Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live

Mlevi kupambana na wabaguzi wa kigabacholi

           Baada ya kuzinyaka kuwa binti wa kilevi amefanyiwa kitu mbaya kule ugabacholini, Mlevi anatishia kuingia kwa fosi Bangalole ili awasake wabaguzi waliomfanyia kitu hii na kuwatia aibu....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vita ya ufisadi: CCM wanamdanganya nani?

            Hivi karibuni katika maadhimisho ya miaka 39 ya kuzaliwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mjini Singida, Mwenyekiti wake, Jakaya Kikwete alisikika akiwazodoa wapinzani akisema waache kudai kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Are Hindis racists?

  I can that guy shaking his head thinking I’m making this question up. No, the question’s been adapted from Indian NDTV (4 Feb, 2016) after a Bongolalaland girl–who happens to be the daughter of my...

View Article

Serikali itangaze mgogoro na India

            Kitendo cha binti wa kitanzania kupigwa, kudhalilishwa, kuchomewa gari na kuvuliwa nguo hadharani na wananchi wenye hasira mjini Bangalore India licha ya kuwa cha kibaguzi na cha kinyama,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hii kali ya Zenj!

Kwa hisani ya gazeti la Mwananchi

View Article


Wale wenye asili ya Sauzi bila shaka watafaidi ujumbe huu

Baba twaja mbele yakoMungu mfalme wetuSikiliza sala zetuTwakesha maporinitukipambana na shetaniTuma wasaidizi babaWawapashe watu woteHabari zakoUfalme wako uje

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi agoma kusimamia uchakachuaji kwa M7

            Baada ya wajinga fulani kutaka kunigeuza juha kama wao wakitaka eti niende kwa M7 kuangalia uchakachuaji wakati nikijua kura zitaibiwa na imla atachukua na kuweka waa, niliwatolea nje kuwa...

View Article

What we did not about president Jacob Zuma

View Article


Boozer to take racism demo to Bombey

            I didn’t intend to revisit racism issue that I tackled last week. But after one bigot wrote me a provocative email, I’ve decided to revisit the same so that I can send a clear message to...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tuondoe Tanzania kwenye makucha ya vigogo

 Taaria kuwa katika wimbi la kukamata wanaohujumu nchi yetu limemnasa mtoto wa aliyewhi kuwa Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Dar es Salaam, Suleiman Kova aitwaye Masoud linaweza kufichua mengi. Je ni...

View Article

Kijiwe chataka waliozima mita za mafuta nao wazimwe

           Taarifa kuwa baadhi ya wezi na wakubwa katika kaya yetu walikuwa ikiingiza mafuta bila kulipiwa ushuru kwa miaka mitano zimewaudhi wanakijiwe nusu ya kufikia kutaka kupasuka. Licha ya...

View Article

Huyu tajiri unamtathmini vipi?

View Article

Hii ni bahati mbaya au kuna namna kwenye wizi wa makontena?

KWA mujibu wa gazeti la Nipashe la leo, kampuni zifuatazo ndizo zilibainika kushiriki kupitisha makotena bandarini bila kulipa ushuru. Ukiangalia majina ya makampuni takriban yote ni ya kiarabu. Je...

View Article


Mlevi kumualika Obasanjo uchakachuaji Zenj

            Baada ya rafiki yangu wa zamani Jenerali Olushe Obasanjoo kuonyesha asivyo mwoga wala mnafiki kwenye uchakachuaji uliosha kwa M7, mlevi anapanga kutia timu Abeokuta kwenda kumpa shavu na...

View Article

Nimemkumbuka marehemu Mashakada leo

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Congrats king M7 on your victory

            Dear readers and fans, greeting from the Republic of M7, sorry UG which recently concluded its charade, sorry, general elections that saw long-time demoncrat, sorry, democrat YKM7 won his...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magufuli anaishi jipu ikulu

Kuendelea kuwa na balozi Ombeni Sefue–ambaye, kimsingi, alikuwa mshauri mkuu wa rais mstaafu Jakaya Kikwete anayedaiwa kuacha nyuma madudu kibao–ni licha ya kuchafua sifa ya serikali ya awamu ya tano,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AFRICA REUNITE or PERISH chaanza kufundishwa chuoni

Nimepata habari njema kuhusiana na vitabu vyangu hasa AFRICAN REUNITE or PERISH kuagizwa na chuo kikuu cha The Great Zimbabwe University kuanza kutumika kufundishia. Sambamba na ARP vitabu vya Born...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe chataka Kiquette ajitumbue kwanza

            Kijiwe kilishangaa kiasi cha kukutana kama kamati ili kudurusu mantiki ya Mkiti wa Chama Cha Maulaji (CCM) kudai kuwa atawatumbua wanafiki ndani ya genge lake twawala. Wanakijiwe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi kuwa wakili wa kujitolea kesi za mafisadi

            Tokana na baadhi ya wanasheria na wataalamu kutumiwa na mafisadi kama nepi na  kuingia mikataba michafu kama ule wa IpTL na TANISCO, Mlevi, kwa akili zangu timamu, bila kulazimishwa na mtu...

View Article
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live