Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live

Kwa wananandoa au watarajiwa

Hapa Agatha Murudzwa anawanasihi wanandoa kupendana huku akiwapongeza wawili waliofunga pingu za maisha kwa lugha yake ya Kishona.HongereniMungu awe nanyiMungu awalindeumepata mumemapenzi...

View Article


Cronyism, nepotism and nihilism: Hooray Makamba

           As any boozer, I didn’t expect Jan Makamba’s accusations against Jake Kiquette. I didn’t expect this given that the accuser is one of the beneficiaries of the crime he’s accusing Kiquette...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking news Sefue chini Ikulu

Baada ya kulalamikiwa kushiriki uchafu mbali mbali,aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi Ombeni Sefue amepigwa chini rasmi leo na nafasi yake kuchukulia na John Kijazi aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini...

View Article

Kijiwe: Makonda acha kudhalilisha walimu

            Baada ya mkuu wa wilaya ya Kinondo Po Makonda kuchemsha kwa kuja na mpango wa kudhalilisha wanafunzi, Kijiwe kimekaa kama kamati kulaani ujinga huu. Pia kijiwe kinatoa mapendekezo ya nini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Haya ni maombi au utapeli na ubangaizaji

Baada ya rais John Magufuli kustukia gea ya baadhi ya viongozi wa kiroho wenye uroho na hamu ya kuwa karibu na ulaji, amesusa kuhudhuria upuuzi unaoitwa kumuombea. Kwani hamuwezi kumuombea majumbani au...

View Article


Reunite East Africa instead of integrating it

           The just concluded meeting of the East African Community (EAC) heads of state in Arusha Tanzania reached a milestone. South Sudan was officially admitted to the EAC. This is a good move...

View Article

Sijui kama wanaong'ang'ania madaraka walijifunza kitu hapa

Ukijikumbusha Ngwazi Muamar Gaddafi alivyolipwa, unashangaa mantiki ya maimla wa kiafrika kuendelea kubadili katiba ili wabakie madarakani wakati ni hati hati na mtihani ukipatikana. Kweli historia ni...

View Article

Mlevi amtumbulisha jipu Sifui

            Hakuna wakati aliowahi kunikuna rais Joni Kanywaji Mugful kama alipoamua kumtolea uvivu jamaa yangu Muombeni Sifui. You know what? Mimi ndiye niliyemchoma tena kwa kuandika wazi wazi makala...

View Article


Boozer won’t pray for Mugful

President Joni Kanywaji Mugful’s recently quoted as saying that this hunk–for over thirty years it’s ruled by termites and hyenas–was turned into shamba la bibi due to doing monkey business....

View Article


Wakuu "wapya" wa mikoa, Magufuli achemsha

Ukiangalia orodha ya walioteuliwa kuwa wakuu wapya wa mikoa unashangaa kama imeandaliwa na Jakaya Kikwete au John Magufuli. Maana, hakuna jipya zaidi ya muendelezo wa usanii ule ule. Hapa ndipo...

View Article

Leo natoka na Wanda Boys na vimbwanga vyao

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Janga la taifa: Vyuo vikuu vinapoeneza ujinga

            Kashfa ya hivi karibuni iliyokikumba Chuo Kikuu cha St Joseph inapaswa kulifumbua taifa macho. Baada ya kuingia kwenye sera mbovu za kiliberali mamboleo za kubinafsisha kila kitu, nchi...

View Article

Magufuli usitegemee kuombewa uchukue hatua

            Akiwa mkoani Arusha baada ya kuweka jiwe na msingi la ujenzi wa barabara ya inayoelekea Nchini Kenya yenye urefu wa Km 234.3 hadi Holili rais John Pombe Magufuli aliwaambia wananchi kuwa...

View Article


Kijiwe chastukia sanaa za Lukuvi

           Hivi karibuni Kijiwe kilibaki kinywa wazi na maswali mia kidogo baada ya mjivuni mmoja kuja na mpya kuwa alikataa rushua ya madafu bilioni tano. Kukataa au kupokea si issue. Kinachogomba ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makufuli mtumbue jipu Lukuviii

            Baada ya muishiwa waziri wa Udongo Bill Lukuviii kuja na mpya kiasi cha kumlewesha Mlevi hata bila kanywaji na tubangi, imebidi lau niseme ili wote na yeye wajue kuwa sikuingizwa mkenge....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

How do you view and assess this stuff?

Source: Daily Nation

View Article

Kijiwe kupinga amri za Dk Kanywaji

            Amri za rahis Joni Kanywaji Makomeo zimekichefua kijiwe kiasi cha kupanga kwenda kwa pilato kuzipinga. Haiwezekani turejeshewe utawala wa kindavandava wakati twaambiwa sisi ni kaya ya...

View Article


SHUKRANI YA PUNDA

View Article

Kwa ndugu zetu mnaoamini kwenye dini za kigeni

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi astukia 'ugesishaji' kaya

Tangu alipoingia kwenye ulaji baada ya kuchukua ukanda toka kwa Njaa Kaya aliyeonekana kuwa kilaza kiutawala kiasi cha kuigeuza kaya shamba la bibi kama alivyodai rahis hivi karibuni, nilitokezea...

View Article
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live