Kijiwe toka Gambia kwenye sherehe ya mweleka wa Jammeh
Baada ya kuweka vitu vyangu kumsaidia sister Hill Clint na kupigwa na Don Drumpfy yule mfanyabiashara wa kutia shaka na mbaguzi wa kunuka, niliamua kula kuku kidogo kule wachovu hupenda...
View ArticleFuteni na kupiga marufuku NGO za wake wa wakubwa
Hivi karibuni vyombo vya habari viliripoti kuzuiliwa kwa mzigo wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya mke wa rais mstaafu Jakaya Kikwete, Salma baada ya kile kinachosemekana kutaka kupitisha...
View ArticleThis is what will kill the East African Community
What a well-said piece of mind! I wish all despots in the are would comprehend what this gentleman wants to put across. There cannot be a truly EAC integration without democracy and justice. We need to...
View ArticleHeri ulevi wa kanywaji kuliko madaraka
Wiki iliyopita ilitoa somo moja kubwa dunia kuwa kweli cheo ni dhamana. Nikiwa natoka kupiga kanywaji si nikamkuta bi nkubwa ameganda kwenye runinga yetu ya inchi 60! Naona yule anatikisa...
View ArticleHear Jammeh staging a second coup
Those of us who know the megalomaniac Gambia strongman, did not buy into what was seen as an exemplary move of conceding defeat in the just ended general elections. Now, it is obvious that this lunatic...
View ArticleKikwete na Magufuli watachonganishwa na maadili
Wiki iliyopita vyombo vya habari viliripoti habari ya kuzuiliwa kwa mzigo bandari wa shirika lisilo la kiserikali la Wanawake na Maendeleo (WAMA) linalomilkiwa na mke wa rais mstaafu. Habari hii...
View ArticleKijiwe chasheherekea na kutathmini uhuru
Wakati wapo waliosherehekea kumbukumbu za miaka 55 za uhuru kwa kununa tokana na kutokuwapo makulaji na posho, kijiwe kilisherehekea kwa tafakuri na tathmini nzito. Wakati wengi walikuwa...
View ArticleKugomea uraia pacha ni kujikwamisha
Hivi karibuni, baada ya kubainika kuwa watanzania wanaochukua uraia wa kigeni hupotgeza haki muhimu ya kumilki ardhi, kumekuwapo mjadala kwenye mitandao ya kijamii. Tokana na unyeti wa suala...
View ArticleAkina baba tusiwe kama baba Kamakl
Huu muziki ni wa kikuyu. Umetungwa na John Njagi na kuimbwa na binti ambaye jina lake halikutajwa. Muziki huu una somo kubwa kwa wanaume -tena watu wazima -wanaopenda kuharibu watoto wa wenzao.Binti...
View ArticleHakikini mali za walevi wote na si wanene tu
Hivi karibuni, vyombo vya habari viliripoti kuwa sirikali ina mpango wa kuhakiki mali za wanene na wazito ili kubaini wangapi walipiga wakaficha kwa majina bandia au ambao ni wa kweli kama...
View ArticleMgoshi kukomba appointment na rahis
Leo Mgoshi Machungi ana hasira ya kufa na mtu. Si juzi dada yake Zuhura alikwenda ku-renew hati yake ya kusafiria akaambiwa alete cheti cha kuzaliwa chake na mama yake wakati wote walizaliwa...
View ArticleMakonda aeleze anavyopata pesa anayotoa
Hivi karibuni vyombo vya habari vilipoti kuwa mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam Paul Makonda alitimiza ahadi yake ya kutoa fedha taslimu za mitaji na vifaa vyenye thamani ya shilingi 164 272, 000 kwa...
View ArticleYaani hata machangu mnaimpoti toka Ugabacholini!
Niliposoma kuwa ndata walidaka vyangudoa toka Nepali na India nilicheka sana. Kwanza nilijiuliza; Hawa jamaa walivyo wabaguzi, vyangu wa kibongo wakienda kule watapata soko kweli? Je...
View ArticleKijiwe chashanga kaya kubinafsishwa kwa magabacholi
Mpemba anaonakena ana ishu inayomkera. Ameingia akiwa na gazetimkononi huku akisonya nakutikisa kichwa. Kwa waliomzoea, wanajua kuna jambo linamkera.Mbwamwitu anamuuliza “Mgoshi mbona unaonekana...
View ArticleKakoko wataje wanasiasa wanaotaka kukukwamisha bandarini
Hivi karibuni, vyombo vya habari vilipoti kuwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Bandari (TPA) Deusdedit Kakoko akisema “wapo wanasiasa wakubwa wakiwamo wabunge wananiambia kwamba vita ya flow mita...
View ArticleAkina Lusekelo wachunguzwe na “zawadi” zao
Baada ya kukumbwa na kashfa ya kile kilichoripotiwa na vyombo vya habari kama ulevi na kuonyesha tabia mbaya, mchungaji Anthony Lusekelo ametoa mpya mbili za kufungia mwaka. Moja ni kuwaombea...
View ArticleMlevi kuanzisha kanisa la Upasho na Vitisho na Mipayuko
Baada ya kuona walevi wenzangu tena vihiyo na wasio na ujanja hata nusu yangu wakianzisha madhehebu yao na kuukata, nami nimeamua nianzishe kitu hii lau niweze kuendesha michuma ya “zawadi’...
View ArticleHivi ndivyo wengine tulivyoukaribisha mwaka mpya 2017
Huku kwetu uswazi tulipigwa na bonge la theluji. Kwa wiki ya kwanza kabla ya mwaka mpya na siku moja kabla ya mwaka mpya tulipigwa theluji yapata sentimita kama 30. Hivyo, wakati wengine...
View ArticleMagufuli alicherewa kutumbua
Mkurugenzi wa Tanesco naye aachie ngazi Vyombo ya habari hivi karibuni vilimkariri Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Umeme la Taifa (TANESCO), Felchesmi Mramba akijisifu kuwa wamewawajibisha...
View Article