Kijiwe chamshangaa Tuliya
Baada ya kushuhudia ubabe wa kizamani uliotokea Mjengoni ambako wawakilishi wa wachovu walitolewa mkuku–kisa kudai haki za watoto wao walioingizwa mjini na watu wenye tamaa–Kijiwe leo...
View ArticleMlevi kutia timu mjengoni na michupa
Baada ya Ana Makidamakida kuachia ngazi baada ya kuvurunda Njengo, walevi walidhani ubabe mjengoni ungekuwa ndiyo mwisho. Kumbe tulinoa. Hatukujua kuwa atakuja yule ambaye hajaTulia...
View ArticleMugful: Spit Fire on 'em for Boozers' Sake
Although I burn cannabis, I don’t consume dope of any type; and I’m not a dope like those who rob their own hunks. I must say it clearly from boozer’s point of view: I hate drugs and those...
View ArticleWatanzania hakikisha mnamlinda Magufuli
Rais John Pombe Magufuli amesikika mara nyingi akiomba watanzania wamuombee. Hii ni kutokana na ugumu na hatari ya kazi na mambo anayofanya. Bila shaka, Magufuli anajua hatari inayomkabili...
View ArticleKijiwe chashinikiza posho ya makalio ifutwe
Baada ya bi mdogo yule ambaye hajaTulia kuja na mpya kuwa atawanyima wahishimiwa wa upingaji posho za makalio kwa vile makalio yao hayakai kwenye makochi ya Mjengoni na kuwezesha masikio...
View ArticleNasi tujiandae kuwachunguza marais wetu
Ingawa hili linaweza kuonekana kama jambo la ajabu–hata wengine kudhani ni kushikana uchawi–taifa letu linapaswa kuenga kila kona ili kuhakikisha mageuzi ya kweli anayolenga kuyafanya rais...
View ArticleMlevi kumpa vidonge mke wa munene
Mke wa rais Janet Magufuli :Hapa Magabacholi wameishamdakaKawaida sina tabia ya kupenda kuwa karibu na wanene, wake zao au hata marafiki zao. Huwa naogopa kuonekana najigonga kama wale wanaojigonga...
View ArticleMagufuli tumbua hata vilaza wazito
Akiweka jiwe la msingi la maktaba ya Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam (UDSM) hivi karibuni, rais John Pombe Magufuli alisikika akilaumu kitendo cha Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kudahili watu...
View ArticleMama Magufuli achana na biashara ya NGO fichi
Hivi karibuni mke wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli, Janet, alikaririwa na vyombo vya habari akiwa mkoani Mtwara alikotoa msaada wa takriban...
View ArticleBoozers want their former biggies probed
When boozers got wind of how some hunks are taxing their former biggies to come clean on their past, they asked me to pen this piece demanding that our hunk follows suit. Boozers aren’t...
View ArticleKijiwe chamkaribisha Pumba kijiweni
Baada ya kuisha na kuishiwa kiasi cha kujirahisi, Kijiwe kimemuonea huruma Profwedheha Ibra Pumba kuja kujiunga nacho na kupiga kahawa badala ya kuendelea kujivua nguo.Mpemba analianzisha, “Yakhe...
View ArticleDk Makufuli lazima uwatumbue akina Nkapa na wenzake
Juzi nilinusurika kujinyotoa roho. Si pale nilipokwenda kwenye kongamano na Kigoda cha Mwl Nchonga. Nikiwa nimepiga pamba zangu bila bangi na gongo nimejipendezea tu si kidhabu mmoja...
View ArticleMrema anapaswa kujishangaa
Baada ya mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP) Augustine Mrema kugeuza kujikomba sera yake na chama chake, juzi alikuja na mpya. Baada ya kujigonga sana kwa rais John Magufuli bila...
View ArticlePoor Lee pumba! What’s wrong?
Yo-ho, ho-ho, I just can’t understand. I just couldn’t get it. Even my poor and stupid dogs Tamba, Mwamba, Miki, Stan, Jerome, Ray and Gilo couldn’t get it. True, I just can’t understand why...
View ArticleJe Gwajima anatumwa au anajituma?
Katika kutapatapa ima kujiweka karibu na rais John Pombe Magufuli au kuficha maovu yake, askofu bandia na wa kujipachia Josephat Gwajima amelikoroga asijue jinsi ya kulinywa. Kwa...
View ArticlePunguza na toza kodi mafao ya marais wastaafu
Hakuna ubishi kuwa viongozi wetu wastaafu wanapewa marupurupu mengi na makubwa, jambo ambalo kiasi fulani linawakwaza watanzania wengi hasa walio maskini. Hii ni kutokana na kutwisha mzigo...
View ArticleDk Kanywaji kuwalinda watawala wastaafu no
Baada ya Rahis Joni Kanywaji Makufuli kutoa hakikisho kwa walaji wakubwa, Kijiwe kimeamua kumtolea uvivu kumwambia kuwa hana power wala uhalali kisheria kufanya hivyo.Mijjinga ndiye...
View ArticleMlevi kuomba appointment na rahis kupata maelezo
Sipendi kujisifu; juzi nilipata mwaliko kwa Mama kuwashauri juu ya kura ya namna ya kujitoa kwenye jumuia ya Ulaya; na walisikiliza ushauri wangu ambao pia nitautoa kwa kaya kujitoa kwenye...
View Article