Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nimeipenda hii kitu

Badala ya jeshi kulinda umma linalinda ufisadi siyo? Je hili jeshi ni la nani? Kuna haja ya kwenda Burkina kujifunza jinsi ya kukomesha uchafu huu haraka sana. Ajabu, wakati jeshi likilinda uoza,licha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kuepuka rushwa Miss Tanzania iandaliwe na wanawake

 Japo huwa si mpenzi wa michezo, leo nitadurusu mashindano ya kutafuta miss Tanzania ingawa kinadharia ni hivyo na kivitendo ni miss mzungu. Baada ya kumalizika kwa kinyang'anyiro cha kumtafuta miss...

View Article


Hii ngoma inakukumbusha nini lini na wapi na katika nini?

View Article

Hebu kama una muda angalia hawa mbwamwitu wachunaji wanavyotapeli watu kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mevi atia timu Burkina kumung'oa dikteta

Kutokana na  urafiki na udugu wa Mlevi na marehemu Thomas Isidore Sankara, Rais wa zamani wa Burkina Faso  wiki iliyopita Mlevi aliamuru kwenda kutia timu kule Burkina ili kutia shime mapinduzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ugogoro wa afya ya Kikwete tunafichwa nini?

Kikwete akiongea na dk Bingwa wa upasuaji kabla ya kuingia kwenye chumba cha upasuajiTaarifa tulizo nazo toka kwenye mitandao ya rais Jakaya Kikwete na si kwenye magazeti ya serikali ni kwamba rais...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mr President: Presidency’s not a hard job

Sometimes some politicos talk as if those they address are halfwits or have lost their memories. Recently, President Prof of herding goats and bovine, Jake Kiquette left boozers in stitches. He’s...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Do you know which son of president own this porsche?

Sweat it not. This expensive toy belongs to HE Duduzane Jacob Zuma the son of the president of South Africa HE. Mr Nkandla Scandal. This is they typical replica of the types of the machines the kids of...

View Article


Baada ya kazi burudika na ngoma tulivu

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ijiwe chalaani uhuni dhidi ya Warioba

  JAPO nguli Jose Shinda Warioba si mwanakijiwe wetu, huwa tunamzimii hasa kwa utaua na usafi wake ukiachia mbali ujasiri wake wa kupambana na ufisadi na ushenzi hasa uchakachuaji wa Katiba. Hivyo, leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kashfa rais wa China kusafirisha vipusa ikulu ijilaume yenyewe

  KASHFA ya ndege ya Rais wa China, Xi Jinping kusafirisha pembe za ndovu haikushangaza wengi. Wengi walitegemea hili hasa kutokana na mambo yanavyofanya nchini. Baada ya vyombo mbali mbali vya habari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nani atanusurika kati ya bunge na IPTL

View Article

Hii ngoma ilinoga na kutesa sana

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zinjanthropus Makamba, dijitali na ndoto za ufalme

 Katibu mkuu wa zamani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Yusuf Makamba alitoa mpya baada ya kuwakandia watu wanaotaka kugombea urais kwa kumpigia debe mwanae asijue anajikandia pia. Makamba alikaririwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nape sera za wapinzani zinakuhusu nini?

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye ni kijana anayefikiria kikale. Siwezi kusema anafikiria kizee hasa ikizingatiwa kuwa kuna wazee wenye akili zinazochemka kuliko vijana tena wanaojiita...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi aazimia kuanzisha operesheni kuwasachi vigogo Airport

Baada ya vyombo vya umbea duniani kuhanikiza kuwa  Rais wa Chaina aliingia Bongolalaland na kuondoka na shehena ya vipusa, Mlevi amekuja na jibu la kukomesha unoko na umbea huu. Kwanza, pamoja na ulabu...

View Article

Boozers to boycott the new constipation

Now it is official. Chama cha Maulaji (CcM) has decided to bulldoze boozers and danganyikans. It was recently announced that the vote for passing their thing aka new constitution of constipation is...

View Article


Hii ngoma vipi?

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uhuni dhidi ya Warioba mbona ikulu inajichanganya?

           Taarifa iliyotolewa na ikulu baada ya kuchelewa muda mrefu kuhusiana na sakata la kuvamiwa na kutaka kupigwa kwa waziri mkuu wa zamani Jaji Joseph Warioba, zinachekesha. Hivi Katibu Mkuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kumbe na wanasiasa wanatapeliwa!

Askofu wa kujipachika wa dhehebu la Good News for All Ministry  Charles Gadi wa pili kulia pamoja na mkuu wa wilaya ya Bagamoyo Ahmed Kipozi kwenye maombi ya kumwombea rais Jakaya Kikwete anayetibiwa...

View Article
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live