Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lessons and reflections on past Kenya’s elections

          The just ended general elections in Kenya left many pivotal lessons for democracy in Kenya and Africa in general. This piece analyses a few of glitches and lessons from the said elections....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bill Gates is not only the richest person but also the humblest

 Although Bill Henry Gates III, along with his wife Melinda,  is universally famously known for being the richest man in the planet, he has many accolades. He is the most giving out person whose...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Glimpse on my coming book on terrorism committed by both side terrorist...

I am delighted to present my readership the face of my coming book. It is published by Hamilton Books MD, USA.Format Hardback | 264 pagesDimensions 152 x 229mm Publication date27 Oct 2017Publisher...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi ataka ashirikishwe mazungumzo ya makinikia

            Siku zinazidi kuyoyoma; bila walevi kujua kinachoendelea kwenye mazungumzo ya kubana watasha watupe uchache wetu wa makanikia tokana na kukosekana kwa umakini kwa watawala waliopita kiasi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kunyonyesha hadharani si aibu wala kosa; ni haki ya mtoto na mama

Katika nchi za kimagharibi kunyonyesha mtoto hadharani ni kosa tena aibu inayopaswa kukemea. Hata hivyo, hali ni tofauti katika tamaduni za Kiafrika. Mama wa Kiafrika hujisikia fahari kumnyonyesha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je TEF imemgwaya rais kumsamehe mtu wake?

           Hivi karibuni, jukwaa la wahariri (TEF) lilitoa mpya pale lilipoitangazia dunia kuwa liliamua kumsamehe mkuu mmoja wa mkoa anayesifika kwa vituko kwa vile analindwa na baadhi ya uongozi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 2

                             TAARIFA kuwa bomba letu limeng’ang’aniwa kule Kanata zimekichefua kijiwe kiasi cha kuamua kutoa ushauri wa bure kwa sirikali kaya yetu isiendelee kuwa shamba la bibi au...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali ieleze ukweli kuhusu kukamatwa ndege

               TAARIFA kuwa ndege yetu iliyokuwa itue nchini kutoka nchini Canada ilikonunuliwa imezuiwa kutokana na deni la mkandarasi, zinatia kichefuchefu, kuudhi na kuzua maswali mengi zaidi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Here comes my other new book!

NewISBN9789956762118Pages260Dimensions216 x 140mmPublished2017PublisherLangaa RPCIG, CameroonFormatPaperbackAfrica’s Dependency SyndromeCan Africa Still Turn Things around for the Better?by Nkwazi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi ataka tanzanite iitwe indianite au kenyanite

          Juzi nilitaka kuzimia baada ya kujua kuwa kumbe pamoja na tanzanite kuchimbwa Bongo aka Danganyika pekee, inauzwa kwa sana India na Kenya kiasi cha kuwa kaya zinazosifika kuzalisha tanzanite....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kutwaliwa ardhi ya Sumaye, je kuna unyakuzi wa ardhi?

          Baada ya waziri mkuu mstaafu wa awamu ya tatu Fredrick Sumaye kulalamika kunyang’anywa mashamba yake, wengi walishangaa. Hii ni baada ya kujua ukubwa wa mashamba husika na nafasi za mhusika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe chataka mahekalu yote yaliyojengwa kinyume yapigwa chini

          Juzi kijiwe kilipigwa na butwaa. Ni baada ya mahekalu ya bei mbaya kupigwa chini kule Kimara. Wengi walidhani ni mbavu za mbwa tu zilizokuwa zikipigwa chini kutokana na kilichofanyika kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kuendelea kumuandama Lissu ni kumfanya maarufu zaidi

            Ukiachia marehemu Christopher Mtikila, hakuna mwanasiasa aliye hai kwa sasa anayeweza kuwa amekumbwa na msukosuko ya kisiasa kama mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu ambaye pia ni rais...

View Article


Who’s telling truth between Govt and Sumaye?

           Revelations that the government repossessed former Prime Minister Fredrick Sumaye’s two farms were appalling and shocking. Thanks to such revelations, I can smell something fishy that is...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Secession advocates must beware its pitfalls

Mr Wako Huka, a 79 year old landmine blast survivor during the Shifta war operation mounted by the Military in Isiolo District shows the scars on his right knee. His wife died in the blast near Isiolo...

View Article


Mlevi kuanzisha chuo cha uchungaji na ushehe

          Kama mtume Po alivyoona mwanga akaanguka na kuokoka au mtume Mood alivyobanwa mbavu kule mwambani, nami nimetokewa na Yeye Aliye Juu; ameniamru nianzishe chuo ili kurejesha maadili na kuondoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

The Photo of the week

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katiba mpya somo toka Kenya

         Japo wakenya wakisema kuna mambo wanazidi nchi nyingine huonekana kama wanajisifia sawa na watanzania. Mfano, wakenya huiita nchi yao economic hub of East and Central Africa sawa na watanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe champongeza pilato mkuu wa Kenya

           Baada ya mahakama kuu ya Kenya kumpiga kalamu rais Uhuru Kenyatta, Kijiwe kimempongeza jaji mkuu wa kaya hiyo Davie Maraga aliyesimama kidete kulinda maslahi ya umma.            Msomi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katiba Mpya: Barua ya wazi kwa rais John Magufuli

            Mheshimiwa rais John Pombe Magufuli,            Habari za kazi na majukumu mazito ya kuendesha taifa? Kwa heshima kubwa napenda kukuandikia waraka huu wa wazi nikijadili umuhimu wa kuwa na...

View Article
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live