Wewe ni nyama ya nyama zangu
Wewe ni mfupa wa mfupa wangu
Wewe ndiye Mungu amenichagulia
Wewe uwe furaha ya moyo wangu
Tumekuja hapa mbele
Mbele ya wazazi wangu
Mbele ya marafiki zangu
Mbele ya kanisa ya Mungu
changu ni chako
changu ni chako
changu ni chako
Nitaishi nawe
Si kwa muda bali milele
Tutatenganishwa na kifo
Mtunzi wa wimbo huu ni Joyce Wanjiru
Mtunzi wa wimbo huu ni Joyce Wanjiru