Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lukuvi whom are you trying to dupe

            Soil Minister, Bill Lukuvi, left boozers shocked and infuriated. He’s recently quoted alleging that he turned down a cool Tsh5 billion bribe that two tycoons wanted to offer him so that...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barua ya wazi kwa waziri mkuu Majaliwa

             Mheshimiwa waziri mkuu,Kwanza nakupongeza kwa kuteuliwa kuwa waziri mkuu. Pili, nakupongeza kwa juhudi unazofanya kupambana na uovu kuanzia bandarini hadi kwenye sekta ya ardhi. Ndugu...

View Article


Kijiwe chapanga kutembelea Zenj

            Japo kijiwe hakikushiriki kwenye uangalizi wa uchakachuaji wa marudio kule Zenj–kwa  kutoridhika na jinsi mambo yalivyokwenda ndivyo sivyo–mjumbe wake, alhaj Mpema, alikuwako kule kuangalia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS GOOD NEWS!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

 Ndugu jamaa, marafiki na wasomaji kwa ujumla,Nina furaha -kwa niaba ya familia -kuwatangazia kuwa usiku wa kuamkia leo majira ya saa sita kama na sekunde kadhaa tumajaliwa watoto mapacha NGWAZI na...

View Article

Bongo: Shamba la bibi au la bangi?

            Kasheshe iliyotokea hivi karibuni kule kwa akina Omushuma aramu mushaija iwe nogambaki omuzira nkende Rwabunonihino na Rweyependekeza kama anavyopenda kuwasanifu John Kanywaji Makufuli,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tunaipongeza serikali kubomoa jengo hatarishi

            Hakuna ubishi kuwa serikali ya awamu ya tano chini ya rais John Pombe Magufuli imeanza kuleta mapinduzi tena ndani ya muda mfupi kama haitalewa mafanikio na kulegeza Kamba. Tukio la hivi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

From Boozer to President Mugful

           Dear Mr. President, Dr. Joni Kanywaji MugfulHow are you doing? Take note that you made my Easter. On top of bang and swig, you made me happy type when you spoke to the nation during your...

View Article

Mizigo yenu

Wanguni au wangoni -kama wanavyoitwa Tanzania, Wanyasa, Washona na wote wenye asili ya kule watafaidi ujumbe uliomo kwenye wimbo huu hasa wale wanaoamini katika kutoleana sadaka na kumwagiana damu...

View Article


Is racism cancer in Indian society?

Are Indians racist? Get the answers from them at a national level. I am posting this with the intention of addressing the problem in order to help.

View Article


Kijiwe kwenda kunywa chai na Dk Makufuli

            Baada ya rahis Joni Kanywaji Makufuli kukikuna kijiwe pale alipotangaza kuwa anataka Bongo iondokane na uombaomba na kugeuzwa shamba la bibi, Kijiwe kinapanga kwenda kumpongeza na kumpa...

View Article

Who’ll save South Africa from Zuma?

            South African president Jacob Zuma is a cat with seven souls. Since he came to power, he has become more a liability to his country than an asset. Since unseating former President Thabo...

View Article

Tumkumbuke Marehemu Issa Juma toto la Tanga

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi: Itungwe sheria ya kunyonga mafisadi

            Baada ya wale ambao hukuwatarajia kutumbuliwa tena uchi na wengine kulala lupango, Mlevi nina mpango wa ima kwenda mjengoni au kwa Dokta Joni Kanywaji Makufuli kuwachomea utambi ili itunge...

View Article


Magufuli tumbua wezi bodi za mashirika ya umma

            Akiwa mjini Chato mkoani Geita hivi karibuni, rais John Pombe Magufuli alizungumzia mambo mbali mbali yahusuyo mstakabali wa taifa. Moja kati ya mengi aliloongelea –au tuseme kugusia –ni...

View Article

Dr Mugful:Boozers want our Swiss dosh back

            After the American Millennium Challenge Corp (AMCC) withdrew its pledge of furnishing the hunk with $ 700 thanks to Zenj’s mess, as a hunk, we need to think out of the box about how to...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

On Chinese criminals: Tanzania can learn from Kenya

Kenya authorities recently  busted a Taiwanese gang of criminals. After arraigning the members of the gang who were allegedly involved on various criminal activities such as cyber crimes,  Kenya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hii kitu nimeipenda sana

Hakuna kitu kilikuwa kikinikera kama ujambazi wa kutumia ofisi ya rais kwa wake zao kujitajirisha. Hili nilishaliandikia sana hadi baadhi ya waathirika wakadhani nilikuwa na ugomvi binafsi. Msanii hapa...

View Article


Kijiwe kutuma mjumbe Panama

            Baada ya kampuni ya uwakili ya Fonseca ya nchini Panama kuwaanika wezi wenye maulaji, kijiwe kinataka kumtuma Msomi Mkatatamaa kwenda kule kubaini na kutaka FONSECA ifichue na majina ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ma-konda: Ombaomba yupi amfukuze mwenzake?

            Pamoja na kupiga mma na bangi sana, mlevi alishangaa nusu kufa aliposika mkubwa wa mkoa wa Bongo Po Ma-konda akitoa amri ombaomba wakitoe eti wanachafua jiji. Inashangaza. Wakati mwingine...

View Article

Ngoma bila nguo: Wewe ungefanyaje

View Article
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live