Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3175 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Farewell Robert Mugabe!

For over a month, I have been grappling with this awkward idea. I even told my wife; and she said there must be something. I must admit. I don’t hate Robert Mugabe. However, my crystal ball tells me...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kafulila, Magufuli,Tumbili na We-rema

        Kwa wanaokumbuka namna kashfa ya Escrow ilivyoibuliwa na wanahabari waliopasisha nyaraka kwa mbunge wa zamani wa Kigoma Kusini Davy Kafulila, watakumbuka misukosuko iliyompata dogo huyu. Guess...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kwanini Hamad na Lipumba wamejivika kitanzi?

             Bila shaka wapenda demokrasia na mabadiliko nchini watakuwa wanasononeshwa, kushangazwa hata kuchoshwa na mgogoro usio na tija kwa taifa kwenye Chama Cha Wananchi (CUF) ambapo mwenyekiti...

View Article

Waswahili Wasiojua Mateso na Umaskini wa Magabacholi Watazame Video Ifuatayo

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kanji ageuka Tunduni Liisu wa Kijiwe

            Baada ya rais John Kanywaji kumtia kashkash rais Tunduni Liisu wa Kaya Legal Society, kijiwe kimejikuta kikivutwa kwenye kimbembe hiki kisicho na faida kwa kaya bali kuendelea kuzorotesha...

View Article


Barua ya wazi kwa rais Magufuli

            Mheshimiwa rais John Pombe Magufuli,Salamu sana na pongezi kwa kazi pevu yakusafisha nchi unayoifanya kiasi cha kuiletea Tanzania sifa kila uchao. Ama kweli nchi yetu, licha ya kugeuzwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Costs of Hamad, Lipumba’s feud go beyond their party

           As the fate would have it, it seems; the Chairman of the Civic United Front (CUF) Professor Ibrahim Lipumba and his Secretary General Seif Sharriff Hamad are hell-bent to kill it; and...

View Article

Is Gwajima ultra posh plane for the kingdom of God or for the netherworld of...

Matthew 19: 23-24Then Jesus said to His disciples, “Truly I tell you, it is difficult for a rich man to enter the kingdom of heaven. Again, I tell you, it is easier for a camel to pass through the eye...

View Article


Mlevi kurejea kuingiza bwimbwi kayani

             Baada ya kuisha kwa kashfa ya Bashite na masuala ya kughushi, kuzikwa na mambo kutulia, mlevi napanga kuendelea na kuingiza bwimbwi kayani. Nilisitisha kidogo siku zile nikawa nauza shisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magufuli ajifunze toka kwa Nkrumah na Nyerere

           Hakuna ubishi kuwa rais John Magufuli anakubalika si Tanzania tu bali duniani kote. Hii ni kutokana na jitihada zake za kupambana na maovu hasa ufisadi na matumizi mabaya ya fedha na...

View Article

An open letter to all Kenyans on this day

            Dear brothers and sisters, Kenyans, I am wholeheartedly writing this open letter to you with high hopes that you will not let yourselves down on you general elections today. So, too, you...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe chashangaa akina Chauda kumilki kaya

                       Baada ya dingi kuwaijia juu wachukuaji waitwao wawekezaji waliohodhi ardhi ya kaya, kijiwe kimekaa kama kamati kudurusu hali hii.            Mgoshi Machungi ambaye amerejea toka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magufuli hana haja ya kulalamikia “mawaziri wapumbavu”

            Hivi karibuni akiwa mkoani Tanga, rais John Magufuli alilalamika kuwapo mawaziriwapumbavu kwenye baraza lake la mawaziri.  Alikaririrwa na vyombo vya habari akisema “ Mawaziri wengine ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Accountability: Africa’s lesson from Pakistan

            When Pakistan is mentioned many think about exporting illegal immigrants to Africa, terrorism, negative ethnicity, radicalism and Abbottabad where the former renegade head of Al Qaeda, an...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

What a Couple!

Despite using a wheelchair, the husband above, Sean Stephenson is not disabled as many would think. Here, he is seen with his wife Mindie Kniss when they tied a knot in 2012. Guess what. Stephenson is...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magukonda vs the media

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi apanga kuanzisha chuo kikuu MUST

Pichani ni Smuel Chitalilo (Bingwa wa kughushi), Victor Mwambalaswa, Emanuel Nchimbi, Raphael Chegeni,Makongoro Mahanga,Mary Nagu, William Lukuvi, Diodurus Kamala na Paul Makonda.           Baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mafunzo toka uchaguzi uliopita wa Kenya

         Uchaguzi mkuu ulioisha nchini Kenya umeacha mafunzo mengi kwa Kenya na Afrika kuhusiana na demokrasia, haki, uwazi na ukweli katika uchaguzi. Katika makala hii, tutadurusu baadhi ya mafunzo na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe tokea Nairoberry

            Baada ya baadhi ya wanakijiwe kutia timu kwa siri Nairoberry maeneo ya Ngara, Muindi Mbingu, Kawangware, Kanunganga, Uthiru, Mukuru kwa Njenga na vijiwe vingine, walipokwenda kusimamia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Misaada ya Bill Gates: Ushauri kwa Magufuli

            Kwa wanaofuatilia kiasi cha misaada iliyokwishakutolewa na tajiri mkubwa kuliko wote ulimwenguni, Bill Henry Gates III, watakubaliana nami kuwa anaipenda Tanzania kupita kiasi. Kwani hivi...

View Article
Browsing all 3175 articles
Browse latest View live