Quantcast
Channel: Free Thinking
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3173

Je ni kipi kimemsibu rais Kabila hadi akavimba jicho?

$
0
0
Hivi karibuni picha ya rais Joseph Kabila wa DRC ilisambaa kwenye mitandao akiwa amevimba jicho baada ya kuumizwa vibaya. Je aliumizwa na nini? Wengi wangependa kujua kilichomvibisha jicho rais Kabila kiasi hiki. Kila alikuwa na lake kiasi cha kuzua mtafaruko. Fuatilieni mjue kilichomsibu king'ang'anizi huyu aliyerithi urais baada ya baba yake kuuawa kwa kupigwa risasi.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 3173