Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makonda: Tume ya maadili na Magufuli wanamdanganya nani?

        Pamoja na kwamba katiba yetu inasema wazi kuwa Tanzania itaongozwa kwa misingi ya usawa; bila ubaguzi, uonevu na upendeleo, kinachoendelea kuhusiana na baadhi ya watu ni kinyume kabisa na...

View Article


When Eco-terrorism is called Tourism

In the following clip you will see how the so-called tourists are decimating African animals under the  pretext of tourism as Africans laughs. Is this tourism or terrorism? ironically, the victims are...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barua ya wazi kwa FreePerson MboHwe

            Bwana Freebinadam Salaam; na pole kwa yaliyokusibu hivi karibuni kuanzia kuhamishwa kwenye nyumba ya msajili, kubomolewa Bilcanas, na kubwa katika yote, kutuhumiwa kwa biashara ya madawa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hapa sijui nani anachanganya dini na siasa

Hakuna ubishi kuwa ndoa ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam na baadhi ya madhehebu ya dini inogile kiasi cha kutoonekana bughudha ya kuchanganya dini na siasa. Sijui nani anamtumia nani hapa na nani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania aihitaji kuombewa bali kuambiwa

         Ninapoandika kuna kundi la matapeli wa majoho wanaoandaa tamasha eti la kuombea taifa! Hivi Tanzania inahitaji kuombewa au kuambiwa ukweli mchungu hasa kupambana na vikwazo vinavyoifanya iwe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Why Have South Africans Easily Forgotten Africa's Contribution to their...

Photo for the courtesy of the Daily Nation Kenya today.

View Article

JE TANZANIA INAHITAJ MAOMBI AU KUUELEKEA UKWELI? JIBU ANALO ANONYMOUS HAPA CHINI

           Pongezi zangu nyingi sana kwako kwa kuligongomea sanduku la maiti MSUMARI WA MWISHO kuhusu hawa Matapeli wa kidini.Tukumbushe tu kihistoria kwamba tangu jamii za kiduni(Primitive society)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe chataka rahis aunde tume ya Escrew na Lingumi

                Baada ya kushuhudia sekeseke, hata kama ni kisiasa, la kupambana na bwimbwi, kuna somo tumejifunza. Tumejifunza kuwa tukiamua tunaweza. Tunaweza lolote lile ilmradi tuwe na utashi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania imefikia kupewa ardhi yake na walioiibia!

            Kampuni ya Azimio Housing Estate, iliyotuhumiwa kujihusisha na ufisadi kwenye mradi mzima wa Dege Eco Village ilitoa mpya kwa eti ilijifanya kuwa na huruma na kuwajali watanzania kwa  kutoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Neema Muita Wa-mura: Wanene wote waige moyo wa Mugful

           Japo si mara ya kwanza au ya mwisho kwa munene Joni Kanywaji Mugful kutenda wema kwa mlevi wa kipato cha chini, kitendo chake cha hivi karibuni cha kumjulia hali na kumsaidia fedha kidogo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

First lady kuwa mbunge ni demotion au promotion?

         Japo rais ana mamlaka ya kumteua amtakaye kuwa mbunge–kwa nchi ya kidemokrasia na utawala bora na kuepuka mgongano wa maslahi–hawezi kumteua mkewe au mwanae kuwa mbunge wa kuteuliwa. Sijui...

View Article

Kijiwe chastukia matapeli wa maombi

                    Baada ya kuudhiwa na makanjanja na wachunaji wanaowekeza kwenye kuombea kaya yetu wakati wakiibia, Mgoshi Machungi ameamua kuwatolea uvivu kwa kuleta mada kijiweni.            Baada...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waandishi wa habari hamjamtendea haki Janet Magufuli

                        Tangu aingie madarakani, rais John Pombe Magufuli, licha ya kujizolea sifa kemkem, amekuwa kitendawili. Leo tutazungumzia mkewe mama Janet Magufuli. Ukiachia mbali watanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 0

 Published on 8th March 2017           If there’s anything terrorists wherever they’re celebrating is nothing but the arrival of the new US president Donald Trump who recently offered them the ammos to...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barua ya wazi kwa Makondakonda and Gwajimmy

             Pamoja na ukweli kuwa mimi ni mlevi, chokambaya tena wa kunuka, wakati mwingine nashangaa kukuta kuna walevi kuliko mimi wawe wa kanywaji au maulaji kwa tajiriba zao. Hivi majuzi nilistuka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News!!!! Kimenuka CCM washikana uchawi na kufukuzana

Taarifa zilizotufikia ni kwamba Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinachokutana Dodoma kimewavua wanachama wake wakongwe tokana na kile kinachodhaniwa ni usaliti wa kumuunga mkono waziri mkuu wa zamani Edward...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali isipoteze muda kuwafunga wakosoaji

         Hukumu ya mahakama kuu huko Arusha kwenye shauri la rufaa la mbunge wa Arusha, Godbless Lema imetufungua macho na ni ya kupigiwa mfano na kupongezwa dhidi ya uingiliaji wa mamlaka ya mahakama....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe chawapa shavu CCM kuvuana magamba

          Juzi karibu kijiwe kilikuwa na mikutano na vikao visivyo rasmi. Hii ni baada ya Chata Cha Magamba (CCM) kuamua kujivua magamba angalau kwa juu juu huku mengine yakibakizwa na kupewa onyo....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahakama isijirahisi hadi kuingiliwa na kunajisiwa

            Sasa ni Dhahiri. Muhimili mmoja wa dola, mahakama, nchini si huru na salama tena. Tokana na hukumu iliyokuwa itolewa hivi karibuni kabla ya serikali, kwa kuogopa aibu na kuweka precedent,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi aadhimisha siku ya kinamama kwa kumteua mkewe

        Baada ya wana mama karibu dunia nzima kuendelea kunyonywa na mfumo dume, juzi kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake ulimwenguni, mlevi niliteua mke wangu bi mkubwa almaaruf Salama...

View Article
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live