Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe chakumbushia uchunguzi wa uvamizi wa Klouds

           Baada ya kuona maigizo yakizidi kuibuka hapa na pale na kila siku, kijiwe kimeona kijipe jukumu ambalo wengi wanaonekana kuliogopa yaani kukumbushia wenye madaraka juu ya jinai ya kuvamia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barua ya wazi kwa Halima Mdee

          Mheshimiwa Halima Mdee,            Kwanza, pole kwa mazonge yanayokukuta mara mara kwa kutokubali kuwekwa sawa au kuwa ndiyo mzee. Kwa tunaojua thamani na haki ya uhuru wa mawazo, tunakuona...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Is DART transformative or transgressive?

             When I read in the Daily Nation (July 7, 20017) that Dar Es Salaam Rapid Transport (DART) aka UDART won an international award, I was really shocked. The paper said that won a global award...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kati ya wapinzani na Mkapa nani mpumbavu?

Rais anayetuhumiwa kuiuza na kuihujumu Tanzania Benjamin Mkapa amerejea kwenye ulingo wa siasa kwa tabia ile ile ya kizamani. Akijikomba kwa rais John Magufuli mkoani Geita aliwaita wanaompinga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barua ya wazi kwa wanufaika wa Escrew

            Baada ya juzi kumshuhudia mnufaika mmoja wa mamilioni na mabilioni ya Escrew, ile kashfa ambapo baadhi ya matapeli wa ndani na nje na baadhi ya wanene kwenye lisirikali walipiga njuluku za...

View Article


Uwajibikaji: Heri Mkapa angejinyamazia

Akiwa mkoani Geita, rais mstaafu Benjamin Mkapa alisikika akitoa somo la maendeleo na uwajibikaji. Alikaririwa akisema “kila siku utawasikia watu wanadai haki, makongamano, midahalo ya kudai haki,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkapa: Better keep your mouth shut

            Ben Mkapa, former president notorious for engineering toxic investment, is at it again.  Mkapa abhorrently pontificated that President John Magufuli’s critics are fools. For him, nobody is...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je ni kipi kimemsibu rais Kabila hadi akavimba jicho?

Hivi karibuni picha ya rais Joseph Kabila wa DRC ilisambaa kwenye mitandao akiwa amevimba jicho baada ya kuumizwa vibaya. Je aliumizwa na nini? Wengi wangependa kujua kilichomvibisha jicho rais Kabila...

View Article


Kijiwe kwenda Ukonga kuwasalimia akina Escrew

         Leo Mgoshi Machungi amekuja na mpya. Si alikishangaza kijiwe aliposema kuwa alikwenda Keko kumuona Mgoshi Semtwashua na kuambiwa kuwa wale watuhumiwa wa Escrew wanaishi kwenye vyumba vya VIP...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baada ya Escrow Lugumi na UDA nao watumbuliwe

                        Hivi karibuni rais John Magufuli aliwafurahisha watanzania kiasi cha kuwaaminisha kuwa ufisadi hauna nafasi katika nchi yetu. Ni baada ya kuchukua hatua za makusudi na za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Leo Tumetimiza miaka 19 ya Ndoa

Kwa ndugu jamaa na marafiki, leo mimi na mke wangu Nesaa tumetimiza miaka 19 tangu tufunge ndoa. Katika kusherehekea siku hii  muhimu kwetu, pia huwa tunakumbuka kuwa ni siku ya kuzaliwa kwa shujaa...

View Article

IPTL is not a grave – it’s a massive graveyard

Currently, I hear jubilations everywhere as the Tanzanians sing praise of their political newbie hero, President John Pombe Magufuli; for pluckily hoofing it where most of his predecessors feared to....

View Article

Wanaopinga si wapumbavu bali wasiotaka kupingwa

Juzi walevi tulipigwa na butwaa. Si baada ya muishiwa mlevi mkubwa wa ulaji kupayuka kuwa sisi tunaopinga–mambo yanapokwenda ndiyo siyo–eti ni wapumbavu! Kama siyo kukaza roho, huenda hali ingekuwa...

View Article


Kwa Weekend faidi hii kitu

View Article

Je ni kweli Magufuli anapanga kuiba kura Kenya?

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magufuli atafanikiwa kutumikia mabwana wawili?

           Akiwa ziarani mkoani Geita rais John Magufuli alisikika akilalamika na kuwataarifu wananchi namna baadhi viongozi wa ngazi za juu waliomtangulia walivyokuwa wameiuza Tanzania kwa kuwekewa...

View Article

Wiki hii namkumbuka shujaa wangu Mahlathini

Sinon "Mahlathini" Nkabinde wiki hii anatimiza miaka 18 tangu atutokea kiroho ingawa kimwili daima atakuwa nasi kama si kupitia kwenye imani basi kwenye kazi yake. Tokana na kuwa mpenzi na shabiki...

View Article


Kijiwe kwenda Ukonga kuwasalimia akina Escrew

          Leo Mgoshi Machungi amekuja na mpya. Si alikishangaza kijiwe aliposema kuwa alikwenda Keko kumuona Mgoshi Semtwashua na kuambiwa kuwa wale watuhumiwa wa Escrew wanaishi kwenye vyumba vya VIP...

View Article

Baada ya Escrow Lugumi na UDA nao watumbuliwe

                        Hivi karibuni rais John Magufuli aliwafurahisha watanzania kiasi cha kuwaaminisha kuwa ufisadi hauna nafasi katika nchi yetu. Ni baada ya kuchukua hatua za makusudi na za...

View Article

Time for our neighbours to right their past mistakes

Those who nicely and actually remember how Kenya strangely and awkwardly sank into what is now famously known as Post-Election Violence (PEV) bloodbath resulting from the allegedly rigged elections...

View Article
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live