Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi alaani wakumbafu na waropokaji

          Pamoja na kupiga tubangi na kanywaji bado mzee mzima najua mipaka yangu. Najua kuwa ninapotaka kuongea lazima kuhakikisha kuwa kichwa na mdomo vinafanya mawasiliano. Huwa nahakikisha sijambi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magufuli anapoanza kutetea uoza kabla ya kuingia ikulu

           Kusema ule ukweli, miaka kama mitatu kabla ya uchaguzi nilimwambia mwanafunzi wangu aishie Toronto kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM)  kilikuwa na mgombea mmoja wa maana na anayeuzika, Dk John...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Luwasa: Enrichment by rip off

          The other day former big Minister Eddie Luwasa who packed after implicated in Richmonduli left me in stitches. I heard telling the Twambombos of Mbeya that if he wins in the coming...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi wajitenge na siasa na upendeleo

         Hivi karibuni Jeshi la Polisi lilitoa matangazo kuonya baadhi ya wagombea kutokwenda baadhi ya maeneo. Mmojawapo aliyekumbwa na katazo hili na ambaye ameishaathirika nalo si mwingine bali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe chamkaribisha Dk Silaha

Baada ya Daktari Willy Silaha kufanya maamuzi magumu na kujivua gamba akiachana na siasa chafu za vyama, Kijiwe kina mkakati wa kumvuta ili aje kuongeza nguvu na kufichua uchafu mwingine unaofanywa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je Sumaye ataeleweka kwa anayosema?

          Kwa wanaokumbuka maneno makali ya waziri mkuu wa zamani Fredrick Sumaye aliyejiungua toka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kuelekea kilele cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanaokodisha helkopta wamepataje huo ukwasi?

          Hivi karibuni mgombea ubunge wa jimbo la Singida Kaskazini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Lazaro Nyalandu aliwaacha wengi hoi. Aliingia kwenye eneo mojawapo la jimbo lake kwa...

View Article

Msimu wa kula kuliwa na kulana

Baada ya msimu wa kutafunana, kugeuzana majuha, kuuzana, kutalikiana, kusalitiana hata kumalizana kufunguliwa, kila msanii amejiandaa na sanaa zake kuhakikisha anachuma. Hapa walevi ndiyo walengwa...

View Article


UKAWA jibuni hoja za Slaa kwa hoja

         Baada ya Katibu mkuu wa zamani wa CHADEMA Dk Wilbrod Slaa kujing’atua toka kwenye kile alichokiita siasa za vyama, wamejitokeza watu wengi kujibumapigo japo bila mafanikio.          Alianza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mgombea urais yuko wapi hapa?

Chama cha ACT-Wazalendo kina vituko. Kwenye bango hili hapa badala ya kuweka picha ya mgombea urais inawekwa picha ya kiongozi wake mkuu. Je hii ni aina ya demokrasia au uimla wa kidemokrasia au...

View Article

On Lowassa, Kinana left me in stitches here

By Abdulrahman Kinana In 2013 two British volunteer teachers, Katie Gee and Kirstie Trup – both at the time teenagers – suffered a horrific attack while in Zanzibar, part of Tanzania in East Africa,...

View Article

This is electioneering and double-dealing season

          I found myself remembering the elections of 1995 with dismay and anguish and angst. Especially remembering how boozers committed a sacrilege big time and the way policies were hopelessly and...

View Article

Lowassa, Paulo, Yuda na Umar

          Baada ya waziri mkuu wa zamani aliyeondolewa madarakani na kashfa ya Richmond, Edward Lowassa kujiondoa kwenye Chama Cha Mapinduzi (CCM) mengi yamesemwa na kuandikwa. Wapo waliomuona kama...

View Article


UDART hujuma ndani ya hujuma

         Hivi karibuni mradi wa mabasi yaendayo kasi umezinduliwa japo nyuma ya pazia bado kuna maswali mengi. Kwa wanaokumbuka sakata la kutwaliwa kinyemela na kifisadi kwa lilokuwa Shirika la Usafiri...

View Article

Kijiwe chamshauri Gwaijumaa aanzishe chama

         Baada ya mchunaji, sorry, mchungaji wa kujipachia uaskofu aitwaye Jose Gwaijumaa kuwafunika wanasiasa kwenye siasa, kijiwe kinahoji anafanya hivyo kama nani wakati kayani kwetu kuna utaratibu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

My New Book Born with Voice is out!

 Born with Voice examines the psyche and scrape of the victims of various crimes, especially sexual discrimination-cum-exploitation, rape, and the killing of people with albinism. The author digs...

View Article

Wiki hii niliburudika na muziki toka Zim kwa Da Mai Charamba

View Article


Gwajumaa: Si uunde chama cha kisiasa?

Baada ya mchunaji, sorry, mchungaji mwenye cheo cha kujipa cha askofu Jose Gwajumaa kutawala majukwaa ya siasa, Mlevi ameamua kumtolea uvivu.          Kila mchovu, mdanganyika na mbongolalalander ana...

View Article

Gwajima: mkeo akikupiga utatangaza?

          Sina haja ya kumtetea Dk Wilbrod Slaa katibu wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo. Ila maneno ya hovyo, kuudhi na yaliyovuka mipaka yaliyotolewa na anayejiita askofu Josephat...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK’s send-off dirge

It is obvious that time is up for President Jake Kiquette. I think he’s currently packing up ready to hit the road to oblivion. We indeed will miss his shows which were but a tragicomedy of some sort...

View Article
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live