Transparence: Let’s open every boozer’s closet
After President Joni Kanywaji Makufuli revved up his efforts to increase the revenues for the hunk by chopping hishimiwa’s dosh, boozer, too, wants to add up by cutting kanywaji and bangi...
View ArticleTuwanyonge mafisadi na wahujumu uchumi kama China
Kwanza nikiri kuwa pendekezo la kuwanyonga wezi na wahalifu wakubwa wanaohujumu nchi yetu si la kuvuita. Laweza kuhusu wengi hasa wale wanaotetea haki za baadhi ya binadamu huku wakifumbia...
View ArticleMilioni saba kwa dakika; kijiwe chanena
Baada ya vyombo vya umbea kuripoti jinai ya jizi moja kutengeneza madafu milioni saba hadi nane kwa sekunde, kijiwe kimekaa kutathimini baadhi ya mambo.Mgosi Machungi analianzisha, “Jamani...
View ArticleKwa wanandoa na watarajiwa burudika na wimbo huu wa kikikuyu
Wewe ni nyama ya nyama zanguWewe ni mfupa wa mfupa wanguWewe ndiye Mungu amenichaguliaWewe uwe furaha ya moyo wanguTumekuja hapa mbeleMbele ya wazazi wanguMbele ya marafiki zanguMbele ya kanisa ya...
View ArticleKumbe tukiamua kama taifa tunaweza!
Zoezi la ununuzi wa madawati nchini linatia moyo sana. Zoezi hili pia lina somo kuwa kumbe Afrika ikiamua inaweza kujitegemea na kuachana na uombaomba na kopa kopa. Kama alivyowahi kusema...
View ArticleHapa Dokta Magufuli akubali ameteleza
Hivi karibuni, rais John Pombe Magufuli aliwashangaza, kuwazodoa, kuwanyamazisha na kuwachanganya mengi ukiachia mbali naye kujichanganya. Akipokea ripoti ya uchaguzi mkuu wa 2015, Magfuli aliwamua–kwa...
View ArticleMlevi hakuangusha futari mwaka huu
Japo wengi wamejivuvumua kwa kuangusha futari la kukata na kisu kama siyo shoka, mwenzenu mwaka huu sikujaliwa kuwafurisha walevi. Kwanza, mimi si mtu wa kufuata mkumbo kama wengine ninaowajua...
View ArticleKumbe tukiamua kama taifa tunaweza!
Zoezi la ununuzi wa madawati nchini linatia moyo sana. Zoezi hili pia lina somo kuwa kumbe Afrika ikiamua inaweza kujitegemea na kuachana na uombaomba na kopa kopa. Kama alivyowahi kusema...
View ArticleFighting graft: Let’s fry all fish like China
I must make a clean breast that proposing that some criminals be hanged is not such cool, especially for the biggies who commit graft-related crimes aka Ufwisadi. I know; my pals, human...
View ArticleKunashangaza kule hakuna mizigo
Huu wimbo ni kutoka ZimbabweUnasema huko hakuna mizigoMalaika wanafanya kazi ya kubebea mizigo yakoSijui kama ni kweli au
View ArticleDikteta anaposhuka kwenye gari kuchimba dawa
Hivi karibuni imla wa Uganda Yoweri Museveni aliwashaza waganda kwa kuchomoka kwenye gari na kuweka kiti barabarani na kuanza kuchonga bila kujali kuwa kulikuwa na watu nyuma na mbele ya msafara wake...
View ArticleKijiwe: Makufuli tukumbuke kwa maburungutu
Baada ya kijiwe kushuhudia ukarimu wa rahis Joni Kanywaji Makufuli, kimeamua kumbipa mzinga lau nacho kifaidi utukufu wake.Mgosi Machungi analianzisha, “Jamani mmeona jinsi rahis Makufui...
View ArticleTunamsihi rais aongee lugha ya taifa
Kwa watu wanaojua maana na sababu ya kuwa na rais kama kielelezo na mwakilishi wa nchi yeyote, watakubaliana nasi kuwa kila anachofanya lazima kiakisi taifa lake. Moja ya kitu...
View ArticleTusinunue ndege kwa 'madesa'
Neno desa au kuchota ujuzi, taarifa au majibu bila kuyafanyia kazi na kuyatumia kwenye kazi yako au kunakiri bila kufuata sheria au kukwepa sheria–kabla ya kuchaguliwa kwa rais...
View ArticleWiki hii niliwarusha makamanda wangu
Picha ya familia ya pamoja wakati makamanda na baba yao wakijiandaa kupasua anga Baba anaposhika usukani huku makamanda wakiwa nyuma yake wakijifunza namna ya kuendesha ndegePicha na Makamanda baaada...
View ArticleHotuba ya Mlevi kwa waziri mkubwa wa Hindi
Baada ya kushuhudia ugeni wa mashaka toka Ugabacholini ulioongozwa na Nyabenda Moody waziri mkubwa ukija Bongo na kuondoka bila kujihangaisha kukutana na uongozi wa walevi, nimeshauriwa...
View ArticleTulia Ackson anapaswa kutulia
Pamoja na kwamba uhuni Bungeni haukuanza jana–hasa kiti cha Spika kinapotumika vibaya kwa sababu binafsi au za kisiasa–Bunge la 11 linaweza kuvunja rekodi katika baadhi ya mambo tena...
View ArticleTwarana na nii (Nenda nami) -Jane Muthoni
Huwa napenda nyimbo za Kikuyu kwa vile nakifahamu japo si sana. Wimbo huu wa Jane Muthoni (Mkwe) huburudisha na kufundisha. Hapa nakudonolea kidogo tu.Umeniita nikufuateKuna shida safariniNakuomba...
View ArticleOur Lives in History, Today 18 Years Ago
Today 18 years ago I quit bachelor club. It is the time my sweetheart Nesaa came into my life. Since then, we've been happily married. So, too, we're blessed with six children, four girls and two boys....
View ArticleKijiwe chastukia uraia pacha wa Kanji
Baada ya rais Joni Kanywaji Makufuli kufichua siri kuwa Bongo ina wapiga kura wa India, kijiwe kimembana Kanji aeleze kama naye yumo na yuko wapi kati ya Bongo na India.Mheshimiwa Bwege...
View Article