Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live

Bongo kuna jaa si njaa

          Kuna mjadala ulioniacha hoi hivi majuzi. Mjadala wenyewe ni juu ya kuwa kama kuna baa la njaa Kayani au la? Upande wa utawala unasema hakuna kitu kama hii wakati upande wa upingaji ukizidi...

View Article


Mpayukaji Ahudhuria Kikao cha Wanene Addis Ababa

          Baada ya wanga na woga wengi kudai kuwa nina woga wa kusafiri ughaibuni, nimeamua kuwatoa nishai ili waaibike na kushushuka. Si wapo waliosema kuwa sitakwenda kwenye kuhudhuria genge la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali inaposhindwa kujua faida ya mradi wa DRT

            Hivi karibuni, rais John Pombe Magufuli  akiwa ameandamana na makamu wa rais wa Benki ya Dunia (WB) kwa Afrika, Makhtar Diop alizindua awamu ya kwanza ya magari yaendayo kwa kasi jijini Dar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Why AU needs to be decolonised

            The just-ended conference of the African Union (AU) in Addis Ababa, once again exhumed Africa’s endemic glitches revolving around the colonial dregs.            This was displayed during...

View Article

UDARt na mwendo kasi wa kupunyua mali za walevi

          Alipozindua mradi wa mabasi ya mwendo kasi jijini Bongo hivi karibuni, rahis alionyesha shaka ya kutojua faida ambayo kaya itapata au imeishapata tokana na mradi wenyewe ambao ni mazonge na...

View Article


Hotuba ya Magufuli suto kwa Afrika

           Hivi karibuni rais John Pombe Magufuli alionyesha upekee kama kiongozi wa nchi kwa kuwa kiongozi wa kwanza wa  Tanzania kuhutubia mkutano wa wakuu wa Nchi Huru za Kiafrika kwa Lugha ya...

View Article

Akina Mgoshi Machungu kujidai Hollyweed

          Baada ya rahis mpenda sifa na vimwana, Don Trumpet, kuipiga tafu Bongolalaland kwa kuruhusu wabongo kuingia kayani kwake bila visa, kijiwe kinapanga kwenda kule hasa Holyweed kujinoma kama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mihadarati: Barua ya wazi wa Makonda

 Kibonzo kwa hisani ya gazeti la Daily Nation, Feb., 8, 2017.           Huwa nina mazoea ya kukosoa au kupongeza viongozi wa umma pale wanapokosea au kufanya yale yenye kuwaridhisha wananchi. Niseme...

View Article


After toiling, please listen to this melody and drop a comment

View Article


Kwa walevi wa muziki kama mimi tu

View Article

Mlevi kuleta FBi kupambana na bwimbwi Bongo

          Baada ya Mkoa wa Dar-Si-Salama chini ya munene wake Po Makondakonda kujitutumua kupambana na biashara ya bwimbwi, mlevi niemeamua kuwaunga mkono. Nitatumia umaarufu wangu na elimu yangu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uchokozi mwingine!

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mihadarati: Barua ya wazi kwa Kikwete

            Mheshimiwa Luteni Kanali na rais mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete, naomba nisikuite dokta kwa vile sikumbuki wewe kusomea shahada ya juu ya PhD. Najua unazo PhD za heshima ambazo kisomi, huwa...

View Article


Kijiwe Chajadili Bwimbwi

Mpemba anaingia akiwa na bashasha.  Lazima ana jambo la kutujuza lau tulidurusu na kutongoa huku tukitoa mapendekezo ya nini kifanyike kama suluhu ya tatizo liwe la kibinafsi au kitaifa.Baada ya...

View Article

Makonda akae kando kupisha uchunguzi

        Waswahili wana msemo kuwa muosha naye huosha. Pia husema kuwa ukijua huu wenzio wanajua ule. Baada ya mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam Paul Makonda kuwatuhumu wenzake kuwa walikuwa wakipokea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Siuzi bwimbwi nimeokoka

Baada ya dogo Po kuwatibuliwa wanene, wasanii na ndata kwa kuwatuhumu baadhi yao kuwa wanasepa na mibwimbwi nimesikia walevi wengine wakilalamika kuwa walishukiwa kuuza bwimbwi; na hivyo kuchafuliwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari njema

JANA rafiki yetu na kijana wetu Sirili Akko Mionntini alliuacha ukapela. Tunafurahi kuwatangazia marafiki na wasomaji wetu kuwa tumepata mwanachama mpya.Japo hatukuweza kufika Hanang kuhudhuria mnuso,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali izuie bendera madhabahuni na vyeo bandia

               Kwa walioangalia mahubiri ya Josephat Gwajima baada ya kuachiwa toka Central police station, watakubaliana nami kuwa ana bendera ya taifa na ya Israel kwenye jukwaa lake. Siku zote...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

When Azerbaijan goes Obiang and Museveni

Azerbaijan dictator Ilham Aliyev has appointed his wife his vice president. This was only heard of in Africa whereby Equatorial despot and Ugandan one, Theodoro Obiang and Yoweri Museveni respectively...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe chataka wasiojua lugha ya taifa wasipewe uongozi

            Baada ya Kijiwe kujikita kwenye kadhia ya biashara hatari na haramu ya bwimbwi, leo kinakuja na inshu moja kali na nyeti kwa kaya. Msomi ambaye hana kawaida ya kuanzisha mada, leo anavunja...

View Article
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live