Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live

Mugful: This is how you can save dosh

 Dear Mr. President Dr JPM, sir,            Once again, I’m touching base with you. You’re busy I know but please read this piece; and work on it. Don’t care that it’s written by a boozer.  To quote...

View Article


Wageni wanaokwepa kodi wafukuzwe nchini

Unaweza kusema Tanzania ni nchi ya ajabu sana. Pamoja na kugeuzwa–hata kuitwa shamba la bibi–bado inaendelea kuvumilia uhujumu uchumi wa ajabu huku watu wake wakiendelea kuwa maskini. Taarifa za wageni...

View Article


Akina Kilango wasipangiwe kazi nyingine

            Hivi karibuni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani, John Pombe Magufuli, aliwaacha wengi hoi pale alipomtumbua jipu aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Shinyanga Anna Kilango Malecela baada ya...

View Article

Hii ni kwa watani wangu wahehe tu

View Article

Tanzania haipaswi kuwa ombaomba

            Akiongea kwenye ibada ya pasaka, rais John Pombe Magufuli aliwataka watanzania kuchapa kazi ili Tanzania iweze kuondokana na uombaomba na utegemezi wa makombo ya misaada toka ughaibuni. Na...

View Article


Kijiwe chatongoa Nkapa Foundation

            Hivi karibuni bwana nkubwa bingwa wa kuzodoa wenzie Ben Tunituni Makapi alikuwa na harambee ya kuchangia kampuni yake iitwayo Makapi Foundation. Kwa vile huyu bwana aliwahi kuwika kuliko...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uliwahi kufurahi kutangaza kifo?

Naona yule anatikisa kichwa akidhani mibangi na ulabu vimeanza kunitia kichaa. Si kichaa wala roho mbaya au kuwanga vinavyonisumbua kufurahia kutangaza kifo au vifo vya gendaeka. Nina sababu tena zenye...

View Article

Makonda asimhadae rais na dunia

            Akitoa salamu za mkoa wa Dar Es Salaam hapo Aprili 19, Mkuu wa mkoa, Paul Makonda, aliwaacha wengi hoi alipojitahidi kujifagilia na kulinda kitumbua chake. Alisema kuwa tangu ateuliwe kuwa...

View Article


Chini ya Kikwete tulikuwa taifa la walevi

            Sina nia ya kumkandia rais mstaafu Jakaya Kikwete ambaye huwa sipendi kumuita dokta kwa vile hajasomea shahada ya uzamifu. Ila naweza kueleza kuwa chini ya utawala wake–kama ulivyoumbuliwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Letter to Janet Magufuli

   Dear First lady, Janet Mugful,            Congrats on becoming the fifth-first lady of the republic of Bongo.Allow me to humbly and sincerely touch base with you. To be open and frank, I adore you...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe chadurusu daraja la Kigamboni

Baada ya rahis Joni Kanywaji Wine Makufuli kufungua daraja jipya la Kigamboni alilopendekeza liitwe mzee Mchonga, Kijiwe kilikaa na kudurusu baadhi ya mambo kuhusiana na daraja hili adhimu na la kwanza...

View Article

Mlevi kutaja walioficha njuluku nje

            Baada ya kufichuliwa ukwepaji mkubwa wa njulu kule Panama, nafanya mipango kwenda kule kuibua wafichaji wa Kibongo ambao wameponea chupuchupu kutotajwa japo wengi wengine bado wamo kwenye...

View Article

Mugful, don’t reward failures and hangers-on

            After finding that touching base with the head boosted my ujiko, I decided to deal with many matters many don’t like to. Today I’m, once again, taking on Dr Joni Wine Mugful. I heard him so...

View Article


Magufuli ondoa madili rejesha maadili

            Tangu kuondoka kwa serikali ya awamu ya kwanza chini ya baba wa taifa Marehemu Mwl Julius Nyerere, Tanzania ilikoma kuwa nchi inayofuata maadili ya utumishi wa umma. Badala yake iligeuka...

View Article

Kijiwe chamchimba Makufuli

Baada ya kuona mikwara, vimbwanga, mbinyo na hekaheka za Dokta Kanywaji Makufuli na kukunwa navyo, Kijiwe sasa kimeamua kumtonya kama si kumchokonoa. Kinashangaa–baada ya kuongoja bila majibu–ni...

View Article


Mlevi kuhamia mlima Kilimanjaro

            Furiko la juzi lililolipiga jiji la Bongolala limenifanya niichukie Bongo niliyoipenda kuliko hata bi Mkubwa. Mwenzenu naamua rasmi kubwaga manyanga. Si kwa sababu yoyote bali mafuriko ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Viongozi wa kiroho nao wataje mali zao

            Tangua aingie madarakani, rais John Pombe Magufuli amejizolea umaarufu kutokana na falsafa yake ya “kutumbua majibu” ikiandamana na kauli mbiu ya “Hapa kazi tu.” Wengi–hasa wanaotuhumiwa...

View Article


When suited beggars expel ragged ones

          Currently, in Bongo, beggars are feeling the heat after the regional boss Po Makonda–a former beggar himself–decided to turn the tables on them. Let me clarify before being accused of...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MY NEW BOOK IS OUT!!!!!

Psalm of the OppressedPsalm of the Oppressed is satire that uses sheep and hyenas to show exploitative relationships among people. It lampoons political corruption based on nepotism, greed, cronyism,...

View Article

Kumbe bado tunao akina Magufuli wengi tu!

View Article
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live