Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinamna: Resign or shut up

          Abdul-joyman Kinamna Gen. Sec of Chama Cha Mizengwe (CCM) is a very cagey character. Whenever he opens his mouth to speak, he does so perilously to his reputation and that of his outfit. On...

View Article


Kingunge anaibeep CCM au kuitisha?

 Hivi karibuni aliyekuwa mpambe mkuu wa mtia nia ya urais aliyebwagwa hivi karibuni waziri mkuu aliyeachia ngazi kwa kashfa ya Richmond, Edward Lowassa, mzee Kingunge Ngombale Mwiru alitoa mpya....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa ni jembe au janga kwa UKAWA?

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe kumfuata mkuu ugenini kumuaga

          Baada ya kungoja muda mrefu mkuu aje kukiaga bila mafanikio, Kijiwe kimekuja na ubunifu mwingine. Kwa vile jamaa amenogewa kwenda kutanua ughaibuni kwa kisingizio cha kuaga wageni utadhani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je siasa za uchumiatumbo zitafanikiwa

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi kumfuata mkuu ughaibuni kumuaga

Baada ya kuona Munene amekuja na staili mpya ya kuaga kwa kwenda ughaibuni kiasi cha walevi kungoja waagwe wasiagwe, wamemtuma Mlevi amzamie huko huko ughaibuni mkuu ili amuage. Lazima nimzamie na...

View Article

Rais ajaye ajifunze kwa Kikwete

     Japo si rahisi kutabiri nani ataibuka mshindi kwenye uchaguzi ujao na kuwa rais wa Tanzania atakayechukua ukanda baada ya miaka kumi ya hasara ya rais Jakaya Kikwete, kilicho wazi ni kwamba hapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Who’s using whom in UKAUA shotgun marriage?

He kept them guessing. He kept other wishing. Others were huntingHe himself was scheming. At last, there came breaking newsLuwasha had made a hard decision. Will this marriage live long? Who’s using...

View Article


Kijiwe chajitoa UKAUA

          Japo tulifanya siri, kwa taarifa yenu, Kijiwe kilikuwa ni mmojawapo wa wanachama wa Umoja wa Kaya wa Ukombozi Azimifu (UKAUA). Sasa baada ya wakubwa wake kuonyesha walivyo hovyo na ajabu kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

How many will titanic sink with?

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi atoka UKAUA na kuanzisha UKOME

Baada ya siasa za kuuzana na kununuana kuchukua sura Bongolalaland–ambapo ngurumbili wachafu wanasafishana ili kupata ulaji–Mlevi nimestukia dili zima. Japo sikuwa nimeitaarifu dunia kuwa nilikuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Boozer predicts: Many political nuptials will hit the rock

         I don’t want to mince words. I’m saying it loudly and boldly that many political marriages will hit the rock soon, especially, after Eddie Luwasa invaded the opposition. Believe ye me. The...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa angejisaidia na kuusaidia upinzani kama

Kwa hali ilivyo ni kwamba waziri mkuu wa zamani aliyeondoka madarakani kwa kashfa ya Richmond, Edward Lowassa amepania kupata anachotaka, urais. Baada ya kuenguliwa kwenye mchakato waChama Cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndoa ya Lowassa na UKAWA, urais, taifa na maslahi binafsi

 Baada ya waziri mkuu aliyeachia ngazi tokana na kashfa ya Richmond, Edward Lowassa kuhamia rasmi kwenye upinzani, bado amezidi kuongeza utata juu ya utata. Wapo wanaoona kama Lowassa amefanya maamuzi...

View Article

The day Obama barbecued African dictators

If you listen to this speech by President Barack Obama, you'll wonder if our dictators have brains, and if they do, how they use them. Obama hit the nail on the head by challenging African long-time...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe chamkaribisha Prof Pumba

 Baada ya kushuhudia Tsunami kwenye kambi ya upingaji magwiji kupukutishwa kama wadudu, Kijiwe kimeamua kuwapa tafu lau wakapoze machovu na kutumiwa kwa muda mrefu wasijue.          Mpemba anaingia na...

View Article

Walevi kumuaga Njaa Kaya kisanii

          Baada ya wasanii wenzake kuwezesha na chama chake kuandaa sherehe za kumuaga msanii mkuu, na walevi wamepanga kufanya hivyo japo jamaa hakuwa mlevi mwenzao na alipandisha bei ya kanywaji. Kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kujiuzulu Lipumba bado ni kitendawili

          Kila mpenda mageuzi na haki angetamani Chama Cha Mapinduzi (CCM) kishindwe kwenye uchaguzi ujao au hata kikishinda siyo kwa kishindo kama kilivyiozea. Baada ya waziri mkuu wa zamani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe chashangaa madaktari wa ndondi

         Baada ya daktari mmoja mwenye kutia shaka alivyopata udaktari wake kutembeza masumbwi baada ya kubwagwa kwenye kura za kusaka ulaji, kijiwe kimekaa kumdurusu na kutoa mapendekezo yake. Kijiwe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Obama’s Africa Tour: A Reflection

Although it is almost a month since US president Barack Obama toured Africa to attend the Global Entrepreneurship Summit in Nairobi Kenya, his remarks are still reverberating in all countries...

View Article
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live