Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3176 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vihiyo na vilaza wakae mkao wa kuliwa

Jamaa akiangua kilio baada ya kubainika kuwa kumbe ni kihiyo aliyeangukia madaraka makubwa kutokana na nguvu ya vimemo. Laiti wangeshughulikiwa wote na kuishia jela, huenda lingekuwa somo kwa wengine.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kilichomkweza Makonda ndicho kitakachomshusha

           Kuna kisa maarufu cha jamaa aitwaye Kiburi. Huyu bwana alikuwa na kiburi kama jina lake kiasi cha kudhani yeye ni yote katika yote bila kujua avumaye baharini papa! Tokana na kiburiburi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

When Junior and Senior Engage

We decided to take a walk.We then had a talkAs parent it was my workListening was Junior's workWhat a walk!What a talk!A well done work

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe chamstua dokta Kanywaji asiambukizwe majipu

             Juzi Mgoshi Machungi aliibahatika kuhudhuria mapokezi ya mkiti mpya wa Chama Cha Majipu, sorry Magamba, sorry, Mapandikizi (CCM) ambapo mkuu wake mpya alikuwa akirejea mjini baada ya...

View Article

Walioghushi wafungwe maisha na kutaifishwa

                        Baada ya kuinyaka hivi karibuni kuwa baadhi ya vihiyo vilaza na vigushi wanaanza kujiondoa kwenye ofisi za umma, nimestuka na kupaswa kutoa angalizo kama mtaalamu wa masuala...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania ni zaidi ya Ukuta na CCM

          Hakuna ubishi; taifa letu liko njia panda; hasa baada ya kujitokeza kile kinachoonekana kama uvunjaji wa katiba na upingaji wake. Kuanzishwa kwa Umoja wa Kupinga Udikteta Tanzania (UKUTA) ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ahadi za kunasa wazungu wa bwimbwi vipi?

          Baada ya kushuhudia zinavyozikwa kashfa kama vile Escrow, Lungumi, UDa na nyingine nyingi, kijiwe kimeamua kukumbushia na kuhoji ilikoishia vita ya kuwanyaka wazungu wa bwimbwi. Baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naja na UKUTA dhidi ya deni la kaya na marahis wastaafu

            Baada ya lisirikali kuwahi kupendekeza kupunguza mishahara ya wanene ili kubana matumizi yasiyo na tija kwa kaya, nilihisi kama kuna ubaguzi. Rahis–kwa kuonyesha mfano–aliagiza mshahara...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe chawalilia wahanga wa tetemeko

                       Baada ya kupokea kwa mstuko taarifa za kutokea kwa tetemeko huko mkoani Kagera, Kijiwe kilikaa na kutathmini baadhi ya mambo ikiwemo kuomboleza na kutuma salamu za rambirambi...

View Article


Mlevi aja na suluhu kwa hasara zitokanazo na majanga

            Baada ya kutokea tetemeko la ardhi kule kwa akina Nshomile waitu, Mlevi nimeona ni vizuri niwamegee utaalamu na uzoefu wangu ili kuepuka hasara na mateso bila ulazima. Kwanza, nawapa pole...

View Article

Umma ujulishwe sifa za wateuliwa

            Kwa wanaokumbuka enzi za utawala wa kwanza chini ya marehemu Mwl Julius Nyerere, watakumbuka uwazi uliokuwapo karibu katika masuala mengi. Mfano, tulizoea kusikia rais akifanya uteuzi jambo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Happy Birthday Nkuzi

Leo ilikuwa siku ya kuzawaliwa Nkuzi. Ametimiza miaka sita.Hatukuwa na mtoko kutokana na kuwanyesha ,mvua hivyo, tumeishia kusherehekea indoors.

View Article

Je ni Makufuli au uzembe wetu?

          Baada ya kugundua kuwa matapeli na wazembe wameanza kumtumia Dokta Kanywaji kama sababu ya kukwama kwao, kimeamua kutoa angalizo miongoni mwa wanakijiwe na wanakaya wote ili waache visingizio...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi kuomba kuwa mkurugenzi wa bandari

              Baada ya kushuhudia, ubabaishaji, ufisadi, ujinga na kila aina ya madudu bandarini alipotembelea Dokta Kanywaji, Mlevi napanga kuandika barua ya kuomba niwe mkubwa wa eneo hili nyeti ili...

View Article

Ungekuwa ni rais huyu mwizi wa magwanda ungemfanya nini?

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barua ya wazi kwa Hamad na Lipumba

           Waheshimiwa,Naamini hamjambo na mnaendelea na shughuli zenu kama kawaida. Naandika barua hii kwa uchungu mkubwa kama mpenda mageuzi. Kilichonisukuma kuandika barua hii ni mambo yafuatayo:...

View Article

Kijiwe chalaani upumbavu wa Iringa Mvumi

          Kitendo cha kinyama kilichotendwa na wananchi wa kijiji cha Iringa Mvumi kimeacha kijiwe na simanzi, hasira na hata kutaka kulipiza kisasi. Baada ya kuzinyaka kuwa maafisa waKituo cha Utafiti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tunapogeuka kaya ya wapumbavu na wanayama!

          Wiki hii mlevi sikupata vile vitu vyangu. Nilikuwa kwenye msiba hata kama uliwahusu wachovu ambao sikuwahi kukutana nao. Baada ya kunyaka taarifa kuwa wanakaya kwenye kijiji cha Iringa Mvumi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hayawi hayawi! Afrika yapata treni ya kwanza ya umeme

Nchi ya Ethiopia inaingia kwenye vitabu vya historia kama nchi ya kwanza kuwa na Treni ya umeme ukiondoa Afrika Kusini katika Afrika. Hivi karibuni mradi wa ujenzi wa Treni ya umeme kutoka Addis-Ababa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kumbe 'usanii' unalipa!

Angalia babu wa Loliondo, Ambilikile Mwasapila anavyoonekana kabla ya kuibuka na baada ya kuzinyaka akiwahadaa wajinga kuwa ana tiba ya ajabu wakati alichokuwa nacho ni uongo wa ajabu. Je namna hii...

View Article
Browsing all 3176 articles
Browse latest View live