Ndugu jamaa, marafiki na wasomaji kwa ujumla,
Nina furaha -kwa niaba ya familia -kuwatangazia kuwa usiku wa kuamkia leo majira ya saa sita kama na sekunde kadhaa tumajaliwa watoto mapacha NGWAZI na NKWAZI. Bi mkubwa ametuletea makamanda hawa wawili na amejifungua salama salimini njiani akielekea hospitali ya Boundary Trails MB. Tunamshukuru Mungu na kuwakaribisha ndugu jamaa na marafiki kushiriki furaha hili. Mara nyingi, ni nadra kupata mapacha tena wa mwisho. Dada na Kaka zao wameishakwenda kuwaona na kuwakaribisha. Nkuzi na Jr wameshangaa na wanasema: "Dad and Mom, you have brought yet new cool toys.
Habari ndiyo hiyo.