidential by-election, if it happens, Mr H H or Hakainde Hachilema won't lose anything. If Edgar Lungu wins, it is...

View Article

Mlevi apanga kubadili jina

Japo sera ya uga huu ni kuepuka kadri iwezakanavyo kutaja majina ya ngurumbili. Hata hivyo, tokana na uzito na umuhimu wa suala la leo tutavunja huu mwiko wa kutaja majina hata kama siyo ya watu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hizi shahada za Tunu Pinda za kweli au?

Hii Master ya Tunu ni feki piga ua. Haiwezekani Chuo Huria mtu kufanya shahada ya Uzamili ndani ya miaka miwili.HiMke wa waziri mkuu Tunu Pinda akitoka kupokea shahada ya Uzamili toka Chuo Kikuu Huria...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

We’re rich save we lack common sense

         The other day I was reading the story about the expansion of Jomo Kenyatta International Airport hyped as Green Field Terminal. However, soaked as I was, it baffled me to find that the total...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Despite our goodies we've our evils

Although we've a lot to be proud of, we, too, have a lot to be ashamed of. Nothing tarnishes Canada imago at home and abroad like this abhorring and horrible mistreatment of aboriginal people. Racism...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kikwete sijui ni kupenda misiba, misifa, uzururaji, ugonjwa au ujinga?

Alipokufa baba wa taifa Mwalimu Julius Nyerere sikuona wala kusikia ujumbe toka Saudia. Rais Jakaya Kikwete sijui kwa kujikomba au kwa uhusiano wa siri eti ameunguza mafuta kwenda kuhani msiba. Kama...

View Article


Kijiwe chaomboleza ndata

 Pamoja na kwamba ndata huwa wanatughasi hata kutubambikizia kesi wanapotudaka, hatuna kinyongo nao zaidi ya kuwaonea huruma kwa wanavyotumiwa wakijiona hadi kuhatarisha maisha yao. Baada ya kutokea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mfumo fisadi usiwatoe kafara askari wetu

Wakuu wa Jeshi la Polisi wakikenua baada ya kutupia cheki na fisadi Harbinder Sethi Singh mwizi wa escrow                    Tanzania sasa iko msambweni. Inatenzwa kana kwamba haina viongozi, na kama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Letter to Mayardit and Machar

          Dear your Excellency Salva Kiir Mayardit the president of the republic of South Sudan (RSS),Dear Dr Riek Machal leader of rebels,          I hope you are fine, and now you can sleep...

View Article
Browsing all 3177 articles
Browse latest View live