Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinana: Wananchi si hamnazo

          Katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahaman Kinana huwa si mtu wa kuishiwa vituko. Wakati mwingine akiongea mambo huwa unashindwa kuelewa kama anaelewa anachosema au wale anawaambia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Buriani Kamukara

Japo sikkuwahi kukutana na marehemu Edson Kamukara, tulifahamiana na kuongea sana karibu kila wiki kabla hajahama toka gazeti la Tanzania Daiam. Ndiye aliyekuwa mhariri wangu katika gazeti la Tanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi kuangusha hekalu Beach

Baada ya lisirikali kugwaya hekalu la mchunaji mwana siasa Gettie Rwakatarehe na ule mjengo uaji wa uhindini, mlevi anapanga kujenga mhekalu wake kwenye maeneo yaliyozuiliwa hasa kule Mbezi kwa wazito....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

The world will miss you “Vasco da Gama”

          The other day my shushus, spies photocopied the diary of Mr Big whom detractors nicknamed Vasco da Gama of Africa due to his taste and love of touring the globe. After getting it, I decided...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wagombea CCM mtendeeni haki Kikwete

                   Imekuwa kama fasheni sasa. Kila mtangaza nia ya kutaka kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupeperusha bendera yake katika uchaguzi ujao, anamponda rais Jakaya Kikwete...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News: SOUL ON SALE is out!!!!!!!

 Dear readers and friends,I am delighted to notify you that my new book Soul On Sale (SOS) is now out. By the way, I have submitted another one AFRICA REUNITE OR PERISH today.The synopsis of the...

View Article

Kijiwe chakutana Simiyu

          Baada ya dada yao Mijjinga na Mipawa aitwaye Rhoda Bujiku kudhalilisha na kuteswa na nesi, walitutonya kama wenzao wanaoheshimika na kuogopwa kayani. Walitutaka tutie timu kule liliko tokea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

The best story I read this year: True Love

I read and write a lot of things. This year, I read one story that made me cry with joys and sorrow. I don't want to talk more. Follow this link...

View Article


CCM inapowaandaa watanzania kuwachakachua

           Tambo na mipayuko ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Nape Nnauye kuwa  itashinda hata kama ni kwa bao la mkono, ni tangazo la  hatari lililopaswa kuwachefua na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi kushitaki kaya ICC

                   Taarifa za nesi mshenzi, mnyama, mjinga, mpumbavu na muuaji kumkatalia mjamzito Rhoda Bujiku kule kwa akina Ng’wadila ng’waguku na ng’wa nyingi kujifungulia kwenye zahanati hadi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aspirants: Leave Mchonga alone

           After presidency became a thingamajig for getting rich quickly, easily and by doing nothing, those seeking it use all means to get it. Recently, many sick and skinny politicians have dressed...

View Article

CCM inapowaandaa watanzania kuwachakachua

           Tambo na mipayuko ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Nape Nnauye kuwa  itashinda hata kama ni kwa bao la mkono, ni tangazo la  hatari lililopaswa kuwachefua na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tuhuma za ufisadi: Mchawi wa Lowassa ni Lowassa

Ingawa mtia nia waziri mkuu wa zamani aliyeondoka madarakani kwa kashfa ya Richmond Edward Lowassa mbunge wa Monduli analaumu wanaomtuhumu ufisadi, anapaswa kujilaumu mwenyewe. Ndiyo maana tunasema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe chastukia “kufuturisha”

Shehe Mrisho  Jakaya Kikwete alipokwenda kufuturu kwa shehe Peter Mizengo Pinda Baada ya mwezi wa ramazani kuanza, tumeshuhudia mengi ya kuchekesha na kusikitisha. Umezuka mtindo wa mashirika...

View Article

Where Are Africa's Seers?

Prophets,We used to have seersThey’d see wide and farMugo saw butterfliesAmah, the ugly ones,Senghor saw Negritude,Chinua saw some osusNkwazi sees academic toxicityLumumba sensed the dangerNyamnjoh...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

First raider mtarajiwa anavyoonyesha uongozi bora!

View Article

Hii itasaida CCM kupata mgombea safi

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je Mwananchi wana mtu wao au?

  Ukiona mzee Pombe Makufuri alivyotuna katikati ya wote unaanza kuona nani atapeperusha bendera ya mafisadi. Hata hivyo , ukiwapiga darubini tano bora unaona wazi kufilisika, kuisha na kuishiwa kwa CCM. 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi atabiri kufunjika ndoa za kipolitiki

Leo gwiji natabiri kuvunjika kwa ndoa za kipolitiki. Huu ni utabiri sahihi japo wa hatari. Hivyo, yawapasa kutafakari na kuchukua tahadhari. Natabiri bila kusita lau mchukue tahadhari. Utabiri huu ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zitto anamdanganya nani?

          Wanasiasa hawa waliochoka huwa wana tabia moja kubwa –hujionyesha kama hawajachoka. Mwenyekiti wa ACT wazalendo, Zitto Kabwe ambaye nimekuwa nikimheshimu sana, ameingia kwenye kundi hili....

View Article
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live