Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

It is official now donor have suspended Tanzania aid

IPTL scandal has started to bite. It is official now. Donors have suspended Tanzania aid after the government has been dragging feet in dealing with the scam. History shows that IPTL was created by...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

15 years without Mwalimu Nyerere

This is how this blog commemorates the demise of Mwalimu Julius Nyerere.Mwalimu since you passed on things have changed. All rats are now operating freely after the rat left the scene. The narrative...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe chawapongeza Mdee na Othman

Siku hizi hakiitwi kijiwe bali colloquium yaani mkutano wa wasomi wakitongoa na kujadili falsafa na madude mengine yaliyowashinda wahishiwaLeo Mpemba kajilawa kweli kweli. Ana jambo si dogo. Baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hongera Othman kufichua janja ya Shein

 Japo kukosea ni jambo la kawaida kwa binadamu, makosa mengine yanaweza kuwa na matokeo yenye madhara makubwa kwa mhusika au tuseme mwenye kufanya makosa. Hakuna kosa watakalojutia Chama Cha Mapinduzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais anapohongwa saa ya dola 5,000!

Kuna wakati ukisikia tuhuma zinazowakabili viongozi wa Kiswahili unatamani ulie au hata ujitoe roho. Miaka michache iliyopita zilizuka tuhuma ambazo kwa kiasi fulani zilionekana kuwa za kweli kuwa rais...

View Article


Katiba-chakachuliwa ikipitishwa najinyonga

          Uhuru wa kufanya unavyotaka ilmradi usivunje sheria ni haki kidemokrasia. Japo kujiua ni kosa la jinai, ni pekee kwa walio hai. Hivyo, kwa vile waliochakachua rasmu ya jaji Jose Warioba...

View Article

Mlevi afaidi filamu ya RugeSingasinga

Pamoja na kupiga bangi na kanywaji, wiki jana nilifaidi filamu iitwayo IpTL yaani Interdependent pilfers in Tanzia Limited (IpTL). Katika filamu hii yenye wahusika wengi japo wanaojulikana ni wawili,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha ya wiki

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Spika wetu amesilimishwa?

View Article


Draft Constitution: Will CcM get away with murder?

         Looking at the look of things, it is obvious. Chama cha Maulaji (CcM) is wantonly hell-bent to superimpose its will on Tanzanians. Refer to the recent sideshows whereby CcM was able to “pass”...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IPTL, donors stick to your guns please

          No joke. Independent Power Tanzia Limited is fleecing boozers. Since its inception under Ruksa regime, this thing has become an ogre to boozers. Since it came into being, instead of solving...

View Article

Huwa napenda sana Makossa orijinali toka kwenyewe!

View Article

Kijiwe kutoshiriki kura feki

WIKI iliyopita Kijiwe kilimkumbuka nguli mwalimu Julius Mchonga. Japo wale waliowatengeneza, kuwatengenezea na kuwaachia ulaji walimtosa baada ya kuwa wakimsanifu kila mwaka, sisi tulimkumbuka kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamba anapomchimba Kikwete

NAIBU Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Januari Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu wa zamani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuf Makamba aliyemtabiri angeteuliwa kuwa waziri, aliwaacha...

View Article

Muziki wa leo ni kutoka Ujepu

View Article


Katiba feki imepita au imepitishwa?

          Vyombo vya habari viliripoti tukio la kupitishwa rasimu iliyochakachuliwa ya katiba mpya. Vilionyesha Chama Cha Mapinduzi, na vyama nyemelezi washirika wakie wakishangilia kufanikiwa kupora...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uprofesa wa Kikwete je ni aina mpya ya rushwa?

Rais Kikwete akipewa uprofesa wa heshimaUkiwa na kasoro wengi wanaitumia kukugeuza kinyago hata mwanasesere. Wanakuchezesha kama kile kinyago cha Joyce Wowowo. Hivi Kikwete na uprofesa tena wa kilimo...

View Article


Hii nayo imekaa vipi?

View Article

Muziki wa wiki ni kwa wana ndoa

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DICTATORSHIP? GO TELL THAT TO THE BIRDS, MISTER MAKAMBA!

THE Tanzania deputy minister for Science&Tech, January Makamba, left many in stitches. He's quoted as espousing dictatorship as the only means to eradicate endemic graft...  That Tanzanians need a...

View Article
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live