Hii nayo imekaaje?
Ina maana kuna akina Rweyemamu wengine ambao hawajatosheka siyo? Kila mtu anataka kulipwa fadhila. Sasa wangoje jamaa aende kuchunga mbuzi huenda watafadhiliana huko kwa kupewa japo mananasi kama si...
View ArticleMlevi kuanzisha IpTL yake
Baada ya kugundua wadanganyika wanavyodanganyika na kuibiwa kirahisi kwa kusalitiwa na wakubwa zao, nami nasukuti kuanzisha Independent perfidy Thuggery Limited aka Interdependent papa...
View ArticleWhy’s Mr Head mum on IPTL?
President Jake Kiquette’s house’s on fire. The source of fire’s nothing but Independent perfidy and Thuggery Limited aka Interdependent papa and Tumbili Limited (IpTL). Donors have recently...
View ArticleMISS UMEME 2014 SCANDAL UNFOLDS!
The organisers of Miss Umeme Tanzania, Dar-based event promoters VIP (Latrines) Ltd, have strongly denied that corruption was involved in this year’s competition. Tanzanian social media...
View ArticleKijiwe chalaani upogo wa vigogo
LEO Mgosi Machungi anaonekana ana usongo na jambo. Alivyoingia mwenye mawazo, si bure. Baada ya kujiridhisha kuwa ni wakati muafaka kusema linalomsimbu, anaangalia huku na kule kujihakikisha kuwa wote...
View ArticleKikwete urais si kazi ngumu
WAKATI mwingine baadhi ya wanasiasa huongea vitu visivyoingia akilini kana kwamba wanaowasikiliza hawana akili za kutosha au wenye kufikiri sawasawa. Hivi karibuni, akiwa nchini China, Rais Jakaya...
View ArticleJana nilipokea kitabu cha Dk Sengondo Mvungi
Japa nilipokea nakala ya kitabu juu ya marehemu Dk Sengondo Mvungi Breathing the Constitution toka Tanzania. Kilitumwa na Kituo cha Haki za Binadamu (Legal and Human Rights Centre-LHRC). Kwa namna ya...
View ArticleJe araobaini ya Blaise Compaore imefika?
Hali ilivyo ni kwamba Blaise Compaore imla wa taifa maskini la Bukinabe amefikia arobaini yake. Compaore alichukua madaraka mwaka 1987 baada ya kumpindua na kumuua rafiki yake rais Thomas Sankara...
View ArticleBye bye Compaore as you wait to be brought to book
The reports we have are that former Burkina Faso strong man Blaise Compaore has resigned. If anything, this is good news for peace lovers. Compaore found himself in the hot soup after conspiring with...
View ArticleNimependa hii kitu
Hivi kweli huu ni urafiki wa kweli au gea ya kuutaka urahisi? Ama kweli wanasiasa ni viumbe wa ajabu sana. Nani alidhani mafisadi wangebebana kama msanii anavyowaona? Kwa vile wote ni wasaka tonge,...
View ArticleMlevi ampongeza Kikwete kumuokoa
Baada ya rais Jakaya Kikwete kueleza “ugumu” wa “kazi” ya urais japo urais si kazi kwa vile hakuna aliyeisomea, Mlevi ameamua kuachana na ndoto za kugombea urais kama alivyokuwa ameahidi hapo...
View ArticleWhy’s Mr Head mum on IPTL?
President Jake Kiquette’s house’s on fire. The source of fire’s nothing but Independent perfidy and Thuggery Limited aka Interdependent papa and Tumbili Limited (IpTL). Donors have recently...
View ArticleHii kitu nimeipenda kuhusu uroho na ufujaji wa wafalme wetu
Kiongozi wa kiafrika anaeyeishi kwenye kisiwa cha ukwasi katika kati ya bahari ya umaskini.Chanzo: Daily Monitor
View ArticlePolisi wanavyoshabikia hongo ya fisadi
IGP wa zamani Philemon Mgaya akiteta na fisadi jingine la IPTL James Rugemalira kwenye maadhimisho ya kutimiza miaka 85. Hii maana yake ni kwamba hawa jamaa ni marafiki wa muda mrefu na wameishawekwa...
View ArticleWanakijiwe waukwaa uprofesa
BAADA ya udaktari na uprofesa kugawiwa kama njugu hasa kwa matepeli na wasaka sifa wanaotapeliana na kugeuzana mabunga, wana kijiwe kwa vile wana sifa kuliko wengi wa wanaopewa vitu hivi, nao wameamua...
View ArticleKatiba mpya tusingoje wananchi wachome Bunge
MWEZI Oktoba unaingia kwenye historia kama mwezi uliofufua matumaini ya kupata haki kwa nchi za kiafrika kusini mwa Jangwa Sahara. Mapinduzi ya umma yaliyomlazimisha imla wa zamani wa Burkina Faso,...
View ArticleIs this true about Tanzania and China and presidential smuggling of ivory?
Kenyan Daily Nation has reported today that the plane carry China' s president was used to carry ivory smuggled out of Tanzania during his tour of Africa. If this is the case and it is true, how many...
View ArticleUteuzi wa Kikwete ulioniacha hoi!
Halima Dendego ambaye elimu yake ni utata mtupu kiapishwa kuwa mkuu wa mkoa mpya wa MtwaraMwantumu Mahiza mwalimu wa shule ya msingi kama Salma Kikwete aliyetueliwa muda mrefu kuwa mkuu wa mkoaMwanaidi...
View Article