Quantcast
Channel: Free Thinking
Viewing all 3175 articles
Browse latest View live

Bravo Sitta, tell us more

$
0
0
  How do you feel when you find that you've been ruled under the constitution that allows bigwigs to rob you? Hold your horses. I know. Shushus are now contemplating to sue me for blasphemy and incitement.  I am not the one alleging that our noble constitution allows biggies to rob boozers. The chair of Constitution Assembly (CA) Hon. Sam Sitta said recently that our current constitution allows bigwigs to rob us and spend the same on bribing us to vote for either them or their vitegemezi.
Boozers are feed up and pissed off with abracadabra especially in our hunk. Though, they still have guts to say or stomach it. This is why they fully concur with what Sitta said.  Boozers are not the bin-Adams one can take for a ride just like other Bongolalalanders. They know a lot comparably. This is why they sent me to jolt this epistle down in recognizing the true words Sitta uttered recently. Guess what. Boozers knew it since long. Save that they didn't want to say it for fear of contracting the law. For, in law, if what has been going on is legal how one does oppose it without committing a crime? You know what. Boozer knew that the current constitution allows some brigands and venal bigwigs to rob the public and buy votes. Essentially, this is what Sitta said recently as he’s interviewed by some media houses in Dom.
Mr Sitta
It is on record. You said that you are not satisfied with the current constitution which you said sanctions graft and rent-seeking behaviour. You went ahead saying that it is easy for person to illegally use her or his position to become rich and spend the same riches on purchasing ulaji. So too, you warned of the danger of this vice whereby some bigwigs are not only glooming their vitegemezi to inherit their positions in public offices but also their protégés and friends. They’re now all over the place. The worst thing in this political sacrilege is the fact that when they rob us by superimposing their vitegemezi on us, they call that democracy.
Mr Sitta,
Arguably, what you said is that we’re manned by thugs, thieves and whatnot and they still are doing it legally thanks to the old-full-patched constitution.
Mr. Sitta, can you tell us more on why this constitution allows such criminality in the first place? Is it because of oft-amendments many venal rulers made to see to it they get away with it?
Mr Sitta is right. For, one boozer left us in stitches when he said that the currently constitution blesses deals as it curses accountability.  The guy who pretends to be a learned friend aka lawyer said that what’s going on is legalized theft that needs to be stopped as soon as possible by just enacting New Constitution that states clearly and loudly that nobody’s allowed to rob the public or superimpose his person, friend or dependent on the boozers as it currently is.
Mr Sitta,
It is as if this guy read your mind. For, you, too, said exactly the same that the New Constitution needs to clearly and loudly stipulate that graft, embezzlement, nepotism, capital flight, stashing dosh in the offshore banks and whatnot are crimes punishable by law. Our bush lawyer proposed that those who partake corruption, kickbacks, capital flight, stashing dosh in the offshore banks, ineptness and other vices should receive capital punishment.
Our bush lawyer went ahead alleging that the current constitution allows monarchy. Thus, our democratically- elected biggies can become kings, queens, emirs and sheiks such as those in the Middle East and everywhere else. As Machiavelli put it, “The first method for estimating the intelligence of a ruler is to look at the men he has around him.” Where’ll you put the person who’s surrounded by cronies, relatives and praise singers? Where’ll you put the person whose rule’s made of suspicious characters? Accuse nobody in our hunk. According to Sitta who’s also a prominent lawyer, our noble constitution sanctions all the above vices. Therefore, you can take this to the bank. We’re ruled intelligently.
For those who read The Prince by Niccolo Machiavelli will agree with us that princes and princesses can’t be left out in the eating frenzy. So those condemning the bigwigs of nepotism are wrong. For, the constitution sanctions it. Who are they to want to go against the constitution in the first place? Again, if Bongolalalanders do vote for princes and princesses, who is to blame?
Going back to Mr Sitta, you said that the New Constitution should loudly and clearly stipulate that nobody shall serve two masters namely his business and the public as it currently is whereby some MPs are prominent business persons and everything is spiffy.
Before winding up, Mr Sitta, what do you make out of the ever-bickering Constitution Assembly you are manning? Do you think the hishimiwas will stop fighting for mshiko and make an anti-corruption Constitution that’ll take on corruption head on? Given that you’re in the factory that is to make our constitution, boozers are anxiously waiting to see you work on the problem you already have pinpointed.
Source: ThisDay March 24, 2014.

Mgosi arudi na sera ya serikali 100

$
0
0
BAADA ya kuona watu wanataka kutoana roho kwa ajili ya vijiserikali vitatu mgosi Machungi amekuja na jibu. Pia ameona aje na muarobaini wa kuzuia kaya kuwa ya usultani au kifalme kama kijiwe kilivyopendekeza wiki iliyopita hasa ikizingatiwa kuwa wana kijiwe hawana damu ya kifalme.
Mgosi anasema amefanya hivyo ili kuokoa njuluku za umma zinazoliwa bila kufanya chochote. Pia alisema anataka kuepusha vifo vinavyoweza kutokana na kugombea mshiko pale mjengoni ambapo kila mtu anataka atoke akiwa bilionea kama si milionea.
 Si Mgosi eti anataka kila mwenye kutaka kuanzisha serikali ruksa.
Bahati mbaya amesahau kuwa sera za ruksa ndizo zilizotufikisha hapa!
Baada ya Mgosi, kuona ulaji ulivyo mkubwa kwenye Katiba huko Dom kaona njuluku ipo ameamua kuja na namna ya kuidaka yaani kuanzisha serikali hadi chooni.
Aliingia kwa mkwara ‘God knows’. Maana tulipiga kahawa na kashata mpaka tukalewa na kuanza kuitukana. Nauli ya kwenda nyumbani kila mtu alipata.
Mgosi alikufuru pale alipotaka tuwachokoze ndata na kuwapiga halafu awalipe, ila tuliogopa kutoana ngeu na manundu tukaamua kumuachia balaa la utajiri wake wa muda.
Alisema, “Kwanini tisianzishe sera ya kila mtu kuwa na seekai yake?”
Mpemba anajibu: “Hii rahisi yakhe. Mie nenda kuwa rais Pemba wallahi.
Mipawa naye anakatua mic: “Lazima Mkoa wa Simiyu uwe chini yangu wagu wangu.”
Mijjinga naye hajivungi. Anakwanyua mic: “Natangaza kuanzia leo. Geita ni nchi yangu na mimi ndiye rais pekee. Watu kama Kanji na bi Sofi mkitaka kuja Geita lazima muwe na passport vinginevyo nawapiga PI. Pia wale wauza bwimbwi wakome. Wakija kule nanyonga badala ya kuwalea kama ilivyo kwenye kaya hii.”
Kijiwe hakina mbavu jinsi watu wanavyotambiana huku wakitangaza umilki wa mikoa utadhani kina Carl Peters na Mungo Park zama zile za utwahuti uliozaa ukoloni.
Kapende hataki aachwe kwenye mbio hizi za kutangaza urais. Anasema: “Lazima Lindi iwe chini yangu nione hawa wezi wa gesi watakula wapi kama si lupango chini ya serikali mpya ya ukombozi ya rais Mheshimiwa, mtukufu, Dokta, Profesa, Shehe, Alhaj, Maalim, mjua yote, kipenzi cha wote na chaguo la Mungu Kapende. Pia natangaza kuwa mafisi na mafisadi waliokwisha kukaa mkao wa kula gesi watauawa kwa kupigwa mawe.”
Kanji, kuona watu wanavyogawana kaya asijue yeye atakuwa mgeni wa nani anaingilia kati, “Jamani hapana vunja ungano. Sisi sote dugu moja. Kwanini kila mtu na koa yake? Iko taka mimi rudi Bombai jamani ife njaa?”
Mgosi anasema tena kwa nyodo: “Kia mtu ave na kwao ati. Kwani kuna ubaya gani kama Kanji utaudi kwenu Bombai? Utiache tupange maendeeo yetu Kanji.”
Kanji hakubaliani na mgosi. Anajibu: “Veve Chungi taka leta vita. Kama vatu yote nakaa kwao nani tafanya biashara dugu yangu?”
“Nshasema Tanga mai yangu. Kama unataka au hutaki si uende kwenye Bombai dugu yangu Kanji. Hiyo biashaa unayosema inasaidia nini kaya yetu zaidi ya kuhamisha mitaji kwenda Bombei na kwingineko?”
Baada ya Mzee Maneno kuichukua Pwani na Mzee Kidevu Mtwara, huku Msomi akipewa uwaziri mkuu wa Muungano, mzee mzima Mpayukaji napewe ukuu kaya hizi zote zilizotangaza ufalme wake lakini zikiwa chini yangu.
Hali hii kidogo inampa Kanji matumaini. Kwani chini ya muungano wa falme hizi mpya lazima kutakuwapo na mianya ya ufisadi ambao utawahitaji kina Kanji ili wanene wakiufanya wawe wa kuwafichia siri zao kama ilivyotokea kwa Chavda na  gabacholi wa rada na mkangafu wa ndege wa mkuu.
Baada ya unyakuzi huu wa mikoa kikao kinakubaliana yafuatayo:
Mosi, wake zetu tatawapingia mikoa iliyobaki. Pili, nyumba ndogo na vitegemezi watasimamia wilaya zote katika nchi mpya.
Tatu, vyama vya siasa vyote vitafutwa. Kwanza, havina maana na vyanini wakati kila mtu ana serikali yake. Hapa hakuna chama twawala wala twaliwa bali serikali tu. Mbona mashule na vyuo wana serikali na hakuna noma?
Watu wanakula vitabu wengine wanakwenda kupiga uchangu na kupata shahada zao za nonihino na maisha yanakwenda. Bongo hii bwana. Unatumia ubongo hata kama kwa kutumia ule wa massaburi ubongo ni ubongo.
Kama alivyosema jamaa yangu Njaa Kaya kuwa raha ujipe mwenyewe. Nasi wana kijiwe tunataka kila mtu ajipe raha mwenyewe mkoani mwake na serikali yake.
Kama alivyosema Ben Makapu Tunituni kuwa mtaji wa maskini ni nguvu yake na mtaji wa wachovu ni kila mtu kuwa na serikali yake. Hii itaepusha ufisadi ambapo watu wanaiba njuluku za umma na kuficha Uswazi ya Uswizi.
Unakuwa na serikali yako unajilipa kodi mwenyewe. Hapa hata wale waheshimiwa walioishiwa hadi wanalipana posho za makalio tutawapiga marufuku maana wanakwenda kufanya mambo ya malavi davi who wants them na usawa huu wa miwaya wakiugua wamalize njuluku zetu kwenda India na Sauzi. Shame on you!
Pia Mgosi anapendekeza ndata wapigwe chini ili kila mwenye serikali yake akodishe kampuni za ulinzi ambazo hazitozi watu rushwa wala kuwatisha.  Hapa ndipo Kanji anapenda kwa vile atawakusanya walevi wawili watatu na kufungua kampuni ya ulinzi halafu anakwenda serikalini kupewa tena ya ulinzi na siku zinakwenda au vipi?
Wale wazee wa mabao mtakula mafi yenu. Maana tutaleta kompyuta za kuongoza magari ambazo tunajua haziwezi kuomba rushwa. Hata waliozoea kushinda kwa kuchakachua mtakula mafi yenu.
Kwa vile kikao cha leo ni cha kusukuti jinsi ya kuukata, hakuna longo longo nyingi zaidi ya kusukuti na kusukuti.
Pia kijiwe kinapanga kuhakikisha zile njuluku zilizofichwa uswazi zinaletwa na kutumika kugharimia hizi serikali zetu tunazopanga kuunda ili kujikomboa kama wakubwa wanaojikomboa kwa kurithisha maulaji kwa vitegemezi vyao.
Kijiwe kikiwa ndiyo kinanoga si akapita mdada mmoja akiwa amevaa mlegezo kama wahuni wa kisasa. Acha tumzomee! Changu huyu nuksi! Si kikao kilivunjika kutokana na watu kwenda kuzomea na kutaka kumvua nguo changu ili atembee uchi kama anatangaza!
Chanzo: Tanzania Daima Machi 26, 2014. 

Vunjeni Bunge la Katiba, okoeni fedha zetu

$
0
0
KWA waliofutatilia na kusikiliza hotuba ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, ya zaidi ya saa mbili  kwa Bunge la Katiba (CA) kule Dodoma watakubaliana nasi kuwa alikwenda kule kuvuruga mambo na kujivua nguo hasa alipopoteza fursa ya kujijengea heshima akajipinda kupingana na tume aliyoiteua mwenyewe.
Alipoteza fursa na muda kwenye kuizodoa na kulumbana na tume aliyoiunda mwenye, jambo ambalo kwa mkuu wa nchi linamuonyesha mtu mbabaishaji na anayefanya mambo bila kujua anachofanya.
Wapo wanaona kama Rais Kikwete, hakukosea hata kidogo hasa ikizingatiwa kuwa hakwenda kule kama rais japo alilipwa na kutumia ndege ya rais.  Wanasema kuwa alikwenda kule kama kada na mwenyekiti wa chama aliyekwenda kufanya kazi moja— kutetea sera ya chama chake ya serikali mbili.
Kweli, hakuna cha maana kitaifa alichofanya Rais Kikwete, wala kutamka kwenye hotuba yake ambayo wengi wameiita maelekezo ya semina zaidi ya kuonyesha unazi na ushabiki wa hoja za chama chake.
Kwa kumbukumbu ni kwamba Rais Kikwete, alikaririwa akiwalaumu Watanzania kwa kujikita kwenye hoja moja ya serikali tatu au mbili badala ya hoja nyingine muhimu kwenye rasimu.
Ajabu, baada ya Rais Kikwete kutoa lawama hizo, naye aliingia mkumbo huo huo wa kutumia muda mwingi kwenye maelekezo, vitisho, kujibu mapigo, mipasho na madude mengine kujadili muungano huo huo akitetea serikali mbili wazi wazi.
Kwa waliozingatia aliyosema Rais Kikwete, alichotoa si hotuba bali alipiga kampeni.  Hivyo, hotuba yake si ya kupingwa tu bali hata kulaaniwa kwani ameonyesha ‘double standard’ ya kuhadaa Watanzania kuwa anataka wawe na katiba yao kumbe ni katiba yao CCM na si Watanzania wote.
Wengi wanaona hakuna hata mantiki ya kuendelea na Bunge la Katiba kwa vile Rais Kikwete ameishamaliza kazi. Hivyo, kinachoendelea licha ya kufuja pesa ya umma ni kutaka kuwatumia kama mihuri ya kubariki Katiba ya CCM.
Tunajua wabunge na wapenzi wa CCM hawatakubaliana na ushauri wa kuvunja Bunge la Katiba. Pia wachumia tumbo wanaofuata malipo hawatakubali kuachia ulaji wa dezo, wanaoweza kufanya kinatochatakiwa si wengine bali wapinzani.
Wapinzani susieni hii ‘shoptalk and sideshows’ zinazoendelea Dodoma. Badala yake unganeni na kufanya nchi isitawalike ili sauti ya umma na utashi wao viheshimiwe. Msipofanya hivyo mtaendelea kuchezewe na kuhujumiwa tu.
Rais Kikwete amethibitisha asivyo na dhamira safi kwa taifa wala asivyoheshimu mawazo kinzani tena yatokanayo na umma. Ametumia hoja ya nguvu na ujanja ujanja badala ya nguvu ya hoja.
Ametumia mtindo wa kuvizia kufanikisha anachotaka.  Kama alivyokiri, rasimu imeandikwa kiweledi na haina cha kuingiza binafsi bali mawazo ya umma. Sasa kosa la tume liko wapi?
Rais Kikwete, amekosa busara hata katika kupinga serikali tatu. Ametumia mtindo wa kuvizia na kutegemea kuvunjwa kwa kanuni ili aondoke na ‘credit’ hata asipostahili. Kisheria, hotuba ya Kikwete ilipaswa kupingwa.
Inashangaza kuona wale waliomzuia Mwenyekiti wa Tume iliyoandaa Rasimu ya Katiba Mpya Jaji Joseph Warioba, hawakuliona hili. Je, hawakuliona au walitumiwa tu kuwezesha uhuni na uvunjaji wa kanuni uliofanywa na mtu anayejiita mtu wa viwango? Viwango kama ni hivi hakuna katiba bali kitabu cha kubariki ubazazi wa CCM.
Akiongelea muungano akitetea serikali mbili alisema: “Tunaweza kupoteza kitu tulichokijenga kwa gharama kubwa kwa nusu karne iliyopita. Tanzania inaweza kuwa nchi iliyojaa migogoro na matatizo mengi ambayo hatunayo.”
Kuna sehemu Rais Kikwete alifikia hata mahali kufanya uhaini alipotoa kitisho cha mapinduzi kana kwamba ameishayaandaa.
Si kazi ya Rais Kikwete, kufundishia faida au hasara za muungano. Ni mara ngapi watu wanashuhudia majengo tena marefu ya zamani yakibomolewa na kujengwa majengo mapya ya kisasa? Hivyo, gharama si hoja sana hasa ikizingatiwa kuwa demokrasia na haki ni gharama siku zote.
Rais Kikwete, alitumia muda mwingi kuidhalilisha, kuijibu na kuisingizia tume. Mfano, alikaririwa akisema: “Akitokea kiongozi ye yote wa nchi washirika akatunisha misuli dhidi ya Rais wa Muungano au kupinga maamuzi ya Serikali au chombo cha Muungano, Rais na serikali yake watakuwa hawana lo lote la kufanya.
Kwa kweli uhai wa Muungano katika muundo wa Serikali tatu ni wa mashaka makubwa.”
Mwenyekiti Mao wa Uchina alikuwa na msemo maarufu kuwa kama hujafanya utafiti huna haki ya kuhoji. Ni bahati mbaya Rais Kikwete hajatwambia amefanyia utafiti wapi zaidi ya kuja na hadithi ya Comoro ambayo haifanani kabisa na hali yetu Tanzania.
Kwa vile Kikwete hakuja na utafiti wowote wa kisayansi, alichofanya ni kuwadanganya wananchi badala ya kuwaaminisha kuwa kinachoendelea kinalenga kuwaletea katiba wanayotaka na si hii ya kupachikiwa na kina Kikwete na CCM ili waendelee kutawala kijanja kijanja.
Kikwete aliendelea kudanganya kwa makusudi. Aliongeza kusema: “Na pili, ni kuibuka kwa hisia za utaifa (nationalistic sentiments) wa zamani kwa nchi washirika.”
Aliita hali hii kama ya hatari wakati akifahamu fika kuwa katika Muungano wa serikali mbili Wazanzibari siku zote wameendelea na utaifa wao na haikuwa hatari.
Je, inakuwa hatari Watanganyika wanapoonyesha hisia za utaifa? Kikwete hapa anamaanisha nini zaidi ya kuchanganya mambo kwa kuyapa tafsiri potofu na ya kupotosha? Kuwa na hisia za utaifa ndiyo uzalendo wenyewe na kutokuwa nazo ndiyo usaliti wenyewe.
Ngoja nitoe mfano mmoja wa hapa Canada ambapo wananchi wake wana sifa moja nayo ni kusema: ‘But we are Canadians’. Yaani kumbuka sisi ni Wacanada kuonyesha maana ya utaifa wao.
Tumechukua sehemu kidogo ya hotuba iliyojaa uongo na vitisho ya Kikwete kutokana na kuwa makala moja haiwezi kuichambua kwa utuo. Kwa ufupi ni kwamba alichofanya Kikwete akishirikiana na kada mwenzake Samuel Sitta, kuvunja kanuni na kuamua kutoa semina elekezi kinaua maana yote ya kuwa na bunge la katiba.
Kuepuka kupoteza muda na fedha za Watanzania na kuwafanya kuwa mihuri ya kubariki uovu, Bunge la Katiba lingevunjwa tuendelee na Katiba ya sasa hadi atakapotokea rais mwenye uwezo na nia ya kuandika katiba mpya afanye hivyo badala ya huu usanii. Tunaomba kutoa hoja.
Chanzo: Tanzania Daima Machi 26, 2014.

Napendekeza tuvunje muungano lau kwa mwaka mmoja

$
0
0



Napendekeza tuvunje muungano wa Tanganyika na Zanzibar kutokana na sababu zifuatazo:
Tukifanya hivyo tutatenda haki kwa CCM na wale wanaotaka serikali tatu.
Tutatofa fursa kwa nchi mbili kutafakari kuungana upya kwa masharti mapya au la.
Tutatoa fursa kwa pande zote mbili kuishi bila kuungana na kuona madhara au faida zake.
Tutaokoa muda wa malumbano na upotevu wa pesa za umma.
 Wananchi wa pande zote mbili kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1964 watapata fursa ya kufaidi nchi zao asilia.
Wananchi watapata fursa ya kutumia uraia wao bila utata wala kuutelekeza mwingine.
Tutaepusha muungano wa migongano na mashaka ambao umekuwa ukimomonyolewa taratibu kama alivyobainisha jaji Warioba hivi karibuni aliposema, “Waasisi walituachia mambo 21 (ukiacha usajili wa vyama) kwenye orodha ya Muungano. Katika kipindi cha miaka ishirini iliyopita yamepunguzwa. Mambo yote yaliwekwa kwa utaratibu uliowekwa na Katiba lakini yameondolewa kinyume na Katiba.”
Tutaondoa malalamiko ya pande mbili ya kunyonywa
Pande mbili zitafaidi uhuru wa kuwa mbali na mwingine.
Ukidhani ujuzi ni aghali basi jaribu ujinga. Vivyo hivyo ukidhani ndoa ni kero jaribu talaka.


NKANDLA SCAM: IS IT TIME TO RECALL ZUMA?

$
0
0
South Africa’s Public Protector, Thuli Madonsela, made her verdict recently confirming the accusations that President Jacob Zuma’s posh Nkandla homestead upgrade involved public funds at the tune of whooping $ 23,000,000. The damning expose exposes Zuma and puts his presidency on the line.Madonsela’s quoted saying that Zuma “was wearing two hats, that of the ultimate guardian of the resources of the people of South Africa and that of being a beneficiary of public privileges of some of the guardians of public power and state resources, but failed to discharge his responsibilities in terms of the latter.” Madosela’s words were echoed by The Democratic Alliance's parliamentary leader, Lindiwe Mazibuko, who’s quoted as saying, “the magnitude of [the] revelations brings the office of the president of the republic into massive disrepute.” Will this be whisked away easily?
 Madonsela findings conflict Zuma’s statement that the government didn’t pay for the upgrade of his homestead.  Zuma’s quoted by the Mail& Guardian in Nov., 2012 as he addressed the parliament as saying, “My residence in Nkandla has been paid for by the Zuma family.” To make matter worse, Zuma added, “I have never asked government to build a home for me, and it has not done so. Government did not build a home for me.” Now that the skeleton in the closet is out that Zuma’s compound’s built by public funds, what’d we expect to happen thereafter?  ANC’s already said squarely that it isn’t going to apologize. This means. It is confident of winning the coming elections. Again, as Stalin put it, “It is not those who cast vote who count but those who count the votes. Given that ANC is in power and will man elections the truth is obvious.
However open the Public Protector’s report seemed, it left a grey area for not clearly stating that Zuma lied to the parliament and the nation. Instead, the PP said that Zuma misled the parliament and the public which can be construed as lying which’s an offence.  The thing is. If Zuma said publicly that he paid for his residence while the truth is otherwise, he simply lied. Madonsela’s position is problematic precisely because it leaves a room for maneuvers. Zuma’s opponents are whooping him to stand down for lying to the nation.
PP’s expose angered many South Africans. Agang leader Mamphela Ramphele wrote on her party’s website, “This is an outrage.”
Madosela minced no words. She said that what Zuma committed is unlawful and constitutes bad conduct and maladministration which is punishable by impeachment. Legally, Zuma’s broken ethic code he’s duty bound to diligently and wholly uphold honour, promote and protect as president.
Now that the PP’s confirmed the allegations, will the parliament to which Zuma paltered zero in and see him hit the road after stepping down or forced to? There’s an attempt to cover up the whole scandal. Will Zuma and his party and his spin doctors eat humble and offer an apology later or put on false bravado and try to jump a smoking gun as they’ve always done? Will ANC recall Zuma so as history to repeat itself in the lifetime of Mbeki who’s also recalled by the party before Zuma took over? Is it time for deputy president, Kgalema Mohlante, to take over and stir ANC to safety after Zuma tarnished it? Prof Shadrack Gutto of the University of South Africa’s the answer as he’s quoted saying, “Zuma’s removal through the majority vote in Parliament can only happen if he seriously violated the constitution of the law.” Is lying to the parliament and country a seriously violation of the constitution of the law?
Arguably, ANC is in a messy and confusing situation that needs to be fixed or tweaked. Will ANC risk suffering in the coming elections by clinging unto Zuma or dispose him as soon as possible in order to weather the storm even redress the wounds Zuma’s scandals have already caused it. Many South Africans now regard Zuma more a liability than an asset to the ruling party and the country altogether.Prince Mashele, Executive-Director of the Centre for Politics and Research’s quoted recently as saying“If the ANC sticks with him, it is going to suffer the political consequences.” Some of ANC want Zuma to hit the road saying that he isn’t ANC.  They see ANC as a being corrupt through and through after Mandela left office. Thus, ANC needs a reconfiguration. Others accuse the party of pursuing what’s referred to as anti-people policy which enables a few to become richer and richer while the majority is becoming poorer and poorer.
Whether Zuma’ll soldier on even after proving to be a liability to his party is remain to be seen. For, before Nkandla scandal came to light, Zuma faced other scandals involving rape, corruption which surfaced after his financial advisor Schabir shaik’s found guilty and jailed for corruption and the landing of private jet in a military base by Gupta family which is a business partner with Zuma’s son Duduzane. Is it time for ANC to recall Zuma just like it did to former president Thabo Mbeki or go under with him?
Source: Business Times March 28, 2014. 

Mlevi kutua Dodoma kutoa darasa la Katiba

$
0
0
Najua wengi, hasa wale wanaoshabikia mambo ya ajabu ajabu kayani, hawatapenda utume huu. 
Najua fika kuwa wengi wa wanaonicheka kwa ulevi na mibangi yangu wataona kama ninavuka mipaka kutaka kufanya mambo ambayo si ya kilevi.  
Sasa nifanyeje kama wale tunaodhani kuwa watu wazima tena wasiolewa ulabu wanapoanza kuonyesha wazi kulewa maulaji kiasi cha kufanya mambo ya ajabu ajabu? Heri walevi tuingilie kati pale tunapoona mambo yanakwenda ndiyo sivyo tuokoe jahazi.  
Hatulipwi mamilioni kusaidia kaya kufikiri na kufanya mambo ya maana tena kikubwa na kiakilini. 
Baada ya kila mlevi wa maulaji kujiendea Dodoma kwenye bunge la ulaji la Katiba kupiga kampeni ya sera za chama au genge lake na wengine kuvuruga mambo kabisa, Mlevi ameamua kushuka kule kusafisha hali ya hewa.  
‘I’m goin’ thither to vacuum clean everything’.  Siendi kusaka ulaji wa bure, kula kuku wala kufaidi vyangu wala kulalamikia mishiko ambayo kimsingi ni kuwaumiza walevi walipa kodi.  
Kwanza, naogopa miwaya ukiachia mbali kutopenda mikuku na mibata. Nshazoea mapupu na utumbo mikuku na mibata na mishumbwengu ya nini? 
Nakwenda kule kukwamua mambo na kuepusha aibu kwa vizazi vijavyo baada ya kugundua kuwa busara imetoroka.  Kuna siku jina langu litafundishwa mashuleni kama sauti ya wasio na sauti na mtume kwa walevi. Nakwenda kutoa shule si malalamishi wala hoja za kupoteza muda na busara wala kuviziana ili kupata pwenti na credit.  
Siendi kule kijivua nguo au kutetea upuuzi kama waliofanya hivyo hivi karibuni. 
Nakwenda kuwa refa na si refa mchezaji. Nakwenda kuikomboa kaya toka kwenye mkwamo na ukosefu wa busara na uzalendo. 
Hali ya hewa mjengoni inahitaji kusafishwa baada kuchafuliwa juzi juzi na jamaa ambaye leo sitamtaja kwa vile kila mmoja anamdeku. 
Kwa vile watu wanataka kunyotoana roho wakigombea utitiri wa siri-kali, nina jibu la ugomvi huu. 
Siri, sirikali lazima iwe moja.  Itaondoa kelele zote kuhusiana na gharama za utunzaji wa utitiri wa siri tena kali zisizo na kichwa wala miguu.  
Isitoshe, kama sisi ni kaya moja, hatuna haja kuwa na vijisiri tena vikali vya kiulaji vingi bila sababu wakati ni ombaomba na kapuku wa kunuka. 
Hapa lazima niweke wazi. Hakuna cha kumeza,   kumezwa wala kumezana bali kuungana na kufanya mambo kama watu wazima wenye akili timamu au vipi? Mficha uchi hazai ati. Kila mmoja akishikilia yangu yangu kama vyura hatufiki. 
Juzi kwenye kanywaji walevi wakiwa wananiagiza kuandika utume huu na kujiandaa kutinga Dom bila kustukiza wala kuvizia ili kuua hoja za wenzangu, waliniuliza mantiki ya Tanganyika na Zenj.  
Niliwapa kuwa ukiunganisha Danganyika na Zenj na kila mmoja akabaki na identity (utambulisho) yake unapata Tanzia. Finito.  
Watawala wanawala watawaliwa na kudai idadi ya sirikali watakazo dhidi ya zile wanazotaka walevi. 
Niliwajibu tena kabla ya ulabu kupanda ‘upstairs’ kuwa kinachoendelea ni woga na uchumia tumbo ambapo watu wazima wanaogopa vitu visivyokuwepo. 
Kuna mlevi alitoa mpya pale aliponishauri nikifika Dom niwaambie hawa wapenzi wa utitiri wa serikali kuwa kama wakiendelea na ulevi wao wa ulaji basi kila mkoa ujitenge na kuanzisha sirikali yake tuone hizi mbili au tatu wanazotetea zitapata pa kukusanya kodi au kukopesheka kama alivyosema Kanali Njaa Kaya kuwa virungu na mituringa ya ndata na ndutu haiwezi kuisaidia sirikali ya mgongano kukopa.  
Sisi walevi hatutegemei kukopa bali kutunza na kutumia raslimali na fedha zetu vizuri.
Isitoshe, kama sisi ni wamoja kweli kweli tushikane haswa. Maana kama tunaogopana na kubebeshana mizigo basi tambo zetu kuwa tu wa moja tunaounganishwa na historia yetu ni urongo na sanaa tupu tena vyenye kuchosha na kuchefua. 
Wakati mwingine wale tunaodhania ni wema hutokea wakawa tofauti.  
Hebu fikiri kwa mfano mtu anayefuja zoezi la sasa la kutafuta Katiba Mpya ni mbaya kiasi gani? Hebu fikiri mtu anayekwenda pale ima kutafuta mshiko au kutetea upuuzi ‘simply because’ unamwezesha kupata ujiko hata ulaji hata kama ni kwa kuwauza wenzake ni mbaya kiasi gani? Kweli huyu si jangili anayeua na kuuza walevi?  
Philip Zembaldo’s The Lucifer Effect: Understanding How Good People Turn Evil tells us how those we think to be good people can turn out to be evil to the extent that we can’t express’. Zimbaldo says, “Evil is knowing better, but willingly doing worse.” 
Kuna siku niliwaacha wanafunzi wangu bila mbavu wakati ule nikifundisha chuo kikuu fulani ila si cha Manzese. Tulikuwa tukiongelea ugonjwa wa ‘Malignant narcissim’ ambapo mwenye kuugua hupenda ujiko na kutanua bila sababu.  
Huwa na tabia ya kuchekacheka kama aliyeugua kiharusi ukiachia mbali kuanguka anguka kama mwenye kifafa. Huwa akiambiwa kuwa anachofanya kina madhara ima kwake au kwa wenzake  huminya. 
Ilipofikia kutaja ya wale wanafunzi waliodhani kuwa na ugonjwa ule, waliwataja madingi fulani pale chuoni kiasi cha kuwasihi wasitishe zoezi hasa ikizingatiwa kuwa wengi wa wagonjwa ni watu ambao huwezi kuwategemea. Kwa ufupi ni kwamba wenye ugonjwa huu ni wabinafsi kupita kiasi. 
Wangetaka kila kitu wachukue wao ama marafiki au familia zao. 
Ulaji kwao ni suala la kifamilia au kichama au kikigwena. 
Hayo tuyaache. Nimalizie kwa kusema kuwa nitaunda tume ya walevi ya kuangalia mapendekezo ya katiba mpya. Tofauti na hizi tulizoshuhudia za akina Waryuba sitaivizia wala kuiponda wala kuizodoa tume yangu hata ikitoa mapendekezo ambayo sikubaliani nayo. 
Wakindekeza njaa wangoje walevi kuvamia ukumbi na michupa yao na kufanya vurugu.
Leo salamu maalum ni kwa mlevi afande Didi aka Mzee wa Mabao aliyeko huko…siri kubwa! 
Didi kinehe nyanda?
Chanzo: Nipashe Machi 29, 2014.

Tungekuwa na wabunge 50 kama hapa nchi ingepaa

$
0
0
Kumbe wengi hatukumjua Peter Msigwa. Ni kifaa God knows. Kwa maneno yaliyomo kwenye uzi huu sina shaka kusema kuwa the guy is a thinker perse.

When conversion becomes confession of a sort!

$
0
0

If anything, this is a practice in many African countries. Police get confession by any means whenever they need to. What them matters is the end not the means.

Mapenzi ya wananchi kwa wajumbe wa bunge la katiba

Whose Constitution are we to have?

$
0
0
 
 
With unique swagger, President Jake Kiquette took Dom by storm with his big talk as he stormed at three-tier government. We now know what to expect vis a vis the New Constitution. For, he rendered the task of the Constitutional Assemblyas useless as a fifth wheel after making his own constitution.
Jake did neither mince his words nor languish in tenets and etiquette of speaking as a head of the hunk. Instead, he spoke as the head of the establishment-cum-outfit. Jake did his moribund things in order to get a notch above Justice Jose Warioba who ended up bloodied and sullied so to speak.
Instead of guiding the hunk to the making of this crucial document for its future, the man offered a homily on what’d be done but not what’s required to be done. Instead of becoming a ref, the man turned himself into a player. All of the sudden hope and voice of reasoning bolted through the window. Time and dosh were lost pointlessly not to mention direction.
Again, looking at what Jake’s trying hand on; it, indeed, is an uphill battle. Some say he broke the law. If so, what are they waiting for to sue him? Given that the battle lines have been drawn, ours is to tease out and disseminate info and possible to umpire given that all this braggadocios and chest beating politicos are showing are about our hunk and dosh. I strongly urge the boozers to become players in lieu of spectators or cheerleaders if not majordomos for bankrupt politicos. This hunk is ours.  Thus, we’d not allow ourselves to be manipulated or taken for a ride as it seems to be. For the constitution the politicos and their outfits are fighting over is ours not theirs. We need to underscore the fact that if we don’t enact a good contract between us and them, we soon will be crying while they laugh at us. I know. The contentious issue in the Draft Constitution is but union of Zenj and Danganyika, sorry, Tanganyika.
On a more serious note, one boozer who answers to the name Mr Fearless cautioned us that whatever love we see in politicos must be scrutinized. For, he said that those guys don’t love us except our mshiko.  He went on saying that for every action there’s a reaction. His reaction to what Jake jabbered was simply--- boy, leave our constitution alone. Your mchakato is over. What else do you want? To come and lecture us about what we know better than you? My foot!
This educated boozer had a good number of reasons to warn boozers. Firstly, he said that to him the union’s nary been a problem. The problem is corruption, nepotism, ineptness, lack of accountability, irresponsibility and theft to mention but a few. For him the constitution should be centered on how to fight graft first. The rest will take care of itself. He struck a chord when he dispatched knockout punches on Jake saying that whether we go with three, four or even a hundred governments, it isn't his biz. We’re the one to shoulder the expenses Jake warned us of. The boozer added that if we’re able to shoulder his globetrotting expenses we too are able to shoulder the expenses of any number we’ll decide to have. He said that he doesn't see any necessity in any form or shape for Jake to pretend to be a teacher where he’s proved to be a student that didn't learn from experience.
 I love Jake, and am ready to die for him. I thus didn't allow the boozer to up the ante a great deal more. However, I’d admit. The guy had a point to put across. Jake knows how I love him. He’ll listen to my advice. After listening to many boozers, I found that they don’t support his move to lecture the Constitutional Assembly. Given that he’s the one who formed the Commission that collected the views it compiled in Draft Constitution, he’d have ironed out all hitches he thinks the document has. Boozers are saying openly that confronting Warioba is as good as for an editor to confront his junior in front of the readers while they have their ways of straightening things.
I don’t want to categorize Jake as person suffering from malignant narcissism. Again, looking at what he did recently in Dom, I doubt. Something needs to be studied more and more to know the type of personality going on in him. Grandiose as he always seems, with wits and smiles whose apogees are but cruelty, there must be something fishy hidden behind such traits. Sometimes you can have an off-the-wall disgrace without being aware of it. Again, all depends on one’s behaviour and his or her predictability or otherwise. One may loose and still put on a positive face on a crushing defeat. What do you call the all-hunk-yelling frenzy after one makes what he thought’s an effective speech? It’s sad for a person whose star’s falling but he still daydream that it is on the rise. Will he give up without a fight or being washed out of the scene just like others who tried his deception?  All depends on players who’ll show us the way shall they decide to. Again, we’re not home and dry yet.
Source: ThisDay March 31, 2014.

Kijiwe chastukia usanii wa Nyaranduuu

$
0
0
MPEMBA  anaingia na Newspaper ya Danganyika Always. Kama ada, anaamkua na kuagiza kahawa tayari kushiriki kikao. Anaonekana kuwa na jambo linalomkera. Anaanza, “Wallahi hii kaya mie yanshida. 
Mmensikia huyo mjivuni aliyeshindwa majangili halafu aanza kuandama wake zetu? Eti wake zetu wakivaa urembo wenye nakshi za ndovu mtawakamata?”
Unaogea huyu Nyaandu siyo? Ankamate mama Hamdaa nimpige mtu zongo,” Anajibu Mgosi Machungi wa Kiango huku akionyesha alama ya kuapa.
Mbwa Mwitu anaamua kuchomekea, “Hakuna haja ya kupigana zongo. Akikamata wenu nanyi mnakamata wake. Ngoma droo au siyo?”
Mgosi anaendelea huku akisonya, “Nasema bia kufumba. Nyaandu acha ushamba. Kamataneni nyinyi mnaouza wanyama tena wako hai. Mnakingia kifua majangii na wauza unga huku mkijifanya kuwasaidia wa bwibwi. Akii au matope?.”
Msomi Mkatatamaa anaamua kumuunga mkono Mgosi. Anasema, “Hizi nazo sanaa nyingine. These geezers are totally bankrupt and need to be kicked out just soon. Samahani nimeongea ukameruni tokana na hasira.
Yale yale ya kujifanya wanasaidia mateja wakati wakilala kitanda kimoja na wauza bwibwi. Mgosi hapa umenena.  Mpe kahawa hadi azimie,”
Anaamuru Msomi na kuendelea, “Wanalala kitanda kimoja na majangili kama lilivyosema gazeti la The Mail on Sunday kuwa wanatafuta njuluku za kampeni na hawakukanusha.”
“Mmeipata ya juzi? Si walimleta mwandishi wa kitasha eti kuja kufanya fact finding akawasafishe huko kwa mama yao. Jamaa alipofika kweli akafanya fact finding na akapa facts nyingi na kwenda kuwachoma tena kuwa hawapambani na ujangili bali wanaufanya.
Alihoji kutokamatwa kwa majangili papa. Wakati Njaa Kaya anatuongopea kwa wako 40 kumbe ni 50. Wakanushe tuwaumbue zaidi. Wanadhani hatujui uchafu wao siyo?” Anazoza Mijjinga huku akiweka tai yake vizuri.
“Baba wakanushe nini wakati kila kitu kiliwekwa wazi? Wakanushe nini  wakati namba zinazoongoza kwenye ujangili zimejaa kwenye ulaji? Unadhani Abduli Kinamna yuko pale kucheza?” Anajibu Kapende.
 Mipawa anazidi kukandia, “Tembo wanaouawa kwa maelfu mazao yao yanaishia Asia siyo Tuliani, Tanga wala Mtwara.” Anamalizia akimkata jicho Mgosi ambaye anamuunga mkono kwa kuamsha vidole viwili.
Mchunguliaji anakwanyua mic, “Huu nao usanii kukimbizana na vidagaa wanaovaa mapambo ya ndovu tena waliyorithi kwa mabibi zao wakati mwawafumbia macho majangili papa walojazana maofisini. Acheni uvivu wa kufikiri kama Nkapa.”
Mijjinga, “Mie anazovaa shemeji yenu alirithi toka kwa bibi ambaye naye alizirithi toka kwa bibi ambaye naye anasema zilikuwa ndiyo mahari ya nyanya wa bibi yake. Hapa kosa lake liko wapi?”
Bi Sofia Lion aka Kanungaembe naye anaamua kukatua mic, “Hakuna haja ya kulalamika. Sheria ni msumeno hukata huku na kule. Hii ndiyo tabu ya watu wetu. Mnataka sheria itumike kwa kubagua. Acheni lawama za bure. Wake zenu watashikwa mtake mistake.”
Kanji kama kawa amepata upenyo kwa Sofi, anachomekea, “Kama hii Nyandu sema kamata vote nawaa products ya tembo lazima takamata hata kama piga kelele. Mimi shauri veve fuata sheria epuke sumbufu dugu yangu.”
“Kama ni kukamata basi wakamate mkeo Kanji ufurahi maana huwa hamna wivu nyie. Mwaka huu tutasikia mengi hasa ikizingatiwa kuwa uchakachuaji wa uchaguzi ni mwakani. Hamkusikia mwana wa mfalme akiwahadaa jamaa kuwa ataongeza idadi ya mashule na kuboresha barabara wakati mfalme mwenyewe alishindwa?” Anachomekea Kapende.
“Manawasikiliza hawa wahuni.” Mipawa anajibu huku akinywa kahawa. Anaendelea, “Msinikumbushe wanavyohimiza watu walipe kodi ya ubuyu wakati wakisamehe wachimba madini mabilioni ya kodi. Hamjaona wawekezaji wanavyobadili majina kila baada ya miaka mitano?”
 Msomi anaamua kukatua mic, “Hao si wawekezaji bali wachukuaji wanaoshirikiana na wezi wetu kutuibia tu. Hawa na akina Rugeemalira wa vijisenti vya ugoro ni majizi ya kawaida. Hizi zote ni kelele za kampeni na kuzidi kuumbukuliwa.”
“Wanazidi kukaribisha Wachina waje kuwekeza wasijue wengi wao ni majangili.” Analalama mzee Maneno.
Mbwa Mwitu huku akimtazama Kanji anachomekea, “Wanakaribisha hata Wahindi.”
Kanji hakubali, “Hindi hapana jangili bwana. Hindi siku zote iko dukawallah si jangili dugu yangu. Wewe onea Hindi bure.”
“Kanji please sema kweli bana. Ile Pakistan torosha nyama yetu pale Kia iko hindi bwana.  Kama sema iko dukawallah ya pembe ya ndovu iko kubali nawe.
Kanji, “Hiyo Hindi moja si Hindi yote dugu yangu,” Anaongea Mijjing akiigiza lafudhi ya Kihindi.
Mpemba anadakia, “Yakhe samaki mmoja akioza?”
Wote wameoza tunajibu kwa mpigo.
“Mbona Swahili mingi uza pembe ya ndovu lakini hapana sema?”
“Kanji waishi wapi? Sisi twasema tena wazi kuwa tuna majangili maofisini na porini ati.
Wale walioruhusu ndege kupakia wanyama hai ni majangili hatari kuliko wale wanowaua na kutorosha kwa uficho. Lau au wanaogopa umma na sharia kwa kufanya mambo kwa uficho kuliko hawa wanaowasafirisha mchana tena wakiwa hai.”
“Majangili ni majangili hata wawe wenye madaraka au makuwadi wao. Majangili wanapaswa kunyongwa bila kujali vyeo vyao. Wengine wamepewa ulaji hata ukatibu mkuu wa vyama. Kinamna Andaaman upo?” Anazoza Kapende huku akichezea kifuniko cha kamera yake.
Mzee Maneno anachomekea akisonya, “Mie naona kama kaya imewashinda wangekitoa ili wenye uwezo tuchukue usukani na kuwakomboa wachovu.”
Msomi anajibu, “Hawa jamaa walevi kweli. Hamkusikia juzi wanapiga vita bajaj wakati wakiruhusu mikangafu na mashangingi yanayonunuliwa hovyo kwa pesa ya wachovu? Badala ya kupanua miji na kuijenga kisasa wanaonea wachovu.”
“Msomi unashangaa haya! Kesho watazuia walio konda kuingia downtown ili wasiwasumbue. Kesho kutwa watapiga marufuku wasio na kazi wakati ukosefu wa ajira unatokana na sera zao za kibabaishaji na kiupendeleo.” Analalamika Mijjinga.
Kijiwe kikiwa ndiyo kinanoga si likapita shangingi la Nyaranduu! Acha tulikimbize kwa zomea zomea na mitusi ambayo siwezi kuandika hapa!
Chanzo: Tanzania Daima April 2, 2014. 

Ukistaajabu ya Kikwete Utaona ya Sitta

$
0
0
BAADA  ya kumdhalilisha, kumvizia na kumhujumu Jaji Joseph Warioba, na tume yake, wengi tulidhani Chama Cha Mapinduzi (CCM), lau, kingeona aibu na kuona inatosha. Lakini wapi! Wameonja asali sasa wanataka kuchonga mzinga.
Nani angeamini kuwa aliyejinadi kuwa mtu wa viwango angekuja na viwango dhaifu (substandards) na vya ajabu na hovyo? Samuel Sitta, Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, ameanza kuonyesha sura yake halisi ambayo wengi hawakuijua.
Kwa heshima aliyokuwa amejijengea alipokuwa spika wa Bunge la Muungano, wengi walidhani angeilinda kwa gharama yoyote.
Je, Sitta, alijijengea heshima kwa bahati mbaya au kupitia njia ya kuwaondoa wapinzani wake ili baadaye agombee urais?
Je, Sitta anaendeleza harakati zake za kuusaka urais hata kwa kujitoa kafara na kuwa tayari kutumiwa na CCM kama itakavyo bila kujali utu na heshima yake? Maswali ni mengi kuliko majibu.
Mtu hata jamii wanaweza kuingia kwenye matatizo zaidi hasa pale wanapolinganisha majanga mawili ili kuchagua moja. Hii ndiyo iliyotokea kuelekea kwenye mchakato wa kumpata mwenyekiti wa Bunge la Katiba. 
Watanzania walitumia falsafa hii ya kulinganisha majanga mawili kumsaka mwenyekiti wa Bunge la Katiba. Sitta alikuwa akichuana na Andrew Chenge, ambaye alionyesha kupingwa sana kutokana na historia ya kuhusishwa na ufisadi, rushwa na kutorosha fedha nje ambayo hajawahi kuyatolea majibu yanayoingia akilini.
Walipopambanishwa wawili hawa, wengi walionekana kumpendelea Sitta (naye kutokana na historia ya utendaji wake hasa alipokuwa spika wa Bunge la Muungano).
Kilichompiga jeki Sitta ni ile hali ya kuruhusu Bunge, mwaka 2008, kumkaanga waziri mkuu wa zamani aliyeachia madaraka kwa kashfa ya Richmond, Edward Lowassa.   Pamoja na Sitta kupata umaarufu asiostahili, wengi walisahau sifa moja muhimu: Sitta na Chenge ni wana CCM tena makada waliowahi kuonyesha kutumiwa wazi wazi na chama kiasi cha kuwatelekeza wananchi.
Walisahau kuwa Sitta alifanya aliyofanya ima kwa bahati mbaya au katika harakati za kujisafishia njia kuelekea ikulu ukiachia mbali kuhongwa uwaziri baada ya kuficha mambo nyeti kuhusiana na kashfa ya Richmond ambayo bila shaka kama yangewekwa hadharani, serikali ya Rais Jakaya Kikwete ingeanguka. Lakini badala yake, wawili hawa walimtwisha mzigo Lowassa ambaye hakuacha kulalamika kuwa hakutendewa haki.
Ukiachia kuhongwa uwaziri baada ya kutupwa nje toka kwenye uspika kwa kumpachika Anne Makinda, Sitta alituhumiwa katika kuanzishwa kwa Chama Cha Jamii (CCJ) alichokikana na kukitelekeza baada ya kupewa uwaziri. Huyu si mtu wa kuaminika hata kidogo.
Ni mtu aliye tayari kulitelekeza taifa kwa maslahi binafsi tokana na ushahidi huu hapa juu. Ni bahati mbaya kuwa euphoria ya kumkaanga Lowassa imetulewesha na kuendelea kumuamini uenyekiti wa Bunge la Katiba analohujumu kwa kutumiwa na Kikwete na CCM.
Sitta alionyesha sura yake halisi pale alipovunja kanuni ya Bunge la Katiba kwa kumruhusu  Rais Kikwete, amhujumu na kumdhalilisha Jaji Warioba na tume yake ukiachia mbali kupotosha umma juu ya faida na ulazima wa kuwapo serikali tatu kama zilivyopendekezwa na wananchi.
Wahenga walisema: Nyoka ni nyoka hata abadilishe ngozi vipi anabakia kuwa nyoka.  Baada ya kuihujumu tume, jambo ambalo ni kuuhujumu umma ule ule uliopendekeza muungano wa serikali tatu na umma ule ule unaolipia vikao vya Bunge la Katiba.
Sitta, kwa mara nyingine, ameonyesha rangi yake halisi kwa kufanya upendeleo dhahiri katika uteuzi wa wajumbe wa kamati ya uongozi ya Bunge la Katiba hivi karibuni. Hata alipobanwa aeleze ni kwanini ameendeleza hujuma, hoja na majibu aliyotoa havikuingia akilini.
Kinachogomba kuhusiana na idadi ya serikali ni ile hali ya baadhi ya wafujaji wa pesa ya umma kujifanya eti wanauonea huruma. Hivi karibuni Rais Kikwete alikaririwa akisema kuwa serikali tatu ni gharama.
Ni ajabu. Hivi Kikwete ndiyo leo anaona gharama wakati anasifika kwa kuunda mikoa na wilaya nyingi zenye maslahi kwa watu wake na chama chake?
Mbona hakuona gharama ambazo ameliingiza taifa tangu awe rais ambapo ataondoka na sifa moja kuu—- kuzurura dunia nzima hadi anafananishwa na bazazi Vasco da Gama, Mreno aliyesifika kwa ujambazi na uzururaji wake? Je, ni kweli anachohofia Kikwete na CCM ni gharama au ni machozi ya mamba tu?
Kitu kingine wanachohofia CCM eti ni kudhoofika hata kuvunjika kwa muungano. Uvunjike mara ngapi iwapo wamekuwa wakifanya mambo kwa kificho tena bila kufuata sheria kama alivyothibitisha Kikwete hivi karibuni? Kikwete alitaja uraia kuwa suala la muungano.
Ajabu aliposema hivyo alisahau kuwa badala ya uraia mmoja uliokubaliwa kwenye muungano, sasa tuna uraia wa aina mbili, yaani Utanzania na Uzanzibari. Hapa bado hawajavunja muungano?
Kutokana na kazi maalumu ya kuhujumu Bunge la Katiba iliyofanywa na Sitta, wengi wameanza kukosa mantiki ya zoezi zima kiasi cha kutaka Bunge livunjwe ili kuepuka kupoteza muda na pesa ya umma kwa vitu ambavyo havina manufaa kwa umma.
Hujuma za Sitta ziligundulika wazi pale alipoteua wajumbe wa Kamati ya uongozi ya Bunge la Katiba kwa kumteua Profesa Ibrahim Lipumba aliyeukataa uteuzi na kusema, “Nimesikitishwa na mpango maalumu mlionao wa kulifanya Bunge hili Maalumu kuwa Bunge la CCM.”
Wengi wanashangaa ni kwanini Kikwete ameamua kuhujumu mchakato aliouanzisha yeye mwenyewe. Je, alilazimika? Je, hakujua matokea yake? Je Kikwete, CCM na Sitta watafanikiwa kuhujumu umma kwa kuupa katiba pandikizi yenye lengo la kuendeleza fikra mgando na utawala wa kibabaishaji?
Je, umma utafanya kosa kuendelea kuwaamini wawili hawa ambao wameishaonyesha wazi wasivyotaka katiba itokanayo na utashi wa wananchi ambao, kimsingi, ndiyo wenye katiba na nchi?
Je, CCM na Kikwete wanaogopa nini? Ama kweli! Ukistaajabu ya Kikwete, utaona ya Sitta! Ukishangaa ya wawili hawa utaona ya CCM—kiama cha taifa letu.
Chanzo: Tanzania Daima Aprili 2, 2014.

When Gado mourns sheikh Makaburi in styles

Idodomya, Dom, doom, dosh and constipation

$
0
0
        The season of minting and printing dosh is on.All roads are now leading to Dom.  All eyes are on Dom where the hishimiwas are congregating to enact a new constipation, sorry, new constitution. Again, since they arrived there they've been doing one thing, yakking and bickering over dosh.  Politicians are making a killing. As well, twilight girls aka vyangu are on the hunt so as to make a killing out of those that have already made a killing. It is the business of making a killing. Everyone wants to share and enjoy the cut. What eating frenzy!  Who cares about farmers and other paupers that are milked in the name of taxation that enriches all those making a killing?
In this biz of making a killing one person is left in the cold. The journalist is there to evidence all types of vimbwangas. He or she doesn't have any way to mint and print dosh. The media's printing and airing a lot of stuff so as to sell and make dosh. But the beneficiaries are the media moguls who harness journalists.
While dosh printing and minting is going on in Dom in the name of enacting a new constitution, we’re told: Our debt, too, is swelling thanks to paying such monkey biz.  It sounds ironic, however, for a begging hunk to spend madly and lavishly this way.  All the same, who cares if cash cows in the name of tax payers are always ready to foot the bill?
What agonizes is the fact that after some guys make a killing will spend on buying such sins like “chap chap stuff” to calm down their lust. Thereafter, our public coffers will feel the pangs and twangs thanks to sending the victims of miwaya to either India or South Africa for treatment. Once again, paupers will foot the bill.
Another product of such merry going biz is the fact that many marriages will hit the rock. 
Those who think that cannabis and illicit liquor are driving me crazy so as to utter lies should wait. If you want to prove me wrong or otherwise just go to Dom. You’ll see. All types of shangingi are there. There are Japanese ones, homemade sangiki, foreign sex workers and whatnot. Con men and women, too, are congregating in Dom to make a killing. Indeed, it is time for making dough however illegal and dirty it is.
Drug pushers, too, are there to make people feel high. It is a smile for landlords and landladies especially those who own Guest Houses. Dom now is no longer a forgotten, dry and dusty town you know. Though it has been forgotten when it comes to making le capitale du pays, now it is live beaming with all beauties and goodies shekels can offer and buy.
Given that dosh is the only and everything many are looking for, they’ll use every trick in the book including the oldest tricks in the book. They’ll break every law in the book to get at least a whiff of dosh. Twilight girls are risking their lives and those of their customs so as to get dosh. Thieves are putting their lives on the line so that they can get dosh. It is money money more money ad infinitum. This dosh-printing-and-minting biz goes on without an end. Some use their words to make dosh while others use their bodies to make the same. This is called prostitution and the other politics.  When you look at the duo you find that the end product is dosh. Again, the difference is about morality. One accuses another that her biz is immoral while the other hits back hard saying they all are doing biz. She says that if her biz is immoral simply because it involves a forbidden fruit, what of those who tell lies in a broad daylight? She argues. If you want to know whose biz is immoral monkey one, just ask poor tax payers whose dosh causes this entire imbroglio. To him they’re all the same--- they are business persons whose biz is to vend him.
The other day one boozers left us in stitches. He said that twilight girls represent sinners while hishimiwa represent those to whom sins have been committed every five years. You know what I mean. Again, if you look at a sin of selling one’s body and the one of duping the melee, which sin is bigger than another? To me, the one who sells her body isn't a threat just like the one who swindles my dosh. For, the one who swindles my dosh makes me poor. He makes millions of paupers while the one selling her body just destroys her body and a few bodies of the mongrels purchasing her sins. In such a situation whereby the dosh to be made belongs to nobody what matters is the end not the means. Have you forgotten those who went with their spouses to scoop free dosh in the name of representation? Whom are such people representing in the first place?
In a nutshell what’s going on in Dom or Idodomya is but doom, dosh and constipation of dosh.
Source: The Sunday Guardian March 30, 2014.

Nafurahi kipanya kutumia maneno yangu kama vile Danganyika badala ya Tanzania


Hawa ni majaji au ma-junk?

$
0
0
Taarifa kuwa jaji Jon Utumwa (Si jina lake Halisi) kutoa huku mu usiku si za kusikitisha tu bali kustaaajabisha.  Sikuweza kuamini kuwa jaji angetoa hukumu saa 2:30. Laiti kama habari hii ingetoka kwenye magazeti ya udaku huenda ingeingia akilini haraka. Hata hivyo si uzushi. Hili lilitokea kama lilivyoripotiwa na vyombo vya habari. Kesi husika ilihusisha kampuni tata ya kuzalisha umeme ya IPTL ambayo imehusishwa na utapeli na ufisadi usio kifani.  Chombo kimoja cha habari kiliandika, “Hukumu hiyo iliyotolewa na Jaji….. katika Mahakama Kuu ya Dar es Salaam, Januari 17, mwaka 2014 saa 8: 30 usiku, imezusha maswali kutokana na umuhimu wa Tanesco kwa wananchi wengi.” Pamoja na kusoma kwangu sheria sijui sheria yoyote inayompa mamlaka hakimu au jaji kutolea hukumu nyumbani kwake tena usiku. Maana kisheria hukumu inapaswa kutolewa mahakamani na mahakama inaelezewa kuwa ni washitaki na washitakiwa, waendesha mashitaka (kwa mhakama za juu) na lazima iwe imekamilika.
Kuonyesha kuwa hukumu hii ina mshikheri kiasi cha aliyeitoa kutia shaka, Alipoulizwa kwanini alifanya hivyo badala ya kutoa majibu yanayoingia akilini alikaririwa akisema, “Mbona wenzako wameshaandika kuhusu hiyo kesi, wewe ndiyo unataka kuandika leo? Mimi nimeshatoa hukumu siwezi kuizungumzia tena, wasiliana na Msajili wa Mahakama.”
Msajili wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Amiri Musumi naye alionyesha mshangao akisema, “Kwa kweli ndiyo nasikia kwa mara ya kwanza kuwa hukumu ilitolewa saa 8:30 usiku.”
Imefikia mahali kuna majaji na mahakimu hawasifiki kwa ujuzi wa sheria wala utendaji haki bali kuwaachia wauza unga. Inaonekana kuna mtandao kama aliosema rais Jakaya Kikwete wa majangili ambapo kesi fulani chafu hupangiwa jajifulani mchafu au junk.
Hata hivyo hii si mara ya kwanza kwa baadhi ya majaji kufanya madudu tena wazi wazi. Mfano, wamekuwapo majaji wanaolalamikiwa kuwaachia ima mafisadi au wauza unga. Mfano gazeti la moja liliwahi kuandika, “Mheshimiwa Jaji huku akifahamu kuwa kesi hiyo imefika mbele yake kwa ajili ya kusikiliza maombi ya dhamana tu, na kuwa ilikuwa haijafikishwa Mahakama Kuu kwa taratibu wa sheria, aliamua kumfutia kesi mshitakiwa na kuamuru kuwa yuko huru."
Kadhalika Mbunge Ester Bulaya alikaririwa akiliambia bunge kuwa kuna mtandao wa maovu unaowahusisha watendaji wa mahakama polisi na taasisi nyingine nyeti za umma. Bulaya alikaririwa akisema.  “Kwa kutumia mtandao huo, baadhi ya Majaji wamekuwa wanatafsiri sheria kwa jinsi wanavyotaka na kuwapa dhamana watuhumiwa wa kesi za dawa za kulevya ambazo hazina dhamana. Mfano mzuri ni kesi Na.6/2011, Jamhuri dhidi ya Fred William Chonde na wenzake ambao walikutwa na kilo 179 za Heroine yenye thamani ya shilingi Bilioni 6.5.”
Bulaya aliendelea kusema, “ Washitakiwa hawa wanashitakiwa kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya ambalo kwa mujibu wa kifungu cha 148(5)(a)(ii) cha sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai pamoja na kifungu cha 27(1)(a) cha Sheria ya Kuzuia usafirishaji wa dawa za kulevya halina dhamana.” Je baada ya mbunge kulalamika ni hatua gani zilichukuliwa? Hakuna. Maana kama zingechukuliwa huyu aliyetoa hukumu usiku asingefanya hivyo bila shaka.
Mbali na mbunge Bulaya gazeti la Jamhuri mwaka 2012liliandika hivi, “Jaji Pendo Msuiiya, wakitambua kuwa sheria sheria inazuia. Bila kuchukua jalada wala kuwasiliana na Mahakama ya Kisutu, huku Jaji Msuiiya akijua fika kuwa kilo 175 ambazo thamani yake ni zaidi ya Sh bilioni tano, na watuhumiwa hawapaswi kupewa dhamana; yeye kwa mamlaka aliyonayo kama Jaji aliamua kuwapa dhamana watuhumiwa hawa. Baada ya kupata dhamana, Wapakistani walirejeshewa pasipoti zao na wakakimbia nchi. Hawajakamatwa hadi leo.” Si Bulaya tu aliyelalamikia kadhia ya kuwa na majaji wasio waadilifu. Mbunge wa Singida Kaskazini Tundu Lissu amewahi kuwalipua wengi. Aliwataja Fatuma Masengi na Mbaruku Salumu Mbaruku aliyesema elimu zao ni ya utata, Latifa Mansoor aliyesema alifukuzwa kwa udanganyifu na ubadhirifu akiwa mfanyakazi katika Manispaa ya Ilala.  Lissu aliwataja pia Kassim Nyangarika na Zainab G Muruke kuwa hawakuwa na maadili. Pia Lissu alimtaja Mwendwa Malecela liyesema kuwa tangu ateuliwe mwaka 2006 hajawahi kusikiliza kesi hata moja. Badala yake Lissu alidai kuwa jaji huyo huenda matibabu India tu.
 Ajabu hakuna hatua iliyochukuliwa zaidi ya watuhumiwa kuendelea kuwa kazini wakifanya madudu kama kawaida. Je mamlaka zinazowateua zina maslahi gani katika jinai hii ya kutisha ambayo kimsingi inadhalilisha mahakama na kushusha hadhi yake ukiachia mbali kukosa imani ya wananchi katika mfumo wetu wa sheria.
Gazeti liliendekea, “Julai 30, 2012 baada ya Jaji Dk. Fauuuz kutoa hukumu hiyo ya ajabu, mawakili wa Serikali ambao ni upande wa mashitaka wakawasilisha nolle chini ya Section 91 ya CPA.”
Gazeti liliendelea, “Tulishangaa, kwamba kwanza Mahakama hii haina mamlaka ya kusikiliza kesi hii, lakini pia baada ya kupita siku 60; bila mamlaka kisheria, Hakimu Luagooo (si jina lake halisi) akaifuta. Hakimu huyu ni kero.” Kwa mujibu wa gazeti la Jamhuri la Agusti 2013, hakimu Luangoo alihamishiwa Lindi akagoma kwenda. Hii inaonyesha mtandao wa maovu ulivyo na nguvu kiasi cha watu kujipangia ni wapi wafanyie kazi kwa maslahi yao.
Kama hali inayoendelea haitarekebishwa, kuna uwezekano Mahakama zetu licha ya kuendeshwa na vihiyo, zitaendeshwa na wahalifu wanaotumia sheria kuwaokoa wenzao. Je nini chanzo cha kazia hii? Ni ule uteuzi wa haraka au vodafasta ambapo majaji wenye mabaka kama vile kuwahi kuhonga kwenye kesi za wateja wao walipokuwa mawakili na wengine wenye elimu ya kutia shaka kuteuliwa? Je kwanini mamlaka zinatuletea majaji wabovu kama hawa hata kama si wote? Maana majaji kama tulioainisha hapo juu wamezidi ya kuzidisha wameishiwa na kuisha kiasi cha kuchusha na kupaswa kuwa magerezani badala ya mahakamani. Hapa hujaongelea maaskari wanaoshirikiana na wahalifu au viongozi wanaokula na wawekezaji wanaohujumu uchumi wetu kwa kutolipa kodi na kuingia mikataba ya kiwizi.
Chanzo: Dira Machi, 2014.

Mlevi apendekeza tuvunje muungano

$
0
0

                               
Baada ya kutoa somo la Katiba Mpya kule Dodoma wiki jana na wahusika kujifanya hamnazo, leo nimekuja na wazo mujarabu la kuepusha kupoteza muda na njuluku za walevi.
Baada ya kugundua kuwa chama twawala kinataka kupandikiza katiba yake ya mazabe na mizengwe, ili kiendelee kuwala walevi, nimegundua. Lazima nitumie ujuzi wangu niliupata wakati nikifundisha ‘Constitutional Law’ kwenye chuo kikubwa cha Harvard kutatua tatizo hili ‘once and for all.’
Hakuna ubishi. Chama Cha Mizengwe na Ukale (CCMU) kingependa kuvunja kila kanuni kuhakikisha siri kali mbili zinaingizwa kwenye Katiba.   Hii licha ya kuhujumu na kuvunja Katiba yenyewe, inavunja muungano kirejareja. Lazima muungano uvunjwe kitaalamu na kwa kuridhiana na kila mtu kuchukua hamsini zake kwa raha mstarehe au vipi?
Wapingaji nao wanataka kuongeza siri kali kuwa tatu jambo ambalo CCMU hawataki hata kusikia.
Siri kali nyingi za nini kwa kaya kapuku na ombaomba ambayo mdingi wake kila siku yuko kiguu na njia ughaibuni kubomu lau naye apate cha kukwapua kama si ‘per diem’?
Je! tunahitaji siri kali nyingi au ni wenye kupenda kula kutokana na siri hizi ndiyo wanaotuzuga na kutaka tuwaunge mkono?
Siku zote huwa napenda siri kali na kuu moja tu hasa ikizingatiwa kuwa sisi ni kaya moja, dugu moja, jamii moja. Vunjeni kila upande uwe na siri kali moja mchezo uishe.
Hawa wanaokinzana wakilipana njuluku zetu wapo tayari kuvunja kanuni hata kuruhusu ka-mchezo ka kuviziana na kusingiziana kama alivyofanya Njaa Kaya hivi karibuni Sam Sixx alipovunja kanuni kumruhusu amshambulie jaji Jose Waliboa aliyeonekana kuboroka sana tokana na kitendo hiki cha kihuni.
Kitaalamu kinachoendelea huitwa ‘protracted conflict’. mgogoro wa kudumu ambapo wenye kuushiriki wako tayari kuhujumiana hata kuhujumu wengine wasiohusika kama vile vizazi vijavyo.
Hivyo, tunapaswa kuingilia kati ili kuepusha usaliti, uzandiki, uhuni, upogo hata ulimpyoto unaoweza kuiweka kaya rehani zaidi tena kwa miaka mingi ijayo.
Hivyo basi, napendekeza tuvunje muungano ambao kimsingi unaonekana kuwa mgongano.
Tukifanya hivyo tutatenda haki kwa CCMU na wale wanaotaka sirikali tatu. Kufanya hivyo pia hakutasaidia ‘parties to conflict’ bali kaya nzima ikizingatiwa kuwa:
Kutatoa fursa kwa kaya mbili kupata nafasi ya kupumua na kutafakari kuungana upya kwa masharti mapya au la.
Hakuna haja ya kung’ang’aniana wala kupoteza njuluku na muda wa walevi kwenye jambo ambalo linaweza kupewa uamuzi wa haraka na kila mtu akachukua chake na kudunda, au vipi?
Tukivunja muungano tutatoa fursa kwa pande zote mbili kuishi bila kuungana na kuona madhara au faida zake.
Mfano, malalamiko ya kunyonyana na kubebana yatakufa na kila mtu atakaa kivyake na kuona ukweli ambao hakuwa ameuona kabla ya kupeana talaka.
Tukivunja muungano, tutaokoa muda wa malumbano na upotevu wa pesa za umma ambavyo vimekuwa vikiendelea kule Dodoma.
Kaya yetu ni ombaomba na kapuku isiyopaswa kupoteza njuluku kwenye mambo ya kipuuzi kama malumbano yasiyo na kichwa wala miguu hasa ikizingatiwa kuwa rasimu ilishafanya kila kitu ilichoagizwa na walevi.
Ukiachia mbali kuondoa malumbano uchwara na ufyole na ulimpyoto visivyo na tija, walevi wa pande zote mbili, kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1964, watapata fursa si ya kufaidi kaya zao asilia bali hata kujua matatizo yake zinapokuwa nje ya muungano.
Licha ya kufaidi kaya zao katika uasilia wake, walevi watapata fursa ya kutumia uraia wao bila utata wala kuutelekeza mwingine.
Walevi hawakupenda kuishi kwenye kaya moja yenye uraia pacha yaani wadanganyika au wabarawa na wazenj au wapwanie.
Huu ni unafiki ambapo umekuwapo kwa zaidi ya nusu karne unaopaswa kukomeshwa mara moja.
Pia ifahamike, kama tutavunja muungano, tutaepusha muungano wa migongano na mashaka ambao umekuwa ukimomonyolewa taratibu kama alivyobainisha jaji Waliboa hivi karibuni aliposema, “Waasisi walituachia mambo 21 (ukiacha usajili wa vyama) kwenye orodha ya Muungano.
Katika kipindi cha miaka ishirini iliyopita yamepunguzwa. Mambo yote yaliwekwa kwa utaratibu uliowekwa na Katiba lakini yameondolewa kinyume na Katiba.” Haya madai makubwa kweli kweli.
Ajabu wale ambao wamekuwa wakivunja katiba na muungano waliendelea kuitwa watukufu na waheshimiwa wakati ni watukutu na waishiwa waliopaswa kushitakiwa kwa makosa ya uhaini ambayo adhabu yake ni kunyongwa hadi kunyotoka roho.
Faida nyingine ya kuvunja muungano ni ile hali ya pande mbili kuweza kufaidi uhuru wa kuwa mbali na mwingine. Hili litaweza kusaidia kutafakari na kuyaangalia mambo bila uwepo wala ushawishi mawazo wala masharti ya mwenza.
Huu ni wakati mzuri wa kujipima na kutafakari nini cha kufanya tofauti na mazoea ya kabla ya kuvunjika kwa ndoa. Huu ni wakati muafaka wa kudurusu kila hatua iliyopita na ijayo na kufanya uamuzi wa maana.
Kwa walevi kama mimi huu ndiyo wakati wa kupiga kanywaji na kuvuta bangi sana ili kupata mastimu ya kuweza kufanya uamuzi mulua, au siyo? Wenye ndoto za kugundua wese na kuwa matajiri kama nchi za ghuba ruksa.
Wenye kusema tumetua mzigo hasa ikizingatiwa kuwa kipande kidogo cha kaya kilikuwa na maulaji mengi na makubwa kama uwaziri, ulinzi na kila makandokando watapata fursa ya kuona ukweli hata kama ni mchungu au vipi.
Ninachosisitiza ni kwamba tusifanye mambo kichovu. Tukiamua tuamue tukiwa tayari kufaidi au kusota. Maana nijuavyo, hakuna kisicho na faida hata kama ni kidogo kiasi gani. Kadhalika hakuna kisicho na hasara hata kama ni kizuri kiasi gani.
Hivyo, uamuzi wa kuvunja muungano usitoke kwangu. Ninachofanya ni kutoa ushauri tu tena wa kilevi. Akha mie simo!
‘If you think education is expensive just try ignorance’. Kadhalika, ukidhani ndoa ni kero jaribu talaka. 

Chanzo: Nipashe April 5, 2014.

Hii imekaa vipi?

In the defense of Mr. President

$
0
0

 
I've been forced to clarify as to why sometimes things can’t sound the way you like or expected them to.  I’m making this clarification after one reader, sent me a provocative message that became a challenge to me. Boozers in Nkwazi’s Court, as a column, aims at dealing with hot and sensitive issues many people hate but don't want to address. From the outset, I can, therefore, argue that this column will touch at people differently. There are those who’ll either hate or like it. It is natural—everything’s more than one side. Essentially, this is what my court is all about.
True, corruption, rot and general better than thou are daily realities we face as a society. However, we’ll try to avoid being better than thou. Instead, we’ll mercilessly, but consistently, tell the truth. Again, truth is relative and multipronged. To address this, my court will employ quips, wisdom and humour to shed light on truth many people fear to touch on for fear of being dealt with especially when such truth touches on the high and mighty. Media always bear the blunt when particularly for not taking on bad habits or the high and mighty.  It becomes even spooky once the media is accused of hobnobbing with or being used by some high and mighty it is supposed to shame and whose rot to unearth and exhume. Where hooves tread always claws follow---there are some diapers like journalists who can be hired to do such dirty jobs.  It is true. Some media are bed with evildoers.  This doesn't mean that all media houses are. Thus, we’re trying to set the ball rolling so much so that our society can evaluate itself. This being said, wonder not, for instance, if you come across words such as thieves, liars, purloiner, con man and so on. More importantly, we’ll not target anybody for no reasons. For example, if you sleep on wheel, we’ll take on you so that you can wake up and do the right thing you’re expected of. 
After making some clarifications, let me delve into issues. I’m going to assess President Jake Kiquette’s performance, especially, delay tactics in many issues. I must admit. I’m not the creature that praises others especially the biggies like Presidents and other big eater, movers, shakers and rainmakers. 
One of the complaints I heard is that Kiquette promised to reexamine investment contracts that ended up becoming lossmaking biz. Also, many people’d want him and other biggies declare their wealth.  However sensitive and important this can be, don’t they know! If he does, thieves will rob him or even those guys that are than him can laugh at him? Who wants to have his president laughed? 
I know.  Many’ll laugh at me especially for taking on a proverbial wise monkey that sees nothing and says nothing. It needs the courage of the mad to allow the general public turn you into a question-marksman’s target thanks to inquisitive and testing questions resulting from angst and broken hearts. Yeah. It needs arrogance to assure heartbroken populace that you’ll deliver.  It needs not only the courage of the mad to promise better life for all. It needs what boozers call artistry skills ala usanii. Under the art of turning things upside down and downside up, at least one can turn himself into a wise fool.
The other day some boozers were saying that they’ll demonstrate and see to it that they come to the office of Mr Big so that he can tell them why he didn't deal as drug peddlers as you promised. I told them openly that nabbing drug barons is not as easy as those who don’t know the whole game think. The guys have a hell of money so that they can tip and vend anybody. That being the case, I told the boozers that wherever things seem not to move just drop a coin. Swahili sage has it that penye udhia penyeza rupia. You see. Money talks. And it does so loudly.
Another boozer wanted to know when the dosh stashed in offshore banks will be retrieved. The guy seems to hate mzee wa Vijisenti and his company including the one Kagodamn billionaire. He said that these guys should be sent to the gallows as soon as possible. For they kill millions of Danganyikans. To cool his jet I told him to go hang…mwenye wivu ajinyonge. I told him to go to hell or Lemuria if not Atlantis.  Nobody’s going to be bothered. I added that in Bongo the law deals with chicken thieves as it protect those who steal millions and billions. Therefore, I told the guy and all others like him who want the dosh stashed in the offshore banks returned, to go commit suttee or forget. There’s nothing like to bring back the dosh. If anything, as little bird confided me, much more money is stashed even more. Do you think big thieves will stop stealing while they know the law protects them?  Again, the hydra-like system that keeps them will grow another tentacle once you cut one.
My major question today is: When’ll you erase the anomalies in your administration Mr. Jake?
Source: The Guardian on Sunday 6, 2014. 

Ubishololo na ujinga na unywanywa mwingine bwana!

$
0
0
 Hivi hapa alilyepiga kura kisheria ni nani? Kweli Bongo boondoggle kweli kweli!
Viewing all 3175 articles
Browse latest View live