Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3175 articles
Browse latest View live

Je watanzania tunaelewa tunachofanya na tunachotaka?

           Kashfa mbili za hivi karibuni zimenifanya nifikiri upya kuhusiana na mikakati madhubuti anayofanya rais John Pombe Magufuli.  Kashfa hizi–yaani ile ya bandarini ambapo mita za kupimia mafuta...

View Article


Hata kama hujui kiNdebele, muziki huu unakumbusha nini?

Upendo huu! Hauna cha tajiri wala maskini.Hauchagui hata wapi kuuonyesha wala namna ya kuuonyesha. Hauna wakati wala eneo. Unaongea kwa lugha zote katika zama zote. Hapa nadhani wale waliokuwa bitoz...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe chataka scorpion askopioniwe

             Tukio la kinyama la mchovu mmoja kutobolewa macho baada ya kupora na kutupwa barabarani ili agongwe na magari limeudhi kijiwe hakuna mfano. Leo kila mwanakijiwe anaongelea unyama huu tena...

View Article

The guy who said hi to death!!!!

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barua kwa mzee Mchonga Nyerere

             Baba tena wa kaya, nakusalimu kwa heshima na taadhima. Japo najua hutajibu, naamini unanisikia. Japo huweza kupokea salamu zangu, bado nakuheshimu tena kuliko wengine walio hai ambao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

The window into my book: Africa Reunite or Perish

            The synopsis of the bookThe title: Africa Reunite or Perish, 2015.Author: Nkwazi Nkuzi MhangoPublishers: Langaa RCPIG, Bameda, CameroonThemes: Economics, Politics, History, Conflict,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magufuli kugawa ardhi ya umma HAPANA HAPANA

            Akifungua kiwanda cha Salim Bakhresa huko Mkuranga hivi karibuni, rais John Pombe Magufuli alikaririwa akitoa zawadi ya ardhi kwa Bahkresa. Hili halikubaliki kwani nchi si mali ya Magufuli;...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Soma wasfu wa Massaburi ugundue alivyoghushi udaktari

Ufuatao ni wasfu wa marehemu Didas Massaburi ambaye wengi tulimjua kama mission town lakini si Daktari pamoja na rafiki na mshirika wake Makongoro Mahanga. Wanaomjua, hakuwahi kuwa na hata shahada moja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe chamkumbuka mzee Mchonga

           Baada ya rais Joni Kanywaji Makufuli kunusuru mishiko kibao ambayo wanene wangekamua kwenda kujimwaya kule Simiyu, Kijiwe kilifunga safari hadi kule Mwitongo kumuona mama Merry ili kumpa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maticha wanapoonyesha uanafunzi na waziri akaurudia!

             Nilitaka kuandika juu ya kadhia ya kule kwa kina Twambombo tununu ambapo wanafunzi maticha walimshushia kipigo cha mwizi mwanafunzi mmoja mtukutu kiasi cha kujivuka mipaka ya uticha wao na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Namuonea huruma Magufuli

                  Akisema amejitoa sadaka kwa ajili ya watanzania, wapo wanaouliza: “Kwani yeye ni Yesu” utadhani Yesu alikuwa mtanzania! Sijui wanataka awatoe wao sadaka kama ilivyokuwa kabla?...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Prof Tibaijuka anatak kmudanganya nani?

            Hivi karibuni, mbunge wa Muleba Kusini profesa Anna Tibaijuka alipokea tuzo toka umoja wa mataifa ukitambua mchango wake katika kuhamasisha maendeleo. Hili si jambo jipya hasa kwa mtu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

My New Book Is Out!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Africa’s Best and Worst Presidents: How Neocolonialism and Imperialism Maintained Venal Rules in Africa seeks to deconstruct the current superstructure that colonialism created and maintains. It...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe chashanga Lukuvi alivyoshughulikia kashfa Moro

          Baada ya kuzinyaka kuwa waziri wa Ardhi Bill Lukuvi alivamia ofisi ya ardhi ya nkoa wa Moro na kugundua madudu na kuyaacha, Kijiwe kimeamua kumshangaa na kumjadili. Hii ni baada ya Msomi...

View Article

Serikali ikitaka kunasa wahalifu ifanye yafuatayo:

                 Hivi karibuni kaya yetu ilikumbwa na matukio ya kihayawani na ya kutisha ambayo sipendi kurudia kwa sababu za kitaalamu. Hata hivyo, leo nataka nije na mkakati wa kupambana na wahalifu...

View Article


Onyo na Ushauri: Mlioghushi Msingonje Kifo Kiwafichue

           Kadhia ya kughushi vyeti na sifa za kitaaluma ni janga na tatizo kwa Tanzania kitaifa hata kimataifa kwa Afrika. Baada ya kuingia sera za uliberali mamboleo (neoliberalism) kama njia ya...

View Article

Magufuli aache kulalamikia maovu atumbue

            Akihutubia wafanyakazi wa bandari hivi karibuni, rais John Pombe Magufuli alikaririwa akisema “ukiajiliwa bandarini umeukata, unaambiwa hongera na umeukata.” Magufuli alisema hayo akiwa...

View Article


Kwa Hili, Naingia Bongolalaland Kuwekeza Ardhini

Baada ya kugundua kuwa kuna magabacholi wanaweza kuja Bongolalaland na kughushi vyeti vya kuzaliwa na kujizolea ardhi kila kona watakavyo kama alivyofanya Hamnazo Pateli, mlevi sitaki niachwe nyuma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mpayukaji aitwa kwa Joji Kichaka kupiga tafu kampeni

           Baada ya lile baguzi la kunuka liitwalo Don Drumpfy kuanza kuchafua hali ya hewa kule kwa Joji Kichaka na Obamiza, chama cha Kidemokrasi kilimwomba mzee Mzima kutia timu kuokoa jahazi....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mihadarati: Kwanini Kikwete hamsaidii Magufuli?

            Japo balaa la uuzaji na utumiaji wa madawa ya kulevya nchini linazidi kugeuka janga la taifa, si viongozi wengi wanapenda kuliongelea. Hata hivyo, hivi karibuni, akiongea kwenye wilayani...

View Article
Browsing all 3175 articles
Browse latest View live