Quantcast
Browsing all 3175 articles
Browse latest View live

Wangapi wanamkumbuka gwiji Spokes Mashiyane na vibao vyake?

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe chajadili IpTL

  BAADA ya kushuhudia hila, ghilba, minyukano na mizengwe kuhusiana na sakata zima la wizi wa fedha ya wachovu chini ya kashfa ya Esrew uliofanywa na baadhi ya wanene wasiogusika, Kijiwe kimeamua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Visa vya marais wetu kutibiwa na kufia nje

 TAARIFA kuwa Rais Jakaya Kikwete amefanyiwa upasuaji wa tezi dume au busha (Prostate) bila shaka zilistua wengi kama si wote. Wengi hawakujua, ama walifichwa ukweli kuwa Rais anaumwa. Hawajui ukubwa...

View Article

Nimemkumbuka gwiji West Nkosi

Wapenzi wa penny Whistle ungana nami kumukumbuka marehemu West Nkosi (MPBH) kwa kibao hiki mulua.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hii kitu mwaionaje?

View Article


Please join me in praising Jah Almighty

Kwa wanaokumbuka hii ngoma nadhani watakuwa wamepata kitu roho inataka hasa usawa huu ambapo sanaa imegeuka ubabaishaji mtupu ukiachia mbali magwiji kuzidi kulala. Japo huu wimbo si wa The Gladiator...

View Article

Mlevi afanya utafiti kuhusu uchaguzi ujao

Baada ya kuona wengine wakija na matokeo ya utafiti wao ambao wapinzani wao wameyaita mazingaombwe waliyopachika jina la utafiti wakati ni utafutaji mlo toka kwa mafisadi wanaotaka kugombea urais...

View Article

Escrow-IPTL No Man Kill Another Man Bring Back Our Dosh

View Article


Who wants educated MPs?

Knowing how our hunk doesn't need sophisticated mortals --- it is hard to rule and bulldoze even dupe them--- Constitution Assembly (CA) otherwise known as Constipation Assembly came up with a very...

View Article


Kijiwe chalaani majanki yaitwayo majaji

Baada ya mhishimiwa mmoja ambaye ametokea kuwa mpenzi na shabiki wa kijiwe kututonya kuwa matwahuti ya lisirikali na Chama Cha Mafisi na Mafisadi (CCMM) wanasuka mbinu ya kutumia mapilato kuzuia kijiwe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IPTL: Nani awajibishwe kati ya Pinda na Kikwete?

Mengi yameishaandikwa na kusemwa kuhusiana na kashfa ya wizi wa fedha za umma toka Benki Kuu (BoT) chini ya mfuko wa Escrow. Kashfa hii licha ya kunakera, inachefua, ni aghali, imegharimu taifa...

View Article

Barua ya wazi kwa wabunge wote

Waheshimiwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano,Bila kujali itikadi au mafungamano yenu, kwanza nawasalimu kwa jina la ukombozi wa taifa hili.Pili nawasiliana nanyi kwa njia hii ili kuweza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Imekaaje hiii escrow screw

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Laiti wote tungeona madudu ya Kikwete hivi!

Kikwete hawezi kushindwa yote hata pozi kwenye dege bovu la bei mbaya ambapo walipiga pesa kama escrow

View Article

Mlevi kuwa-Compaore waliotu-escrow

                  Jambazi Blaise Compaore aka Ebola alipotaka kubadili katiba ili agombee mara nyingine kinyume cha sheria, walevi wa Burkina Faso hawakumkawiza zaidi ya kumdondosha. Hebu fikiria. Kama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lesson learned from Chinese ivory saga

          Though it may be taken as a mere scandal, allegations that the president of China’s jet carried tons if not hundreds of kilos tarnished our image. Again, when did it begin? Boozers have some...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kikwete azidi kuwatoa kafara wenzake akiendelea kutesa

Uamuzi wa Bunge kuwashughulikia mawaziri na wabunge wachache ni pigo kwa uwajibikaji tanzania. kwa mara nyingine, Chama Cha Mapinduzi (CCM) na serikali yake wamefanikiwa kuwaingiza mkenge watanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Imekaaje hii ya Chenge na mkokoteni wa minoti?

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha ya mwezi toka Missouri

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hii nayo imekaa vipi?

Baada ya kunusurika kukumbwa na maji, JK atakuwa anachekelea ujinga na papara za bunge letu na upinzani kwa kushindwa kushughulikia serikali nzima wakaridhika na kafara ya vijidagaa. Uamuzi hafifu na...

View Article
Browsing all 3175 articles
Browse latest View live