Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3175 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bob Mugabe@ 90 and Nyerere legacy

           Zimbabwe’s long serving and first president Robert Mugabe aka Jongwe (cockerel) celebrated his 90th Birthday last week. For a country where life span is almost a half of Mugabe’s age, to...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ukweli usiopingika

Je Katuni hii inaweza kuvumbua aina nyingine ya majangili ukiachia wale wa maofisini na maajenti wao mbugani? Je katika wale 40 anaowajua na kuwachunia rais Jakaya Kikwete na huyu yumo? Maswali ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hii kali: Papa anapokutana na samaki!

Huyu mtemi wa Roma mkali kweli. Anajua kujichanganya hakuna mfano. Ametokea kuzoea ujiko ndani ya muda mfupi kiasi cha kuwapiku wengi waliomtangulia. Je huyu dogo naye akikua atakuwa mtemi wa Vaticana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kenyan'll always laugh at us with our Vasco da Gama Kikwete

Looking at president Uhuru Kenyatta's itinerary, for the first time, I wish he're the president of my country. I don't know if what he did not to globe-trot comes from personal conviction or systemic...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ijue sare ya Jeshi la Mafisadi Tanzania(JMT)

BAADA ya tapeli a kisiasa Mwigulu Nchemba kufanikiwa kuwarubuni vigogo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa ni mkereketwa wakati ni mganga njaa aliyeshindwa kitaaluma, ametengeneza utambuliko wake maalum...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bunge au buge la Katiba na kuiba pesa ya umma?

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Deni la Sh. 900 lihapolipwa kwa kutoa mke

Patrick Andabwa 31, na Jones Kevogo 40 aliyepewa kama malipo ya deni lake la shs. 900 za Kenya.Kwa mujibu wa gazeti la kila siku la Kiingereza la Kenya la Daily Nation au Taifa la Machi 1, jamaa mmoja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hatimaye Zitto atoka kabatini kuonyesha ndoa yake na CCM

Hayawi hayawi huwa! Lisemwalo lipo kama halipo laja. Zitto Kabwe aliyekuwa Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA ameanza kuonyesha sura yake halisi akidhihirisha kile alichotuhumiwa kutaka kukifanya, kusaliti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi azimia Kawa-dog’s Failure Formulae

     Nivwa izwyi lako lino likunjitaKuti nkasambe mu umwanzi wakwe Mfumu Ndikwiza mpfumuNiza                         Nkwiza kwe weweNkwiza nswevya umwazi uno wanswizile x2Nasikia sauti yako ikiniita...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hatimaye Ridhiwan aonyesha uchu wake na utawala wa kifalme

Taarifa tulizo nazo ni kwamba mwana wa mfalme wa Danganyika, Ridhiwan Kikwete "alishinda" kura za maoni katika chama cha baba yake Mfalme. Matokeo ya mnyukano wa kugombea nafasi ya atakayepeperusha...

View Article

Kijiwe chstukia EPA mpya

SIKU hizi kijiwe kimegeuka FBI ya kaya. Kila inapotokea skandali lazima mmoja wetu awepo. Leo ni zamu ya Mijjinga al maarufu Shed. Anaingia akiwa na makabrasha yake huku akiwa ameniga bonge la tai....

View Article

Mgimwa hauziki, Kalenga si wapumbavu

JAPO anafahamika kwa uhovyo wake, Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Waziri Mdogo wa Fedha, Mwigulu Nchemba, ameonyesha ukweli wa uhovyo wake wakati akihutubia mkutano wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Saadi Gaddafi arejeshwa Libya

Mtoto wa kiume wa imla wa zamani wa Libya, Saadi Gaddafi alirejeshwa juzi nchini kwao kupambana na mkondo wa sheria baada ya serikali ya kifamilia ya baba yake kuangushwa mwaka 2011. Gaddafi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mjue nshomile mwizi anayeita dola milioni 75 pesa ya ugoro.

Kwa wasiojua ujambazi wa wa IPTL ambao Tanzania imefanyiwa tangu mwaka 1995, nyuma yake kuna nshomile mmoja aitwaye James Rugemalira mmilki wa Mabibo Breweries. Mwizi huyu alitoa mpya juzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAN FIRST LADIES FROM STATE HOUSE TRADING

I recently heard Jukwaa la Katiba guys registering their discomfiture with regards the fashionable tendency by first ladies to form NGOs whenever their husbands become presidents.If anything, I have...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkipitisha mafisadi najinyonga

Niliposikia majina ya wanaotaka kugombea urahisi kupitia genge fulani nilishikwa na tumbo la kuendesha. Si kwa woga bali hasira. Hebu fikiria, mfano, unakurupuka usingizini na kuambiwa kuwa genge,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tutapata Katiba Mpya au Kanuni Mpya?

Kwa hali ilivyo ni kwamba wateule wetu waliko Dodoma wakigombea udohoudoho hawakutuangusha tu bali wametutia aibu. Kila siku wanazusha upuuzi huu na ule bila kujali maslahi ya mamilioni wanaowaangalia....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Is it mortgage, mirage or mintage?

  The other day I saw an advert on one of the so-called famous blog in the hunk. It was about affordable houses that turned out to be  untouchable. I hurriedly called my memsahib to tell her that at...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ridhiwani anataka kumdanganya nani?

Mwana wa rais Jakaya Kikwete, Ridhiwani aliyepitishwa na chama cha baba yake kugombea ubunge katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Chalinze ametoa mpya kuwa akienda bungeni atawafundisha wabunge kuweka...

View Article

Kijiwe chapendekeza kaya iwe ya kifalme

BAADA ya kushuhudia wanene wakishindana kurithisha vitegemezi vyao maulaji, Kijiwe kimekuja na pendekezo moja la kuwasaidia wasionekane wanafiki na waongo. Kinapendekeza tubadili Katiba na kutangaza...

View Article
Browsing all 3175 articles
Browse latest View live