Quantcast
Channel: Free Thinking
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3173

Nimeipenda hii kitu

$
0
0

Badala ya jeshi kulinda umma linalinda ufisadi siyo? Je hili jeshi ni la nani? Kuna haja ya kwenda Burkina kujifunza jinsi ya kukomesha uchafu huu haraka sana. Ajabu, wakati jeshi likilinda uoza,licha ya kusahaulika na kunyonywa sawa na wananchi,linalipwa kwa kodi zao ili kulinda wale wanaowahujumu. Hivi nani aliyewaroga wabongo ambao ICC imesema itawafunga watakaojaribu kuwaua na msichukue hatua? Hongera Masoud Kipanya kwa kutuchangamsha huku ukiwasuta.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 3173