Quantcast
Channel: Free Thinking
Viewing all 3175 articles
Browse latest View live

Demonizing Warioba’s hooliganism

$
0
0
          A hell of Chama Cha Mapinduzi (CCM) buffs which is viciously taking on mzee Joseph Warioba,chair of the Constitution Review Commission (CRC) is Nauseating. It came to light recently that a bunch of political hoods abused and chastened Warioba pointlessly.  You can disagree with Warioba’s draft constitution. Again, is it Warioba’s personal document? The answer is nope. Warioba’s commission wrote and presented what the wananchi told them to. This being the case, why then kill a messenger as if the draft presented is the product of his will in lieu of the will of the people?
What type of politics are we inventing in this refusal to wise up? Whoever sent hoodlums and doofuses to dress down Warioba's wrong.  After they’re done with him they’ll turn against their masters. It’s like teaching a dog to eat chicks. It’ll end up stealing them. Nary teach kids to abuse adults for they’ll end up abusing you. It is encouraging that Warioba decided not to chicken out or be cowered.
 It is outrageous and hooliganism to take on Warioba as a person in lieu of dealing with the arguments he made. Eleanor Roosevelt once said, “Great minds discuss ideas; average minds discuss events; small minds discuss people.” If anything, this is what’s been going on vis a vis the draft constitution. Instead of bringing healthy and constructive arguments, those who oppose some of its proposals have always displayed their ignorance and contempt of the law.
          It troubles greatly to note that some of those demonizing Warioba are referred to as leaders and educated people. Are such people truly educated as they lead us to purgatory? Why don’t they want to accentuate it that what Warioba Commission tabled is what people told it to?  The hell you say!
Those demonizing Warioba wrongly accuse him of attempting to fell the union which isn't true at all. Instead of showing evidence, they’re trying to put words in his mouth.
One rubberneck went out of the way so as to even proclaim as to when Warioba’s going to die as if this yahoo is God. Won’t this goon die? The boob gave Warioba five years to live. What bunkum! Are they intending to kolimbing Warioba? Warioba needs to take this threat seriously. This is Bongo where any monkey business can be done to see to it that he becomes a past tense like Edward Sokoine.
Sadly though, I’m told that such a backward thinking lot is a student at a certain college dealing with diplomacy. Why doesn't the same show some diplomacy at least to show a different between him and lay people? To prove how out of touch this mediocre wino-cum-rookie is, said that currently the government is in the hands of youths. If you ask him to show even a quarter of those youths in the government he’ll end up gaping.
           It is sacrilegious to note that when this gawp abused Warioba,  party leaders kept mum which means they blessed the move.
A one million grand question is: will the majority of wananchi who proposed three-tier government system cave in? Introducing three-tier system of government is a red herring wrongly regarded as felling union. Instead of employing abuses and lies in addressing this problem, we need to use some sense. If the mass wants the union felled, so be it. If the union is people centered and the same people are tired of it let them disband it.  If a three-tier-government system’s regarded as felling the union, so too two-tier is. For Tanzania’s one united republic made of two former republics.
          Three-tier govt is the pronouncement of the people and Voix Populi vox Dei.
Instead of taking on the CA which has been yakking and dilly-dallying, some people are wasting time demonizing the draft constitution pointlessly?
Those abusing Warioba thinking that they’re defending their party are but doing disservice to it. Abusing Warioba is as good as abusing president Jakaya Kikwete who appointed the commission. If CCM is behind this, it needs to know that this is not the way to go. It like abusing somebody’s parents little knows that your parents too will be victim.
If what those, who don’t want to hear different views, is two-tier-government system, there’s no need of wasting our money and time to form a commission whose work would later be beaten up as its head being mistreated. Again, history is a good teacher. It’ll one day vindicate Warioba. Evidently, those espousing two-tier-government system are becoming bankrupt time and again. They've no argument anymore. This is why they’re now employing abuses instead of the voice of reasoning.
Now that Warioba’s been attacked, will the majority that sent him to write what he wrote and present to the nation abandon him in his hour of need? Will they allow crooks to get away with it? If they do, they’ll regret just soon. Plato put it nicely saying, “One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors.” Verily, demonizing Warioba's injustice that needs to reproached and castigated altogether.
Source: ThisDay April 7, 2014.

Mitandao ya ujangili utetezi dhaifu wa Kikwete!

$
0
0
“Kuna majangili 40 waliotambuliwa na tumetambua mtandao mzima, pale Arusha kuna mtu mkubwa alikuwa anaendesha biashara. Kazi ilikuwa ni kutambua mtandano wote, ule mtandao ni mpana sana,” hayo ni maneno ya rais Jakaya Kikwete aliyotoa aliporejea nchini akitokea kwenye mkutano wa kupambana na ujangili huko London Uingereza. Je baada ya kutambua huu mtandao serikali imechukua hatua gani? Je Kikwete ameamua kutangaza kabla ili kuwastua wahusika waishie au waache ujangili?  Je ni kweli anaujua mtandao huo au ni yale yale ya orodha ya majina ya vigogo wa mihadarati? Je Kikwete yuko tayari kuwataja wahusika?
Huenda Kikwete aliongelea ukubwa wa mtandao ili aonewe huruma au kueleweka kuwa ni vigumu kuuchukulia hatua. Je huo mtandao ungewinda madaraka yake angeishia kulalamika au kuchukua hatua? Je Kikwete anathibitisha ukweli wa madai kuwa marafiki na jamaa zake wanahusika na kufaidika na ujangili kama lilivyodai gazeti la The Mail on Sunday la Uingereza la Februari 8? Gazeti hilo liliandika, “Utawala wa Rais Kikwete umetawaliwa na mauaji ya tembo yaliyovunja rekodi katika historia ya nchi yake. Kibaya zaidi, wahifadhi wanasisitiza kuwa, ndani ya Serikali kuna viongozi wanaoshiriki biashara hiyo.”
Gazeti lilidai kuwa wabunge, maofisa wa juu na wafanyabiashara, wametajwa bungeni na kwenye vyombo vya habari, lakini uchunguzi unapotezwa. Pia lilieleza kuwa hata meno yaliyomo gharani mengine yanauzwa kinyemela ili kutafuta pesa kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kushinda kwenye uchaguzi ujao.Japo ujangili ni tatizo kubwa barani Afrika, chanzo ni mfumo fisadi na mbovu wa kijambazi wa utawala. Huwezi kuwa na sera za hovyo zinazoruhusu majangili kumilki vitalu vya uwindaji ukakwepa kuwa na tatizo. Watanzania wanajua fika. Ugawaji vitalu vya uwindaji unafanyika kifisadi kiasi cha kutoa fursa kwa majangili kumaliza wanyama wetu. Chukulia mfano kitendo cha awamu ya pili kummilkisha mbuga ya Loliondo meja Ali toka Uarabuni. Hii maana yake ni kwamba mwenye kumilki vitalu amepewa rungu la kufanya atakavyo ilmradi analipa mrahaba ambao nao ni upuuzi mtupu.
Kama Afrika haitaiga mfano wa nchi kama Australia ambayo huzuia wanyama wao kununuliwa na kuweka kwenye zoo nje ya nchi, tutaendelea kulalamika na kupoteza urithi huu muhimu. Uzoefu unaonyesha kuwa unaweza kukuta wanyama toka Afrika kwenye zoo duniani kote. Ila hukuti mnyama kama Kangaroo ambaye ni kivutio cha utalii kikubwa nchini Australia akiuzwa kwenda kufungiwa hovyo hoyo kwenye zoo nje ya Australia. Wanafanya hivyo ili kuondoa mnyama huyu kuwa kivutio nje ya nchi yao na kuwapunguzia utalii na urithi.
Kimsingi, mwenye nia ya dhati ya kupambana na ujangili si wa tembo wala faru tu barani Afrika, lazima azuie huu uuzaji wa kipumbavu wa wanyama hai kwenda nje. Wengi wanakumbuka kesi chafu na ya aibu ambapo wanyama hai walitoroshwa kupitia uwanja wa ndege wa kimataifa wa KIA. Kujua ni vipi majangili wa maofisini ambao kimsingi ndiyo muhimili wa wale wa mbugani unavyoathiri kila kitu, jiulize. Yule mpakistani Kamran Ahmed aliyekamatwa kwa kosa la kutorosha wanyama wapatao Zaidi ya 130 yuko wapi na baadaye kuwa na pesa bandia kiasi cha sh. 18,000,000? Tunaambiwa eti alipewa dhamana akatoroka. Je alitoroka au alitoroshwa ili kuepuka kuwaumbua wakubwa wetu wanaoshiriki ujangili kwa kuwatumia wageni? Kama mamlaka zingemfungulia mashtaka kwa vifungu vinavyohusiana na jinai yenyewe chini ya kosa la kuhujumu uchumi, asingepewa dhamana. Ila kwa vile wanajua udhaifu na mianya ya kisheria, wahusika walimfugulia mwenzao mashtaka chini ya vifungu rahisi ili apewe dhamana na kupotea. Kwa nchi yenye kujua faida ya maliasili mpakistani huyu, kwanza hakupaswa kupewa dhamana wala kutoka gerezani akiwa hai. Angeishia huko ili liwe somo kwa wengine wenye kufikiri kuhujumu taifa kwa njia kama hizi. Na hili si tukio la kwanza kuonyesha jinsi wakubwa zetu walivyo washiriki wakubwa wa uhujuu na unjangili huu. Nani amesahau kashfa ya Chavda ya kuiba mamilioni ya fedha za umma kwa kisingizio cha uwekezaji? Baada ya wakubwa waliomtumia kugundua kuwa uchafu wao ulikuwa umewekwa wazi eti walimuammu kuondoka nchini ili kuficha uovu wao. Hapa ndipo tunaposema wazi kuwa utetezi wa rais Kikwete wa kuwepo mtandao mkubwa ni  wa hovyo.
Unapokuwa na serikali ambayo inashindwa kupambana na hata wahalifu wa kawaida, maana yake ni kwamba haifai. Maana, pamoja na wajibu mwingine, kazi kuu ya serikali ni kulinda watu na mali zao ziwe za binafsi au za pamoja. Huwezi kuwa na serikali inayolalamikalalamika bado ukatembea kifua mbele kuwa wewe ni taifa. Isitoshe, rais Kikwete amekuwa bingwa wa kulalamika lalamika tangu aingie madarakani. Viko wapi vita dhidi ya ujambazi, ufisadi, wiza wa pesa za umma na sasa ujangili? Kikwete amekuwa rais mlalamika na si mtendaji. Ameshindwa. Tangu aingie madarakani amefanya kazi mbili tu ambazo ni kulalamika na kusafiri hovyo hovyo bila kuwajibika.
Inakuwaje wenzetu wa Kenya walinde na kufaidi urithi wao sisi tuishie kulalamika kama hakuna namna kwenye uongozi? Japo wengi wanaogopa kumwambia Kikwete ukweli huu wenye uchugu, ukweli ni kwamba hana nia wala uwezo wa kutulinda sisi pamoja na mali zetu. Ameshindwa yeye na serikali yake  ya CCM. Kama yanatolewa madai kuwa serikali inafumbia macho ujangili ili kuruhusu Chama Cha Mapinduzi kipate mtaji wa uchaguzi na serikali haileti utetezi unaoingia kichwani unadhani hii ni bure? Mfano wa hivi karibuni ni utetezi mwepesi uliotolewa na Kikwete baada ya kubanwa ajibu tuhuma kuwa anawajua na kuwalinda majangili wa vile wengi ni watu wake. Alipobanwa ajibu mapigo eti alisema hawezi kujibu kwa vile akutukanaye hakuchagulii tusi. Ya kweli haya? Inakuwaje rais akubali kutukanwa wakati anavyo vyombo vya kuweza kuchukua hatua kisheria kama hakuna namna? Ni ajabu na hasara kuwa na rais wa namna hii anayeweza kutukanwa akabaki kulalamika na kukwepa kujitetea hasa ikizingatiwa kuwa rais ni alama na kielelezo cha taifa.
Kumbe rais anawajua majangili waishipo na wafanyacho ila hataki kuwashughulikia kama alivyofanya kwa wauza mihadarati ambao alisema ana orodha ya majina yao. Kwanini? Kikwete anapaswa kutupa majibu yanayoingia kichwani vinginevyo awajibishwe yeye na serikali yake. Hakuna haja ya kuendelea kubebembelezana wakati taifa letu likiangamia.
Chanzo" Dira Aprili 7, 2014.

Kijiwe chamshukia Mkamia magazeti

$
0
0
LEO tena Mgosi Machungi amekuja kijiweni bila gazeti. Anaonyesha waziwazi alivyokerwa na huu ushenzi wa kutishia kufungia vyombo vya umbea kutokana na kukataa kulala kitanda kimoja na mafisadi walioko kwenye ulaji, tena wa bure.
Hasira yake imeongezeka kiasi cha kutaka kuvamia mjengo kuwatimua wasasi wa ngawira wanaokwamisha katiba mpya. Walidhani vyombo vya umbea havitaandika umbea na unywanywa wao.
Leo kijiwe kina hasira sana, hasa baada ya kugundua kuwa kila uchao wanakula njuluku zetu for just doing nothing. We are tired of your hanky panky monkey business.
Kijiwe kimedhamiria kutoa taarifa kwa wote wanaodhani watashinda kuichakachua katiba kukaa mkao wa kuliwa.
Mgosi baada ya kuamkia anasema: “Wagoshi, mnaonaje huyu mdudu wa kutishia kufungia magazeti eti kwa vile hayakubali kuwekwa mfukoni mwa wababaishaji na mafisadi?
Mlimisikia Jumaa Mkamia Magazeti juzi akibwabwaja? Tate nane titaua mtu hapa. Hamiwezi kutinyima habai kuficha madhambi yenu.”
Mpemba anajibu haraka haraka: “We washangaa hili la kutishia kufungia vyombo vya habari? Twaona watu wavurunda kwenye kusaka katiba badala yake wajivua nguo kwa kutunisha nsuli kwa magazeti. Si waache kutenda uovu basi? Yapo mengi yanaendelea ya kutufumba mdomo japo wao wataka tufumba macho.”
Mipawa anakatua mic: “Nkwinga nashangaaga. Watu wameishiwa. Wakiambiwa ukweli wanafungia magazeti. Mtafunga magazeti, lakini hamtafungaga macho wala akili zetu. Leo wanaweza kutishia kufunga vyombo vya umbea ila hawatazuia umbea wao kutufikia. Ipo siku nasi tutawafungia. We waache wacheze makidamakida kama Makida wa Mjengoni aliyesimikwa na mafisadi.”
Msomi Mkatatamaa anaweka gazeti lake la The Mail on Monday pembeni na kudema: “Nilikuwa nasoma taarifa hizi za kutisha na kutia aibu. Naona hata vyombo vya haki za binadamu na uhuru vimeishaipata na kutoa sauti. Hata hivyo, viziwi wetu wanasikia bila kufanyiwa kweli? Eti naambiwa huyu Mkamia Magazeti naye ni mwandishi wa habari. What an epic loss! He won’t achieve that which he wants to achieve before hitting the road Inshallah.”
“Msomi wachanganya Kikameruni na kiarabu au inshallah nalo neno la Kikameruni?” Anasema Mpemba.
“Watasikiaje wakati wamelewa ulaji chakari? Mkamia Magazeti basi nenda kafunge The Mail on Sunday lililomvua nguo bosi wako kwa kumhusisha na ujangili.” Anajibu Kapende huku akibwia kahawa yake.
Mijjinga anaingilia kati: “Huyu mjivuni Mkamia Magazeti hana ubavu wa kufungia The Mail on Monday hata ikiripoti uchafu wao. Wajifungie wakose njuluku? Nashangaa hata hizi kaya zinazojidai kuendelea. Zinatufundisha demokrasia. Tukiifanyia kazi yanatuacha solemba. Sijaona zikiingilia kati na kuondoa njuluku zao kwa genge letu ili tuone kama litaweza kujiendesha.”
Bi Sofi hakubali: “Acheni kulalamikalalamika hovyo. Hatuwezi kuacha wambea wajiandikie kila uzushi huku wakitoboa siri za usalama wa kaya.”
Msomi anarejea kwa hasira: “Sofi ndugu yangu umelogwa na nani? Usalama gani unaoongelewa hapa, wa majangili na mafisadi kuogopa kufukuzwa kwenye ulaji na wenye kaya siyo? Hivi kweli kuna siri kwenye mambo ya umma, hasa ya kaya? Kwani kaya ni ya hao wanaotuibia na kutaka kuficha jinai yao au ya wanakwaya? We can’t allow them to objectify us in any way. Indeed we can’t.”
Kiingereza chake kigumu kinawaacha hoi baadhi ya wanakijiwe, isipokuwa mimi msomi wa wasomi mwenye magunia ya PhD za ukweli na si za heshima na kughushi kama za kina Nchimvi Makorongo, Luku-vii, Masaaburii na Nyagu.”
“Wallahi mie haya ya kutishia kufungia magazeti hayanishughulishi kama kuchakachuliwa kwa katiba wallahi. Yaani walituhadaa tutoe mawazo wakati wanayo yao au walitaka tuimbe ngoma moja ya kuliwa wakati twaliwa na wao? Mbona hawajawahi fungia yale yanayoeneza kampeni chovu na za kipuuzi kama lile la Udhulu na Mzaalendoo au haya nayo si magazeti?” Analalamika Mpemba.
Mgosi hangoji Mpemba aendelee. Anadakia: “Kama kuiwa waiwa wewe si mimi. Subutu! Mtu anile nimuache bila kumpiga zongo suai (akimaanisha surely)?”
Kijiwe hakina mbavu jinsi Mgosi anavyojihami akiogopa kuliwa wakati kweli analiwa ukiachia mbali Kiinglishi chake cha Kisambachi.
Mpemba anajitetea: “Yakhe wanionea. Mie sina utani nawe. Nisemacho ni kwamba kama tutaendelea kuburuzwa hivi kuna siku tutaliwa wallahi.”
Mipawa anaamua kumliwaza Mgosi Machungi. Anasema: “Mgosi usiogopege kuliwa. Hata hao wanaotula wanaliwa na wale wanaowatumia kutula sisi. Hapa ni kula na kuliwa. Nawe mgosi unao unaowalaga. Hivyo, kuliwa kidogo si vibaya ingawa si kama tunavyoliwa.”
Msomi anaamua kurejea ili kuweka mambo sawa. Anasema: “Nadhani wenzangu mnakosea maana ya neno kuliwa. Kimsingi, wanaotumia kodi zetu kutuchezea wanatula hata kama si kama vile mnavyodhani. Kitendo cha kutuletea katiba iliyochakachuliwa kama hakitazuiwa basi ni kujiruhusu kuliwa kulhali na kila mahali. Kuepuka hilo mie napendekeza tuwabane tuwe na sirikali moja badala ya huu utitiri wa walaji.”
“We achia hapo. Eti kuliwa kila mahali! It can’t be me sir.” Anachomekea Kapende huku akichanganya Kiswangilishi kama waheshimiwa wachakachuaji wa katiba.
Mpemba hakupendezwa na pendekezo la serikali moja. Anasema: “Somi hapa unkosea wallahi. Wataka tuwe na sirikali moja halafu sisi Visiwani tumezwe? Sie twataka sirikali zote, yaani mbili na tatu ilimradi msiguse maslahi ya Visiwani.”
Mijjinga aliyekuwa akisoma gazeti la The Mail on Sunday anaamua kupoka mic. Anazoza, “Yakhe hapa sasa wantafuta wallahi. Sie twasema sirikali moja ili kukata ngebe. Kumbe mwenzetu changu kichungu chenu kitamu siyoo? Sasa twasema tena kwa sauti ya juu kuwa twataka sirikali moja na Ugunja na Pembi muwe mikoa kama wengine.”
Kanji aliyekuwa kimya anaamua kula mic: “Dugu yangu hapana gombana. Kaka sisi wote dugu moja, basi ive na sirikali moja. Tapendeza eenh?”
“Kanji usinchokoze. Kama waona sirikali moja mali basi nenda kaunganishe India na Pakistan uone.”
Kijiwe kikiwa kinaanza kunoga si Nesaa mkewe Mgosi akatokea kikataka kuumana na Sofi. Kila mtu alichukua hamsini zake huku tukimuacha Sofi ametoa mimacho kama panya aliyenaswa mtegoni.
Chanzo: Tanzania Daima April 9, 2014.

Huu si Muungano bali mgongano

$
0
0
HAKUNA ubishi kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliodumu kwa zaidi ya miaka 50 umekuwa ukikumbwa na misukosuko kila wakati.
Hivyo, hali hii hutukumbusha kuwa yanahitajika marekebisho katika baadhi ya mambo kuhusiana na muungano.
Kwa sasa muungano huu ni mgongano zaidi ya muungano.
Kuna malalamiko kila aina toka pande zote kuanzia hofu ya kumezwa kwa upande mmoja na kupoteza utambuliko kwa upande wa pili.
Hivi karibuni utata wa muungano umejitokeza wakati wa kukusanya mawazo juu ya kuandikwa kwa katiba mpya.
Utata umeendelea hadi kwenye Bunge la Katiba (CA) ambapo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinataka serikali mbili ilhali upinzani na Watanzania walio wengi wakitaka serikali tatu.
Suala hili limezusha sintofahamu, kushutumiana hata kutoaminiana kiasi cha Bunge la Katiba kupoteza muda mwingi katika kutafuta jinsi ya kuelekea suala hili.
Ili kuondoa sintofahamu hii na kukata ngebe, hata mzizi wa fitina, tunapendekeza kueleweka na kufanyika baadhi ya mambo.
Tuanze na sababu ya kuungana. Historia inatwambia kuwa muungano wa Tanzania ni matokeo ya hofu ya wakati wa vita baridi baina ya wakomunisti na mabepari.
Hivyo, ifahamike kuwa muungano wetu ambao siku zote umekuwa mgongano si wa hiari bali wa kulazimika. Ni bahati mbaya kuwa watawala hawakupenda kuufanyia marekebisho ili kuendana na wakati na matakwa yake.
Inafahamika kuwa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, rais wa kwanza wa Tanganyika, hakutaka Zanzibar iende kwa mabepari ilhali Sheikh Abeid Aman Karume, rais wa kwanza wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar aliridhia muugano wa haraka kwa hofu ya kupinduliwa baada ya kumpindua sultani.
Hivyo, dhana nzima ya muungano ni ulazima au ‘necessity for survival not a choice’, tofauti na unavyochukuliwa.
Hivyo basi, kama pande mbili zitazingatia sababu za kuungana tena kwa haraka, zitaamua vizuri.
Kwa mfano, kama Tanzania Bara ikiamua kutumia ukweli wa kihistoria na kutaka kuuvunja, atakayeathirika zaidi anajulikana, hasa ikizingatiwa kuwa kitisho cha kwenda kwa mabepari hakipo tena.
Kwa upande wa Visiwani bado hali ni tete. Leo wakiondoka kwenye muungano, kutazuka mgawanyiko baina ya Afro na Hizbu.
Hivyo basi, Zanzibar wanauhitaji muungano saa nyingine kuliko Bara kwa vile unawapa kinga dhidi ya vurugu.
Angalia kinachoendelea Comoro ukitaka kujua ‘future’ ya Zanzibar nje ya muungano.
Najua nitakayoandika yanakera japo ni ukweli. Lazima kufanyia muungano marekebisho. Ni bahati mbaya kuwa watawala wa sasa wanatuhimiza tuheshimu mawazo ya waasisi ya mwaka 64. Hii haliwezekani.
Wapo wanaotumia visingizio kuwa waanzilishi walisema ili au lile. Hatuwezi kuendeshwa na mawazo ya mwaka 64 katika karne ya 21, vinginevyo tuwe tumedumaa na kuganda kiakili.
Matatizo yaliyosababisha muungano yametoweka kwa upande wa Bara ambapo hofu ya kumezwa haipo tena.
Hata hivyo, kuna madai ambayo hayajathibitishwa vizuri kuwa hadi Karume anauawa, alikuwa haongei na Nyerere tena. Hata hivyo, kuna ukweli kwenye madai haya. Maana Nyerere aliwahi kusema kuwa ingekuwa ni uwezo wake basi angesukumizia visiwa vya Pemba na Unguja mbali na Tanganyika.
Huyu hakuwa na raha katika ndoa yake isiyo tenda haki. Haiingii akilini, kwa mfano, kipande kidogo cha ardhi kama Visiwani eti kiwe na haki sawa na Bara.
Hata katika huo muungano wa muda mrefu na wa kudumu wa Marekani, nchi kubwa zinazouunda kama vile Texas na California zina kura nyingi za maamuzi kuliko nchi ndogo kama Hawaii. Mfano California wana kura 55 za turufu katika uchaguzi ikilinganishwa na Hawaii kura 4.
CCM wanashabikia mvutano baina ya serikali mbili na tatu ili utupotezee muda na kuacha kujadili mambo ya msingi kama vile uwajibikaji, maadili ya uongozi, kupambana na ufisadi uliotamalaki, kinga za viongozi hata wanapotuibia, maendeleo, uchumi, madaraka ya rais, ukubwa wa serikali na mengine mengi.
Japo wanaonyesha kutoa povu mdomoni kuhami hoja yao ya serikalli mbili, moyoni wanachekelea kuwa tumeingia mtego wao na kuepuka kugusa mambo yaliyowawezesha kutawala kwa muda mrefu ukiachia kujadili namna ya kupambana na kushughulikia madhambi yao ya miaka hamsini.
Wanaomba Mungu sintofahamu hii iendelee ili wanusurike. Mfano, tumeishapoteza zaidi ya mwezi mmoja kujadili kanuni ndogo kama vile ni aina gani ya kura itumike.
CCM wanajua kuwa itafika mahali Bunge la Katiba litajikuta limeishiwa muda. Hivyo, kuomba au kubanwa liharakishe au hata kupangiwa muda wa kupatikana katiba. Hapa ndipo mambo ya muhimu yatajadiliwa na kupitishwa kwa haraka kiasi cha kuinusuru CCM mtegoni.
Bado ni ukweli kuwa CCM haitaki suala la serikali tatu ambalo kimsingi linainyima mamlaka juu ya visiwani. Ukitaka kuiua CCM basi sema tunataka serikali moja ili kutenda haki kwa pande zinazokinzana jambo ambalo litaifanya siku hiyo Visiwani ijitoe kwenye muungano bila hata mashauriano japo baada ya hasira kuisha ima watarejea au kuanza kuonja adha ya kuwa nje ya muungano.
Wangepatikana viongozi wa kuwaambia upande wa pili kuwa sasa ni serikali moja liwalo na liwe, hasira na vitisho vingeibuka, lakini mwisho wa yote zingeshuka hasa kwa kuangalia uhalisia wa kinachowasubiri mbele ya safari.
Hebu tutoe mfano mwingine. Leo Burundi, Kenya, Rwanda na Uganda zinaihitaji Tanzania na Sudan ya Kusini kwenye jumuia yao kuliko hizi nchi mbili zinavyowahitaji wao kutokana na ukubwa wake kwa kila kitu.
Huu ni ukweli usiopingika hata tungeupuuza vipi. Tembo hawezi kuungana na sungura wakagawana kila kitu kwa usawa bila kujali ukubwa wa wahusika. Hii ni kanuni.
Hivyo, hakuna haja ya kutoana roho kwa serikali mbili au tatu ambazo kimsingi zinatuzuia kuungana na kujadili mambo ya msingi. Kama wote tuna nia safi na muungano, basi tuunde muungano wa serikali moja, asiyetaka aliache litote tugawane mbao. Kama wasemavyo Visiwani.
Ukitaka kujua faida au hasara ya muungano, uvunje. Hatupaswi kuwa na Tanganyika wala Zanzibar, hasa ikizingatiwa kuwa tuliungana na kuunda taifa moja la Tanzania.
Chanzo: Tanzania Daima Aprili 9, 2014,

When it comes to globetrotting

$
0
0

Africa's great president in using people to serve him
Great in extravagant spending of paupers' tax
Great in globetrotting
Great in offering empty promises
Great in condoning evils and crimes
Great in doing nothing
Great in  making hoo-has
Great in performing abracadabra
Great in witch hunting 
Great in white washing
True the guy is pointlessly and meaninglessly Great in what?
Great in destroying our future
Is he great or grot?
I hate the grate I hear about his  fake Greatness
I hate Nigerian con men who duped our Dr Zero.
I condemn Liberata Mulamula and other honchos Who fixed this great  loss maker.

`Madaktari` wengine wana PhD za mitusi

$
0
0
Wanawake wataka kuzichapa bungeni
Dk Ave-Maria Semakafu  kushoto na Leticia Nyerere kulia (pichani) walinusurika kupigana huko Dodoma hivi karibuni
Mlevi aliamini kuwa yeye ndiye bingwa wa mitusi kutokana na kusumbuliwa na kanywaji na mibangi anavyofakamia ukapa na usanii unapomkwaza.
Kumbe wapi? Juzi nikiwa kwenye misele yangu baada ya kutoa mada kwa Bunge la Kitabu, sorry Katiba Mpya aka ‘Constipation Assembly’ si nikaingia mitaa ya Dodoma. Onyo, sikwenda mitaani kutafuta vyangu kama jamaa wanaopokea njuluku za dezo.
‘I went there to learn how Danganyikans, Boozers and other earthlings perceive this shop talk.’ Sorry, nimeongea kinyasa na kusahau kuwa si lugha ya Dziko ili! Hayo tuyaache.
Si nikiwa napanga kudandia mshangingi wangu wa Kijep wakatokea wamaza wabee wanaoonekana kuwa wa heshima ingawa hawana hiyo heshima kutokana na walichonionyesha.
‘You know what?’ Si walikuja mbele yangu na kuanza kuvuana nguo! Japo hawakufanya hivyo ‘practically,’ midomo yao iliyopaswa kuwa mitamu iliwavua nguo. Maana hiyo mitusi waliyokuwa wakimwaga tena kwa mashindano haijawaacha na nguo ‘so to speak.’
Kuna mitusi mingine sikutegemea ingetoka kwenye kinywa cha mtu anayeitwa mama aka lady.
Sikuwahi kusikia mwana mama akimtukana mwenzie matusi yanayohusiana na jinsia ya maza wake, hayo tuyaache maana uga huu si wa udaku,
Hakuna kitu kiliniacha hoi kama kugundua kuwa hawa wamama wanaonekana wasomi japo mmoja wao alithibitisha kuwa ima alighushi PhD yake au alipoteza muda darasani.
Maana mitusi aliyokuwa akirap siwezi kuamini kama kweli ana PhD hata kama ni ya hishima.
Baada ya wamama hawa kunusurika kuvaana wakiwa wameachana uchi baada ya kuchaniana nguo wakigombea katiba, nilifanya uchunguzi.
Niligundua kuwa madaktari wengine wana PhD za mitusi.
Mfano ni Dokita Ave-Mary Semakufuru aliyewatusi wabunge wote wa upingaji kuwa ni maroboti yasiyo na akili bila kujua naye ni roboti aina ya CCM.
Japo bibi wa kimura aitwaye Let Nyenyere alipandisha sana, alijizuia kumwaga mitusi.
Sana sana alichonisaidia ni ile hali ya kuhoji kama mimi jinsi huyu Semakufuru anayeonekana kuwa kiwanda cha matusi alivyopata au kupewa PhD wakati maneno yake yanamuonyesha kama hamnazo? ‘I wonder. I wondered. I shall keep on wondering so to speak.’ Huyu angehudhuria darasa langu angefeli hasa ikizingatiwa kuwa wakati napiga chaki kwenye university ya chuo kikuu sikuwa tayari kuhongwa iwe njuluku, nkojo hata ngono. Hayo tuyaache.
Hakuna kitu kimeendelea kunisumbua kama kugundua uhovyo wa baadhi ya wajumbe wa Bunge la kuula ambao uwezo wao wa kufikiri haufikii hata urefu wa pua zao.
Hata hivyo, nashukuru Subhana kuwa Sam Sixx amekubali karipio langu la kutaka abadilishe uteuzi wake wa kisanii. Maana angepuuzia ningemtokea na walevi na michupa yetu na kumtoa mkuku kama si ngeu.
Kwa vile Sam Sixx ni kijana wangu, napanga kwenda kumpa shinikizo atoe tamko la kulaani kumdhalilisha jaji Wariboa ambaye anaonekana kuandamwa na wahuni kama Salva Rweyependekeza na wengine wasijue kufanya hivyo ni kumtukana hata huyo mungumtu wao aliyewaumba na kuwapa ulaji wakati ni makanjanja na vihiyo.
Hata hivyo, sishangai. Nakumbuka malalamiko ya mlevi mmoja aliyehoji kuwa ikuu inapokaliwa na wahuni mtegemee nini? Aliendelea kulalama akisem: Omba Mungu wapatikane wakazi wenye uchungu na kaya waisafishe na kuibadili toka kuwa pango na majizi na machizi kama akina Salva Rweyemaaamu aka Rwependekeza aka Rwechanganya aka Rwecontradictmu.
Turejee kwa hawa warembo walioamua kujigeuza sinema tena ya bure. Je! walikuwa wakigombea katiba au kitu kingine kwa kisingizio cha katiba? Nilitaka kuwasogelea lau niwaliwaze kwa kuwasihi niwapeleke sehemu na kuwapa ofa kidogo lau watulie kama si kusuuzika.
Lakini nilipokumbuka mitusi ya huyu anayeitwa dokta Ave-Mary Semakufuru nilichelea anaweza kunitia aibu mbele ya washikaji zangu wakaamua kumalizia mibangi na migongo yao kwa kumuangukia kinomi au vipi?
Kusema ukweli kitendo cha hawa kinamama wanaopaswa kuwa kioo cha jamii kujivua nguo tena mbele yangu kwenye parking lot kiliniacha na uchungu kiasi cha kuendelea kutaka kuwajua kwa undani zaidi na zaidi. Maana niliinyaka kuwa yule binti mura naye anasomea PhD. Nilitaka nimshauri asomee PhD ‘in Neuroscience or Parapsychology’ ili aweze kubaini aina ya ugonjwa mwenzake anaoumwa.
Huyu daktari Makufuru amenikumbusha vituko vya waganga wa kienyeji kujiita daktari hata profesa.
Hilo tisa. Kumi tabia za huyu daktari hatari na bingwa wa mitusi zimenikumbusha madaktari fweki na wa kughushi kama akina Bill Lukuvii, Emmy Nchimvi, Merry Nyago, Dolorous Kamala, Diddie Massaburi aka Makalio, Makorongo Muhanga na wengine wengi ambao Daktari Njaa Kaya aka Dr 0… we koma, ameamua kufa nao kwa sababu ajuazo.
Kuna mlevi aliyedai kuwa ‘birds of a feather flock together’ akimaanisha kuwa waarabu wa Pemba hujuana kwa vilemba huenda alighushi ingawa hatujui.
Anayedhani namuonea mrume huyu arejee jinsi hivi karibuni ilivyofumka kashfa ya kughushi ambapo baadhi ya watu walioomba kuajiriwa vilipatikana vyeti zaidi ya elfu moja feki.
Kama hili si balaa kwa kaya ni nini ambapo kaya inaajiri watu feki na wa hovyo tena wezi kiasi cha kusifika kwa mambo ya kipuuzi, ufisadi, ujangili, udokozi, uzembe, umbea, unywanywa, ulimpyoto, upogo na madude mengine?
Hakuna kitu kimeendelea kuniandama hadi bi mkubwa anauliza kunani kama kujua kuwa daktari Semakufuru ni mhishimiwa mbunge.
Kama hii ndiyo ‘crop’ ya wahishimiwa waishiwa tulio nao tumekwisha. Kitendo cha huyu mdada aliyetukana wenzake kuwa ni maroboti wakati yeye akiwa kiongozi wao, kimenifanya nifikirie hata kuacha kutumia PhD zangu.
Sijui huyu mama kama ana mume na kama anaye basi namsikitikia sana tena sana.
Heri angekuwa kanunga kama Annae Makidamakida au Sofi Lion.
Leo sitasema mengi zaidi ya kuwashauri wahusika na wote wenye tabia chafu kama hii wajirekebishe.
Pia wakubwa wetu waache kushabikia jinai kama vile kughushi na ufisadi na ujangili.
Salamu za leo ni kwa Keinerugaba Msemakweli bingwa wa kupambana na kughushi.
CHANZO: NIPASHE Aprili 12, 2014. 

Breaking News bomu lalipuka Arusha na kujeruhi wengi!!!!!!!!!!!!!!!!

$
0
0

Habari zilizotufikia ni kwamba baa  maarufu ya  Arusha Night Park aka Matako imeshambuliwa na bomu. Watu wawili wamepoteza maisha na wengi kujeruhiwa vibaya. Chanzo chetu kinapasha, "Arusha hivi punde watu wamerusha bomu la mkono kwenye bar maarufu inayoitwa Arusha Night Park au Matako Bar iliyopo eneo la Mianzini inasemekana watu wawili wamepoteza maisha ila majeruhi ni wengi sana tukio hili ni ndani ya  nusu saa iliyopita. Watu kibao walikuwa wanacheki mpira unaambiwa watu wamekatika mikono yaani balaa majeruh ni wengi mno........"

Go tell it to the birds Nyalandu

$
0
0
         
Nothing left me shocked just like recent announcement by Lazarus Nyalandu minister of Natural Resources and Tourism when he said that he’ll take on poachers however bigger they’re. Nyalandu tossed his braggadocios and hoo-ha at Musoma Utalii institute where he attended its tenth graduation.
Nyalandu’s recently quoted saying that plans are on the pipeline whereby the ministry in conjunction with police force, army and other stakeholders to see to it that poachers are nabbed and their names made public. Nyalandu added that he won’t spare anybody even if the one responsible for poaching is a bigwig in the ranks.
Looking at Nyalandu’s vows to take on poachers, it is obvious that there are some government officials involved in this crime. Otherwise, nyalandu’s mention of bigwigs is not a slip of tongue. He verily knows that there are some government officials who commit this crime. Will he be able to weed them out whilst it is alleged that his boss is in bed with them? Refer to the Mail on Monday that recently wrote, “Ministers, law enforcement agents, conservation officials, rangers - those charged with protecting African wildlife are cashing in on its destruction, and nowhere more so than in Tanzania.” This shows us beyond any doubt that Nyalandu knows the poachers save that he is afraid of divulging their names due to the fact that some are bigwigs, honchos and who’s who in his own government.
Will Nyalandu fulfill his promise really? The Mail on Sunday gives us the clue of what we’d expect. It writes quoting Alfred Kikoti, head of Tanzania's World Elephant Centre as saying, “Corruption is a huge problem at all levels, from people on the ground all the way up to ministers, there's somebody involved in poaching.” Does this mean that Nyalandu himself is a party of problem despite attempting to make us believe that he’s a solution? To jog your mind, the same man invited Martin Fletcher of The Mail on Sunday, the author of a damning report-cum-expose, and accommodated him in five-star hotels in Dar, will agree with us that Nyalandu plays many more roles in this debacle-cum-scandal.I didn’t know the guy nor were I aware of his sting to the govt of Bongo Why did he spend our money to dine and wine the guy who is supposed to be his enemy thanks to what he wrote? Why didn't the govt of Bongo want to sue and instead decided to invite Fletcher if what he wrote was a lie? Did they want to fix and silence the guy by giving him some yum-yum or what? A guy worth his salt like this isn't easy to fix.  Thank Lord that the guy went ahead dressing them down. Maybe they goofed thinking that this sopher's a kanjanja like those embedded in their offices doing their dirty laundry.
For the reminder, Nyalandu isn't the first big shot to declare “war” on criminals. Dr Harry Mwakyembe once stole thunders when he publicly declared a losing battle against drug barons. If you ask him today as to how many did he nab, he’ll end up either calling you names or asking you to go to hell. So, it’d be better for Nyalandu to keep mum and eat his bread instead of embarking on self-dress down pointlessly. Again, I know. Elections are closing in. So everybody wants to make a mark on every Jim and Jack so that they’d remember him come next election. Importantly, why don’t you do it in a reasonable and trustworthy way instead of puffing us with lies and empty vows?
Nyalandu won’t be either the first or last person to eat humble pie. If his maker-cum-boss bit the bullet who is he? After all, pumping lies to the general public’s nary been an offence in Bongo where politicians tell lies on daily basis. If his boss had the guts to anoint the guy suspected to export trophies, who’s Nyalandu to fear and feel shame? Does it mean that he is try to take on the like of Abdulrahaman Kinamna who was accused openly and yet was appointed the head of the ruling outfit? This being the case, many think; Nyalandu‘s nothing new but spinning and whitewashing and trying to make good of himself.
If he meant biz, he’d have apprehended the guys then announce instead of pre-emptive moves aimed at signalling to the criminals to take precautions. Ask him of what he did vis a vis the Pakistanis who exported our live animals via KIA on 24 Nov. 2010. Where are they? We’re told that they’re offered bail that they jumped and vanished. Again, who wants to extradite them if at all doing so will lead into unearthing and embarrassing the high and mighty who conspired with these criminals? Does Nyalandu think that this is difficult to understand?  Swahili sage has it that Maneno matupu hayavunji mfupa literally empty words break no bone.
Mr. Nyalandu along with his boss told us that they know all poaching networks. They know even the numbers of those involved, the place they operate from and whatnot. Again, one’d ask: If these guys truly have such tons of information about poachers why don’t they take action? Why if at all they have all instruments such as police, army, intelligence and what have you under their disposal? Maybe one thing is lacking, willingness.
Mr Nyalandu. Go tell it the birds. Please stop upsetting us with noises of nabbing poachers while you actually don’t mean to.
Source: ThisDay April 14, 2014.

Hati ya muungano serikali ilivyoishiwa

$
0
0

Kinachoitwa hati ya muungano (pichani) mbona wino kwenye saini ya Mwalimu Nyerere kama wa jana ikilinganishwa na wino kwenye saini ya mzee Abeid Karume? Je hii ni hati halisi au mchakachua.
Inashangaza kuwa na serikali ya wababaishaji na matapeli hata kwa vitu visivyohitaji elimu wala utaalamu sana. Kama hati husika ni original basi wahusika watapaswa watwambie hii tofauti ya wino inasababishwa na nini au wanataka carbon 14 itumike? Japo ni mapema, kuna uwezekano saini ya mwalimu imeghushiwa na kama hii imefanyika basi tunajenga taifa la wahalifu na hatari.

Bunge la Katiba Mpya tutapata Katiba au kuona vitambi na Vitimbi?

Hii ngoma imekaaje?

Kijiwe chastukia tuzo ya rahisi bora

$
0
0
BI Sofi Lion aka Kanungaembe akiwa ameandamana na Kanji, anaingia kwa furaha ya aina yake. Si kawaida yake kununua gazeti ukiachia mbali kushobokea yale ya udaku.
Leo kavunja mwiko. Anaingia akiwa na gazeti la Tanzania Daima la leo. Baada ya kuamkia na kupewa kahawa yake analianzisha: “Mmeona nyie mnayependa kumkandia mkuu?”
“Unamaanisha ni?” Anauliza Mijjinga akionyesha kuudhika.
Kabla hata ya Sofi kujibu Kanji anakwanyua mic: “Veve iko ishi dunya gani? Hapana jua kuwa kuu ikofanywa bora ongozi Afrika inayotumikia vatu yake?”
“Eti amefanywa nini?” Anauliza Mbwa Mwitu ambaye leo ametinga vazi la Kinigeria na kuonekana mnene kuliko kawaida yake.
“Sasa yeye bora ongozi Afrika yote, tena tumia bora. Veve hapana soma gazeti nini?”
Msomi Mkatatamaa anaamua kuingilia kati na kusema: “Go tell it to the bird. Ana ngozi gani bora au unaongelea hii tuzo ya kienyeji ya urahisi bora na kutumia umma iliyotolewa na NGO ya kitapeli isiyo na ithibati? Ajabu watu wanajisifia ujinga na kuingizwa mkenge. Uongozi bora hupimwa na watawaliwa, haupimwi na matapeli wa kimataifa. Hata hivyo, hujakosea Kanji. Kweli ni rahisi bora kwa wachukuaji na majangili na wauza bwimbwi.”
Kapende anamega mic. “Yaani hata kanyabwoya nyinyi mwajisifia tena kuingizwa nkenge? Huenda hawamaanishi utumishi bali utumiaji wa jamii, tena usio bora. Kwani hao waliompa huo ujiko ni akina nani kama si wasasi ngawira wanaolewesha walevi wa madaraka na kuwatumia kutukwapulia vyetu?”
Mgosi Machungi anatia guu. “Hawa waiotoa huu ujiko wanaijua Danganyika au wamekaa huko majuu na kuamua kutoa hizo sijui tuzo sijui heshima? Yaani pamoja na ujangili, ujambazi, ufisadi, uvivu, uzuuaji, ufujaji mai za kaya, matumizi mabaya na upuuzi wowote, bado kuna watu wanatuona mafaa kiasi cha kututia vidoe machoni? It can’t be. Lazima tikue na kubadiika.”
Mipawa anatupa kichungi cha sigara na kudema: “Laiti hii heshima sijui tuzo ingetolewa na The Mail on Sunday kidogo ningeamini. Kimsingi, hawa waliotoa hiyo wanayoita tunzo wana wanachotaka kama si kutuona mabwege. Kama si hivyo, basi wameamua kutusimanga.”
Anakunywa kahawa yake na kutafuna kashata kabla ya kuendelea: “Hiyo tisa, kumi ni pale hili litakapogeuka sera kiasi cha wachovu waliozoea sanaa kuanza kuandamana na kupongezana kwa kusifiwa ujinga. Hivi kama tutaangalia mambo bila miwani ya mbao wala makengeza, jamaa ana nini cha kumfanya awe bora? Mbona wenzake kama Theodoro Obiang Nguema, Joel M7, Bob Mugabe, Jake Zuma, Mfalme Mswatii, Paulo Biya, Yahya Jammeh, Ali Bongo, Faure Eyadema, Abdel Aziz Bouteflika hawakupewa au “ubora” wao hautambuliki?”
“Hee! Inatosha mkuu maana inaonekana unawajua viranja wote wa bara hili.” Anachomekea mzee Maneno.
“Kwanini nisiwajue wakati nina PhD ya Political Science? Unadhani nimegushi kama wahishiwa wenu?” Anajisifu Mipawa.
Mpemba aliyekuwa amechelewa kuwasili anaamua kuvaa buti. “Yakhe nina wasiwasi. Huenda wapo wasanii ima ubalozi au huko majuu wanaojua udhaifu wa mtu wetu waloamua kuandaa hili zengwe ili wampate. Maana, haiingii akilini ati.”
“Unashangaa nini wakati sera zetu zinatoka huko huko majuu? Laiti jambo hili lingefanywa na magazeti yanayosifika kama vile New York Times, Washington Post, The Huffington hata The Daily Mail on Sunday. Ingetolewa tuzo ya kupamba ujangili na bwimbwi na ufisadi, kidogo ningeelewa,” anajibu Msomi.
Kabla ya kuendelea, Mzee Maneno anamkatiza. “Msomi inatosha. Maana naona magazeti yote ya huko Ubushini na Uchakani unayajua sana. Hata hivyo, kuna haja ya sisi kuanza kukua na kujiamini. Hivi kweli Danganyika Daima inaweza kumpa heshima au tuzo Baraka Obamiza akaichukua?”
“Subutu.” Anajibu Mipawa.
Mgosi anachomekea. “Mgosi umeaua. Huoni wanavyokwenda kue wanavyopitishwa mlango wa nyuma kuingia White House? Unakumbuka alipokuja Obamiza watu walivyojikata na kujikanyaga wakati wao wakienda kwake wanapangiwa madakika ya kwenda kupiga picha na kutimliwa kama wezi?” Mgosi anaamua kukandia.
“Yakhe hata juzi kule Ukamerunini jamaa alionekana na Waziri wa Mambo ya Nje huku akiingizwa kinyume nyume kwenda piga picha. Hii aibu wallahi. Mbona Nchonga hawakunfanya hivyo?”
“Ami usilinganishe tembo na inzi ati. Mchonga ule ulikuwa mtambo si mchezo. Ilikuwa ni think power ile siyo hawa hamnazo,” anajibu Mipawa huku akikamua kahawa yake. Kwa alivyobukanya think power badala ya powerful thinker Msomi ananikata jicho la wizi.
Kapende anaamua kuharibu zaidi. “Hawa jamaa wanajua udhaifu wetu. Wanachonga vioo na kutuingiza gharama ya kuwaibia wachovu kwa kusafiri kwenda kupokea vipande vya vioo. Jana alikuwapo bi mkubwa akijitafutia ujiko kwa kupewa tuzo za uongo na ukweli. Kesho dingi naye kiguu na njia kwenda kupokea vioo. Wenzetu wanacheza nasi kisaikolojia.”
Sofi kashikwa pabaya! Anaamua kukwanyua mic. “Watu wengine wanaongea kama hawajasoma. Huwezi kuita tuzo kipande cha kioo halafu ukaendelea kujiona unajua mambo wakati ni mzungu wa reli.”
“Sofi pasha hii yote nayokandia tuzo ya kuu. Halo halo sasa tapasuka nyingi ile nachukia fanikio ya kuu.” Kanji anaamua kuwa mtu wa mipasho.
“Kanji hujakosea kusifia jamaa wenzio wa Kinigeria hawa. Hakuna waliponiacha hoi kama pale nilipogundua kuwa tuzo yenyewe inatolewa na balozi wa Nigeria.
“Huna haja ya kushagaa. Nimekwenda kwenye wavuti wao na kukuta madudu ya ajabu. Kwanza hawajielezi wao ni nani. Pili maelezo yao ni ya kijanja kijanja. Kwa ufupi hawana tofauti na Richmonduli iliyotuibia njuluku zetu kwa kushirikiana na hawa hawa wanaopewa tuzo za ubora bila ubora. Sijui hawa kama wanasoma habari za kaya na kuona tembo na faru wanavyouawa ukiachia mbali ile hotuba ya kuvuruga Bunge la Katiba. They must be crazy and stupid so to speak. When it comes to who is deserves the accolade, the punks anointed the sick anyways?” Msomi anaamua kumwaga Ukameruni kwa usongo.
Kijiwe kikiwa kinanoga, si likapita shangingi la Ben Maembe akirejea kutoka kujivua nguo. Tulilikimbiza kwa mawe na kashata hadi likatokome. 
Chanzo: Tanzania Daima Aprili 16,2014.

Wanyakuzi ardhi: Tibaijuka kama Mwakyembe?

$
0
0

          Kwa waliokwisha zoea rongo rongo na ahadi hewa za wakubwa wetu, wana wasi wasi. Wanaamini ahadi hii itakufa sawa na ile ya kubomoa ghorofa la Uhindini. Wanahoji: Kama ameshindwa ghorofa moja tena ambalo limethibitika kujengwa chini ya viwango ataweza maelfu ya majumba tena mengi yakiwa mahekalu ya wenye nazo yaliyotapakaa jijini ukiachia mbali miji mingine mikubwa? Je Tibaijuka anajua anapambana na kundi la watu wa aina gani? Je alisema hayo kwa kupitiwa, kujiridhisha au kutafuta umaarufu? Je akishindwa kama alivyoshindwa kwenye kashfa ya ghorofa la Uhindini tumchukulieje? Je ataanza kutekeleza kitisho chake lini ili tumbane sawa sawa?
          Tambo na siasa za Tibaijuka zinatukumbusha tambo nyingine za waziri mwenzake wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe aliyejitapa hadharani kuwa anepambana na wauza unga akaishia kunywea. Wengi wanauliza: Mwakyembe ameishiwa wapi na vita yake dhidi ya wauza unga au naye amemezwa kama bosi wake aliyepewa orodha ya majina ya wauza unga akaishia kuigwaya akikaa nayo na kuiangalia tu? Je Tibaijuka naye ataishia kunywea huku akihofia hata kuongelea masuala yanayohusu uvamizi ardhi wazi na ujenzi holela? Je Tibaijuka ana ubavu wa kubomoa majumba ya watu kama Getrude Rwakatare ambaye hekalu lake ni moja ya mengi yalitambuliwa kujengwa sehemu zisizo ruhusiwa kisheria? je ataanza lini?
 Tibaijuka alikaririwa hivi karibuni akisema, “Tuliweka mabango ya kutoa notisi katika maeneo yote ya wazi yaliyovamiwa, lakini wahusika walikaidi, sasa tutavunja hayo majumba na wale waliosema kuwa nimekwisha kisiasa nataka niwahakikishie kwamba sijaisha.” Huu ni ushahidi kuwa kumbe mtu mwenyewe analalamika. Kama walikaidi hata baada ya kuwekewa mabango matangazo ya kubomoa ni ya nini zaidi ya kuanza ubomoaji?
Aliendelea kusema,“Hizo kuta nilizoziona maeneo ya Mbezi na maeneo mengine tutazivunja bila kumwangalia mtu usoni. Hao wenye hati pandikizi wala hatutabembelezana nao bali tutakutana mahakamani baada ya kuvunja.’’ Bahati nzuri Tibaijuka amejifunga mwenyewe. Maana mazoea ni kwenda kwenye maeneo ya wanyonge na kuyaruka ya vigogo. Je kati ya hizo nyumba za Mbezi na Tibaijuka nani atabomoka?  Hapa hana kisingizio. Maana maneno yake yanaonyesha anajua hayo mahekalu na nyumba nyingine zilipo.
          Wengi wanangoja kwa hamu kubwa kuona huu mpambano wa Daudi na Goliati hasa ikizingatiwa kuwa uzoefu unaonyesha kuwa mfumo wetu ni wa hovyo kiasi cha kuwakatisha na kuwakwaza baadhi ya watu waliothubutu. Tibaijuka anazidi kutupa moyo kwa kusema kuwa mambo ni tofauti kama alivyokaririwa akisema,“Nilisema kwamba mfumo uliopo sasa si mzuri kwani watendaji wa ardhi hawako chini ya wizara yetu bali wako chini ya halmashauri (Tamisemi) ambapo ilikuwa vigumu kuwabana. “Ili kuwasaidia watendaji hawa wasiingie kwenye mitego ya rushwa, tumeweka mfumo mzuri ambapo sasa kamishna wa ardhi hataweza kujifungia mwenyewe ofisini na kuandika hati peke yake bila wenzake kujua anafanya nini.” Swali kubwa linaloulizwa ni: Kama mfumo unaruhusu kuondokana na jinai ya wezi wachache kujitwalia ardhi ya umma huku wengine wakijenga holela kwenye maeneo yasiyoruhusiwa, waziri anangoja nini? Wengi wangetaka wamuone kazini. Maana maneno matupu hayavunji mfupa walisema wahenga. Wengi bado wanauliza: Ahadi ya kurejesha maeneo ya wazi aliyoitoa mwaka 2011 nayo imeishia wapi au ni yale yale ya kungewa kusema huku wahusika wakichukia kutenda?
          Tumalizie kwa kumshauri profesa Tibaijuka afanye kweli akijua wazi kuwa wananchi wanasikia na kuyachukulia kwa uzito asemayo hasa ahadi zake. Pia afahamu kuwa wananchi hawa hawa hata kama hawapigi kelele wana kumbukumbu na wanajua jinsi jinai hii ya kuwadhulumu inavyotumiwa kisiasa. Hivyo, kuepuka kupoteza heshima yake kwa wale anaowaongoza na kuwatumikia kama kweli anafanya hivyo Tibaijuka anapaswa kuingia kwenye viatu vyao na kujiuliza: Ningekuwa mimi ningetaka kifanyike nini? Hii itamsaidia kujiepusha na ahadi na matendo yanayoweza kumweka kwenye kundi la wanasiasa wababaishaji woga na wapayukaji. Profesa Tibaijuka, watanzania wanangoja kwa hamu sana kuona unatenda haki kwa kubomoa mahekalu na majumba yaliyojengwa kwenye maeneo haramu angalau kwa kuanzia na jiji la Dar Es Salaam.Wanyakuzi ardhi: Tibaijuka kama Mwakyembe? Kila la heri. Yetu macho na masikio.
Chanzo: Dira Aprili 2014.

Lower-Sir and his hopeless journey

$
0
0
 
I must admit. I honestly adore those who have the courage of the mad. For, they think about unthinkable, aim at unattainable and intend to do impossible.
After announcing what he called the “Journey of Hope” former big minister who lost ulaji thanks to Richmond scam, Eddie Lower-Sir (It’s pronounced Lowasa) left me baffled with disbelief.  He called his hex a journey of hope for boozers! My foot! How dare he? Of course he’s dead right. It’s hope for him, hopelessness for boozers. There’s no hope in this political dandy’s journey of forlon hope. His Canaan is boozers’ Egypt. Thus, the whole abracadabra’s the journey to Egypt. How can a sheep celebrate to be lead to the slaughterhouse?  Has the cuss forgotten how Richmond ruined our lives due to power cuts and hikes? Does he think we’re dopes?
The bloke’s quoted as oping, “I’m very much consoled today to see many friends of mine. Tears are gushing as I see you and God willing we’ll win. For you all know my dream…as members of CcM you need not to worry, we’ll overcome with our strength.” What foppish assumptions!
True, the politico’s surrounded by swindlers bamboozled to be true friends. If anything, most of them were the good friends of his fat purse that vomited the dosh he balled out after using them.  Such good friends are not stupid. They dote on his daydream knowingly that the dude’s going nowhere. They, too, know.  They can take his money and deny him their votes. What can he do about it? Does he have anything new and different from Richmonduli? Boozers can’t allow themselves to be used in creating a breeding ground for yet more Richmonds after the guy topes power.
One boozer invoked God saying, “Let’s pray that the geezer keep on daydreaming about presidency that’ll force him to offer the dosh he got from Richmond. He’ll end up becoming bankrupt which means heart attacks.”
He went on, “The sufferings we endured under his EPA-cloned- friend-cum-partner are enough a lesson. After all, boozers are not zombies to vote for him. Importantly, dupe him by taking the money he’s using to dupe you. He buys you since he too is bought by those who engineered Richmond which turned our lives upside down. Isn’t this enough?”
He went on, “Essentially, this lounge lizard’s started his journey to oblivion but not to hope.”
Another boozer chipped in, “The dude’ll soon be history. Why doesn’t he accept the cuss Mzee Mchonga unleashed on him? Who wants all the same stuff every ten years by blessing swindlers to ruin us in the name of ruling us?
Of all, Joni Malisera former PM and deputy CcM chair dropped a bombshell wondering why CcM and its chair, Jake Kiquette were silent as the chappie’s humiliating the party. He urged CcM secretariat to discuss this matter and deal with the popinjay even by annulling his membership.” He said that during TaNU times they expelled four members. He added “I don’t see any hardship in doing so for Lower-Sir.I wonder about top dogs’ silence including national chairman, presider Kiquette.” Malisera’s expressly expressed everything. We can’t even ignore him due to the fact that apart from being a long time cadre, he doesn't intend to run for presidency. He tried his mojo and failed so as to accept the reality that Lower-Sir too has to accept.
Malisera went on congratulating UvCcM’s spokesperson Paul Ma-konda on his courage to take on the jay. Now that the macaroni’s already declared his intention to take this hunk to the next level, what’d we do to see to it that his journey of hope does not end up becoming our journey of hopeless? This is question is essential given that we've already suffered under his watch when he was premier.
Essentially, what the punk’s doing is likely to terribly hurt CcM that’s always pretended to take boozers for a ride little knowing that things are changing tremendously. The dude has defecated everywhere. Did you hear how the guys in cloak reacted when one fyatu told them to go and grab mshiko from the dying ass? The other day I saw some con men calling them Dar geezers going to the fella to swindle pretending they support the guy’s bid to ulaji. It’s like a Magomeni saga whereby two con men conned one another. The first had fake gold it sold to the second who paid him fake note. This is exactly what’s happening between this political wino and venal religious swindler who throng him and get away with mshiko. Again, who cares if the dosh the dude’s offering’s made illegally?
Given that the coxcomb doesn't get it, as he tells others to make tough decisions, I’d urge Eddie to do the same, abandoning self-deception of becoming boozers’ next president.
Now that the geezer’s announced his journey of “hope”, it is upon boozers to judge him as the African proverb says:You must judge a man by the work of his hands….. Richmonduli of course!
I strongly advise Lowassssa to start the journey of hope to Monduli and forget the hopeless one to Magogoni. Hata angekuja Yesu na ntume. Hushindi bwana!
Source: Guardian April , 2014.

Huu ni uchapakazi ua kutafuta sifa?

$
0
0
Waziri wa Ujenzi Dk John Magufuli akisimamia ujenzi wa darala la Mpiji
Kama waziri atasimamia ujenzi hao wenye kuhusika watafanya kazi gani? Je hizo kazi nyingine za kiutaliwa hasa kutoa maelezo zitafanywa lini na nani? Je huu ni uchapa kazi ua kutafuta umaarufu au mbinu za kizamani za uongozi?

Kama mtoto wa rais alitengeneza bilioni moja baba alitengeza kiasi gani?

$
0
0

Rais wa zamani wa Senegal Profesa Abdulaye Wade amenikumbusha kisa cha maprofesa waliosomea mitihani lakini si kuelimika. Nani alidhani profesa wa sheria angeongoza katika kuvunja sheria tena akiwa rais aliyeapa kuzilinda? Mwana Karim anashikiliwa korokoroni baada ya kufichuka kuwa aliweza kutengeneza au tuseme kuuibia umma fedha kiasi cha Dola 1,400,000,000. Wengi wanajiuliza: Kama mwana ndani ya miaka 12 ya utawala wa baba yake ameweza kuiba kiasi kikubwa hivyo, huyo baba au mama wameiba kiasi gani? Je waramba makalio yao nao wamechota kiasi gani? Maswali ni mengi kuliko majibu. Hii ndiyo faida ya kuchagua upinzani. Vinginevyo, kama upinzani usingeshinda katika Senegal ujambazi kama huu usingefichuka hata kidogo. Je Afrika inao akina Karim wangapi? Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA.

Mlevi kutangazwa mlevi bora

$
0
0


Baada ya kugundua mbinu mpya ya kuongeza ujiko ili kuendelea kuwaibia walevi baada ya kuchemsha, mlevi ameingia na sayansi mpya. Najua wengi wanauliza hii ni sayansi gani? Simple, unaongea na washikaji wako wenye NGO za kusaka ulaji kitapeli wakupe kitu kama tuzo nawe unawapa chochote kitu na mambo yanaishia hapo.
Unapata ujiko wako huku wasiojua ‘chess’ nzima wanaamini sifa unazopewa unazo hata kama huna.
Wajinga ndio waliwao au vipi? Isitoshe si kila ving’aravyo ni dhahabu au goride au gold kwa ndugu zangu wa Malawi na Zimbabwe.
Hivyo, mlevi nimeamua kuchonga na ndugu zangu pale kwa Joji Kichaka wanitafutie NGO ya kunipa ujiko kwa vile nchi ile inaaminika kwa kusaka pesa kwa njia zote halali na haramu.
Bibie Libe Mura-muula aka nshomile upo maeneo ya Washing tone?
Nashukuru sana kwa vile mliwezesha bi mkubwa nami kupata tuzo na nafasi ya kuja huko majuu kushangaa shangaa na kukagua akaunti zetu. Nawashauri muendelee kutafuta wengine wenye kutaka ulaji kwa sharti la kutupa tuzo za hili na lile hiki na kile hata kama ni usanii mtupu.
Baada ya kutumia sayansi hii adhimu ya nyuma ya pazia mlevi nategemea kupewa tuzo ya kuweza kuwa mlevi wa kwanza tena kapuku kuzunguka mabaa yote ulimwenguni nikinywa kama akina Bill Gates bila kumsahau bi mkubwa ambaye huwa anaandamana nami kufanya matanuzi na shopingo aka shopping.
Sina haya ya kuongeza deni la walevi ‘pointlessly.’
Naona yule anatikisa kichwa na kudhania mie ni hamnazo na mpenda sifa kama Dk. Ziro wa kwenye hekaya za Oz.
Yule naye anadhani hizi ni kamba ajue mkono unaenda kinywani ukiachia mbali ujiko usio na utata ninaopata. 
Tuliza majeshi bro au sisie kama si shosti.
Mwenzio ‘soon’ nitapewa tuzo nyingine Bab kubwa ya kutumia sana njuluku za walevi na kufanya wafanye kazi zaidi na kuchangia matanuzi yangu.
Eneo jingine ninalotegemea kuniletea maujiko hata tuzo na maandamano ya walevi na wavuta bangi kunipongeza ni kutokana na umahiri wa kuweza kutoa ahadi nyingi ya kuwapa ofa walevi kuliko kiongozi yeyote wa walevi aliyewahi kutokea.
Japo ahadi hizi hazina uhakika kama ni za kweli au kamba, weye yakuhusu nini haya? Wajinga ndiyo waliwao. Lazima nami niwafaidi au vipi? Kwani kuna ubaya gani kuwala watu ambao wako tayari kuliwa? Kuna tatizo gani kuwala watu wanaojirahisi na kujitia kimbele mbele kama wale mabinti wa shule za msingi aliosema mkuu kuwa wanamimba kutokana na kiherehere chao japo madai kama haya ni kashfa.
Hayo tuwaachie wenye mabinti waamue kama ni kumponda na kumchukia jamaa au kujifanya hamnazo wakampenda badala ya kumponda na kumkaripia asirudie ili liwe somo kwa walevi wengine wa maulaji.
Eneo jingine ambalo lina ujiko wa wazi wazi usio na pingamizi wala mizengwe ni  kutokana na kuandaa utaratibu wa walevi kupata mwongozo mpya wa jinsi ya kulewa na kupambana na ndata.
Hili halijawahi fanywa na kiongozi yeyote wa walevi. Hili ni sawa na kuandika Katiba mpya ya walevi ambapo anayefanya hivyo hupata ujiko na kuheshimika sana kwenye midani ya mibangi na ulevi. Hata hivyo, ‘this move's its risks.’ Ukiamua kuandaa mwongozo mpya kwa walevi uhakikishe huuchakachui wala kujiingiza kwenye malumbano ya mwelekeo gani ufuatwe.
Hapa ukifanya kama alivyofanya mchovu fulani kule Idodomya kwa kukandia mapendekezo ya tume yake, walevi wanakutokea na michupa ili wakutie ngeu.
Uzuri wangu ni kwamba nitatumia njuluku ya walevi kwenda au kutuma makuwadi wa kupokea tuzo yangu. Kwanza,  lazima nitumie ili walevi wachange zaidi.
Lazima kuwepo gharama kwenda kukusanya ujiko wangu toka kwa Wanigeria wangu wanaotaka niwapigie ndogo waje kayani kula bila kutoa jasho kama wale waliokamatwa Tabata wakijifanya kuhubiri dini wakati ni wezi wa kawaida.
Nategemea kupata tuzo nyingine kutokana na kulea vizuri.
Nimefanikiwa kuonyesha kuwa mtoto wa nyoka ni nyoka na nyoka mtoto ni nyoka na nyoka mzee alikuwa mtoto au vipi? Hivyo, nimewezesha kitegemezi changu kuanza kuukaribia ukuu kwenye kanywaji baada ya kukubaliwa na walevi achukue nafasi yangu ya zamani kwenye bunge la kanywaji. 
Kidume ameonyesha umahiri wa kupiga kanywaji na kupuliza mibangi.
Kuhakikisha hili linafanikiwa, nilitumia raslimali zote za walevi kumpigia kampeni kitegemezi wakati wa harakati za kugombea kiti changu kwenye kijiwe cha walevi.
Kimsingi, tuzo yangu ni tofauti na tuzo nyingine. Kwani kwa kutambuliwa na mataifa ya nje jinsi anavyolewa kistaarabu bila uchoyo ni kielelezo cha ukarimu wangu kuwa nikipiga mma napiga na kila mmoja mwenye ubavu wake hata kufanya hivyo kama kunawaumiza wengine.
Nani anajali iwapo wajinga ndio waliwao? Kwani huwaruhusu walevi kila mtu ajinywee atakavyo bila kujali kama wengine, hasa wadogo, wamepata au wamekosa kanywaji.
Naona yule anakandia kwa kusema eti tuzo yenyewe ni kipande cha kioo.
‘Well and good dude.’ We kipande chako cha kioo kiko wapi?
Wenzio hawaoni unachokiona. Japo kipande cha kioo ni cha hovyo, wenzio wanaona ni tunu na lulu. Hakika wajinga ndio waliwao! 
CHANZO: NIPASHE April 19, 2014.

Is this Prof Shivji we all know?

$
0
0
            It came to light recently that the guru of law, Professor Issa Gulamhussein Shivji’s become a political funambulist. Shivji left many baffled and dismayed after embarking on cheap and incongruous politics of calling names and condoning evils.  He’s recently been found lingering with political malingering in bed with Chama Cha Mapinduzi (CCM). Being in bed with CCM or not for Shivji’d not have been an issue had he done so openly without using his fame to mislead others.
          If Shivji isn't helped out of the purgatory he’s in, he’ll use his prominence to mislead many as it is now after being used by CCM. Looking at what made him academically salt of the earth; the old prof seems to have lost bearing not to mention becoming insolvent. Whoever says that he’s silver-tongued that can be cheaply vended and used by winos proves beyond doubts that his or her education is but a calamity. I fully concur with those who say that instead of fighting over how many governments we must have, we’d agitate for one country one government. The rest’s quackery and power hunger so to speak. As for Shivji, he isn't a seraph but a normal poor mortal whose arm can be twisted even by being presented something (yum-yum) especially at this time he’s retired. Again, Shivji needs to differentiate himself from dudes like Bill Lukuvi who recently said that if three-tier govt wins the army will take over. What bunkum –cum-lie!
Shivji’s recently quoted as saying, “Should you press for the Tanganyika identification, you will be burying the Union and your national identity -- and in so doing serve the interests of a few power-mongering politicians and opportunists who want to capitalise on the agenda for their personal gain.” My foot!  Is the prof serious?  Why’s Tanganyika identification a danger to union while Zanzibar’s has nary been?  If Shivji’d nothing to profess or had no way of dealing with such burning cinder, he’d have kept mum in lieu of self-dressing down.
          Sadly, the guru of law alleges that those pressing for the Tanganyika identification are power-mongering politicians and opportunists. Is it true that all who want Tanganyika’s reinstatement are power-mongering politicians and opportunists? Why’s Shivji refused to comprehend that three-tier government and the reinstatement of Tanganyika were proposed by Tanzanians but not Shivji’s far-fetched power mongers and opportunists?
          Shivji’s utterance created disrepute so as to throw his repute to the litterbin.  The society that used to respect and look at him as an impartial ref will no longer trusts him shall he go on with his hullabaloo. This means the weight Shivji used to carry’s been eroded by his new political nuptial with CCM. For, looking at the language and bravura Shivji applies, he speaks the same parlance as CCM. Has he been bargained or what? Why’s he negated the fact for the salt he’s worth, he’s not supposed to be cheaply and miserably used as he is now?
If Shivji needs to be a good player, he needs to openly declare his political affiliation, interests and all that jazz so that he can enjoy his constitutional rights just like any other bin-Adam.
On the one hand, what agonizes is the respect Shivji used and wants to command. On the other hand, it exasperates to hear what Shivji says at the time his well-adjusted and unprejudiced advice is needed.
 He says, “The Draft Constitution is not a Qur’an; the Constituent Assembly may change the draft and come up with an entirely new draft. The assembly is a decision making organ and has powers to change the draft.” Say, if the Constituent Assembly takes Shivji’s take, will such doctored document be referred to as draft constitution?  If CA comes with a different draft from that proposed by the wananchi, what’ll be wananchi’s role and rights in making their constitution? If writing a new constitution is oversimplified like this, why then, waste wananchi’s time and money in soliciting their views that CA can alter wantonly?  Isn't this an act of usurping, belittling and molesting wananchi’s powers? Why spend billions of shillings on something that can be changed just with the stroke of the pen?  If such were the take of everybody, does Shivji and those dispatching him, think wananchi’ll accept such blackmail?
If you clinically look at Shivji’s take on doctoring the draft constitution, you find that his take is in line with Kikwete’s as if the duo reads from the same page. Is this coincidental or premeditated?
Shivji’s views proved how he’s in cahoots with CCM. It becomes harder to understand what’s happened to him especially when I remember this quote from his book, “Africa must refuse to be humiliated, exploited, and pushed around. And with the same determination we must refuse to humiliate, exploit, or push others around. We must act, not just say words, (Nyerere 1973, 371).”
Let’s repeat by putting the above quote in Tanzania’s perspective: CCM must refuse to humiliate, exploit or push other around like it is doing in passing the draft constitution. We won’t allow CCM, its agents, major-domos, sympathizers, praise singers, cheerleaders and paid intellectuals to write a new constitution for us.
Source: ThisDay April 21, 2014.

Hawa ni majaji, Majanga au ma-junk?

$
0
0


Taarifa kuwa jaji Jon Utumwa (Si jina lake Halisi) kutoa huku mu usiku si za kusikitisha tu bali kustaaajabisha.  Sikuweza kuamini kuwa jaji angetoa hukumu saa 2:30. Laiti kama habari hii ingetoka kwenye magazeti ya udaku huenda ingeingia akilini haraka. Hata hivyo si uzushi. Hili lilitokea kama lilivyoripotiwa na vyombo vya habari. Kesi husika ilihusisha kampuni tata ya kuzalisha umeme ya IPTL ambayo imehusishwa na utapeli na ufisadi usio kifani.  Chombo kimoja cha habari kiliandika, “Hukumu hiyo iliyotolewa na Jaji….. katika Mahakama Kuu ya Dar es Salaam, Januari 17, mwaka 2014 saa 8: 30 usiku, imezusha maswali kutokana na umuhimu wa Tanesco kwa wananchi wengi.” Pamoja na kusoma kwangu sheria sijui sheria yoyote inayompa mamlaka hakimu au jaji kutolea hukumu nyumbani kwake tena usiku. Maana kisheria hukumu inapaswa kutolewa mahakamani na mahakama inaelezewa kuwa ni washitaki na washitakiwa, waendesha mashitaka (kwa mhakama za juu) na lazima iwe imekamilika.
Kuonyesha kuwa hukumu hii ina mshikheri kiasi cha aliyeitoa kutia shaka, Alipoulizwa kwanini alifanya hivyo badala ya kutoa majibu yanayoingia akilini alikaririwa akisema, “Mbona wenzako wameshaandika kuhusu hiyo kesi, wewe ndiyo unataka kuandika leo? Mimi nimeshatoa hukumu siwezi kuizungumzia tena, wasiliana na Msajili wa Mahakama.”
Msajili wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Amiri Musumi naye alionyesha mshangao akisema, “Kwa kweli ndiyo nasikia kwa mara ya kwanza kuwa hukumu ilitolewa saa 8:30 usiku.”
Imefikia mahali kuna majaji na mahakimu hawasifiki kwa ujuzi wa sheria wala utendaji haki bali kuwaachia wauza unga. Inaonekana kuna mtandao kama aliosema rais Jakaya Kikwete wa majangili ambapo kesi fulani chafu hupangiwa jajifulani mchafu au junk.
Hata hivyo hii si mara ya kwanza kwa baadhi ya majaji kufanya madudu tena wazi wazi. Mfano, wamekuwapo majaji wanaolalamikiwa kuwaachia ima mafisadi au wauza unga. Mfano gazeti la moja liliwahi kuandika, “Mheshimiwa Jaji huku akifahamu kuwa kesi hiyo imefika mbele yake kwa ajili ya kusikiliza maombi ya dhamana tu, na kuwa ilikuwa haijafikishwa Mahakama Kuu kwa taratibu wa sheria, aliamua kumfutia kesi mshitakiwa na kuamuru kuwa yuko huru."
Kadhalika Mbunge Ester Bulaya alikaririwa akiliambia bunge kuwa kuna mtandao wa maovu unaowahusisha watendaji wa mahakama polisi na taasisi nyingine nyeti za umma. Bulaya alikaririwa akisema.  “Kwa kutumia mtandao huo, baadhi ya Majaji wamekuwa wanatafsiri sheria kwa jinsi wanavyotaka na kuwapa dhamana watuhumiwa wa kesi za dawa za kulevya ambazo hazina dhamana. Mfano mzuri ni kesi Na.6/2011, Jamhuri dhidi ya Fred William Chonde na wenzake ambao walikutwa na kilo 179 za Heroine yenye thamani ya shilingi Bilioni 6.5.”
Bulaya aliendelea kusema, “ Washitakiwa hawa wanashitakiwa kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya ambalo kwa mujibu wa kifungu cha 148(5)(a)(ii) cha sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai pamoja na kifungu cha 27(1)(a) cha Sheria ya Kuzuia usafirishaji wa dawa za kulevya halina dhamana.” Je baada ya mbunge kulalamika ni hatua gani zilichukuliwa? Hakuna. Maana kama zingechukuliwa huyu aliyetoa hukumu usiku asingefanya hivyo bila shaka.
Mbali na mbunge Bulaya gazeti la Jamhuri mwaka 2012liliandika hivi, “Jaji Pendo Msuiiya, wakitambua kuwa sheria sheria inazuia. Bila kuchukua jalada wala kuwasiliana na Mahakama ya Kisutu, huku Jaji Msuiiya akijua fika kuwa kilo 175 ambazo thamani yake ni zaidi ya Sh bilioni tano, na watuhumiwa hawapaswi kupewa dhamana; yeye kwa mamlaka aliyonayo kama Jaji aliamua kuwapa dhamana watuhumiwa hawa. Baada ya kupata dhamana, Wapakistani walirejeshewa pasipoti zao na wakakimbia nchi. Hawajakamatwa hadi leo.” Si Bulaya tu aliyelalamikia kadhia ya kuwa na majaji wasio waadilifu. Mbunge wa Singida Kaskazini Tundu Lissu amewahi kuwalipua wengi. Aliwataja Fatuma Masengi na Mbaruku Salumu Mbaruku aliyesema elimu zao ni ya utata, Latifa Mansoor aliyesema alifukuzwa kwa udanganyifu na ubadhirifu akiwa mfanyakazi katika Manispaa ya Ilala.  Lissu aliwataja pia Kassim Nyangarika na Zainab G Muruke kuwa hawakuwa na maadili. Pia Lissu alimtaja Mwendwa Malecela liyesema kuwa tangu ateuliwe mwaka 2006 hajawahi kusikiliza kesi hata moja. Badala yake Lissu alidai kuwa jaji huyo huenda matibabu India tu.
 Ajabu hakuna hatua iliyochukuliwa zaidi ya watuhumiwa kuendelea kuwa kazini wakifanya madudu kama kawaida. Je mamlaka zinazowateua zina maslahi gani katika jinai hii ya kutisha ambayo kimsingi inadhalilisha mahakama na kushusha hadhi yake ukiachia mbali kukosa imani ya wananchi katika mfumo wetu wa sheria.
Gazeti liliendekea, “Julai 30, 2012 baada ya Jaji Dk. Fauuuz kutoa hukumu hiyo ya ajabu, mawakili wa Serikali ambao ni upande wa mashitaka wakawasilisha nolle chini ya Section 91 ya CPA.”
Gazeti liliendelea, “Tulishangaa, kwamba kwanza Mahakama hii haina mamlaka ya kusikiliza kesi hii, lakini pia baada ya kupita siku 60; bila mamlaka kisheria, Hakimu Luagooo (si jina lake halisi) akaifuta. Hakimu huyu ni kero.” Kwa mujibu wa gazeti la Jamhuri la Agusti 2013, hakimu Luangoo alihamishiwa Lindi akagoma kwenda. Hii inaonyesha mtandao wa maovu ulivyo na nguvu kiasi cha watu kujipangia ni wapi wafanyie kazi kwa maslahi yao.
Kama hali inayoendelea haitarekebishwa, kuna uwezekano Mahakama zetu licha ya kuendeshwa na vihiyo, zitaendeshwa na wahalifu wanaotumia sheria kuwaokoa wenzao. Je nini chanzo cha kazia hii? Ni ule uteuzi wa haraka au vodafasta ambapo majaji wenye mabaka kama vile kuwahi kuhonga kwenye kesi za wateja wao walipokuwa mawakili na wengine wenye elimu ya kutia shaka kuteuliwa? Je kwanini mamlaka zinatuletea majaji wabovu kama hawa hata kama si wote? Maana majaji kama tulioainisha hapo juu wamezidi ya kuzidisha wameishiwa na kuisha kiasi cha kuchusha na kupaswa kuwa magerezani badala ya mahakamani. Hapa hujaongelea maaskari wanaoshirikiana na wahalifu au viongozi wanaokula na wawekezaji wanaohujumu uchumi wetu kwa kutolipa kodi na kuingia mikataba ya kiwizi.
Chanzo: Dira Aprili 21, 2014.

Thanks Msekwa for union mystery solving

$
0
0

 


      The highly-guarded hush-hush of the union of Tanganyika and Zenj’s now an open secret. Pius Msekwa, former vice chair, did this tremendous job timely, nicely and in style. He tried to defend the founders averring that they didn’t usurp power in forming the union while they actually did. He defended them saying the situation of the time necessitated them to make such imperative decision without the say-so of the wananchi. We now know. The founders of the union reached their verdict in a hurry. As if this wasn’t enough, they made the union a top secret pointlessly.

     Many’d like to know why such an important matter supposed to be of national interest was kept a top hush-hush from wananchi who were supposed to be instrumental in every step of its inception. Why secrecy? Why hurry? You now know why.

      Msekwa says that there’s fear of capitalism and counterrevolution from the sultan whom Sheikh Murume disposed. Therefore, secrecy and sidelining the wananchi was justified. So too, such secrecy’s institutionalized thereafter in the sense that up till now, the fourth phase rulers have kept the union their top secret as if it is a sequestered matter. The founders based their defence for hurriedly grasped union on the fear of the time. Why keep the same top-secret while the circumstances that “forced” the founder to do so have changed histrionically?

     What’s more, Msekwa came out of the closet saying that our union’s the creature of fear but not history, comradeship, collaboration and will as our founders and their successors have always maintained in their mantras.  It seems that fear affected them badly and all times so as to create even imaginative foes today which force them to demonize whoever argues them to improve the union. It seems. It’s this fear that forced President Jake Kiquette to break the law and constitution when he addressed the Constituent Assembly recently. It is this fear that’s always haunted and swamped Chama Cha Mizengwe (CCM) and its honchos, shenanigans and spin doctors, carry-ons to conspire to sabotage wananchi’s views of wanting three –tier government. It’s this fear that’s always made Zenjiz to cower and fear of being swallowed by Bara unnecessarily.  When Zenj swallowed Tanganyika, the same cabal of top dogs didn’t worry or bother!  Zenj’s now flexing her muscles as she reclaims more power by reducing union matters.  Nobody’s worried! Why?

      Ironically, the father of Zenj Mzee Karume wanted one government and he’s not regarded as a traitor or an enemy of the union as those agitating for one government are. It’s this fear that’s become an obstacle hampering us from aiming at one government that Karume wanted though Nyerere dispirited him because of unfound fear of being regarded as Tanganyika’s swallowed Zenj. Ni woga tu.

     Msekwa disclosed that Mzee Mchonga and Sheikh Karumee aimed at one government. They simply increased union staples hoping that one day they’d find themselves with a union government that’d taken all powers from the two existing governments. This was there simple way of ending up with one government that CCM doesn’t want to hear for fear of provoking and annoying Baraza la Maulaji Zenj (BMZ).  Msekwa wanted the founders to look good; little did he know that his revelation’s more damning than he thought.

     Msekwa went ahead some more miles saying that Mzee Mchonga convened the parliament to ratify the proposal for the union. Well Msekwa, did the MPs ask their employers namely wananchi if they’re ready for the union resulting from fear but not their will? Msekwa can’t answer this. Wow! The union of fear creates fear fear fear fear ad infinitum. Now you know why fear’s deciding everything even in Bunge la Katiba, just fear fear only fear.

     Another thorny issue Msekwa once gave his testament upon has to do with the articles of union. Where are they? Two hellholes we love to call govt and ruling party swallowed them. These mighty documents will nary be seen till the coming of Jesus.

      When Attorney General of Zenj, Othman Masoud Othman was asked what he knows about union document he’s this to say, “I have never seen that document.” If such an institution’s nary seen the document who else has and why? I can’t speculate about what Mainland AG Freddie Wee-Lema would have said given that he’s busy defending his  pals who stashed our money in Jersey, Switzerland, Cayman island and elsewhere.

      There’s another jaw-dropping narrative that the document was lodged at the United Nations. Nonetheless, Moses Machali, MP and member of CA disputed allegations that the document‘s wedged at the UN. He’s quoted as saying, “Well, we thought we would understand. But they have never produced that document…. They respond that the Union articles were taken to United Nations… what type of the nation that can take its articles to keep them while the government does not have them?” Sadly, no sane person’s ever offered any sane response to Machali’s question. The imbroglio’s still going on.

     Despite all polemics, thanks Msekwa for union mystery solving.
Source: Guardian April 20, 2014.
Viewing all 3175 articles
Browse latest View live