Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3175 articles
Browse latest View live

Mpayukaji kuwaanika wauza bwimbwi hadharani

BAADA ya lisirikali kukiri kuwa lina majina ya wauza bwimbwi lakini halitaki kuwataja kwa vile wengine ni wahishimwa, mzee mzima nataka niweke wazi majina ya vigogo wa dawa za kulevya. Hivyo, wazee...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kumbe Sugu sugu kweli!

Mheshimiwa mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi aka Mr. Sugu akionyesha usugu na sugu yake wakati akitolewa mjengoni kindakindaki. Ukishangaa ya Kikwete utaona ya Sugu. Ukishangaa ya Makinda utaona ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taifa la mambo feki na mitumba

Hivi karibuni kumezuka uoza wa hali ya juu katika nchi yetu. Tumeshuhudia kukamatwa kwa askari wa traffic feki, wamilki feki wa sare za polisi na sasa daktari feki. Tuna mfumo feki. Tuna mawaziri na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi ashukia `waishiwa` wezi na Foundations zao

Juzi wakati nikipita-pita kwenye mitandao na maeneo mengine ambapo ‘nyuzi’ huwa si siri, ‘niliinyaka’ ya mama mmoja mwizi muishiwa wa Chama Cha Mafisadi (CCM). Msichanganye hii CCM na ile...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

The Day Aussie Spoke

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bongolalaland Bongo Bongo land boondoggle

 It’s out of question. Our hunk’s become what British people call Bongo Bongo land (Bongo-bongo land) or screwed- up country. However, our all-time-lying politicos tell us that we’re in tiptop shape...

View Article

Eti watanibana hadi niwataje wauza bwimbwi

NIKIWA nadhani yamekwisha kumbe ndiyo yanaanza! Baada ya kuwayeyusha wanywa kahawa kwa sanaa za kutaja wauza bwimbwi na kutoka zangu mkuku baada ya kunizomea nilidhani mambo yamekwisha. Sikujua kumbe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ICC who has no sin should be be the first to cast a stone

Although I believe not in the Bible, I like some of its wisdom. John 8:7 says, “He who is without sin among you can cast the first stone at her,” Jesus was responding to a mob justice that brought a...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je waweza kuamini kuwa binti huyu alimuua mumewe kwenye honeymoon?

 Kisa cha kweli kimetokea nchini Marekani ambapo mwanamke Jordan Linn Graham aliamua kumuua mpenzi wake kwa kumsukumiza kwenye bonde wakiwa matembezini kwenye honeymoon yao. Ni kitu cha ajabu. Je...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je wamjua samaki huyu?

Kwa kimombo anaitwa Blobfish. Sijui kwa kishwahili anaitwaje. Ndiye kiumbe mwenye kutisha kuliko wote duniani. Hata hivyo anakabiliwa na tishio la kutoweka kutokana na uvuvi holela.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ushirikina wa wazungu

Pamoja na kuita mila zetu za kishenzi na kishirikina, wazungu nao bado ni washirikina hasa ukiangalia baadhi ya mambo kama vile sikukuu ya Haloween na jinsi wanavyoogopa namba kama vile 13 na 666. Kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Safu ya mlevi ni moja, wengine matapeli

 Walevi huwa tuna sifa na kanuni moja. Hatuna mila ya kuzunguka, kuzuga wala kumuogopa ngurumbili. Makala hii ni maalum kujibu uvivu wa kufikiri na ughushi nilioushuhudia kwenye chombo kimoja cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

When your leaders lead in evading tax

 I waited for them to steadfastly and timely repudiate to no avail.  Therefore, I've decided to go on air awakening you about their sin. As we confab, please read this quote that’s reported on 11th...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kikwete na watu wake na mambo yake

Kikwete anapomteua balozi wa heshima Ahmed Issa pichani na mkewe Julin wakati mtu mwenyewe hata hajulikani. Je ni kujuana, ukuadi, uzembe na ukosefu wa umakini, dili au vipi? Sitashangaa nikisikia siku...

View Article

Kijiwe chashangaa mipasho ya Njaa Kaya

JAPO  siku zote Mpemba ni mtu wa utani na bashasha, leo kuna jambo limemtatiza. Maana alivyoingia akiwa na ndita usoni, si haba. Kuna jambo tena kubwa tu. Anaingia akiwa anajifuta kijasho na kuamkua,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katiba mpya, Kikwete mshinde shetani

HAKUNA ubishi kuwa Rais Jakaya Kikwete anakabiliwa na mtihani na kishawishi kikubwa. Hii ni baada ya kuridhia kuandikwa kwa Katiba mpya ya Tanzania baada ya kugundua kuwa katiba viraka ya sasa hailifai...

View Article

TANZANIA: THE ‘GOODIES’ OF THE NEW DRAFT CONSTITUTION

INDEED, I was in a real cocktail party phenomenon as I mused about the goodies of Tanzania's new draft Constitution. I was over-delighted to note that things are moving. Unexpectedly though, who knew...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hongera Kikwete kukabili mihadarati

Rais Jakaya Kikwete alikaririwa kuwa atapamba sorry atapambana na biashara ya mihadarati. Kwa mbinu ya Kikwete kula na kunywa na mateja huku akikalia majina ya wauza unga sijui nani anamdanganya nani?...

View Article

IT ISN'T NEPOTISM, IT'S OUR TURN TO EAT!

MANY with jealousy especially those that regard themselves older than others are now schmoozing that we’re eating and our rule is bogus, archaic and is made of corrupt friends. Yes; we’re eating. This...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi akataa PhD watasha vinywa wazi

Wiki iliyopita ilikuwa ya zali.  Chuo kimoja hapa Ukandani kilijipendekeza kwangu na kutaka kunipa PhD. Chuo hiki kilitumiwa na wabaya wangu waliotaka niwasukie ulaji kwenye shamba la bibi. Hivyo,...

View Article
Browsing all 3175 articles
Browse latest View live