Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

I propose the magufulification of the new constitution

                             After evidencing the charade of enacting a new constitution for the hunk that was carried out by the former nihilistic regime, it is time to propose the magufulication of...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

If you believe Africa is the poorest continent think again

Despite being touted as the poorest continent on earth, Africa has nobody sleeping in the graveyard. Nobody is living amidst ghosts; and the stench of death as you will see in the following clip....

View Article


Wanakijiwe walaani kubomolewa mijengo yao

            Baada ya kaka Dk Kanywaji kuja juu na kubomoa majumba yaliyojengwa uswekeni, wanakijiwe wamepokea uamuzi huu kwa shingo upande.            Mpemba anaingia akiwa na ndita usoni. Baada ya...

View Article

Burundi: Cry Beloved Country

There’s no other name that can be used to define what is currently going on in Burundi. It is purely state terrorism. Before proceeding with the situation in Burundi, let’s unpack some ideas on...

View Article

Dr. Magufuli, relieve us of Makonda

            Although this isn’t an open letter to Dr. JPM, I’m sure he’ll read it. Little bird told me that he doesn’t miss my stuff every Sunday when he’s thinking about what to do next. First of all,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wachungaji wachunaji wamulikwe

            Wapo viongozi wa kiroho wenye uroho wanaowachuna kondoo wa Bwana badala ya kuwachunga. Baada ya serikali ya awamu ya tano kuanza kushughulikia ufisadi nchini, wapo wanaoona kuwa imejikita...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dr. Magufuli, relieve us of Makondas

           Although this isn’t an open letter to Dr. JPM, I’m sure he’ll read it. Little bird told me that he doesn’t miss my stuff every Sunday when he’s thinking about what to do next. First of all,...

View Article

Magufuli amefika wakati muafaka ila anahitaji nguvu ya kimfumo

            Ujio wa rais John Pombe Magufuli una somo moja kubwa. Amefika wakati muafaka. Wengi –baada ya taifa letu kutekwa na mafisadi –walifikia mahali kukata tamaa wakihoji kama kuna mtanzania...

View Article


Kijijiwe chastukia wanaojitia kuombea kaya

            Baada ya kunyaka matangazo kuwa kuna wachunaji wana mpango wa kuiombea kaya, kijiwe kimekaa kama kamati kulaani upuuzi huu.            Mgosi Machungi –kama kawa –ndiye analikoleza. Anaingia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi aaga, atafsiri na kukaribisha mwaka

      Japo mlevi si muumini wa dini yoyote zaidi ya ulabu na mibangi, anamshukuru Subhanna kuumaliza na kuanza mwaka bila ya kuuawa na mibangi na mma ukiachia mbali kutotupwa lupango kwa kusakiziwa...

View Article

Uenyekiti CCM:Kikwete uliachiwa muachie Magufuli

             Baada ya rais Jakaya Kikwete kustaafu na kuendelea kuwa mwenyekiti wa Chama Cha Mapindizi (CCM) mengi yameanza kusemwa ya maana na yasiyo ya maana. Yanasemwa mengi baada ya kupatikana rais...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

How many unknown EGMA are out there?

          Let us start with wishing everybody a very spiffy new year 2016 that saw our hunk having a very brand new responsible government under JPM. If anything, the year 2016 is the year of change....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe chajadili mjengo wa Uhindini

          Kijiwe kilisherehekea mwaka mpya 2016 kwa furaha isiyo ya kawaida. Hii ni baada ya magazeti ya umbea kuripoti kuwa mahekalu ya mchunaji Gettie Rwakaterehe –hatimaye –yatapigwa chini kwa vile...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri mkuu anapogeuka mwanamuziki

Wa pili kushoto ni waziri mkuu wa zamani wa Kanada, Stephen Harper akiwa na wanamuziki wa kundi lake la  Herringbone baada ya kutumbuiza jijini Toronto hivi karibuniBaada ya kubwagwa kwenye uchaguzi...

View Article

Serikali imulike makampuni ya simu

            Serikali ya awamu ya tano imeanza kuweka nchi kwenye mguu sawa baada ya kuanza kushughulikia ufisadi wa kutish na wa kunuka wa muda mrefu nchini. Bandari, Mamlaka ya Mapato, Hospitali ya...

View Article


Mlevi aja na Quantum Corruption Detection Theory

                  Baada ya matapeli wanaocheza na uhai wa walevi kuja na kinachoitwa Quantum Magnetic Analyzer ili kuwaaminisha kuwa nao ni wataalamu tena wanaokwenda na sayansi na teknolojia, Mlevi...

View Article

Boozer proposes axing presidential perks

 After Dr. Joni Kanywaji Mugful came to power two months ago, the dirty linens of the former regime are on the agora for every eye to see enjoy and jeer for the victims; and frown for the...

View Article


Kijiwe chataka rais atumbue na mabusha

            Rais Joni Kanywaji Makufuli amejipa cheo cha mtumbua majipu. Wengi wamemkubali ingawa wapo wanaomlaani hasa wale wakazi a mabondeni. Wanalaumu kwanini watoe kura waishie kubomolewa mijengo...

View Article

Mlevi akataa tuzo kanyabwoya ya mlevi bora

           Kuna kijigazeti cha kitapeli kiitwacho Afro Jua Times kilitaka kuniingiza mjini na kunitumia kikidhani mimi ni njinga na mpenda kusifiwa ujinga kama wale wanaopenda kila upuuzi ilmradi...

View Article

Magufuli atafakari sana vita dhidi ya mihadarati

            Akihutubia bunge la kwanza akiwa rais, Dk John Magufuli aliwaahidi watanzania kupambana na biashara haramu ya mihadarati ambayo imekuwa aibu, kero na tishio kwa taifa. Alisema kuwa hatakuwa...

View Article
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live