Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3175 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tunataka uongozi kwa Kinana si uongo – 2

 KATIKA makala ya “Tunataka uongozi kwa Kinana si uongo”, niliahidi kumdurusu zaidi Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahaman Kinana, hasa kutokana na matamshi yake yaliyozua utata na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Please take it easy Mura Werema

When boozers requested me to form Waishiwa Boxing Club (WBC) that I reported in my Boozer’s Corner column I didn't know that some bankrupt biggies would become members though insentiently. Before long,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mnagundua gesi na kuongeza kuomba omba

Mlevi alifurahi sana kabla ya furaha kutumbukia nyongo na kuchukia kusikia kuwa Bongo imegundua kisima kingine cha gesi.  Nasikia kisima hiki kipya kina gesi ipatayo lita trilioni 85 kwa mujibu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

We're sufferin' from CCM bug?

     Guess what. Today I’m bringing bad news to boozers. It came to our knowledge that many boozers are likely to perish if something isn't nippily done. Being a doctor of everything, I discovered a...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makongoro Mahanga akubali kughushi PhD

Makongoro  Mahanga, Naibu Waziri Kazi na Ajira kwa mara nyingine amekubali kuwa alighushi sifa zake za kitaaluma. Hii ni baada ya Makongoro kudaiwa na mwanaharakati wa haki za binadamu Keinerugaba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Angalia watawala vibaka wanavyoondoka madarakani

 Pamoja na kuiba kwa miaka yote waliyokuwa madarakani, bado watawala wezi na waramba viatu wao wana mshipa wa kuiba mabilioni kama ilivyotokea juzi kwenye fuko la Escrow na ujambazi mwingine kama vile...

View Article

Kijiwe: Matanuzi kwanza, kilimo mwisho

BAADA ya kunyaka nyuzi kuwa katika libajeti la hovyo linalojadiliwa baada ya kuletwa na Saada Mkuyati kuwa ofisi ya rahisi imepangiwa njuluku sawa na za kilimo, Kijiwe kimeamua kutoa shinikizo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Werema ni mwanasheria au mwanashari?

NAANDIKA makala hii kwa masikitiko sana kulaani mtindo wa kihuni wa baadhi yetu kujichukulia sheria mkononi. Hali hii inakuwa mbaya zaidi hasa pale tunaodhani ni magwiji wa sheria na mihimili ya sheria...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM imefikia mwisho wake iwajibishwe

Hakuna ubishi. Chama Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni mojawapo ya vyama vikongwe duniani. Ni chama kilichochoka kuisha na kuishiwa kiasi cha kupaswa kustaafisha tokana na utendaji wake wa hovyo na wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Werema vs Kafulila na wanavyovuana nguo!

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi:Kumradhi kuvunjika pambano Mjengoni

Siku hizi mjengoni kumegeuka Railway Gerezani ambako ndondi hupigwa.Tofauti ni kwamba Railway Gerezani huwezi kuingia bila kulipa kiingilio na wala hulipwi posho ya kukaa na kushangilia ndondi kama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kafulila vs Werema: Makinda at it again!

          In the just ended showdown-cum-show-offs as govt’s chief Counsel Freddie Werema wanted to punch Kigoma South MP, David Kafulila for snooping in his ulaji, another casualty evolved. This is...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kwa dada wa Kitanzania

Baada ya kusoma gazetini BOFYA HAPA kuwa dada wa kitanzania wanapelekwa China kuuza miili yao nilishawishika kuandika comment ifuatayo:Tamaa, ujinga, kutaka kuukata, umaskini na roho mbaya vinaponza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yamekuwa haya?

View Article

Kijiwe chalaani uhuni mjengoni

BAADA ya mura Were-maa anayeitwa jaji na mwanasheria mkubwa kulikoroga huku wakubwa zake wakikenua, kijiwe kimeamua kujitoa kimasomaso na kulaani uhuni wake na wa wenzake, hasa wale wanaomkingia kifua...

View Article


Kwanini serikali haina fedha wakati inaibiwa ikinyamaza?

          Ripoti kuwa serikali yetu imefilisika kiasi cha kushindwa kupata pesa ya bajeti yake licha ya kutisha zinaudhi sana. Wahusika wametutaarifu kuwa hakuna pesa ya kutosha lakini licha ya kutupa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Boozer to run for president

    After the presidency of the hunk became an easy position any fella competent and incompetent can take a stab at, I, too, declare my candidature come next general elections. Given that urais...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi kuanzisha kampuni za kitapeli

Baada ya kugundua kuwa ukwepaji kodi na wizi wa fedha za umma, mlevi amepanga kupiga njuluku kwa kugeuka mjasiriamali. Napanga kuanzisha kampuni ya kupiga njuluku ya Mlevi Organized Network Enterprises...

View Article

I love this dream of Machakosdubai

If wishes were horses beggars would ride. One county in Kenya, Machakos, has such bigger dreams of becoming the Dubai of Africa. Again, dreaming is one thing and realizing the said dream is another....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mabilioni ya Uswizi yameishia wapi?

Hali ilivyo ni kwamba mjadala na mashinikizo juu ya kureshwa kwa mabiloni ya shilingi yaliyoibwa nchini na kuficha ughaibuni hasa Uswizi umezimwa kinamna. Pamoja na serikali ya Uswizi kutoa msaada wa...

View Article
Browsing all 3175 articles
Browse latest View live