Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3175 articles
Browse latest View live

Kijiwe chashangaa utendaji wa kizimamoto

            Mgoshi Machungi anaonyesha kuuanza mwaka kwa hasira. Anaingia akiwa anasonya na kuzungusha kichwa kana kwamba ataua mtu leo. Anaamkua na kusema “wagoshi, mmesikia hiki kizungumkuti cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwaka huu tufukue kaburi lau moja

             Katika mojawapo ya matamko yake, rais John Pombe Magufuli mnamo mwezi Novemba mwaka jana, alisema kuwa hana mpango wa kufukua makaburi. Kwani, yanaweza kumshinda kuyafukia. Kiakili,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magufuli nawe timua wamachinga wa kisiasa

            Hivi karibuni kulitokea malalamiko kuwa baadhi ya wakuu wa mikoa na wilaya wasiojua mipaka ya madaraka yao wamekuwa wakiwanyanyasa wananchi tena kwenye mikoa na wilaya zao. Hili si jambo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barua ya Faru Toto kwa faru John (Baba)

       Baba Faru John,            Naandika waraka huu ili ukufikie huko kuzimu japo ambao bado wanaamini kuwa uko hai. Wanasema eti ulibadilishwa jina na kuitwa Ole Sokoine. Vyovyote iwavyo,...

View Article

What a shame from Ghanaian new President!

What sort of academic incidence and laziness for the head of state and his government to blindly and shamelessly plagiarise somebody's speech! I didn't know that we still have leaders who are such...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kikwete hakustahili kuwa Mkuu wa UDSM

             Baada ya rais John Magufuli kumteua rais mstaafu Luteni Kanali mstaafu, Jakaya Kikwete kuwa mkuu wa chuo kikuu cha Dar Es Salaam (UDSM) wanaojua namna Kikwete alivyokacha nafasi hiyo...

View Article

Kijiwe na Mikakati ya Mwaka Mpya

           Baaada ya kufanikiwa kumaliza mwaka 2016, Kijiwe kimejiandaa kuleta mapinduzi kwa kupambana na changamoto mbali mbali kama vile kupambana na ufisadi na ufisi; kuhimiza matumizi bora ya mali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nchemba, wako wapi wauza unga!

            Kuna mambo rais John Magufuli amefanikiwa kwa asilimia kubwa tangu aingie madarakani tena kwa muda mfupi na kasi ya ajabu. Magufuli anasifika kwa kutofumbia macho uzembe, matumizi mabaya na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barua kwa mpendwa na munusurika Escrow

             Mpendwa Escrow,         Baada ya kukosa ofa na kanywaji na njuluku za kununulia bangi ka muda mrefu, nimekumbuka mpendwa wangu marehemu Escrow aliyetujaza minjuluku hadi tukasahau kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magufuli ataweza kutumikia mabwana wawili?

                     Hakuna ubishi. Rais John Magufuli ana kibarua kigumu. Hii ni kutokana na mfumo mbovu aliorithi bila kuwa tayari kuufumua na kuufuma upya kisheria zaidi ya kufanya hivyo kisiasa....

View Article

This Martin Luther's speech will blow you away if not captivating you

View Article

Kijiwe chalaani bakora Rorya

            Baada ya kurushwa picha za akina Mura Msama, Magesa, Nyambora, Wambura na Kitamara wakimsulubu mama mmoja kwa utovu wa nidhamu, kujiwe kimeamua kuongeza shinikizo dhidi ya udhalilishaji huu...

View Article

Magufuli hana haja ya kutishia vyombo vya habari

            Taarifa za vyombo vya habari zilizomnukuu rais John Pombe Magufuli akiyaonya magazeti mawili kutokana na kile anachosema ni kuandika habari za uchochezi si njema kwa taifa  tena la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huyu bwana kubwa anakimbizwa na woga au busara?

Picha hii imnechukuliwa toka kwenye blog ya maisha na mafanikio

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Go Jammeh go!

Go Yahya Jammeh goGo Jammeh go ye YahyaGo without turning thy head back everThe game is up and over sirGo son of hell, a coward in your own rightGo Jammeh go down cowing like a doltIn flames go down...

View Article


Utabiri wa mwaka huu wa mlevi

           Baada ya matapeli wengi kurithi na kuibuka na utapeli uitwao utabiri, nami kwa nguvu ya kanywaji naamua kutabiri hasa ikizingatiwa kuwa hakuna chuo hata kimoja kinachofundisha kitu hii....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barua ya wazi kwa mheshimiwa Godbless Lema

Mpendwa Godbless,            Naamini hujambo huko uliko kwenye mazonge ya kufungwa bila kuhukumiwa. Najua ni machungu kiasi gani unapitia wewe, familia, marafiki na chama chako bila kusahau wapiga kura...

View Article


Mpayukaji arejea toka Gambia kumtimua Jammeh

         Baada ya kuupa tafu upingaji nchini Gambia na kumtupa nje imla wa huko wa siku nyingi Yaya Jammeh akagoma kukitoa, ilibidi nirejee tena kumtimua tena kwa aibu. Hii ni baada ya jamaa kujifanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wizi ndani ya wizi AUWSA wahusika wawajibike

             Hivi karibuni, vyombo vya habari vilifichua wizi wa kutisha kwenye Mamlaka ya Maji kule Arusha (AUWSA) ambapo zilitumika jumla ya shilingi 198 milioni kuchunguza ufisadi wa shilingi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kikwete hakustahili kuwa Mkuu wa UDSM

             Baada ya rais John Magufuli kumteua rais mstaafu Luteni Kanali mstaafu, Jakaya Kikwete kuwa mkuu wa chuo kikuu cha Dar Es Salaam (UDSM) wanaojua namna Kikwete alivyokacha nafasi hiyo...

View Article
Browsing all 3175 articles
Browse latest View live