Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3180 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

When ministers talk and act like boozers

         Guess what. I've a bone to pick. Some ministers hugely act and talks as if they've nary set a foot in the class. Did they forge their academic credentials like those weave evidenced been...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kikwete: Msanii anayependa wasanii kuliko wapiga kura

 Baba wa taifa Marehem Mwalimu Julious  Nyerere alipomkataa Jakaya Kikwete akisema hakuwa amekomaa kuwa rais wa Tanzania wengi walidhani kuwa angekua. Ni bahati mbaya kuwa Kikwete alikataa kukua...

View Article


Kijiwe chalaani serikali na milipuko ya Arusha

BAADA ya kupata taarifa za kuhuzunisha kuhusu shambulio jingine jijini Arusha, kijiwe licha ya kutoa salamu kwa wahanga, kinalaani ushenzi huu unaopaswa kukomeshwa badala ya kuzoeleka. Pamoja na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 0

BAADA ya urais kugeuzwa urahisi kiasi cha watu wa hovyo wasio na sifa (watimbwakwiri) wala mipango kuuwania kwa udi na uvumba, ni jukumu la Watanzania kuwa makini kwenye uchaguzi ujao. Kutokana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlevi ampongeza Riziwani kuwapasha makanjanja

Bwana Riziwani,Baada ya kutundika mibangi na gongo naomba nichukue fursa hii kukupongeza kwa kuwatolea uvivu makanjanja wanaokosoa utawala wa dingi wako. Well done and bravo plus kudos mtu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

The day boozer became “bomber again”

 War war warI declare warWar on corruptionWar on nepotismWar on red typeWar on every vice I won’t give upI won’t cave in I won’t give inI will soldier onI won’t back down No backing off. The lord’ll...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Adhimisho la Ndoa

Jana ilikuwa siku yetu ya maadhimisho ya ndoa yetu. Tulisherehekea japo kimya kimya na watoto wetu kuendelea kula chumvi na sukari ya ndoa. Tunazidi kumshukuru Mungu kwa hili kwani miaka inazidi kwenda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Do you know who Harbinder Singh Sethi of IPTL is?

Harbinder Singh Sethi is one of the young Asian fixers who made fortunes during the 1980’s when President Moi created his own business and real estate empire. Described in the press as a ‘Kenyan...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Who is James Rugemalira?

James Bulchard Rugemalira is the central Tanzanian player in the long drawn-out IPTL saga. Describing himself as an ‘Independent, International Consultant’ and a ‘great patriot’, Rugemalira is a former...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Well done Sumaye though

           Former premier Fredrick Sumaye’s the guy, against all odds, who’s reinvented himself lately. Whether he’s seen the light or not is subject to discussion. Whether he’ll succeed, also, depends...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kumbe mzee Pinda mhuni!

Sijui kwa umri na hadhi yake kama aina hii ya salamu inamfaa. Nakumbuka mhuni mwingine aliyekuwa rais aliyezoea kuwaamkia watu mambo asijue ndiyo uvivu wa  kufikiri wenyewe. Sikujua kuwa kumbe...

View Article

Kijiwe chajadili ubaguzi juu ya urais

BAADA ya vitimbakwiri kujitokeza bila aibu na kutaka kuwania urais, Kijiwe kimeona kisiachwe nyuma. Maana bila ya ushauri wake rais ajae anaweza kuwa rahisi tena na kaya ikaingia kwenye hasara zaidi ya...

View Article

January Makamba na falsafa ya ujana katika chama kizee

BAADA ya January Makamba kulianzisha akaungwa mkono na Jaji Joseph Warioba kuwa rais ajaye lazima awe kijana, wengi tumejiuliza mantiki ya vijana kutaka kuingia madarakani kwa kutumia chama kizee....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Did you know traffic jams kill?

       All those residing in Dar-si-salama (haven is no longer safe) that used to be Dar es Salaam or the haven of peace know what I’m trying to say. I recently spoke with a friend whose name is top...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kutupwa viungo vya waswahili ingekuwa India waswahili wakafanya hivyo...

Makamu Mkuu wa Chuo cha International Medical and Technological University (IMTU), Profesa PV Prabhak Rao (mwenye koti la blue)  na viongozi wengine wakisindikizwa na polisi kuingia kwenye Kituo cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Futari au aina mpya ya hongo na ufisadi?

Kumezuka utamaduni wa kutumia vibaya fedha za umma kwa maslahi binafsi. Siku hizi ni fasheni kwa viongozi hasa marais, mabalozi, makampuni hata mashirika kufuturisha. Je hii ni futari au hongo na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Seriously, Mlevi kugombea urais

Baada ya kila msaka tonge kutangaza nia ya kugombea urais ambao unaanza kugeuka urahisi yaani ulaji rahisi, mlevi japo alishabainisha kuwa anaweza akatia timu, sasa anatangaza rasmi kuwa atagombea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Shehe" Peter Kayanza Mizengo Pinda aandaa futari akimbia swalat!

Waziri mkuu Mizengo Pinda akifurahi na wasaniiRais Kikwete akiwasili kwenye makazi ya PindaWala pilau wakiswali baada ya futari aliyoandaa Pinda.Waziri mkuu Mizengo Pinda akifurahi na wasanii waliokuja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

What a generous-cum-religious hunk!

           I must say it clearly, loudly and openly before I jolt it down. I’m against the tendency that’s become an in-thing in our society whereby biggies, companies and who've duped boozers...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha ya mwezi ya blog hii

Tulitoa picha hii katika maadhimisho ya ndoa yetu hapo Julai 18. Katika kuangalia picha za mwezi huu, tumeona tujipendelee angalau turejeshe picha hii kwa vile ilionekana kuwa picha nzuri ya mwezi huu.

View Article
Browsing all 3180 articles
Browse latest View live