Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3175 articles
Browse latest View live

Je kampeni umeuona mtego uliomo?

          Japo tunaambiwa kuwa muda maalumu kisheria wa kuanza kampeni za uchaguzi mkuu ujao hazijaanza, sidhani kama hili ni kwa wote. Hivi karibuni, mgombea wa upinzani, Edward Lowassa ameonekana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

How do you find this mutualism

Photo for the courtesy of Daily Nation

View Article


Mlevi ambeep Luwasa

Bwana Eddie Ngonyani Luwasa,Kwanza, nakusalimu. CCM hoyee sorry, CHANDIMU, sorry, UKAUA hoyeee! Kaka, usidhani nakusanifu au kukuchulia. Unajua mtu akivaa magamba, sorry, magwanda mengi anachanganya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kujiondoa CCM Sumaye mwanzo wa mwisho?

Taarifa tulizo nazo ni kamba waziri mkuu mwingine wa zamani Fredrick Sumaye amefanya maamuzi magumu na kujivua gamba. Kwa mujibu wa vyombo vya habari, Sumaye kujiondoa CCM si fununu wala uvumi tena....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dk Bilal hana sababu kujitoa CCM

              Kuna uvumi uliokuwa umezagaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa makamu wa rais Dk Gharib Bilal angejitoa kwenye Chama Cha Mapinduzi (CCM). Baada ya uvumi huu kuzagaa, ofisi ya Makamu wa Rais...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinamna: Resign or shut up

          Abdul-joyman Kinamna Gen. Sec of Chama Cha Mizengwe (CCM) is a very cagey character. Whenever he opens his mouth to speak, he does so perilously to his reputation and that of his outfit. On...

View Article

Mjue mke na mama wa rais aliyegeuka mwanamuziki

Patience Dabany ni mama wa rais wa sasa wa Gabaon Ally Omar Albert Bongo Ondimba na mke wa rais Omar Bongo Ondimba. Alikuwa first lady kwa takribani miaka 30 kabla ya kuachika na kujiingiza kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mchwa Kipanya na Wagombea Ulaji

View Article


Kijiwe chastukia janja ya CcM

         Baada ya msimu mwingine wa kusia uongo na kuingizana mkenge kuanza, tunaanza kusikia mambo ya ajabu ajabu. Ajabu ya maajabu ni kwamba wanaoyasema haya wanawageuza wachovu hamnazo au wasio na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Migrants: Europe Needs to Go Back to History

Many desperate people from Africa, Asia and Middle East are now making perilous journeys in thousands in their attempts to reach Europe seeking green pastures. They are risking everything to cross the...

View Article

Je ni mwanzo wa mwisho wa CCM?

          Si uvumi tena. Waziri mkuu wa zamani Fredrick Sumaye ametua kwenye upinzani akimfuatia waziri mwingine wa zamani Edward Lowassa. Haijawahi kutokea kwenye nchi yoyote duniani!  Sasa Sumaye...

View Article

Leo mlevi anachonga na CcM

          Wiki jana tulichonga na muishiwa, sorry, mhishimwa Eddie Luwasa baada ya kutupiga changa la macho kuwa angewajaza mafweza wachovu hadi wajihisi wako Uswizi. Punde si punde, si Chama cha...

View Article

Je ahadi za CCM zinauzika?

Uchaguzi mkuu uko mlangoni kwa sasa. Wanasiasa na vyama vya siasa nchini wamo tena uwanjani wakijinadi kwa mbinu hizi na zile. Wapo wanaotumia–au tuseme–wanaokuja na mapya wakati wengine wakija na...

View Article


Is it the beginning of the end of CCM?

          It is official now that former Big Minister Freddie Sumaye has taken hard decision. Sumaye is now out of the fold and Chama Cha Maulaji (CCM) once again is caught off guard.  Will Sumaye’s...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kwanini Mkapa anakataa kukua?

           Matusi yaliyoporomoshwa na rais mstaafu mwenye kashfa ya kujitwalia Mgodi wa Makaa ya Mawe wa Kiwira Benjamin Mkapa hivi karibuni kwenye kufungua kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

View Article


Ndata waunde chama au wajiunge Ccm

         Kumeanza kutokea uhuni kuelekea uchakachuaji kiasi cha kuwaudhi wanankijiwe ambao bila kificho wameudhika na wanalaani upuuzi huu wa mingurumbili iliyoapa kulinda wachovu wote kuwabagua huku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je Sumaye ataeleweka kwa anayosema?

          Kwa wanaokumbuka maneno makali ya waziri mkuu wa zamani Fredrick Sumaye aliyejiungua toka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kuelekea kilele cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais aswekwa lupango

Rais wa zamani wa Guatemala, Otto Perez Molina amesweka rumande akikabiliwa na tuhuma za kupokea rushwa toka kwa wafanyabiashara ili wakwepe kodi. Baada ya kukumbwa na vuguvugu la umma la kumtaka...

View Article

Je wapiga kura wanakumbushwa haya?

View Article

Kila mwenye akili na mapenzi na nchi yetu asome makala hii

MtikisikoALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbrod Slaa, amevunja ukimya kwa kueleza kile kilichomsukuma kujiuzulu wadhifa huo, sambamba na kujivua uanachama wa...

View Article
Browsing all 3175 articles
Browse latest View live