Kijiwe chadili ahadi za wagombea
Baada ya baadhi ya wagombea urahis kuwa wanatoa ahadi kama njugu, kijiwe kimestuka kiasi cha kukaa kama kamati ya ukombozi kujadili janja hii. Leo Mheshimiwa Mijjinga ndiye analianzisha,...
View ArticleUsalama mitaani: Fungeni tunguli si kamera
Nilimsikia rahis Njaa Kaya akisema ana mpango wa kuhakikisha miji yote mikubwa kayani inafungwa kamera kudhibiti wizi na maafa mengine. Japo napiga mibangi na ulabu, naunga mkono wazo la...
View ArticleMatokeo ya uchaguzi yalete mabadiliko
Hakuna ubishi. Kampeni za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi Oktoba zimetawaliwa na watu na si masuala. Wagombea wanajinadi kwa sifa binafsi na si sera wanazotegemea...
View ArticleWhen parties became diapers
I recently was following what unfold in Australia where former premier Tony Abbot was unseated by Malcom Turnbull after being in power for just two years. Guess what, we attended the same...
View ArticleKumbe Rugemalira ameiweka serikali ya Kikwete mfukoni!
Makama wa rais Dk Gharib Bilal akimpa tuzo mkurugenzi wa Mabibo Spirits James Rugemalira mtuhumiw amkuu wa ufisadi wa escrow. Huu ni ushahidi kuwa kumbe jamaa bado anao ubavu wa kupewa tuzo kwa...
View ArticleKipindupindu na wagombea urahis
Baada ya kuona kampeni zikiendelea huku kila mgombea akija na sanaa zake za kuwaahidi wachovu neema wakati mwisho wa siku ni maafa, Kijiwe kimejitoa kimasomaso kuwataka waongelee gonjwa hili la...
View ArticleKamanda Nkuzi alivyosherehekea Birthday yake
Kamanda wetu Nkuzi alitimiza miaka mitano sambamba na kuanza vidudu huku mdogo wake kama Nkwazi Jr akitimiza miaka mitatu wakati dada yao Mkubwa Nthethe alianza chuo kikuu mwezi huo huo. Tulisheherekea...
View ArticleMlevi ampiga shule Fest Leidi
Baada ya Anna Tamaa Makapu na Salimia Kiquette kuugeuza ufesti leidi biashara, Mlevi ameamua kutoa nasaha kwa festi leidi ajaye. Kwanza ngoja nitoe utabiri wa kweli. Festi leidi ajaye atakuwa mwanamke....
View ArticleNitakavyomkumbuka Kikwete
Bila shaka –bbaada ya kumaliza kuaga ndani na nje –rais Jakaya Kikwete atakuwaanafunga virago kuondoka Magogoni; tayari kujiunga na wastaafu. Hata hivyo, kwa muda aliokaa madarakani...
View ArticleKijiwe chatuma wajumbe Bondeni kupinga ufisadi
Baada ya wachovu wa Bondeni kwa mzee Madiba kulianzisha, Kijiwe kimeamua kuwaunga mkono kwa kuwateua Msomi Mkatatamaa, Mgosi Machungi na Mijjinga kwenda kuwapa tafu.Kabla ya kufikia uamuzi...
View ArticleAs we celebrate Mtikila
It is doubtlessly a great loss. We grieve and weep for the the loss of the person –Rev Christopher Mtikila – an amiable man who kept political dialogue in the hunk always alive....
View ArticleRais ajaye aepuke yafuatayo
Si kawaida kwa mgombea wa chama kulaumu chama chake au serikali yake hasa pale kinapokuwa chama tawala. Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi, Dk John Magufuli na katibu mkuu wa CCM Abdulrahaman...
View ArticleKijiwe chamuomboleza Mtikila
Baada ya kutokea kifo cha ghafla cha Chris Mtikila, Kijiwe kilikaa kama kamati kumkumbuka gwiji huyu wa ukombozi pamoja na utata wake. Kijiwe kilihuzunishwa na kifo cha Mtikila hata kama...
View ArticleSouth African withdraw from ICC misguided
When the South African ruling party, the National African Congress (ANC) came up the drive to see South Africa withdrawing from the International Criminal Court (ICC) many were dismayed, saddened and...
View ArticleWasanii ni wakereketwa au njaa na upogo?
Kampeni za uchaguzi mkuu zinazoendelea zimefichua uoza mkubwa sana hasa kuhusiana na tasnia ya sanaa hasa za maigizo. Japo ni haki ya wanasanaa kuchagua ni wapi pa kuuza huduma yao, kufanya hivyo...
View ArticleKijiwe chahoji wanene kudedia ugabacholini
Baada ya kuwazidi kuzoeleka taarifa za kuhuzunisha ambacho wanene wetu wanadedia kwenye hospitali ya Apollo huko Ugabacholini, Kijiwe kimeamua kujitoa kimasomaso na kuhoji deal hili ambapo wanene sana...
View Article