Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

If I were Kinamna or Mape

          True, you can take this to the bank. My crystal ball tells me that Chama Cha Maulaji’s (CCM) Sec. Gen., Abdulaman Kinamna and the head of ideology and hooey, Mapape Ninaye are now a...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe chastukia CV ya waziri wa njuluku

BAADA ya msanii, sorry, mkuu kufanya vitu vyake, kijiwe nacho kinakuja kufanya vitu vyake. Haikuwa kwenye ajenda ya kijiwe kama si Mpemba kuibua kitu ambacho wengi hawakuwa wamekiona. Mpemba anaingia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nenda IGP Mwema na mikono iliyojaa damu

INSPEKTA Jenerali wa zamani wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Said Mwema, amestaafu. Ameacha kiti kinachobubujika damu ya wanyonge. Ameondoka na mikono iliyojaa damu ya wasio na hatia. Wasio na haki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kibonzo hiki kimenikumbusha ajali niliyopata

Miaka kama mitatu iliyopita nilinusurika ajali ambayo ilifanana kidogo na hii. Hivyo kibonzo hiki kimenirudisha nyuma miaka mitatu kiasi cha kunikumbusha kuwa nimshukuru Mungu zaidi kwa kunipa salio...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Urais: Tuwakatae watoto wa vigogo

           Taarifa ambazo hazijakanushwa naibu waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, January Yusuf Makamba anajipigia debe kugombea urais haziwezi kupita bila kujdaliwa. Taarifa zilizokaririwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkuya’s and Malima’s CVs smell fishy

 Reading the Curricula Vitae for the newly appointed minister of Dosh, Saadia Mkuya Salimu and her deputy Adam Milima boozers smelt something fishy. I could see how they snooked after reading these...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hii ya Masoud kwa Mkuya nimeipenda

Chanzo: Mwananchi Jan., 31, 2014.Source: The Guardian IPP Jan., 31, 2014.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

This is why I adore Danganyikans and boozers

When the good govt that doesn't pay its energy bills hiked power at the tune of 40%, I wrong thought that there’d be some sparks either from the boozers or power generators. Nay! Nothing did happen. I...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kweli Jogoo alifundisha vifaranga “kupuu” ndani!

Baada ya kichwa ngumu mkulu mwenyewe kuwashiti akinakiherehere Andalaman Kinamna na Mape Mapepe Ninaye waliowaita wateule wake mizigo, ametoa mpya.  Si amerejesha mizigo na migushi hasa pale...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Iwe Rwiyemaaamu unafwikiri tutaacha kujadili mizigo?

BAADA ya juzi kujadili CV ya Saaada Mkuuuya Saalimu, kijiwe kilipata salamu toka kwa mtu wake wa karibu akiomba tumhifadhi. Nasi tuliwatuma wamwambie kuwa kazi yetu si nepi wala gagulo kumhifadhi mtu....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 0

YAMEISHAANDIKWA mengi kuhusiana na hatima ya kisiasa ya aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), Zitto Kabwe. Kitu kimoja tu hakijaandikwa. Nacho ni kuandika tanzia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

THE POWER OF BEDROOMS IN POLITICS

Remember Professor Laurent Gbagbo former president of Ivory Coast currently caged in The Hague?  What of his wife Dr. Simone Ehivet Gbagbo?  The Gbagbos painted a grim picture as far as African elites...

View Article

Mlevi aonya walevi wa politiki

Baada ya mlevi kushuhudia na hata kusikia walevi wa politiki wakivuana nguo hadharani, ameamua kutoa somo ili kuonyesha tofauti kati ya walevi wa kanywaji na walevi wa politiki. Ninafanya hivi kuepuka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huyu soja vipi jamanini?

Kuna utendaji, uwajibikaji na uadilifu hapa? Kweli kuna usoja mle au kiriba tumbo na magonjwa ya kila aina kuanzia ya kitabia hata ya kibaolojia. Je nchi zenye masoja kama hawa zimo kwenye hatari kubwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Robin Hood vs Hooded Robbers

Legendary English archer-cum-swordsman, Robin Hood and his merry men stole the show in Nottinghamshire before getting global notoriety. No literature tells exactly when Hood or Hudgin in Germany was...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkiti wa CCM kizimbani kwa kuuza dawa feki

Mkurugenzi wa mashtaka Jinai (DPP) ameamuru mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa mkoa wa Dar Es Salaam, Ramadhani Madabida (Pichani) wa kwanza kushoto kufunguliwa mashtaka matano mojawapo likiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe chafaidi mipasho ya CcM

BAADA ya kulishughulikia li-Rweyependekezamu, tulisikia eti lililalamika na kulaani sana likitishia eti kumuona Mkamiawaandishi wahujumu gazeti. Hilo limeishiwa tu. Baada ya Chama cha Mipasho (CcM)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 0

HAKUNA ubishi. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeingiliwa au tuseme kuvamiwa na kansa mbaya.Hakuna kitu kinakitafuna chama hiki kama mdudu wa kupenda madaraka huku wanaoyatafuta wakiwatumia makada wa chama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Swali la leo: Iweje Faru na Tembo wauawe Bongo kampeni London?

Pesa ya wizi, ufisadi, rushwa, unga na ujangili wanaficha London.Safari za kikazi wanafanya London.Kampeni ya uzazi wa mpango London.Mikutano ya uwazi London'Kampeni ya kuangamiza ujangili London.Je ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Cashgate: Joyce Banda crusader or pretender?

          Malawi’s cashgate is all over the place in the media. Cashegate is amega theft of public funds involving millions of dollars ranging from $ 100 to 250 million.  Malawi’s president Joyce...

View Article
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live