Quantcast
Channel: Free Thinking
Viewing all 3175 articles
Browse latest View live

Mwl. Nyerere angewakemea Mgimwa, Kikwete

$
0
0


BAADA ya kuona matokeo ya kura za wagombea ubunge katika majimbo ya Chalinze na Kalenga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), nilijikuta nikimkumbuka hayati baba wa taifa, Mwalimu Julius Nyerere. Nilitamani angekuwapo akayashuhudia haya. Hata yeye alishajipumzikia ingawa hatutaacha kumtaja kila mara.
Baada ya kushuhudia watoto wa vigogo wakipitishwa na wachovu wa kawaida kuachwa ili wateule wajiunge na wazazi wao kwenye ulaji au kuwarithi wazazi wao nilijiuliza swali moja kuu.
Je, Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere angekuwa kipofu na mroho hivi kuruhusu wanae watumie jina lake kujinufaisha kisiasa watu kama Ally Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete wangetia mguu ikulu?  
Ukizingatia kuwa Mwalimu aliachia ngazi akiwa na watoto wakubwa kuweza kumrithi, bila shaka angekuwa hovyo hivi angewa- groom (kuwaandaa) ili wamrithi.  Lakini hakufanya hivyo.
Kwake uongozi haikuwa nafasi ya kuiba na kuhomola bali kuukomboa umma badala ya kuunyonya na kuuzamisha kama ilivyo.  Uongozi haikuwa fursa ya kujihudumia na kujitajirisha, kurithishana na kutumia ukubwa wa jina la ukoo bali kuutumikia umma.  
Mwalimu Nyerere, aliamini kuwa ofisi ya umma ni dhamana ya kuutumikia umma na si kuutumia kama ilivyo.
Pamoja na tambo zake kuwa kilipigania na kuleta usawa, CCM kinaingia kwenye vitabu kama chama kinachohubiri maji na kunywa mvinyo.
Walianzia mbali sana. Ukitaka kujua huu ubaguzi na urithishanaji vyeo haukuanza jana, angalia majina kama Dk. Hussein Mwinyi, Emmanuel Nchimbi, Januari Makamba, Vita na Zainab Kawawa, Adam Malima na sasa Ridhiwan Kikwete na Godfrey Mgimwa.
Ni aibu na machukizo kushuhudia wanyonge wakizidi kuandaliwa viongozi watokanao na koo ili waendelee kuwatumia badala ya kuwatumikia.
Watawala wetu wasioona hatari ya kurithishana madaraka wanatuandalia viongozi watakaoendeleza pale walipoishia hata waliposhindwa kutuondoa kwenye adha zilizotulamisha kupigania uhuru.
Huu nao ni ufalme unaoingizwa kwa mlango wa nyuma. Je, Watanzania wataendelea kuubariki na kupigia mhuri ufalme huu wa kifisadi kwa kuupa kura ili ule au wataukataa na kuukatisha?  Ni bahati mbaya sana.
Japo tunaweza hata kuzodolewa kuwa tuna wivu wa kike hata wavivu wa kufikiri kuushambulia mfumo huu hatari kwa taifa, tunahitaji kusimama na kuhakikisha tunajikomboa si kutoka kwa wakoloni weupe tu hata hawa weusi. Hata mkoloni mweupe, pamoja na ubaya wake, hakufikia kufuru hii.
Sikumbuki kusoma au kusikia kuwa Gavana Edward Twinning au Horace Byatt au Donald Cameroon kumrithisha mkewe au mwanawe madaraka katika serikali yake ya kikoloni. Huu ni ushahidi kuwa wakoloni weusi ni wabaya kuliko wale waliowaondoa.  
Akili ya kawaida inakataa huu ulafi ambao matokeo yake yanaweza kuwa mabaya hasa baada ya kuigawa jamii yetu kwenye matabaka ya walio nacho, wenye damu ya kutawala, watawaliwa na vigogo.
Japo ni haki kwa kila Mtanzania kugombea nafasi yoyote, lazima hili lifanyike kwa kuepuka mgongano wa masilahi. Haiingii akilini eti chini ya dhana ya kila mtu kuwa na haki ya kugombea nafasi yoyote.
Kwa mfano, rais amteue mkewe kuwa makamu wa rais au waziri kama ilivyowahi kutokea nchi moja ya jirani ambapo ‘first lady’ ni waziri katika serikali ya mumewe. Huu ni ulafi hata utendwe na wenye na mamlaka.
Inashangaza kuona majimbo kama vile Arumeru Mashariki ambako mkakati mchafu wa kutaka mwana wa mbunge aliyefariki dunia alipitishwa kumrithi baba yake kana kwamba ile nafasi ni mali binafsi.
Ni bahati nzuri kuwa watu wa Arumeru walikataa aina hii ya ufisadi na ukoloni mpya. Haiwezekani wakubwa watupandikizie watoto wao kana kwamba hapakuwa na Watanzania wengine wenye nia na uwezo wa kuongoza.
Hapa tunaongelea ubunge. Ukienda kwenye sekta nyingine zenye maslahi manono kama vile kwenye balozi zetu nje, viwanja vya ndege, mipakani unapovushwa unga, Bandari, Mamlaka za mapato, Hazina, Benki kuu, Uhamiaji na kwingineko kwenye maslahi manono wamejazana watoto wa vigogo.
Mfano mdogo ni kashfa iliyoibuka miaka ya hivi karibuni ambapo iligundulika kuwa Benki Kuu (BoT) kumejaa watoto wa vigogo tena wengine wakiajiriwa kwa vyeti vya kughushi. Nina majina ya watoto wa vigogo walioko ughaibuni ambako si rahisi kwa Watanzania wa kawaida kutupia jicho.
Imefikia mahali hata mtu akifanya madudu badala ya kuwajibishwa anahamishwa au kupandishwa cheo. Nitatoa mifano ya watoto wawili wa vigogo ambao ni Hussein Mwinyi ambaye aliteuliwa waziri wa Ulinzi na kufanya madudu yaliyoshuhudia vifo vya watu wasio na hatia.
Ajabu waziri huyo hakuwajibishwa zaidi ya kubadilishwa wizara. Mwingine ni Adam Malima aliyeonyesha uhuni wa wazi pale alipoibiwa fedha na vitu vingine hotelini Morogoro alipokuwa amejifungia na bunduki mbili bila maelezo.
Ajabu, Malima hakukaripiwa wala kuwajibishwa zaidi ya kupewa wizara nono ya fedha. Hii ni nini kama si utawala wa kifalme? Kule Saudia wana wa ukoo wa kifalme huwa hawakosei hata wakikosea hawaadhibiwi kwa vile nchi ni mali ya ukoo wao.
Uzuri wa Saudia na Kuwait wametangaza wazi kuwa wanatawaliwa na ufalme. Nasi basi tutangaze kuwa tunatawaliwa na wafalme ili kuepuka kupoteza mabilioni ya shilingi kushiriki uchaguzi unaowarejesha wafalme wale wale.
Kwa kinachoendelea, jinsi kinavyokera na kuchefua, kama Mwalimu Nyerere angetokea kufufuka, basi angeomba afe haraka ili asishuhudie kufuru hii itokanayo na upogo na ulafi wa ajabu.
Maana asingetaka kuishi hasa kama angeshuhudia yale aliyotolea jasho na hata kuwa tayari kufia yakimomonyolewa na wale aliowasaidia kutoka kwenye ujinga na umaskini wakatumia nafasi hiyo kufanya mambo ya kilafi.
Tumalizie kwa kuwasihi Watanzania waukatae huu ufalme uchwara unaopitishwa mlango wa nyuma tena kwa kutumia eti demokrasia ambayo inaendelea kupokwa na vigogo na watu na familia zao.
Hakika kufuru ya Chalinze na Kalenga inafanya nimkumbuke sana Mwalimu Nyerere. Bahati mbaya wenzetu hawakujifunza kwa yaliyowapata kina Muamar Gaddafi.
Chanzo: Tanzania Daima Machi 12, 2014.

Mabilioni ya Uswisi: Vigogo wazidi kupeta huku tukipigwa changa la macho

$
0
0

Angalia wezi wetu wanavyotanua huku tukiangamia

Taaarifa kuwa majambazi wa Kitanzania walioficha pesa nchini Uswizi wamefanikiwa kuanza kuhamisha chumo lao ni pigo kwa watanzania tena maskini. Vyanzo vya habari ndani ya mamlaka za Uswisi vinaonyesha kuwa pesa iliyokuwa imefichwa nchini mle imepungua. Hii maana yake ni kwamba inahamishwa. Wakati hili likifanyika serikali ya Tanzania imeshikwa na kigugumizi. Wengi wanaokumbuka vitisho vya Mwanasheria mkuu wa serikali jaji Fredrick Werema kwa balozi wa Uswisi  Olivier Chave aliposema kuwa serikali ya Tanzania imegoma kushirikiana na ya Uswisi kurejesha pesa husika unajua kinachoendelea. Ni ajabu rais Jakaya Kikwete na genge lake anaendelea kuchekelea huku mali yetu ikizidi kufujwa na kufichwa? Je Watanzania wataamka lini na kuiandama serikali iache kulala kitanda kimoja na wezi? Je wewe kama Mtanzania unatoa ushauri gani kwa wenzako juu ya ni nini kifanyike? Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA.

Mnamkumbua master Sergeant Samuel Kanyon Doe rais wa zamani wa Liberia?

$
0
0
Kwa wale ambao hawakubahatika kuona jinsi uovu usivyolipa, nawaletea video ya mateso ya Samuel Kanyon Doe aliyesifika kwa wendawazimu na tamaa ya madaraka asijue malipo ni hapa hapa duniani. Naomba msamaha kutokana na taste ya kila kitu ila huo ndiyo ukweli. Si vibaya kusikia muziku mkubwa alioimbishwa mbweha huyu aliyejiona ni mali kuliko wengine asijue madaraka ni mapito na cheo ni dhamana. Je unapata somo gani?





On drugs, Kikwete, help me please

$
0
0
Much is said about President Jake Kikwete’s rule.  Boozers aren't mincing words; are saying: The country’s rotten thanks to rampant corruption almost everywhere and in everything. They add. The sanctum of sanctorum (holy of holy-ikulu) is full of garbage.
This is the sole reason that’s forced me to address this issue to Mr. President I address as thus:
Mr. President, you’re full aware of what I’m going to aver. Don’t get me wrong, it’s alleged that you’re surrounded by a bunch of let downs. Some are always yap-yapping like parrots. They don’t know why and what they’re there for. They’re your enemy number one though you trust them.
Let’s face it and admit. A good winner accepts defeats so as to turn things around. And erring’s human nature. Our people know this. Sadly, though detractors are regarded as doomsayers, there’s some truth.  What’s said seems to be true especially on graft and drug peddling.  Last year one mbunge said openly that some of your ministers sell drugs.
True, people are getting disenchanted with your rule.  Tragically, you've nary disembarrassed the situation. Let’s face it. Who’s to blame? I know. You’re blamed more than anybody. But are you alone in this impasse-cum-imbroglio?
Mark my words Mr. President. The sage’s it. Better are words by the wise man than those of a fool and better is a poor boy than a foolish king. Let me say it. When you exulted to power, one thing’s not made public. You inherited a wretchedly wrecked ship thanks to Benjamin Mkapa’s hardheadedness and arrogance. The so-called investment policy’s but embellished embezzlement. The guys were stealing from public they swore to protect! Again, many wonders! Why have you ever thought about or attempt to declare your wealth? What a bad example!
Importantly, Mr. President, revisit all shoddy contracts that your predecessor entered. You willingly and openly promised to do so. Failure to this, our economy will tank even more. And this will cause mayhem in the future. People are tired. Against all odds, when Mkapa left the office, he didn't issue any formal report. However, it behoved him. When Mzee Ali Hassan Mwinyi left the state house made a formal report. He narrated all the nitty-gritty on where he found and left the country. He said. He left the country with surplus prosperity and stability. I still remember his last groundbreaking speech.
He asked us to forgive him where he failed. Again, he asked us to learn from his strengths and pooh-pooh his failures. We indeed did. For, he is the most respected and revered living former president.
But when it came to Mkapa, though he didn’t report, we know. He left much dark cloud in IPTL, EPA, TANESCO, NBC, ANBEN, Fosnik, Tanpower and what not.
Now that Mkapa is a sad chapter, let’s face it. Mr. President, you’re the luckiest person on earth. You still can prove us wrong by turning things around.
Despite all hardship and rampancy of corruption people still make do with you. Don’t let this chance slink. Much was said. There have already written acres and acres of articles to challenge you to come clean on corruption and tackling it.  People are tired of waiting for Godot.
I know.  There are a lot of tricky matters on your table.  We need your guidance as our leader. We can’t sell our country to every devil for just thirty pieces of silver. Say and do something about drugs. You've what it takes given that you've the names of those behind this crime against humanity. Our youths are perishing pointlessly Mr Presider. I’m not speculating or laboring under the rumour. Everybody is currently looking at you. Our people are straightforward. They are saying. What they are getting is not what they expected especially when they remember your promise. They say it openly that your house needs to be in order. Who’ll do it? Of course it’s you.  They want you to break away from money and power seekers you inherited from Mkapa. The time you've been in power surfaces to know who is better and who is otherwise. Three years down the line is enough to put the house in order.
Though it is premature to speculate about “wars on graft”, your consent to bring those alleged to books shall you give it a shot, is likely to empower us. We used to compile our wish lists of those supposed to be arraigned. We said without mincing words. High profile wing-nuts will never be behind the bars. Though much still remains to be seen as far as wars on graft is concerned, at least there must be a hunch. 
Mr. President, your party’s no longer a hub for poor. People are saying it all. It has been hijacked by drug dealers and money makers. Now that some of your own have decided to take on this cancer, don’t look back. It reached the stage where people would grumble and grumble hopelessly. Others turned to the past so as to wish Nyerere would come back to life and drum those elements out. This is not good for the leader. You know this too well. This reminds me what transpired in Mbeya recently where rogue and disgruntled people unleashed a hail at stone to your motorcade.  I don’t want this to repeat. 
You know what Mr. President. People are still waiting for the journey to the land of yum-yum-Canaan where worthy life for everybody is possible. Now that you've taken on corruption, let the journey commence.
Fire all this cream of the crap surrounding you. For, it’s said.  He who does not pull the rope with us is not among us. I know you know what I mean. There are many let downs in your ranks. In fact, the hunk’s what it takes to develop. The citizenry is meeting its obligations. Why then should we fail? Prove us wrong Mr. President. There are those that goofed believing they’re untouchable even though they’re corrupt to the bone. 
Source: Business Times March 14, 2014.

Inakuwaje hadi Imamu anaiba Nguruwe?

$
0
0

Duniani kweli kuna mambo! Isitoshe, unafiki na ubabaishaji vimevamia mahekalu ya Bwana. Habari niliyoipata kuwa imamu mmoja wa msikiti wa Kisesa Magu, Salumu Yusuph amekamatwa makaburini akitaka kumchinja nguruwe imenitisha. Je inakuwaje Imamu mzima akaiba kiti moto wakati ni kinyume cha imani anayodai kuiongoza? Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA.

Iwe Ruge eti bilioni 120 ni vijisenti vya ugoro?

$
0
0
Pamoja na kuupiga mma kiasi cha kujisahau, sijasahau kaya yangu. Nafahamu sana tu. Nakumbuka sana tena kwa moyo wote na akili zangu zote na kwa uwezo wangu wote. Kaya yangu ni maskini wa kutupwa ambapo mzito wetu aka rahisi aka prezo aka mnene aka baba Riz anasifika kwa kuizunguka dunia akibomu ili angalau wabongo waende wee koma! Nikikumbuka alivyokuja na sera na kauli yake mbinu ya ANGUKA ambayo walevi hawakuipata, natamani kujinyotoa roho ili nisiendelee kushuhudia haya makufuru na mazabezabe ninayoshuhudia.
Najua viherehere wa bwana mkubwa wanasema, “Sasa tumempata huyu chizi mlevi kwa kusema eti sera ya muungu wetu ni ANGUKA.” Wala msijisumbue. Maana ya ANGUKA ni simpo. Ari mpya, Nguvu Mpya na Kasi mpya katika lolote unalofanya. Ukitumia sayansi hii ya ANGUKA lazima uangushe wale uliowaahidi hayo maanguko hapo juu. Hayo tuyaache. Humu si mwake leo. Na kama si kuheshimu sheria na huruma yangu, huenda ningetoka hapa na kwenda kula nyama ya mshenzi huyu anayeibia kaya yangu halafu na kuanza mashauzi ya kipuuzi. Shame on you!  Don’t you know that we know you are but a con man? We know everything. If you go on vomiting like that we’re going to teach you a lesson.
Wahenga walisema. Ukishangaa ya mlevi utaona ya mgema. Si nikiwa ndiyo nimerejea kutoka kupata kanywaji si nilikutana kuku wawili wakigombana tena kwa sauti za juu. You know what. Baada ya kukaa na kuwasikiliza kwa muda niligundua kuwa kumbe wale kuku walikuwa mke na mme wakigombea mambo ya unyumba na tabia ya jogoo kuwa na nyumba ndogo kibao. Baada ya kuupata ukweli sikuona haja hata ya kuwasuluhisha. Niliachana nao nikijisemea moyoni, “Mkikutana na wezi wa kuku huenda mtatia akilini.” 
    Baada ya kushangaa ugomvi wa kuku si nilipata baba lao. Baada ya kutia timu home si mama Domo Kubwa akanipa stori iliyofanya hata ugomvi wetu niliokuwa nimeukimbia asubuhi wa kumwibia njuluku utoweke. Alinipa kisa cha nshomile mmoja aitwaye Jemus Rugemaaalira aliyesema eti madafu bilioni 120 ni vijisenti vya ugoro. 
Alisema, “Mume wangu nilikuwa najua wewe ndiwe kibaka wa mibaka kayani mwetu kumbe uongo.”
Kabla ya kuendelea nilimuingilia nikisema, “Mama Domo chunga mdomo wako tusitoane ngeu bure. Wewe ni kuniita mimi mumeo kibaka wa mibaka wakati mibaka yenyewe unaiona ikiwa kwenye ulaji?” Hebu niombe msamaha kabla sijajinyotoa roho ukaishia kuwa mjane usawa huu ambapo unanihitaji kwa mengi.”
Kasheshe na mshikemshike wa kimbembe viliishaje? Si kazi yako kujua. Maana utapata umbea wa kuwapa washirika na washikaji zako bure.
Kwanza, sikumuani bi mkubwa kwa vile tulivyopigika kusikia ngurumbili akisema eti mabilioni ni vijisenti vya ugoro bila shaka mdudu mtu huyu atajhitaji kuchunguzwa bichwa lake. Hawezi kuwa mzima huyu. Kama ni mzima basi kichaa chake bado kichanga. Unashangaa huyu anayesema eti bilioni 120 ni vijisenti vya ugoro kwanza ana uchache kiasi gani? Je ameupataje? Je analipa kodi ya biashara zake uchwara za kutapeli hapa na kule?
Leo nina maya na mpuuzi mmoja aliyelewa fweza za wizi hadi akakufuru tena mchana kweupe. Hivi kama si kufuru ni nini kuita madafu bilioni 120 au dolari za KiObama 75,000,000 vijisenti tena vya ugoro?  Huo ugoro ni aghari kiasi gani hadi kugharimu njuluku nyingi ambazo hata rais wako hawezi kupewa kwa mkupuo mmoja anapokwenda ughaibuni mara kwa mara kubomu?  Nashauri huyu mjivuni nshomile awekwe ndani mara moja kabla sijajifunza ugaidi nikafa na mtu mie.
Baada ya bi mkubwa kunipa full story ya nshomile mjivuni niliingia porini kusaka habari zake ili lau nimjue na kama ikibidi kumchukulia hatua niwe namjua fika. Kwa vile mimi ni prof wa utafiti, haikuwa kazi ngumu kumfukua na kumpata mtu mwenyewe ambaye kumbe anatia shaka kulhali. Kwanza, niligundua kuwa huyu nshomile anayeita mabilioni vijisenti vya ugoro ni mtoto wa kapuku huko kwao. Nasikia baba yake alimsomesha kwa kulima vibarua kwa majirani zake na alikuwa akilalia ngozi ya mbuzi maisha yake yote hadi siku alipoanza kidato cha kwanza kwenye shule moja mkoani kwake ambayo nitaitaja baadaye.
Pia niligundua kuwa huyu jamaa alizaliwa akiwa tapeli. Alianza kutapeli vifaranga na vitu vingine vidogo vidogo kabla ya kupata elimu na kuitumia kuwaibia walevi.
Nilipokutana na walevi kujadili jambazi huyu anayejulikana kwa kuiingiza kaya kwenye migao na ulanguzi wa umeme kutokana na kampuni la kitapeli la IptL alilo nalo ubia chini ya mkampuni wake wa Vip Engmoneying vikiikamua kaya kwa kutofanya lolote. Jamaa huyu anafahamika alivyoshirikiana na matapeli wa kimalaysia kuiibia kaya. Mlevi mmoja alituacha hoi aliposema kuwa vyombo vya habari viliripoti kuwa huyu jamaa na majambazi wenzake walianzisha utapeli wao kwa jumla ya dola 50 lakini wakawa wanalipwa dola 100,000 kwa siku simply for doing nothing. Mlevi alituacha hoi aliposema kuwa hii kampuni ya Vip Engmoneying ni mali ya vigogo na huyu nshomile anatumiwa tu na wenyewe wenye mali ambao ni wazito kayani. Ndiyo maana huu utapeli wake akauita Vip Engmoneying. Huyu hana tofauti na akina Kagodamn walioiba pesa za EPA. Hawa kitaalamu tunawaita vyangudoa wa kiuchumi wanaoweza kutumiwa na fisadi yeyote mwenye madaraka. Wako tayari kujiuza kwa yoyote anayetaka kuwatumia atakavyo ilmradi mkono uende kinywani.
Katika research yangu niligundua kuwa huyu mjivuni nshomile na tapeli analindwa na dingi ambaye wakati mkenge na ujambazi huu ukisainiwa alikuwa waziri mkubwa wa wizara husika.

Baada ya walevi kudurusu historia ya nshomile huyu, wametoa mapendekezo kwa wachovu kuchagua wapingaji kwenye uchaguzi ujao ili hawa mafisi na mafisadi wakamatwe na kunyongwa kwa kupigwa mipini kama mbwa aliyeiba mafuta ili kutoa somo kwa wengine.
Chanzo: Nipashe Machi 15, 2014.

Hichi kibonzo vipi?

Congrats brother Ridhiwani!

$
0
0
The once untouchable son of president, Saadi Gaddafi being shaven after being extradited from Niger recently.
When I got news that Chama Cha Mapinduzi (CCM) appointed the son of President Jake Kiquette, Riz, to   fly its flag in Chalinze by-election so that he can retain his father`s seat, I felt relieved. I must admit. I like the courage of Kiquette’s family. For, despite many tongues wagging about the way they do their things, they care not. So too, I must admit.  I’m not a fun of any party or person except myself. I know. Many viherehere hate CCM as they call it a do-nothing outfit or a sitting duck and other many bad names.  They say that it has nary delivered as if they have ever delivered anything. If it didn`t deliver why did you vote for it?  Whatever failure and weakness, I’ll still love CCM. Sometimes people talk without thinking. Do they think that it is only CCM that’s nary done anything? Ask them. What good can they show in our hunk? Don’t they know that our political parties reflect our own behaviour and mores? If secondary school guys and the ministry of education failed not to mention investment and whatnot, why then expect our sports to perform better?
True, CCM did the right thing so to speak. Bravo and thanks CCM for appointing the son of President. I understand. You appointed him to show how humble, trustworthy, and hardworking he is. For, if he were not humble he’d have turned the offer down and questioned the intention to appoint the high and mighty like him especially the son of president.  I know.  Many fyatus will oppose this saying CCM’s appointment comes with price tag on it namely  giving the son of the president a chance that'd have been taken by a son or daughter of a pauper. Or they'll aver that Ridhiwani’s been given another opportunity to mint and print dosh. Again, what’s wrong with it? If there are shekels to be raked, let they be raked.  It seems that those guys have forgotten Kenya recently voted the son of the president to become president like his father and everything is spiffy? Bravo CCM. Did they want CCM to appoint Matonya’s son with all that filthy destitution?  Ridhiwani’s a son of president and a politician by birth. In our hunk, if you’re not connected, you can’t make money. These are different times that need different strategies to survive.
Some people make me sick especially the way they think sickly. Did they want the son or daughter or wife of president to be a pauper like those of Mwl Nyerere who’s intoxicated with ethics instead of deals?  Times for ethics and principles are long gone. It's time for deals. During Nyerere’s time power's for people but currently after free trade and free gain took over, power's for making dosh quickly using people. Ujanja kupata eti? Don’t you know!
Dear Riz,
The other day I heard some boozers accusing your dad namely H.E., Dr., Col., ndugu Jake Kiquette of nepotism little knowing that there can’t be nepotism in the hunk of ndugus. They went ahead fabricating their accusations saying that stinks with of nepotism. When I asked them the reasons why they were making such surreal allegations, they said that your father namely Mr. President allowed you, your young brother, your mom and uncles to grab some high position in his party. I went on asking them if your father’s party were theirs or their fathers’, they said it isn't. I then told them to mind their business. 
As Ben Mkappie put it: Some guys have wivu wa kike so to speak. Even if it were true that your dad allowed you to use his ulaji to climb ladders, why don’t they do the same to their kids, wives and friends? Anyway Riz, forget what the broken hearts are saying. Do they think you’re the first one to enjoy your dad’s power? It seems those guys aren’t educated.  They don’t know that Joseph Desire Mobutu (former Zaire), Sani Abacha (Nigeria) and Omar Albert Bongo (Gabon) invented this family business stuff when one is in power just to mention a few.
Going back to being appointed to battle it out for your father’s constituency, I heard some fyatus saying that this is too much. One of them said, and I quote, “Ridhiwani’s in almost every ulaji!” I then asked him sarcastically, “Where did you want him?” The guy’s lucky. He didn't jabber anymore. Otherwise I’d have broken his neck.
They’re saying that you’re almost in every ulaji. Tell them to go to hell. What’s wrong with building your nation by being all over the place? I know when they say you’re in everything they mean you being in CCM’s NEC that gave the title of MNEC just like your mom. Why don’t detractors want to accept that you’re a ruling family that must rule everybody and everything? You rule youth while your dad rules the old men especially those of Dar.  And your mom rules women through WAMA. Don’t they know that if you’re not that reasonable you’d been voted the chair of UVCCM?
“One of the truest tests of integrity is its blunt refusal to be compromised,” Chinua Achebe. 
Source: ThisDay March 17, 2014.

Jamaa wa Constipation Assembly sijui wakiiona hii wanapata somo

Kijiwe chapendekeza kaya iwe ya kifalme

$
0
0
BAADA ya kushuhudia wanene wakishindana kurithisha vitegemezi vyao maulaji, Kijiwe kimekuja na pendekezo moja la kuwasaidia wasionekane wanafiki na waongo.
Kinapendekeza tubadili katiba na kutangaza kuwa kaya hii ni ya kifalme chini ya ufalme uitwao kurithishana.
Msomi anaingia akiwa na nakala ya gazeti la The Mail on Sunday toka kwa mama a.k.a Ukamerunini ambao wako tayari kuwabania misaada ombaomba wa kimakonde kwa vile eti wamekataa kukameruniana.
Anaamkua na kukaa kwenye angle yake tayari kufanya vitu. Akiwa anakunja mikono ya shati anasema: “Waheshimiwa mmesoma mauzauza ya mfukunyuku na mrejesho wa ufalme kupitia kwenye sanduku la kura?”
Wote wanapigwa butwaa isipokuwa mimi ambaye ni profesa wa kweli wa kila kitu. Hivyo, naamua kuingilia kati: “Msomi umefumba sana bila ulazima. Si useme wazi kuwa unaongelea uteuzi wa Princes Riz Kiquette na Godfreeey Mgiiiimwa kugombea ulaji.”
Msomi anajibu: “Kumradhi jamani. Nina manja na huu uhuni tunaofanyiwa tukazugwa eti ni demokrasia wakati ni ufisadi na ulafi na ufisi.”
Mgosi Machungi ambaye amekuja kula wikendi na wanakijiwe ili arejee Dodoma Jumatatu ijayo anakwanyua mic: “Sisi tinaona titangaze wazi kuwa hii kaya sasa ni ufaume kama Saudia, Kuwait, Swaziland na kwingineko.”
“Umesema vyema mgosi.  Hakuna haja ya kuendelea kugeuzana mabunga kuitisha uchaguzi na kupoteza mabilioni ya njuluku kuhalalisha ufalme uchwara na wa kijambazi na kurithishana maulaji kwa wazito.”
Mpemba aliyekuwa anaweka tasbihi yake kando na kulonga: “Yakhe mie nahisi kichefuchefu wallahi. Hivi hawa watu wana akili au matope? Yaani warithishana ulaji kana kwamba wengine hatuna matumbo!”
Kanji leo karauka kweli kweli. Anakwanyua mic: “Mimi hapana ona baya. Kama toto ya rais nafaa basi chagua yeye. Yaweza tumia zoefu ya baba yake na kuleta endeleo.”
“Go tell it the birds Kanji. Kwani uongozi ni ufalme au unataka kuingiza mfumo wenu wa Kihindi ambapo uongozi unashikiliwa na familia zenye nacho?” Msomi anang’aka.
Kapende hangoji Kanji ajitetee.  Anakula mic: “Kanji hajakosea. Kwao wao wanataka wale wale waliozoea kula nao kwa miaka nenda rudi ili mazabe yao yasifichuke. Zimwi likujualo ati. Unadhani ikiingia serikali ya upinzani mafisadi wengi watanusurika?”
“Mimi haiko fisadi. Hata kama mimi hindi siyo hindi yote fisadi dugu yangu. Mimi sikini kama veve.”
“Kanji unataka kumdanganya nani? Sikini gani anaishi kwenye jumba ya sajili mwaijumba?”
Kama kawaida yake Bi Sofia Lion a.k.a Kanungaembe anaamua kumhami mshirika wake Kanji. Anakatua mic: “Tusipende kuhukumu watu kwa asili yao. Hata wewe ukitaka kuishi kwenye nyumba za msajili unaishi ilmradi uwe na pesa au siyo?”
Mijjinga aliyekuwa akibukua gazeti la The Mail on Sunday anaamua kutia guu. Anasema, “Kumbe Sofi unajipinga. Inakuwaje nyumba ziwe za msajili tena zitake wenye pesa kama si rushwa?”
“Bila rushwa usawa huu unaweza kupata kitu wewe au unaendelea kujidanganya kuwa kuna haki bila pesa? Penye udhia penyeza rupia kaka.”
“Hapo nimekupata,” Anajibu Mijjinga.
Kabla ya kuendelea, Mbwamwitu anaingilia, “Umempata wapi Mijjinga hapo?”
Mijjinga anajibu, “Hapo hapo unapotaka.” Kijiwe hakina mbavu jinsi wanavyobadilisha maneno kwa maana ya maanawia.
Msomi amegudua kuwa kijiwe kimeacha mada. Hivyo, anakirejesha kwenye mada. Anabwia tangawizi yake na kudema, “Hebu jamani tuongelee hii aina mpya ya ukoloni ambapo vigogo wanatubambikia watoto wao kwa kuwarithisha ulaji kana kwamba sisi hatuwezi kutawala tena bila kuwala watu kama wao.”
Bi Sofi hakubaliani na madai ya Msomi. Anaamua kumvaa, “Jamani watu wengine hata kama mmesoma sana, msitumie elimu yenu kupotosha umma. Kuteuliwa watoto wawili tu wa wakubwa imekuwa nongwa?”
Msomi anamuuliza Sofi, “Umemaliza bi mkubwa?”
Sofi anatingisha kichwa kukubali kuwa amemaliza.
Msomi anaendelea, “Kwa vile Sofi amenituhumu kutaka kupotosha umma japo ndiye anafanya hivyo, acha nimpe ushahidi aone ukweli wa madai yangu.”
Anamgeukia Sofi na kusema, “Ngoja nikupe orodha ya wateule watoto wa vigogo ili ujue kuwa si hao wawili tu kama unavyodai. Wamo Daktari shaka Hussssein Mwwinyi, Emmmanueeel Nchiiimbii, Januaaaare Makaambaaa, Wars Kawawa, ZayB Kawawa, Violent Mzidikaya, Adaaam Maaalima, Godfreeey Mgiiimwa, Sioiiii Suuumari,”
Kabla ya kuendelea, Mipawa anachomekea, “Msomi tosha umeua mwanangu.”
Huku akitabasamu Msomi anasema, “Akitaka nimpe zaidi nitampa tu.”
Mbwamwitu anachomekea, “Wewe! Umeua.”
Mgosi Machungi anamgeukia Sofi na kuuliza, “Bi Sofi bado unataka zaidi ili akupe dozi nyingine uidhike?”
Mijjinga analalamika, “Jamani imetosha. kwa usawa huu nangoja kupelekwa India kwa presha.”
Msomi anachomekea akitabasamu, “Asipate tabu nitampa tu. Maana wapo wengi ninaowajua kuanzia kwenye balozi zetu ughaibuni Uhamiaji, Mapato au TRA.”
Anakunywa tangawizi yake na kukatua kashata na kuendelea, “Wanene watuzunguka kwa tamaa na upofu wao. Wamejaza watu wao karibu kila mahali kuanzia kwenye siasa kama vile ukuu wa wilaya hadi bandarini, viwanja vya ndege na mipakani kwenye kupitisha bwimbwi, Banki kuu, Hazina ili kuhakikisha njuluku za wazazi wao hawatokei wahuni wakazifanyia kitu mbaya kama wao wanavyowafanyia wachovu.”
 Kapende anachomekea, “Hali hii inatisha na kuchukiza. Si ya kuvumiliwa vinginevyo tujirahisishe kuliwa zaidi.”
Mgosi kashikwa pabaya. Anaamua kula mic, “Huwa sipendi kusema eti tinaliwa. Jamani unatiumiza ukisema hivyo.”
 Mzee Maneno aliyekuwa akinong’ona jambo na mzee Ndomo huku wakimtazama Sofi anachomekea, “Naona kama hali yenyewe hivi basi watangaze ufalme ili tujue. Huu si ulafi.  Ni balaa!”
“Watangaze ufalme mara ngapi?” Haja ya mja kunena muungwana vitendo. Kimsingi, tukubaliane kuwa wamezidi tamaa. Maana waliyokwisha kutuibia nadhani ingewatosha.” Anachomekea Mijjinga anayemaliza kusoma gazeti la The Mail on Sunday.
“Yakhe hawa wala si watu. Hawatoosheki ati. Wala kila kitu wataka watule hata sie wallahi.”
“Hatiliwi. Titawala wao nao waone raha ya kuliwa.  Tena nikitoka japa nakwenda zangu Bumbui kumshughulikia huyo mtoto wa fisadi Januai.”
Kijiwe kikiwa ndiyo kimechangamka si likapita shangingi la Prince RizOne akiwa na waramba matalio wa baba yake. Wacha tulitoe mkuku kama hatuna akili nzuri!
Chanzo: Tanzania Daima Machi 19, 2014. 

Barua ya wazi kwa Godfrey Mgimwa

$
0
0
BWANA mdogo Godfrey William Mgimwa, Kwanza nina kusalimu kwa kusema, habari za kampeni dogo?
Baada ya kusoma mahali ambapo ulikaririwa ukisema kuwa unataka kuwaletea maendeleo watu wa Kalenga ambao baba yako hakuwaletea hayo maendeleo, imebidi nikuandikie waraka huu ili walau upate kukumbuka la kusema na la kuacha.
Kwa mfano ulikaririwa ukisema, “Kipaumbele changu cha kwanza ni elimu, cha pili kilimo, cha tatu miundombinu na mawasiliano; hizo ni baadhi ya kazi nitakazofanya ili kuwaletea watu wangu maendeleo.” Je, hiyo pesa ya kufanikisha haya utaipata wapi wakati baba yako unayetaka kumrithi aliruhusu pesa ya umma kuibiwa na kufichwa Uswisi? Nakumbuka aliwahi kusema, “Sisi hatutakaa kimya, tunafuatilia wote walioweka fedha nje ya nchi, tunaangalia namna fedha hizo zilivyohamishwa na tumeanza kazi hii kwa kushirikiana na nchi ambazo, inasemekana fedha hizo zimefichwa. Yeyote atakayebainika kuhamisha fedha kinyume na utaratibu, tutamchukulia hatua.”
Kauli hii aliitoa mwezi Desemba 2012. Habari tulizopata hivi karibuni ni kwamba kumbe alichoahidi baba yako ni kuwawezesha walioficha pesa Uswisi kuichota na kuihamishia maficho mengine ambayo hayajafichuka.
Rejea taarifa iliyotolewa hivi karibuni na balozi wa Uswisi nchini Olivier Chave aliyesema, “Hadi mwisho wa 2012, fedha zilizopo kutoka Tanzania zimebaki Faranga za Uswisi 160 milioni (Dola za Marekani 182.2 milioni) na si zile za awali ambazo ni Faranga za Uswisi 180 milioni (Dola za Marekani 327.9 milioni)……. hivyo ndiyo kusema kuwa fedha hizo zinapungua.”
Je, Mgimwa mdogo unaweza kuwaambia watu wa Kalenga ni wezi wangapi walikamatwa au hata kutambuliwa na kile alichosema marehemu baba yako kuwa kilikuwa kinafanyika?
Swali jingine dogo, Bwana Godfrey, hebu tuwe wakweli. Kama unavaa viatu vya baba yako kuboresha elimu na mambo mengine, ilikuwaje baba yako alishindwa kuiboresha hiyo elimu hadi akakukimbizia Uingereza kusoma badala ya kusoma hapa?
Je, una habari kuwa kukiri kuwa elimu, kilimo na miundombinu ni duni ni ushahidi kuwa baba yako hakuendeleza vitu hivyo pamoja na kuwa waziri wa fedha kwa muda mrefu?
Maana kama angeendeleza vitu hivyo, basi visingekuwa kipaumbele chako. Ama kweli wahenga walisema: Nyani haoni nonihino lake.
Mwanzoni mwa mwezi huu ulikaririwa na vyombo vya habari ukisema, “Maendeleo ya jimbo hili yataletwa kwa kutekeleza Ilani ya CCM ya 2010 lakini kuna ahadi zilitolewa na Dk. Mgimwa nje ya Ilani hiyo; niaminini nitazifanyia kazi.” Tuache utani Bwana Godfrey na tuwe wakweli. Kama hauna maendeleo ina maana marehemu baba yako hakufanya lolote hasa ikizingatiwa kuwa hadi anakufa hakutekeleza ahadi zake. Wengi wanashangaa. Ukiangalia muda uliobaki bila marehemu kutekeleza ahadi zake, je, angezitekeleza lini wakati muda umekwisha? Kitu kingine ambacho kinanifanya nikune kichwa na kuuliza, unaposema utazifanyia kazi ahadi alizotoa baba yako bila kuzitekeleza una maanisha nini zaidi ya kukiri kuwa alitoa ahadi sawa na chama chako bila kuzitekeleza?
Je, ni kwanini hukueleza jinsi utakavyotekeleza hizo ahadi? Ni kwanini ukiziorodhesha au uliogopa ukubwa na unyeti wake ili wapiga kura wasigundue janja iliko nyuma ya ahadi za jumla bila kueleza jinsi ya kuzitekeleza?
Ukiwa katika Kijiji cha Magubike ulisema wakati wa uhai wake, Dk. Mgimwa aliahidi kutoa mabati 400 kwa ajili ya ujenzi wa shule na zahanati ya kijiji hicho. Ulikaririwa ukisema:“Pamoja na ahadi hiyo aliahidi pia kutoa sh milioni moja kwa kikundi cha wajasiriamali wanawake, nazichukua ahadi hizo na nitazifanyia kazi.”
Je, ni kwanini hukueleza ni kwanini baba yako hakutekeleza ahadi hiyo? Je, kama aliahidi pesa kidogo kiasi hicho hasa ukizingatia cheo na uzoefu wake, wewe mtoto utaitekeleza vipi? Kama kawaida, kweli mtoto wa nyoka ni nyoka. Umetoa ahadi kama alivyofanya baba yako bila kueleza ni vipi na lini utaitekeleza?
Utani mbali, je, ungeahidiwa wewe kitu kama hiki bila kuambiwa lini na vipi kitatekelezwa ungemwamini anayefanya hivyo hasa ikizingatiwa kuwa hata baba yako alikudanganya hivyo?
Hebu nikurejeshe kwenye habari hii iliyokukariri wewe hapo Januari mwaka huu ikisema: “Godfrey alitaja miradi minne ambayo baba yake alimweleza kuwa alikuwa anataka kuwatekelezea wakazi wa jimbo hilo kuwa ni pamoja na umeme, minara ya simu, uanzishaji wa ushirika wa kuweka na kukopa na barabara.”
Wow! Hii ni siasa ya aina gani zaidi ya kuwa ubabaishaji? Haiingii akilini kwa mtu aliyechaguliwa kuwa mbunge eti kukaa zaidi ya miaka mitatu eti atekeleze kilichomshinda ndani ya miaka mitatu katika miaka miwili. Baya zaidi, ni uongo usio na kifani kwa mwanae kusema eti atakeleza kwanza, yaliyomshinda baba yake na pili ndani ya mwaka  na ushei wakati baba yake alishindwa ndani ya kipindi kirefu mara mbili ya muda huu. Are you serious Godfrey?
Hakuna uliponiacha hoi kama uliposema: “Mimi ni mtaalamu wa biashara, masoko na fedha; na mpaka nakuja kugombea ubunge nilikuwa mwajiriwa wa benki, kwa hiyo marehemu mzee (Mgimwa) alikuwa anaujua uwezo wangu kichwani na alikuwa akitaka ushauri wa mara kwa mara kutoka kwangu.”
Godfrey unamdanganya nani? Una maana kuwa wewe ulikuwa mshauri wa baba yako wakati alikuwa na wataalamu waliobobea kwenye hizo nyanja tena wenye uzoefu na shahada za juu walioajiriwa kufanya kazi hiyo? Unweza kutupa faida mojawapo ya ushauri wako ukiachia mbali kujisifia kwa vile unajua hakuna jinsi ya kuhakikisha ukweli wa usemi wako?
Tumalizie kwa kukushauri kwa ufupi tu. Kusema ule ukweli, malezi yako hasa kielimu na chama chako havifanani na wale unaowahadaa kuwa unataka kuwakomboa kwenye hali ambayo ilisababishwa na baba yako na chama chenu.
Kazi ni kwa wana Kalenga kuepuka kuingia mkenge. Maana ukiangalia usemayo, historia yako na ukweli wa mambo, kuna mengi unaficha au kushindwa kuyatolea majibu mfano: Ni kwanini baba yako hakutimiza hizo ahadi alizotoa tena kwa muda mrefu mara mbili ya huu unaoahidi kufanya hivyo bila kueleza ni vipi utafanya hivyo.
Chanzo: Tanzania Daima Machi 19, 2014.

Is it time for al-Sisi to go or cling?

$
0
0

Field Marshal Abdul Fattah al Sisi
When he pulled former president Mohamed Morsi's government, some Egyptians especially anti-Morsi regarded Field marshal Abdul Fattah al Sisi as as a liberator little knowing that he had his own ambition. al Sisi mobilized the military to stand behind anti-Morsi demonstrators  to see to it that Morsi was kicked out of power. Interestingly, the west that has always lectured other countries on democracy, kept mum even when they evidenced a democratically-elected government been booted out by military in conjunction with some demonstrators.Many analysts still wonder. Why did the west abandoned the ship in Egypt? Were they tired of meddling into Egyptian internal affairs after supporting anti-Mubarak demonstrations that saw Egyptian long time dictator fall? Did they ignoring Morsi simply because he was sponsored by Muslim Brotherhood which is now banned and declared a terrorist group in Egypt? Did the west want to avert the stalemate and impasse we are witnessing in Libya after deposing Muamar Gaddafi?  Will west's silence help to calm down the situation things in Egypt or complicate it?
To best understand how complicated the situation is in Egypt, one should consider three players in Egypt. There is the majority that is also divided between pro- and anti-Morsi, Islamists under Muslim Brotherhood and the military. Arguably, despite some of this tripartite understanding and horse trading as it was evidenced after Morsi was overthrown, the truth i: The trio can't reconcile or work together forever given that they have different aims as far as power is concerned. Pro-democracy demonstrators who are in the main the youths want democracy and development. Islamist aspire to erect an Islamic regime while military want to have a lion share in government if not to keep on dominating politics in Egypt as it has been since independence.
The trio might use each other for each to reach his goal. Again, such marriage is always temporary and convenient one. 
 Now it is clear that a section of Egyptians are opposed to al Sisi's manoeuvres to run for presidency. And looking at the look of things, such a section can't be wished away easily or ignored. Such a move was evidenced recently when some demonstrators took to the streets to voice their opposition to what they see as military machinations to cling unto power. They feel they were used by the military to topple Morsi and cling unto power. To them the military has failed for failing to form a transition government that would have seen Egyptian re-writing its constitution and having a new democratically elected government. Almost a year down the line, Morsi shocked pro-democracy when he announced that he might run for the presidency after the military and some of his supporters asked him to. This did not augur well with Islamist who would like to see their deposed president be reinstated and pro-democracy who want to see democratically elected president.
In principle, the marriage between anti-Morsi and military will soon hit rocks. If anything, this point of departure is but the source of Egypt's problems. What seems to be a calm aura was just transitional. al Sisi's declaration for tightening grip on power will soon open Pandora's Box for Egypt. Major question is: Who will easily let go among the trio? Will the military vanquish the voice of the people or cave in and allow democratically elected government to come in? Will Muslim Brotherhood be brought into the fold or be left out in the cold? Is it possible to bring Muslim Brotherhood to the fold without reinstating their deposed president? 
Now that the army that has been in the big picture faces a threat from pro-democracy and pro-Morsi demonstrators, what'd we expect? Should we expect anti-Morsi opposition to ascend to power under al Sisi? Will opposition leaders such Mohamed EL Baradei accept this? Do such divided opposition have what it takes to outsmart the army or does the army have what it takes to silence opposition to its head? 
In sum, Egypt's future is murky especially if all players hold on their guns. It is time that international community intervenes to see to it that democracy is restored so that people can go on with their business. Failure to returning democracy in Egypt even al Sisi's stint in power will create another pre-Mubarak's fall from power and grace. The major question one may ask is: is it time for al Sisi to go or cling?
Source: African Executive Magazine March 19, 2014.

Zuma apatikana na hatia ya kutumia pesa ya umma kwa matumizi binafsi

$
0
0

 Taarifa ya Mlinzi wa Umma (Public Protector)  Thuli Madonsela imebainisha kuwa rais Jacob Zuma alitumia jumla dola 23,000,000 kwenye makazi yake binafsi huko kwao Nkandla. Wakati kashfa hii ikifumka, Zuma anakabiliwa na mashitaka mengine ya kulidanganya bunge na taifa pale aliposema kuwa hakuna pesa ya umma iliyotumika kwenye ujenzi wa makazi yake ya kifahari. Alidanganya kuwa makazi yake yamejengwa kwa pesa yake wakati si kweli. Hata hivyo, chama chake cha ANC kinaonekana kuendelea kumtetea kwa vile kinatawaliwa na mafisadi karibu katika kila ngazi.  Zuma anazidi kuwa mzigo kwa ANC hasa ikizingatiwa kuwa hii si kashfa ya kwanza. Amekuwa akipangua kashfa moja baada ya nyingine kuanzia ubakaji, ufisadi,uongo, matumizi mabaya ya fedha za umma na nyingine nyingi. Hao ndiyo viongozi wetu. Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA.

Mnyama anapotenda ubinadamu

$
0
0
Wakati wanadamu tunafanyiana unyama, wanyama wanaanza kutuzidi akili kwa kutendeana kibinadamu. Kiboko huyo hapo  juu ameonyesha kutenda kitu ambacho kimetushinda binadamu kwa sasa. Kiboko hana uhusiano na huyo anayemuokoa. Sisi binadamu tunaumizana  wenyewe kwa wenyewe saa nyingine watu wenye uhusiano wa karibu sana.  Hakika huyu kiboko ameonyesha upendo na utumishi uliotukuka. Si fisadi wala mbinafsi kama wengi wetu.

Idadi ya serikali haiamuriwi na Shein

$
0
0
          Maneno makali ya hivi karibuni ya rais wa Baraza la Mapinduzi Zanziba (BMZ) Dk. Ali Mohamed Shein si ya kupuuziwa. Shein kwa makusudi mazima, anajua fika kuwa uamuzi wa Tanzania itakuwa na serikali ngapi baada ya kupitishwa Katiba Mpya ni wa watanzania. Ajabu pamoja na kujua hilo, Shein ameamua kujipotosha na kuupotosha umma kuwa yeye ndiye mwenye kauli ya mwisho juu ya ni serikali ngapi Tanzania iwe nazo.
Shein alikaririwa akisema,“…Serikali mbili tulikubaliana, nataka nirudie serikali mbili tulikubaliana… Sisi kwa pamoja tulikubaliana kuunda tume maalumu itakayoratibu mambo ya kutunga Katiba Mpya, sote tukakubaliana, ikapitishwa bungeni ikawa sheria, Serikali mbili tulikubaliana.”
Kwanza, ingekuwa vizuri Shein kutueleza walikubaliana wao na nani na lini na wapi na kwa amri ya nani? Kama anaongelea makubaliano yao ya CCM amenoa. Tanzania ni zaidi ya CCM. Kama kuna makubaliano ya siri basi ajue ikifichuka na kutowashawishi wahusika bado wataunda hizo serikali tatu.
Kimsingi kama tutaacha usanii na kuendekeza maslahi uchwara ya pande, hapakupaswa kuwapo na serikali isipokuwa moja tu ya Tanzania. Hichi kiini macho ambacho kimeendelea kwa miaka 50, kama tunataka kusonga mbele lazima kife. Hatuwezi kujaza utitiri wa serikali ili kuwapa ajira wanasiasa wakati wananchi wakiendelea kuwa maskini. Kwa vile Shein ni mnufaika wa utitiri wa serikali sawa na CCM bila shaka atatetea serikali zaidi ya moja. Kimsingi, watanzania hasa wa bara hawataki serikali nyingi. Kwani ni mzigo kwao. Visiwani wapo wanaotaka serikali mbili ili waendelee kutawala na wanaotaka kila mtu aende kivyake ili watawale nao. Kimsingi, kinachogomba kwenye muungano ni mgongano wa maslahi ya kimakundi zaidi ya watawaliwa.
Kwa safu hii, wanaotaka serikali mbili na tatu, wote hawaitakii mema nchi yetu.  Shein alikairiwa akisema kuwa muungano wa Tanzania ni tunu ya Afrika. Alisema,“Muungano huu ni fahari ya Afrika na unatumika kama mfano na kigezo kwa nchi nyingine za bara hili katika kuleta umoja na muungano wa kweli.”  Si kweli. Kama muungano huu ni fahari ya Afrika, kwanini basi tusiungane tukawa nchi moja badala ya kujilinganisha na nchi ambazo hazina hata huo mpango wa kuungana hasa baada ya kujaribu zikashindwa kutokana na kutokuwa tayari kufanya mizengwe kama tunayofanya?  Nani hajui kuwa kwa mfano Senegal na Gambia ziliungana na kuunda Senegambia lakini muungano ukafa ndani ya kipindi kifupi kutokana na kuepuka mizengwe?  Tujalie muungano ni fahari ya Afrika, kwanini Afrika kwanza na si Tanzania kwanza?  Nadhani watanzania wanataka muungano si kuwa kuifurahisha Afrika bali kukidhi mahitaji yao na kudumisha uhusiano wao wa kihistoria. Hata huu muungano ambao kwa wingi wa serikali zake ni mgongano si tunu. Tunu ipi yenye mizengwe na migongano?
Japo wahusika hawataki kusema ukweli, kinachoendelea si muungano kitu bali zengwe na kutumiana. Utashangaa kuona kwa mfano, watu kutoka Zanzibar wakiteuliwa kwenye kila aina ya vyeo kuanzia vidogo hata vikubwa. Wanaishi kila mahali wakifanya kila wanachotaka. Ajabu hawa hawa wanaodai kuungana, wanawekeana masharti kwenye wapi pa kuishi na serikali gani kushiriki. Si hilo tu. Zanziba imekuwa ikiumomonyoa muungano kwa kuzidi kuondoa baadhi ya mambo ambayo kimsingi yalipaswa kuwa ya muungano. Rejea kwa mfano kuanza kulalamikia mafuta baada ya kugunduliwa. Mungu si Athumani walipoambiwa kuwa wanaweza kugundua mafuta kwenye eneo la Zanzibar si Tanzania, Mungu akatoa neema ya gesi kule Msimbati jambo ambalo kwa kiasi fulani limetia maji malalamiko ya Zanziba na mafuta yao ambayo hayajachimbwa hata tone. Huu ni umimi mimi na chako kitamu changu kichungu. Hatuwezi kufika mbali namna hii.
kama watanzania watakuwa wakweli wakaachana na unyonge na udhalili wa kutaka serikali ya Tanganyika na upuuzi mwingine kama kuogopa kumezwa, basi Tanzania kama inataka kuionyesha mfano mzuri Afrika basi iwe na serikali moja rais mmoja katiba moja na watu wamoja badala ya maigizo ya sasa ya kuwa na raia watanzania na wazanzibari. Huu ndiyo upogo udhaifu na hata unafiki wa watawala wetu.
Uzoefu wa visiwa kama Comoro ni kwamba Zanziba pamoja na kudai serikali mbili ili wabaki na mamlaka yao, wanajua fika kuwa wanautaka muungano kuliko bara kwa vile wao wana manufaa zaidi. Nani hajui kuwa bila kuingia kwenye muungano, serikali ya Abeid Aman Karume isingedumu hata miezi mitatu? Nani hajui kuwa nje ya muungano Zanziba haitaonja amani kutokana na mgawanyiko na uhasama uliopo baina ya wazanzibari na wapemba? kimsingi ukisema Zanziba chukua hamsini zenu kesho yake utawasikia CUF wanataka ima uchaguzi kesho ili waishinde CCM ambayo ushindi wake siku zote unatokea Dodoma au hata kuingia mitaani kuondoa utawala wa CCM ambao kimsingi kwa baadhi ya wazanzibari ni pandikizi.
hivyo, viongozi wa  Zanziba hasa wa CCM kama watapewa wachague moja kati ya kuwa na serikali moja au kuchukua hamsini zao, watachagua serikali moja ili kuwa nusura na salama yao. Kwa vile wanajua udhaifu huu, huwa wanajitahidi kujifanya kuwa haupo na kushikilia kile kinachowapa uwepo kwenye ulaji. Shein analifahamu hili fika.
Tumalizie kwa kumtaka Shein na CCM waache kuwapangia watanzania nini wafanye kwa vile wakifanya tofauti itakuwa tofauti na maslahi yao. Kama Shein na CCM ambao wana msimamo wa serikali mbili wakitaka kuwanyamazisha wanaotaka serikali tatu basi wakubali kuunda serikali moja na kuifanya Tanzania kuwa nchi moja badala ya ilivyo sasa.vinginevyo mvutano wa idadi ya serikali ambazo kimsingi ni mzigo kwa watanzania utaendelea. Kwani hawa wanaotaka serikali tatu wanalazimishwa na mizengo na unyonyaji uliopo.
Chanzo: Dira Machi, 2014.

Hii picha ni kanali nani wajameni?

Mabilioni ya Uswizi: Mlevi achonga na Wereeema

$
0
0


Si kawaida ya mlevi kuandika barua hasa kwa watu wanaojiona au kuonekana mashuhuri. Leo huu mwiko nauvunja.
Ni kutokana na uchugu wa kusoma habari ambazo zinakaribia kuninyotoa roho. Japo huwa najitahidi kukwepa mifadhaiko na ‘frustrations’, hili la kuzidi kuibiwa njuluku za walevi limenishinda. Nimekunywa sana ili kuondoa mawazo.
Nimevuta sana mibangi kama kawa lau nijihisi niko majuu kama siyo Dodoma bungeni.
Lakini wapi! Jinamizi la habari kuwa njuluku zilizokwapuliwa na kufichwa Uswazi ya Uswizi linazidi kuniandama.
Najikuta nimekonda ghafla bin vuu utadhani ninaumwa miwaya.
Hivyo, leo naamua kumtokea jaji Freddie Wereeema aliyetuahidi kuwa njuluku zetu zingerejeshwa toka Uswizi lau zitumike Uswazi.Nianze kwa kumuamukua mura Wereeema.
Mura mbuya? Unaendeleaje na uchunguzi wa njuluku zilizofichwa Uswizi? Juzi nimesikia kuwa walioiba njuluku zetu wanazihamishia Dubei. Je! ni kweli au umbea wa vyombo vya habari?
Mura, naomba ufahamu wazi, kama kweli hizi njuluku zimehamishwa na huna mpango wa kuzirejesha, jua utanikosa. 

Na kama utanikosa baada ya kujinyotoa roho, sina shaka Maulana atakupiga laana unyotoke roho ghafla kwa shinikizo linalonishinikiza kuandika na kuvuta na kunywa kama sina akili nzuri.
Mura, una habari kuwa walevi wengi wanapukutika kwa magojwa yanayotibika kutokana na kuwa apeche alolo, kukabiliwa na ukapa na hata ukiwete? Je! hiyo njuluku tunayoambiwa ni mabilioni ingeokoa walevi wangapi? Walevi wamepigika hadi wengine kukimbiwa na wake zao ukiachia mbali wanaonyanyaswa kila siku kutokana na kutoweza kulisha vitegemezi vyao.
Haya yakitokea, wajivuni waso haya tena vibaka na matapeli wanapayuka na kutapika wakisema kuwa njuluku bilioni 120 ni vijisenti vya ugoro.
Ajabu wakati wakikufuru hivi, nyinyi mnaendelea na politiki kana kwamba mchezo wenu hauna madhara kwa walevi. Mchezo wenu ni mauti yetu ndugu yangu.
Mura, unakumbuka kuwa uliwahi kusema kuna uchunguzi uliokuwa ukifanyika kuhakikisha njuluku zetu zinarejeshwa?
Uliposema hivyo mimi nilikuamini ingawa walevi walionyesha shaka hasa ulipomtisha balozi wa Uswizi huku Uswazi ya akina ombaomba na toboatoboa ukiachia mbali kopakopa.

Ulimwambia kuwa hakupaswa kueleza ukweli kuwa wao walitaka kuwasaidia kurejesha njuluku lakini kwa vile walioficha zile njuluku kule ni wenzenu basi uliamua kula pini na kutoa vitisho.
Mura, unapaswa kufahamu na kukumbuka kuwa watasha si kama nyinyi. Ukiiba hata ufiche kwao watakuwasha tu bila kujali kama utachukia au kujinyotoa roho.
Hivi ninavyoandika, napanga kwenda kuonana na huyo mrume aitwaye Olivieer Chavie ili anipe data nami niwawashe bila huruma.
Kuna kipindi napanga hata kwenda Afghanistan lau nijifunze kujilipua ili nije na kuwalipua hawa mibaka wanaobaka uchumi wetu. 
Naapa haki ya mama na bibi babu na babu wa bibi wa shangazi wa bibi wa bibi wa bibi yangu kuwa nitaondoka na mtu mie.
Na hakika sitanii. Inauma kuona ninavyoendelea kupondwa na dhiki huku mkiponda raha tena kwa njuluku za walevi.
Mura, una habari nilikuwa nakuamini kuliko hata huyo aliyekuumba anayejulikana kwa kuwa bingwa wa sanaa na dana dana?
Tangu alipogwaya kuwasulubu wauza bwimbwi, majambazi na mafisadi imani yangu kwake ilitoweka na kupotea kama ile ndege ya Malaya iliyopotea hivi karibuni bila kuacha hata chembe ya ushahidi. Sina imani na kiumbe huyu. Ninachofanya naomba kila uchao amalize ngwe yake na akitoea angalau nipumue.
Naomba kila uchao aje mrume mwenye udhu na uthubutu ili nimpe ushauri kuwa aende China atuletee majaji wa kweli wa kuhukumu wezi, majambazi, mafisadi na hata majangili bila kusahau wauza bwimbwi na wauza maneno majukwaani wanaotumia siasa kutumaliza.
Mura, haki ya Mungu usikie. Hapa ninapoandika, walevi wana maya na wezi ajuaye ni Subhana mwenyewe. Kuna siku walitaka wachukue michupa yao na kuingia maofisini na mitaa ya Uzitoni na Ugabacholini kuwapiga nayo wale wanaojua kuwa wanatula sisi na mali, madini, wanyama, nyara na fweza zetu.
Mura, najua fika kuwa mmezoea kutuchukulia kama hamnazo kwa vile tu walevi.
Hivyo, hamna hofu kuwa tunaweza kuwageuzia kibao. Kuna kipindi natamani nihamie Libya lau kujifunza wale jamaa walivyomnyotoa roho mjivuni Mwamari Kashafi aliyenyotolewa roho akilia kama kibaka. Siku hiyo nilikunywa na kuvuta kama sina akili nzuri.
Na hao wanaoiba njuluku zetu na kuzificha Uswizi na baadaye kuzihamishia Dubei natamani nishuhudie kiama chao tena majilini kwenye mikono ya walevi wakiwachoma moto kama vibaka.
Mura, hivi ni kweli au umbea wa waandika maneno? Hakuna kitu kiliniumiza kama kusoma nukuu hii, “Hili jambo ni jambo nyeti sana kwa sababu kazi tuliyopewa kuchunguza suala hili bado hatujamaliza, kwa hiyo kuanza kulizungumza kwenye vyombo vya habari kunaweza kuathiri kazi hii.”
Je! ni kweli ulisema hivyo? Je! uchuguzi wenu ulikuwa ni wa kutafuta mahali pa kuhamishia au kuwazuga walevi?
Maana haiingii akilini kwa mtu anayesaka mwizi na mali alizoibiwa akaambiwa zilipofichwa na zinakohamishiwa akajifanya hamnazo kwa kusingizia sijui uchuguzi sijui unyeti na mambo kama hayo.
Huu nao ni ufisadi wa kiakili ambao wagiriyama huita ‘intellectual corruption’. ‘Yes, this is damn mental slavery geared by greed and myopia’. ‘Do you think we are all goons and zombies to bless such sacrilege?’
Oh samahani! Nimechukia hadi naongea kigiriyama bila sababu ya msingi.Mura, nasikia wewe ukiitwa pilato mkubwa. Je! wewe ni pilato kweli au Yuda?
Nasikia kuwa kuna mapilato kwenye kaya wanasifika kutoa hukumu za kuwapendelea mafisi na mafisadi na wezi wa njuluku za walevi.
Mmoja wapo anaitwa Joni Utumwa aliyeweza kugeuza ‘bedroom yake extra debito judiciae’ yaani chemichemi ya haki.
Wapo wengi wanaowaachia wauza bwibwi ambao siku moja nitawataja.
Leo sisemi mengi zaidi ya kukusihi wahusika waache ‘monkey business’ warejeshe njuluku zetu kabla sijajinyotoa roho kwa kujilipua mibomu. Na hakika sitanii zamu hii. ‘Be warned’

Chanzo: Nipashe Machi 22, 2014.

Wimbo kwa wanaotegemea kuoa

$
0
0

It sometimes doesn't work the way you think. Important, take time to know the other half you want to make your part so that you can make one thing together. 

Je tumshukuru au kumuandama Kikwete kutupa Katiba mpya?

$
0
0

Kwa hali ilivyo ni kwamba CCM watatufanyia unyani na kutuletea "Katiba Mpya" kwa maana tofauti. Badala ya kutegemea Katiba Mpya nadhani tutegemee kitabu kipya chenye kubeba mambo yale yale ya zamani. Kwa hotuba ya juzi ya mwenyekiti wa CCM rais Jakaya Kikwete ni kwamba hakuna kitu kinachoitwa Katiba Mpya. Kama ipo basi ni ya zamani kupitia njia mpya ya kuunda tume ambayo hata hivyo Kikwete aliizodoa na kuidhalilisha huku akijitia mtalaam aliyeishiwa kuumbuka hasa alipojaribu mambo kama takwimu. With this monkey business Tanzanians need to fast and weep.

IS IT EAST AFRICAN UNITY OR UPPITY?

$
0
0

When news reached me that some HIV- positive- Rwandan chicks were arrested in Dodoma two years ago as they’re vending their bodies illegally, I smelled a rat in our East African hurriedly cobbled unity.  So too, I sensed the danger we’re facing as the country that’s nary cared about anything. When I look at how those chicks were told to pack and go back to their country without even facing the wrath of the law, I feel like crying in the first place.
Yeah.  EA is cobbled thanks to being the creature that mwananchi has nary participated in its making leave alone understanding it. Maybe, the wananchi of other countries did both---making and consenting to the same. You can take this to the bank. Bongolalalanders never made the union or consented to it. They’re bulldozed by their mighty rulers.
I must categorically state that I ‘badly and blindly love’ the so-called East African Unity which one boozer said that it is but uppity.  For him, it is a creature of our rulers but not our people.
What changed my blind love to fear so as to oppose this fool-one-another outfit is the fact that it’ll soon boomerang. I can say that this stuff’s started to put Bongolalalanders in awkward situation.  I’m told that two of three Rwandan chicks were nabbed in Dom had ARVs to mean that miwaya have already affected them. However, all body sellers are killers by extension; these chicks are terrorists next to suicide –bombers we hear of in Afghanistan and Pakistan. The difference is: Those chicks are HIV-bombers. Try to imagine if this were committed by Bongo chicks in Rwanda.  True, Bongolalalanders are careless. Look at how they treated these killer chicks. Instead of charging them with deliberately causing deaths, they just told them to pack up and jump into the ocean! Does this need one to be a guru in criminal law really? What signal does this send? Gunk guff!
What adds up to my worries is the fact that Dom’s where Members of Mjengo convoke for long time to do their business in our name.  At this very time some of them are likely to need the services of these tarts. Yeah. Don’t think I’m abusing the hishimiwas. They’re human beings. Also their love of totoz is known too well. Seriously, Dodoma episode shows how Bongolalalanders are good at it for our own peril. In a simple parlance, we’re importing diseases and deaths.
The above situation tells it all that our hunk’s an outright loser in this mind-boggling game of unifying rotten hunks in the region. Bongo’s free land that’s up for grabs. Are we prepared? Are we duped and satisfied with this give-me-whatever- you-have love? Yeah. I’m wondering our bigwigs don’t want to see it this way? I know united we stand and divided we fall. Again, does the unity of goat and hyena make any sense?  Why not uniting with the hunks of our size and stature such as Zambia Mozambique even DRC?  The Zenj Union’s always been a stone a shoe for us. How come now we want to enter another loss making unity? I know. Pro-loss- making Union will pepper me with phrases such as: We want to tap in over 100 population market and movement of goods and service. Tell it to the birds. Nigeria’s more people than EA has. And yet, nothing’s ever come forth out of it. To hell with East African uppity they call unity. How can there be services and goods from countries suffering from beggary? What services do we expect from countries with high unemployment and millions of landless creatures while their leaders own the land the size of some of our regions?
If anything, what we’re trying to do is put together poverty thinking it can beget affluence. I won’t wonder to find that tycoons such as prezzo Independence Kinyatta can come and grab some more land to add to the millions of acres they already have in their land-grabbing hunk. Looking at how many landless many hunks surrounding us have, one wonders our way of thinking to allow such theft by consent in the name of making money. The other day I was reading the report on population in EA to find that Bongo’s the only one that’s sparsely inhabited compared to our neighbours whose population is next to explosives. Despite all this reality, we’re still cheating our people that there is something good in this hanky panky. We’re the only hunk endowed with minerals.
Is importing chicks suffering from HIV a big deal to show as a success of EA unity? My foot!  I won’t buy it.
Soon you’ll hear Rwandan complaining about importing corruption from Bongo as Kenyans do the same about Bongo’s careless behaviour not to mention tribalism from the latter. I won’t wonder to hear that chaps who speak ‘tribalized’ and corrupted English but don’t trained in any trade are  being employed in our hunk as teachers while our own chalk-dust eaters are turned down. You know what. If you’re chalk-dust eater who wants to be employed as a teacher in our academic and international schools that are not international just introduce yourself as a foreigner. Surely you’ll be hired. If you’re a twilight girl who isn't picked by philanders, just say I’m not Bongolalalander. Surely, you’ll get somebody to buy your curse--- sorry body-cum-shame. This way you’ll fulfill Latin idiom that o homines ad servitutem paratos; Men fit to be slaves. Only promiscuous ones I may submit.
Source: Business Times March 21, 2014.
Viewing all 3175 articles
Browse latest View live