Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Natamani Tanzania ingekuwa Korea ya Kusini

            Hivi karibuni, nchi ya Korea ya Kusini iliingia kwenye historia ya dunia kwa kuwa miongoni mwa nchi zinazopambana na ufisadi mkubwa bila huruma kuonea. Rais wa zamani wa nchi hiyo Park...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

THE BOTTOM LINE : In voting, fear the politics of the tummy like leprosy

        For high-pitched Kenyans, the time to mint and print dosh’s arrived.  Do you want quick dosh? Become an opinion pollster. Thereafter, just analyse and say things with full sangfroid even if you...

View Article


Hivi bado Eliakim Maswi ni Mwanaume au Mwanamke kwa sasa?

View Article

Magufuli na Mimba mashule: Nini ushauri na mawazo yako?

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi kutia timu Ukanadani kudai njuluku

           Baada ya wanene kutupiga changa la macho kuwa wale waliowaita majizi sasa ni “wanaume” kama alivyokaririwa dingi akisema, nimeamua kutia timu Ukanadani kudai changu. Yule anatikisa kichwa;...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Unamtafsiri vipi spika wa Bunge Job Ndugai hapa?

View Article

Uhuru wa habari: Mbona viongozi wetu wanapingana?

            Katika kuangalia haki na uhuru wa kukusanya, kusambaza, kutoa na kupata habari nchini, leo nitajikita kuonyesha mkanganyiko uliopo serikalini kiasi cha kugeuka tatizo kubwa kwa baadhi ya...

View Article

Baada ya Ramadhani nilisherekea Idd na Maimuna

View Article


Kijiwe chataka kujua nini sharia za madini zitaanza kubadilishwa

    Baada ya rais Joni Kanywaji kusema atalazimisha Mjengo kukaa muda zaidi ili kurekebisha sharia za madini, Kijiwe kililipuka kwa furaha kabla ya kuzimika matumaini baada ya porofwedheha Joni kutoka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Byakanwa alitumwa au anajikomba tu?

Shamba la Freeman Mbowe  baada ya kuharibiwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Byakanwa akiharibu shamba la Freeman Mbowe.Niliwahi kuandika makala kuwa wakuu wa mikoa na wilaya wanaonekana kama wakoloni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Government can still help teen moms

            Though President John Magufuli said it expressly–no pregnant girl will be allowed back to school under his rule;which’s logical–still the government’s the duty to make every effort to help...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

When a shepherd become a hyena the flock is in trouble

Australian authorities officially charged Vatican's most senior cardinal George Pellm Pope's chief financial advisor with what is known as historic offences or offences committed in the past mainly in...

View Article

Ulimbukeni, umalaya na uoza kimaadili Magufuli aingilie

Wengi walimlaumu rais John Magufuli kusema wazi hataruhusu wasichana watakaopata mimba wasirejee mashuleni. Ushahidi kuwa Magufuli hana la kufanya zaidi ya kuwa na msimamo mgumu kama aliochukua ili...

View Article


Sijui hapa binadamu ni yupi na wanyama ni wapi

Huyo bwana sijui bibi mwenye suti ya aina yake na ambaye hana anayefanana naye hapo anaitwa Brigadier Nils Olav kiumbe anayeonekana kuabudiwa nchini Norway kiasi cha kupewa hadhi ya kijeshi ukiachia...

View Article

Wizi wa Escrow tuanze na IPTL

            Hakuna utata; kampuni la the Independent Power Tanzania Limited (IPTL) ni donda ndugu kwa maendeleo ya uchumi wa taifa. Sitapenda kuongelea kesi iliyofunguliwa hivi karibuni dhidi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ama kweli aliyeko juu mngoje chini! Nani alitegemea tapeli Rugemalayer kulala...

Mtuhumiwa na kingpin wa wizi wa IPTL James Rugemalira sasa ni mahabusu anayesota asijue atachomoka lini. Sawa na Hassy Kitilya, Sioi Sumari na vigogo wengine, anaendelea kuonja matunda ya jinai yake....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Fighting corruption: A lesson from South Korea

Former South Korean President Park Geun-hye handcuffed ready to face the music          South Korea recently stunned the world; entering history books for being among countries that unpityingly deal...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bi Mkubwa wangu kweli Mwanaume kama Akashia!

          Baada ya kuupiga na kujifanya  Mike Tyson si nikamvamia bi Mkubwa wangu. Wajua kosa lake nini? Kunipikia miugali badala ya wali. Kosa jingine? Kuhoji kwanini nataka apike pilau wakati...

View Article

Kumpinga rais au serikali si jinai

            Hivi karibuni baadhi ya vyombo vya habari viliingia utatani hadi vingine kufungiwa huku wanasiasa na wakosoaji wakipewa onyo kali kuacha ima kuipinga serikali au rais. Tukio la hivi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Will Kenyans Celebrate or Mourn Nicholas Biwott?

When it comes to Kenya's grim past of abuse of power, corruption and political assassination, Nicholas Biwott who died yesterday takes a center stage. No political assassination was carried out under...

View Article
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live