Quantcast
Channel: Free Thinking
Viewing all 3175 articles
Browse latest View live

Mlevi ataka 'amri' 10 zinazomhusu rais ziingizwe kwenye katiba

$
0
0
Rahisi Jakaya Kikwete

Mzee Vasco da Gama
Baada ya mlevi kugundua kuwa hayumo kwenye bunge la kujadili na kupitisha rasimu ya katiba mpya, amekuja na janja nyingine ya kushiriki kwa njia ya safu.
Hivyo, baada ya kutoka kuupiga unywaji na kugundua kuwa kumbe kitendo cha kuniengua nisishiriki kwa kuogopa vitu vyangu hakifui dafu! Nitashiriki watake wasitake.
Rais azuiwe kutumia njuluku za wachovu na walevi kwenda kutanua ughaibuni au kuzurura kama wasemavyo wabaya wake wao hupenda kumlinganisha na au kumuita Vasco da Gama.
Mie namheshimu sana. Siwezi kumuita majina ya kikoloni hata kama ikulu anamoishi ilijengwa na ina mambo ya kikoloni.
Kwanza, napendekeza rais aruhusiwe kutoka nje ya kaya mara moja kila miezi minne vinginevyo kama kuna ulazima aombe kibali cha kufanya hivyo toka kwa walevi aone tunavyoamua. 
Walevi tusibanwe. Ingekuwa si bunge kumilikiwa na chama kimoja, basi tungependekeza ndiyo liwe linampa rais ruhusa ya kwenda nje inapotokea lazima ya kufanya hivyo.
Kwa vile bunge linamilikiwa na chama kimoja, rais anaweza kulitumia kwenda kutanua na kuzurura.
Hivyo basi, walevi turuhusiwe kuwa na mamlaka ya kumruhusu rais kwenda nje kwa ulazima si chini ya mara mbili kwa mwaka.
Hii itaokoa njuluku ya walevi ukiachia mbali kumlazimisha rais kukaa ofisini na kufanya kazi badala ya kuzurura na kutanua huku akilipwa kwa jinai hizi.
Pia katika hizo safari atakazofanya ughaibuni, asiandamane na misafara mikubwa wala bi mkubwa wake.
Maana ukiangalia watu wanaokwenda na rais ughaibuni kushangaashangaa na kupiga picha unashangaa mantiki ya rais kuandamana na walaji wasio na sababu wala umuhimu.
Pili, rais alazimishwe kulipa kodi na mshahara wake uwe sambamba na ujuzi wake.
Kama ni ticha alipwe kama ticha na kama ni mlevi basi apewe michupa yake ya ulabu.
Tatu, rais ashurutishwe kutaja mali zake ili asije kutuibia njuluku kama ilivyo.
Kwenye siasa hakuna cha kuaminiana. Ukicheza na nyani unavuna mabua au siyo?
Isitoshe, kama rais hatuamini hadi anajizungushia mabaunsa kibao, tutamwamini kwa lipi?
Hakuna haja ya kumwamini mtu usawa huu ambapo urais umegeuka urahisi wa kutengeneza utajiri wa haraka.
Huoni unavyogombaniwa kiasi cha watu kutaka kutoana roho? Unafanya mchezo na ulaji wa dezo nini!
Nne, rais ashurututishwe kutoandamana na misururu ya magari kila aendapo. Wasiojua watasema misururu ya magari mia ya rais huwa ni kwa ajili ya usalama wake.
Urongo, mbona akistaafu hatumuoni akiwa hatarini kiasi cha kuandamana na misururu ya mikwara?
Kwa vile rais wetu si kibaka wala mhalifu, hana haja ya kuwaogopa watu anaodai kuwapenda kiasi cha kumwamini ulaji wao.
Kimsingi, mambo ya misafara mirefu ni ‘hangover na carryover’ za ukoloni. Gavana wa kiingereza alipenda kuandamana na misafara kwa sababu ya kutuchimba mkwara na kuogopa tusimfanyie kitu mbaya kutokana na alivyokuwa akituibia.
Je! rais wetu anogopa nini? Pia rais asiruhusiwe kuandamana na utitiri wa walaji aendapo ziarani.
Ili kuondoa ujambazi huu, katiba imlazimishe rais kutaja orodha ya watu anaoandamana nao kama ilivyokuwa wakati wa mchonga.
Walevi wamechoka na wadandizi hata waganga uchwara wanaoweza kupenyezwa kwenye msafara wa rais.
Kwa vile waswahili hupenda sana kutanua, hili lazima nife na mtu kuhakikisha linapita ili kuokoa pesa ya walevi ambayo imekuwa ikitumiwa kugharimia wadandiaji wanaofanya siri wakati wa matanuzi kama haya.
Tano, rais ashurutishwe kuwazuia watoto au wake zake kutumia madaraka yake kwa namna yoyote ile.
Mfano, ndugu za rais wasiruhusiwe kujiingiza kwenye siasa kwa kutumia jina au mamlaka yake.
Sita, rais ashurutishwe kuwa anatoa taarifa ya maendeleo ya serikali mbele ya bunge kila baada ya miezi minne.
Pia katika kufanya hivyo, bunge lazima limkague na kujiridhisha kuwa anachosema ni kweli ili kuepuka sanaa za kuja na ‘inflated stats’ kama ilivyo.
Saba, mlevi anapendekeza pia kuwa katiba imlazimishe rais kutangaza maslahi yake kwenye kila uteuzi atakaofanya.
Mfano, kama atataka kumteua mtu ambaye ama ni mshikaji, mshirika au rafiki au mtoto wa rafiki yake hasa wale wenye majina makubwa aeleze wazi kuwa ana maslahi katika mtu huyo.
Ikitokea rais akamteua mtu anayetia shaka, bunge limuondoe mara moja na kumuonya rais mara mbili ili mara ya tatu limsimamishe urais hadi atakapotia adabu.
Nane, rais ashurutishwe na katiba kutimiza ahadi atakazotoa kwenye uchaguzi.
Kama ataahidi maisha bora kwa wote na akatoa maisha balaa kwa wote, atimuliwe kabla hajachafua hewa.
Haiwezekani tukawa tunatapeliwa kila baada ya miaka 10 ati.
Pia ifanyike tathmini kuona kama rais anafaa kuendelea kula na kulala bure.
Baada ya mwaka mmoja wa kuwa madarakani, umma umpime kama ametimiza ahadi zake.
Kama ameutapeli, basi umtimue haraka ili wenye uwezo wa kutoa ahadi za ukweli wachukue nafasi yake na kufanya kweli.
Tisa, rais alazimishwe kutoa maelezo/utetezi atakapokabiliwa na shutuma zozote za kufanya kinyume na sheria.
Mfano, kama rais atatuhumiwa kukwapua pesa za HEPA au kushiriki kashfa kama za Richmonduli, basi aitwe mbele ya bunge ajieleze.
Kama maelezo yake hayataingia akilini wala kuliridhisha bunge, basi litoe idhini afikishwe mahakamani.
Kumi, katiba itamke kuwa hakuna aliye juu ya sheria ya kaya hii hata awe nani.
Nani malaika awe juu ya sheria asiitumie kuwakomoa wabaya wake? Nani anataka kesi za kugombea mabibi na upuuzi mwingine kumalizwa kwa kutumia madaraka ya rais? Tunataka rais muajibikaji.
‘So long guys’. Nakula ung’enge’ kuonyesha kuwa sikughushi kama wale wanaokula uswangilish mjengoni.

Chanzo: Nipashe Jumamosi Feb.15, 2014.

Well done Mkuya on borrowing

$
0
0







When President Jake Kiquette cloned, sorry, crowned Saada Mkuya Salum new Minister of Dosh and ulaji in his the recent shake up of his line up many goofed. They thought there’d be some changes. Go figure.  Who wants changes that can change his ulaji in the first place? Why changes in lieu of biz as usual especially in Bongo-lala-land? I got wind of it priorly. Thus, boozers and I were not among those who expected big things coming our way. Indeed, we’re dead right. For, the first day the good lady faced the media just showed what she’s appointed to do. Everybody’s left baffled with disbelief. Guess what. When the good lady spoke, she just defended the power that- be that it’d keep on borrowing so much so that the national debt could become fat and prove to the world that our hunk is loanable.
Just on her maiden day in the office as a full minister, Mkuya dropped a bombshell tidbit for the govt. She defended  it saying  it still has a room for borrowing due to the fact that up till now it’s only spent 24% of its ability to borrow which is 50% of the whole debit.
Gosh! Many thought that the big girl should have come with some new strategies of putting a stop on megalomaniac borrowing to no avail.  I heard one boozer saying that if he were her, his first priorities would have been to collect more revenues and avoid all tax exemptions investors have always enjoyed in order to increase our income and cut down our expenditure. I told the boozer that he were not her and will nary be till he kicks the bucket. Again, should we blame the good lady for doing exactly what she’s appointed to do especially at this moment we’re heading for general elections that need a lot of dosh ala EPA?
Why shouldn't we holler at her? Prof Ibra Lipumba has the answer. He says,“I have nothing personal against Ms Mkuya or women but to be frankly I saw her CV in the parliament’s website; she isn't a right person to lead such an important ministry finance ministry.”
Many wrongly thought that hardship they face after prices go up quite often, soaring inflation and our Schillings’ free fall would piss off the good lady.  Nay! That’s not her biz. She’s there to do what her boss told and appointed her to do. Mkuya’s approach eventuated into allegations that Kiquette brought back the same mizigo to be seen as true. I, for one, had already registered my doubt especially when I quizzed the lady’s eyebrow- raising CV.
Those of us who care more about our hunk thought: the good lady would have taken on municipal and local governments to see to it that they stop swindling our monies. CAG’s always unearthed a lot of theft perpetrated by venal servants in these govts. Again, who cares if everybody eats where she or he’s?
I feel sorry for those who admonished the govt to stop borrowing for consumption or investing in make-believe projects geared by ten percent instead of economic viability.  Guys, mnataka wale polisi?
I heard other boozers complaining that the move by Jake to appoint Mwigu Michembe deputy Minister of dosh aims at creating yet another EPA. I just told him to go to hell. Where does he think the bullying outfit will get dosh from?
The other one’s complaining that much of the dosh we borrow ends up paying bigwigs’ sitting and lying allowances, seminars and trips abroad and other hanky panky. Well, dosh is always meant to be spent.
Given that I sometimes serve as boozers’ astrologer, I must predict. Guys, get ready to evidence more stuff such as soaring inflation after the next uchakachuaji. Try to remember what happened in 1995 and 2005 after elections. Your dafu schilling cascades every time after elections thanks to spending much dosh in campaigning and obtaining votes.
Little bird confided me the other day that the govt spends more than it collects and it does not bother. It spends and spends and spends knowingly that boozers will foot the bill one day if not their offspring many years to come.  The other day I heard some fyatu complaining that our bigwigs travel abroad quite often ala Vasco da Gama. Well, well, why shouldn't they if at all they’re not going to pay as Jake once said that the debt won’t be paid under his watch. Knowing that this is the reality, Jake’s always allowed many joy makers to accompany him almost everywhere he goes. To avoid boozers’ noises, nowadays, the media doesn't divulge the names of those who accompany the big man in his oft tours ughaibuni.
Again, if I were Mkuya at least I ‘d have duped gibbers promising I’d re-examine all privatized firms such as UDA to see to it that I retrieve some dosh many thieves got away with in this broad daylight theft. Again, who wants to touch the tails of the bigwigs?
Knowing how our “eaters” eat, expect nothing from the good lady except to be eaten as usual. Seriously, you can’t be serious Mkuya to defend borrowing crime.
Source: Guardian Feb. 16, 2014.

Avoid profiteers come to Prophet Boozer

$
0
0
Scriptures that stand against TB Joshua | Watch TB Joshua
When one political terrorist who became famous for opening terror-related charges against other opposing politicos visited  profiteer Temi matope Balogunya  Josh  the media became awash with this infamous move. Those unaware of who is Temimatope Balongunya Josh aka Tuberculosis Josh or TB Josh, he’s a Nigerian quack who con those you might think are wise and smart while they actually are the opposite.  Instead of helping those goons, the perforator makes their problems proliferate and they believe and call that God’s miracles. Ironically, such people call themselves people of God while they actually are people of dog not God. Why don’t people see what’s in the name? You’re told the guy’s name’s Mtemi wa matope yet you still believe he can perform miracles? Miracles in Nigeria! My foot! Those aspiring for presidency shouldn't look for miracles but instead they must look at themselves to see if they‘re clean enough. Presidency and power in general come from the people but not by miracles. The miracle one can perform is serving the people diligently and he or she’ll get power. This is the difference between Prophet Boozer and profiteer TB. Josh. I tell you what you don’t want to hear which turns out to be truth while quacks tell you want you’d like to hear which turns out to be mere lies and gibberish and rubbish.
The gawk made a killing by duping fools that he can see the future just like another deceased con known as Shehena Yaya. He’s already swindled many high and mighty from Joyous Banda the presider of Maravi who’ll soon lose in the coming general elections, the late Jon Atta millies and Fred Chilubha all former presiders, former Premiers Morgie Tsvanjirai, Eddie Lowassssa who can’t win any presidency and Win-Madiki Madiba who wanted to be reinstated as Diba’s wife to no avail and, the political terrorist in point Muigulu Michembe‘s there recently to destroy himself. 
Experience shows that all those who went to TB Josh are either losers or deceased. Tsvanjirai lost to Jongwe just recently while Lowassssa’s kicked out thanks to greed and corruption. Chiluba and Mills are all gone while Banda soon will be shown the way. As for Muigulu everybody knows what’s waiting for him after the fisadis are shown the door.
Sometimes, those you think are free are slaves who need to come to the boozer who’ll show ‘em how they suffer from lack of self-confidence. Therefore, they’re unfit for public office.  It’s natural that who eats others will be eaten and those who dupe other, so too, will be duped. Why’d such big leaders live under stupid conditions?  Look at Banda who clocked seven trips so as to cause eyebrows to raise back home whereby Maravians want to know what she goes to do there plus who foot the bills for her expensive private trips.
Ironically, those who went to this quack to seek blessings were sitting on them. For, what they did was to send the blessings to the quack that made a killing from them. Wajinga ndiyo waliwao.  Sometimes, I get mixed when it comes to define what the meaning of education is. Those you think are educated aren't and those you think are not, sometimes turn out to be educated. Under mzee Mchonga’s presidency it’s next to never to think that a presider or a minister would be a goon acting as if he or she’s no brain except massaburis. The quack’s enjoying all pomp and fame simply because he’s able to use famous sappy creature to make him famous. Mungu ampe nini?
Robbers go to this famous Nigerian robber in the cloak using roho mtakakitu he calls Holy Ghost. Is it Holy Ghost or gory ghost? His Wikipedia says that his country loves him a great deal more due to the fact that he attracts many tourists at the ration of 6 out of 10. What makes the story about thugs being robbed by another thug in cloak is the fact that the said thug isn’t even educated. Again, this smart puta is able to swindle those you’d categorize as educated and civilized.
The other day I heard one political thug telling others that he went to Nigeria to be blessed little knowingly that for Nigerian religious con men blessings are in Bongo-lala-Land where stupid goons rob their brethren and end up buying fake blessings. Refer to what came to light recently whereby some Nigerian con-in-Jesus men were apprehended in Tabata living in the country illegally and preaching the same nonsense. Wait. How many such same hyena-like preachers do we've in the hunk originating from DRC and other hunks? How many local thugs-in-cloak do we've making a killing so as to live like billionaires on the back of poor and stupid believers? If you want blessings come to the boozer. He won’t charge you anything. You just offer him kanywaji. He reciprocates by telling you bitter truth that will set you free.
Although Michembe went to TB Josh either to offer thanksgiving or seek more blessings, the thing is, the guy’s proving how stupid and unworthy he is. Soon, maybe, even his boss whose CV is all fake will go to seek remedy for it. Saada Mkuyati, are you thither my friend? Avoid profiteers. Come to prophet boozer everything’ll be spiffy.
Source: ThisDay Feb., 17, 2014.

Huyu anapiga debe au kufikirisha?

Kijiwe: Landani uwe mji mkuu wa Bongo

$
0
0

BAADA ya kijiwe kugundua kuwa mkuu anapata sana taabu kukesha kwenye pipa akienda kueleza na kupokea sera kule Landani, kimependekeza Landani uwe mji mkuu wa Bongo.
Leo hakuna maroroso wala ronga ronga. Tiende ku nchito, Mijjinga anaingia akiwa amebeba makabrasha yake kama kawa. Anaamkia na kukaa. Akiwa anabofya bofya kisimu chake analianzisha: “Waheshimiwa wanajikiwe, mlisikia kuwa mkuu amekwenda Ulondon kushiriki kampeni ya kutokomeza ujangili?”
Msomi anajibu bila hata kumtazama Mijjinga usoni: “Wadude wauawe Afrika kampeni Ulondon siyo? Tutaacha lini visingizio na uzembe jamani?”
Mpemba anakatua mic: “Huenda kule ndiko wanakouza hayo meno na pembe.”
Mgosi Machungi anakwanyua mic: “Ami tiambizane ukwei tieewe. Hii kitu inauzwa China na India kama hatikosei.

“Basi hizo kampeni zingefanyika kule yakhe. Je, inakuwaje nkuu ende Ulondon badala ya kwenda lau mbugani?” Anajitetea Mpemba.
Mbwa Mwitu anaingilia kwa utani: “Hujui siyo! Matanuzi baba. Makamuzi baba.”
Kanji anaamua kukwanyua mic: “Nyinyi Swahili vipi? Kuu kwenda London soma juu ya tunza nyama. Maana koloni natawala nyinyi naleta sisi  natunza wanyama nyinyi tawala na kula nyama yote dugu yangu!”
Mgosi Machungi kaguswa pabaya. Anakwanyua mic: “Tiseme ukwei Kanji amesema ukwei. Sisi tinakulana na kula wanyama bado titakula nyasi.” Kanji anakenua na kusema: “Mwagia yeye.”
Kabla ya kuendelea Mgosi anamshika begani, na kusema: “Chonde chonde Kanji angaia unakwenda pabaya. Yaani wewe ni wa kumwambia kijana huyu animwagie? Hujui kahawa inaweza kuniunguza vibaya?”
Kapende anaokoa jahazi kwa kuchomekea akisema, “Tule nyasi mgosi? Hukuona juzi kwenye runinga tapeli mmoja huko Sauzi akiwalisha watu nyasi kama mbuzi akidai ndiyo neno la Mungu?”
“Hebu tuwe serious jamani,” anasema Msomi huku akibwia kahawa yake na kuendelea: “Huwezi kuondosha ujangili kwa kukutana na wakoloni huko Ulondon. Sana sana wanakucheka na kukuona hamnazo.
Leo tutaelekeza mapambano ya kuteketeza ujangili huko Ulondon wakati wanyama wenyewe wanapitishwa kwenye viwanja vyetu vya ndege tena wakiwa hai. Are we serious really?”
“Yakhe usinkumbushe hili. Mie naona hata mikakati ya kupambana na bwimbwi tutafanyia huko Ulondon.”
Kijiwe hakina mbavu jinsi Ami anavyotamka Ulondon.

Msomi ameamua kutoa shule leo. Anakwanyua mic na kudema tena, “Nadhani watawala wetu siku watakayokuwa serious tutajikomboa. Mwaka jana tu mkuu alikwenda London mara mia kidogo. Alikwenda kwenye mkutano wa uwazi, uzazi wa mpango na sasa wa kupanga ujangili.”
Kabla ya kuendelea Kanji anaamua kujivua nguo kwa kusema: “Kwanini nyinyi penda kosoa kuu? When he goes there hupewa saada nyingi na saada nasaidia nyinyi lakini bado lalamika tu dugu yangu.”
“Unaongelea Saada Mkuyati au Saada yupi?” Anachomekea Mbwa Mwitu.

Sofia Lion Kaungaembe anaamua kumhami mshirika wake Kanji kwa kusema: “Nawe umezidi.” Anaongea akiwa amemkazia macho Mbwa Mwitu anayejibu haraka, “Njoo unipunguze au unipunguzie.”
Kanunga anaendelea: “Kuna ubaya gani kwa mtukufu kwenda kuomba misaada au kujadili kupanga uzazi?”
Kapende anaingilia haraka: “Sofi kawambie wajinga wenzako huo utumbo. Nani ahudhurie mkutano wa uwazi au kupanga uzazi wakati yeye mwenyewe hapangi wala hayuko wazi?”
“We Kapende we Kapende. Yaani unatakaga mkuu awege wazi na apangege uzazi?”
“Ndiyo. Si hilo tu. Apange uzazi pia. Maana kwa umri wake sikutegemea awe na vitegemezi vinanyea nepi au kusoma vidudu wakati anapaswa kutukuu achilia mbali kujukuu,” Anajibu Kapende huku akimpa sigara kali Mgosi Machungi.

Mchunguliaji anaamua kukwanyua mic: “Hebu tuwe serious,” anamkata jicho la furaha Msomi na kuendelea: “Hivi jamaa ana vitegemezi vingapi?”
“Kwa nani?” Anauliza mzee Maneno.

“Si kwa bi mkubwa wa Ma-ngo,” anajibu Mchunguliaji.
Mzee Mdomo aliyekuwa akiangalia anaamua kujibu: “Hiyo ni top secret tena ya usalama wa taifa.”
Mgosi Machungi anaamua kutia guu tena. “Weee done mgosi, I didn’t know that you know ingiishi this way!”
‘Du Mgosi unatema ung’eng’e kwa Kisambaa. hawasemi wee done wanasema wello dani. Pia hawasemi ingiish wanasema inglishi.” Anachomekea Mchunguliaji.

Machungi anajibu mapigo: “Kwai hujui Kisambaa na Kiingeeza ni mapacha!”
Baada ya Msomi kuona utani unaanza kuingilia kati anaamua kurejesha mada kwenye mstari. Anasema: “Nimependa sana wazo la kufanya Ulondon kuwa mji mkuu wa Bongo ili kumuondolea usumbufu mkuu. Pia ningependekeza Davos uwe mji wa kibiashara au vipi?”
“Yakhe usiniambie mambo ya Davos. Jamaa wenda kila mwaka kutumia na kutanua waja wakituongopea eti wenda kutafuta jinsi ya kuondoa umaskini. Maskini wakubwa. Wawezaje ondoa umaskini wakati watumia hata bila kufikiri?”
“Seriously, huenda tukifanya hiyo miji kuwa makao makuu yetu rasmi tutaokoa pesa nyingi inayotumika kwenda huko na kutufanya maskini,” Anazidi kutetea hoja yake Msomi.

Kapende ambaye anaonekana kuna dili analifuatilia kwenye simu anaamua kukwanyua mic: “Nakubaliana nawe Msomi mwenzangu.” Kabla ya kuendelea anaangalia huku na kule na kukuta kina mzee Maneno wakikonyezana kwa kujiita msomi. Hajali anaendelea, “Mie napenda makao makuu ya Takokuru yawe Washington ili FBI itumike kupambana na magamba, ufisadi na hata ujangili.”
“Mie naona hata makao makuu ya Benki Kuu yaani BoT yaani Belly Of Tembo yawe Uswizi ili kutuepusha na mapresha yatokanayo na kujua mauza uza na ujambazi kama EPA au vipi?” anauliza Mijjinga huku akiangalia saa yake.

“Basi na makao makuu ya TRA yawege Jersey na mkuu wake awe Anderea Chenge huku Rostamia Azizi akiwa waziri wa njuluku ili tuzalishe mabilionea wengine wengi.”
“Loo! Mijjinga umesahau. Pia tungefanyaga mpango makao makuu ya Wizara ya Afya yawe Bombhai na waziri wa afya awe Rama Murder-bidder au vipi beng’we?” Anachomekea Mipawa.

Kijiwe kikiwa kinanoga si mdege wenye mafua wa mkuu ukapita juu yetu ukielekea Ulondon. Acha tuurushie mitusi na mimawe. Huku huku tunaona ndata wanakaa mkao wa kumwangosi mtu. Tunaamua kujikata kislesi taratibu.
Chanzo: Tanzania Daima Feb. 19, 2014.

Suluhu ya ujangili iko Ikulu si London

$
0
0
JAPO ni jambo jema kwa dunia kupambana kama kijiji kimoja kutokana na utandawazi, bado si kila jambo linahitaji utandawazi.
Hivi karibuni Rais Jakaya Kikwete alikuwa mjini London kuhudhuria mkutano wa kujadili namna ya kuokoa faru na tembo wanaoangamizwa na ujangili wa kimfumo barani Afrika.
Wapo waliosifia ushiriki na hotuba yake wasijue maneno matupu hayavunji mifupa. Waswahili wana busara. Husema: ‘Simbuliko halisimbuliki hadi kwa mikukuliko.’
Busara hii inaweza kuwa kweli kwa Rais Kikwete na harakati zake za ‘kupambana’ na ujangili kwa njia ya kuupamba.

Wanaojua jinai, wanajua fika. Suluhu si kwenda London wala si shinikizo la Wazungu bali uzalendo na hiari ya watawala wetu.
Kwa mujibu wa gazeti la The Mail on Sunday la Uingereza la Februari 8, tembo zaidi ya 10,000 waliuawa nchini.
Gazeti liliandika: “Utawala wa Rais Kikwete umetawaliwa na mauaji ya tembo … wahifadhi wanasisitiza kuwa, ndani ya serikali kuna viongozi wanaoshiriki biashara hiyo… miongoni mwao ni matajiri wakubwa nchini, wafadhili na wanachama wa CCM na ndugu wa karibu wa Rais Kikwete.
Lakini vyombo vya dola, majaji, waendesha mashtaka na polisi hurubuniwa kwa urahisi.” Lisemwalo? Wengi hawaoni mantiki ya Kikwete kutangaza ‘vita’ dhidi ya ujangili kama anaishiriki.
Mbunge Peter Msigwa (Iringa Mjini) ameliona hili alipokaririwa akisema: “Inakuwaje mtu anayevunja sheria za nchi hakamatwi? Waziri Lazaro Nyalandu amekuwa mlalamikaji badala ya kutafuta suluhu, majibu yake na ya Serikali ya CCM yanadhihirisha kuwa mtandao huu unaoogopwa unaihusisha Ikulu, wanasiasa, polisi, maofisa wanyamapori na wanajeshi."
Je, Msigwa ni mzushi au doomsayer au maneno yake yana ukweli?

Kwanza, baada ya kutolewa shutuma, serikali haikuhangaika kutoa maelezo au kukanusha. Hii inaweza kuchukuliwa kuwa shutuma zina ukweli ambao serikali ikijidai kupinga unaweza kufichua mengi.
Msigwa si mwendawazimu wala mzushi. Ilichofanya serikali ni kunyamaza ili shutuma za Msigwa zijifie. Hii mbinu ilitumika kwenye shutuma za kuhujumu viwanda, madini, EPA, Richmond, UDA, Meremeta, Mwananchi Gold, IPTL na jinai nyingine.
Pili, waliofuatilia ‘vita’ dhidi ya ujangili chini ya Operesheni Tokomeza Ujangili, wanaweza kukubaliana na madai ya Msigwa kuwa serikali inawajua majangili wakubwa ambao wengi wamo serikalini humo humo.
Kimsingi, kilichofanyika wakati wa ‘Operesheni’ hii ni kuivuruga ili kupata kisingizio cha kuachana nayo kutokana na kuelekea kuwaumbua wakubwa wanaofaidika na jinai hii.
Hivyo, badala ya kufuata taratibu, polisi na jeshi walioamriwa kutekeleza operesheni hii walivuruga na kuvunja haki za binadamu makusudi ili itokee sababu ya kusitisha zoezi ambalo lilikuwa linaelekea kuwaumbua wengi.
Hata hivyo, wengi walishangaa kuona eti mawaziri wanne wanawajibishwa kutokana na kuvunja haki za binadamu wakati Tanzania haina rekodi ya kujali wala kusimamia haki za binadamu.
Nani mara hii kasahau, mfano, jeshi hilo hilo la polisi linalosifika kwa kuua watu wasio na hatia kila mwaka hakuna mkuu wala polisi aliyewahi kuwajibishwa?
Nani amesahau matukio ya juzi juzi ambako mwandishi wa habari, Daud Mwangosi, aliuawa na polisi na Mkuu wa Polisi wa Mkoa, Michael Kamuhanda, aliyesimamia mauaji haya alipandishwa cheo na si kuwajibishwa? Haya mapenzi ya haki za binadamu yameanza lini kama si kutaka kukwepa kuwaumbua vigogo?
Tatu, wanaojua tabia ya Rais Kikwete na serikali yake ya kulinda na kushiriki ufisadi, hawashangai kusikia shutuma za Msigwa. Rejea alivyowaaminisha Watanzania kuwa anazo orodha za majina ya wauza unga, wala rushwa, majambazi hata vidokozi bandarini na asiwachukulie hatua.
Hivyo, kwa wanaomjua Kikwete na jinsi alivyoingia madarakani akishutumiwa kutumia pesa iliyokwapuliwa kwenye fuko la madeni ya nje la EPA, hawashangai kuona anavyofumbia macho jinai hii kwa vile anaweza kuwa mnufaika kama si yeye basi watu wake.
Msigwa anasema wazi kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amekuwa mlalamikaji. Ni kweli. Kwanini asilalamike iwapo ameshuhudia yaliyompata aliyemtangulia, Khamis Kagasheki, ambaye alikuwa bosi wake?
Kwanini asigwaye iwapo yeye amenusurika kutokana na ukaribu wake na Kikwete? Kwanini asigwaye iwapo anajua fika kuwa ukigusa masilahi ya wasioguswa unaondoka wewe?
Kwanini asigwaye na hii “none sense, crap and malicious” kwa kuazima maneno ya Salva Rweyemamu, mpambe wa Kikwete, iwapo wanaopaswa kuhusika wanafanya nonsense, crap and malicious politics kwenye masilahi ya taifa?
Wengi wanashangaa upotezaji wa muda na fedha ya wananchi kwenda eti London kuhudhuria mkutano wa kuzuia ujangili wakati ujangili anaufuga yeye.
Hebu muulize Kikwete wale waliosafirisha wanyama hai kupitia Uwanja wa Ndege wa Kia Novemba 24, 2010 ambapo ndege ya kijeshi ya Qatar ilifanikiwa kutorosha wanyama mbalimbali 130 tena wengi wao wakiwa hai na wakubwa kama vile twiga wamefanywa nini?
Wengi wanashangaa serikali yenye vyombo vya ulinzi na upelelezi kutoweza kugundua wala kushughulikia jinai hii. Hii maana yake ni kwamba serikali ama haipo au inahusika.
Ukiachana na hili la kutorosha wanyama hai mchana kweupe, hivi karibuni kumetokea matukio ambapo raia wa kigeni hasa kutoka Uchina walikamatwa na pembe za ndovu nyingi tu.
Ajabu majangili hawa wanaingia nchini kama wawekezaji kumbe lengo si uwekezaji bali ujangili na bado wanalindwa na serikali hii inayosifika kulala kitanda kimoja na wahalifu.
Nani mara hii amesahau jinsi wawekezaji wanavyoiba madini yetu na serikali isifanye lolote kutokana na wale aliowataja Msigwa kuwa nyuma ya jinai hii?
Baada ya pembe za faru na ndovu kuwa na soko sawa na madini, wahalifu hawa wameamua wajiongezee kipato kwa kumaliza wanyama wetu.
Tukiondoa utegemezi kwa wakoloni ambao hata hivyo wana sifa moja kuwa walikuja wakatuibia lakini wakatubakishia kile ambacho tunajiibia na kukimaliza, suluhu ya kupambana na ujangili iko Ikulu na si London.
Tembo na faru hawawezi kuuawa Tanzania suluhu ikapatikana London. Wanaotaka kuokoa faru na tembo wamwambie Kikwete aache kuwalinda wale aliowataja Mchungaji Msigwa vinginevyo kinachoendelea ni danganya toto na usanii kama kupambana na mihadarati na ufisadi. Ujangili ni aina fulani ya ufisadi pia.
Chanzo: Tanzania Daima Feb. 19, 2014. 

Unacheza na Bongolala land nini?

Politicians shrewdly and corruptly own a half of Kenya.

$
0
0

      Recent report has it that Kenya's political class especially the founders and some Asians own over 50% of  wealth owned Kenyans individual. Interestingly, the families of former presidents and their vice presidents feature high on the list. 
     Big names such as Kenyatta, Moi, Saitoti, Odinga, Nyachae, Karume and others make the list of super-rich Kenyan politicians.              Ironically, the said report does not tell whether the said wealth was either obtained legally or irregularly. This is Kenya that likes to call itself the East Africa's economic power house whose big percentage of common bin-Adams don't have land while the ruling class owns almost everything.
For more info CLICK HERE.

Huyu kweli bado ana mawazo mapya katiba mpya au njaa tu?

$
0
0











                        
Mjumbe wa bunge la katiba John Cheyo akisaidiwa kupanda ngazi kuingia ukumbini. Siamini kama vikongwe kama Kingunge Ngombale Mwiru, Augustine Lyatonga Mrema na wale wanaoingia mle kuganga njaa zao wana jipya zaidi ya kuturudisha nyuma kwa upogo na njaa zao. Katiba mpya ni ya kizazi kipya inayotaka watu wapya wenye mawazo mapya na si wanganga njaa na ukale na mawazo mgando yao.

Choose Berlin-sired States or EAC

$
0
0
  1. ... Collection Galleries World Map App Garden Camera Finder Flickr Blog
East African Community’s currently undergoing many changes such as monetary union, infrastructural upgrading and attracting new members such as South Sudan. Undergoing some changes is a very good thing if basics and reality are faced. Again, looking at a slow pace "True" change is taking, it is obvious that members seem not to be serious about the whole exercise of ushering True change which mean in this case, true and whole unification of the region. EAC's like an active volcano. Sometimes, it is heard rumbling so as to hear its tremors.  This is a time EAC is on the news. Sometimes, it is quite as if nothing's going on. However, this can be taken as a natural phenomenon for everything; the truth tells a different story.
Many east "Africans" are ready for a full-fledged union will it truly mean union not political hanky- panky as it currently is whereby every member's scheming for securing its interests. For instance, when Tanzanians were asked what they’d like about the union, they said categorically that they’d like a slow-but-sure union in which their interests are assured and protected. This, to me, didn't't’t augur well after noticing that in this union every country's trying to safeguard and protect what it calls its interests however short or long time, overt or covert and elusive they might be. Wow! Is there any marriage with separate interests?
When it comes to “safeguarding” interests, the concept of equality, union and sometimes fairness vanishes. For instance, Tanzanians want their country to be recognized as a pillar of EAC simply because she's much to offer in terms of resources and land compared to others.  If anything, considering the size of the country helps what colonial dividers wanted to achieve when they created such tiny countries like Burundi and Rwanda. I wonder. Why’d we have smaller countries the size of some districts in bigger countries whereby we can have one solid and big country? And surely, such a move will eventuate in a very healthy and solidified country in which nobody fears that another will steal and invest in his or her country.  If you want to slay and destroy the US, for instance, divide it into small states or countries like Africa is. Put it this way. If the US were to be divided like Africa, her economic clout would be history. For, it'd spend a lot on military to feed its fear of the neighbour who are now in the same territory known as the USA.
Further, by having their individual interests, EAC members prove that they’d like to use each other instead of working together for a common goal. This can’t work.  Sticking on their interests encourages division among the people based on who’s what and what size. And this is logical. Who wants to lose to another? This is why Tanzania’s always been seen as an obstacle to the union.
I, for one, have been a staunch advocate for a single unitary entity that‘s EAC. I say. Demolish the borders and abolish the presidency. I’d like to see the current presidents hit the road to give room for one president of united East Africa. Without unifying the region to the tune of what it was at the time prior to 1884, all we are trying to do is like feeding a black hole. Why’s it difficult to think as one nation instead of thinking like colonial-sired small states we currently have and cling unto? Aren't we serving our colonial masters’ ploy-cum-agenda of weakening us by dividing us into tiny, and now independent, states so as to easily rule or exploit us?  Why can’t we see that the perceived insecurity between and among states is the result of this division?  Such fear helps arms-producing countries which are mostly the same that colonized us to sell even more arms to us so that we either butcher one another or waste a lot of time and money on feeding our pseudo fears. If Africa were a single country, the money that’s been spent on arms and wars since independence would boost its economy a great deal more. How many armies does Africa have currently? How much money do African countries spend on arms for the mere fear of their neighbouring Africans?
It is sad to note that our rulers encourage us to think like or as Tanzanians, Ugandans, Kenyans and whatnot so that they can keep their presidency while we actually lose a lot. To add salt to injuries, the same rulers are ruining our countries by blessing and embracing corruption and other vices. The Swahili sage has it, “Mficha uchi hazai,” which can be translated as “One who hides private parts won’t get a child or reproduce.”
Although it may seem as being cynical to say that our rulers are acting like colonial masters to us simply because they’re using our borders to maintain their presidency, if our people need to be united why’d our rulers refuse them to do so by clinging unto power? This is why I always know there are two conflictual forces as far as EAC is concerned namely the people who want to unite and the rulers who don’t.
Ironically, whenever we talk about union we trust the same guys who go there to make sure that their power is not touched.
Time to tell our rulers that we’re tired of their manipulations is now. I once said that I don’t see any logic for Kenyan Masai to carry a passport when visiting another Masai in Tanzania. This is worse than how it was under colonial masters due to the fact that they didn't allow us to think as one. They wanted us divided so that they can easily rule and exploit us.  Now that we’re independent, why are we still feeding on the same anathema of divide and rule?
In sum, if we want a baby which is a True union, we’d all remove our clothes namely the borders and the presidency.  Failure to do so for fear of exposing our nudity should not be allowed to waste the precious time and resources for our people. Let’s everybody go solo under whatever entity be it CoW, GOAT (Great Overall Autonomous Territory) or whatever. Are our rulers ready to remove their dresses?
Verily, it is time to demolish Berlin-sired States in Africa. And this time's now.
Source: Business Times Feb., 21, 2014.

Mlevi kuanzisha jeshi la kupambana na Jinai

$
0
0
Seriously, nilikuwa nchini Mexico juzi ambapo nilialikwa na rais wa nchi hiyo kumpa ushauri kuhusiana na jinsi ya kuboresha jeshi lake la Sungusungu la kupambana na wauza bwimbwi. Je ni kwanini aliamua kuniita? Alisema ni kwa sababu baada ya kusoma mojawapo ya vitu vyangu alipata wazo la kunialika hasa baada ya kuambiwa na mmoja wa waanzilishi wa Sungusungu wa kupambana na wauza bwimbwi kusema alipata wazo hilo toka kwenye makala yangu mojawapo.
Huwezi kuamini kuwa nilikuwa nimeishasahau kutokana na kuwa na mitikasi mingi ya kufanya. Si unajua tena mashine kubwa lazima ifikiri na kuchemka kama haina akili nzuri. Hata hivyo, nilifarijika kugundua kuwa kuna watu wanafuatilia ushauri wangu hata kama walengwa wangu wa Bongolalaland wanasoma na kusonya huku wakiendelea na business ya kuuza bwimbwi as usual. Hata hivyo, wakae wakijua kuwa kiama chao kinakuja kama walevi watanielewa na kuamua kujikomboa.
Hali ilikuwa mbaya sana hasa katika jimbo la Michoacan ambako nilishuhudia wakuu wa magenge ya kijinai wakikamatwa na kunyotelewa roho mchana kweupe. Hata ndata waliokuwa wakila nao baada ya kugundua kuwa walevi wanaweza kuwachenchia kibao, walilazimika kujiunga na sungusungu hawa waliozaliwa na wazo langu. Maana kushuhudia watu wakiuawa kupigwa au kutozwa pesa ili kuendesha maisha yao ya kawaida kulikokuwa kukifanywa na magenge ya wauza unga ilikuwa jambo la kawaida. Baada ya wananchi kuchoshwa na uonevu na unyama huu, waliamua kufuata ushauri wangu. Hivyo, hata walevi kujikomboa kutokana na kutenzwa kinyama na magenge ya kiharifu kama vile ndata, wauza bwimbwi, sirikali na manyang’au wengine lazima kukomeshwa mara moja.
Baada ya kutoa muhtasari wa kwanini nataka kuanzisha Jeshi la Kupambana na Jinai kwa kikameruni Force Against Crimes in Tanzia (FACT). Tofauti na wenzetu wa Mexico, sisi tutapanua wigo na kupambana na wauza bwimbwi, mafisadi, walioghushi, wala rushwa, vyangudoa wa kila aina kuanzia wa kimaadili hadi wa siasa.
Kwa vile wanaouza bwimbwi, kupokea rushwa, mafisadi, walioghushi na hata wanaofanya usharmuta wa kila aina wanajulikana, FACT itakuwa ikivamia makazi yao na kuwakamata na kuwapa kichapo kabla ya kupitisha hukumu ya umma kama wanavyofanya kule Mexico.
Najua wengi wanaweza kuchukulia wazo hili kama la kilevi na lisilowezekana.  Kwa vile kwetu wameshindwa hivyo lazima tuwasaidie. Tuna hakika tutafanikiwa kwenye vita hii ya kuikomboa na kuigomboa kaya toka kwenye mikono ya waovu hata kama baadhi yao wana maulaji na mamlaka. Sisi hatutabakisha kitu. Tutapambana na yeyote kumuonyesha kuwa kaya hii ni ya walevi na si ya watenda jinai.
Je unajua ni kwanini watendaji wako wameshindwa? Rushwa rushwa ndugu zanguni. Mijitu imehongwa kiasi cha kukamatwa mateka. Hamkusikia wale waliojitapa kuwa wana orodha ya watenda jinai wote kuanzia wauza bwimbwi, mafisadi, wala rushwa na hata majambazi lakini wakashindwa kuwashughulikia? Sasa tunasema bila kumung’unya maneno kuwa naye tutamwendea atupe sababu nuzuhu za kutowashughulikia hao waharifu kama si wenzake. Hatutaangalia mtu usoni wala kujali cheo na hadhi ya mtu. Lazima kuikomboa kaya toka kwenye mikono michafu ya magenge ya kijambazi.
Najua mtauliza: Je wanafaidika vipi? Si wanakatiwa na kukatiana vitu na uchache huku wakiuacha umma wa walevi uteketee huku wao wakipeta na kuwa mabilionea bin vuu. Sasa muda wa kuendelea kutumiana, kulana na kuuza umekwisha. Lazima walevi wachukue hatua mujarabu.
Kwa vile wale walioaminiwa madaraka wameyachezea au kufanya kile ambacho wakameruni huita to sleep on the wheel, walevi kujichukua hatamu na kukomboa kaya yao. Lazima kuondoa huu wendawazimu ambapo kaya imechafuliwa kiasi cha kukosa hata maana. Hebu fikiria, kwa mfano, washenzi wanaua elimu kwa vile wanasomesha vitegemezi vyao nje na kujenga taifa la wajinga. Je namna hii tutafika? Heri walevi tuingilie kati maana ulevi ni bora kuliko ujinga ingawa na ulevi wenyewe unategemea. Hatuwezi kuendelea kushuhudia elimu yetu ikizama huku sirikali yetu ikijaa vihiyo walioghushi wanaotuuza kwa wachukuaji. Lazima tufanye kitu na kitu chenyewe ni kupitia harakati za FACT kuwanasa na kuwapatiliza wote walioleta balaa na zahma hii.
Hatuwezi kuvumilia kuona mijitu vihiyo mafala na majambazi ikitukoga kwa utajiri ambao ni matokeo ya jinai tena dhidi ya walevi. No. It can’t be us. We’ll fight too see to it that we emancipate ourselves so as to see true manumission of Bin-Adam even if we are boozers. In fact, FACT is there to bring about some real and desired changes in Danganyika. I promise. FACT’ll take thugs’ crown away just soon.
Hatuwezi kuacha mambo kuendelea kienyeji na kijambazi kama yalivyo. Hakuna kilichoniacha hoi kama juzi tu kikundi cha vitoto kiitwacho Mbwa Mwitu kuwatoa jasho. Tukio jingine ni lile la muuaji wa halaiki wa kule kwa akina Mura Mwita aliyenyotoa roho walevi zaidi ya kumi bila kudedishwa. Angekuwa amepambana na FACT angeishakuwa past tense zamani gani. Tunataka kuwaonyesha hawa wapuuzi wanaochezea ulaji jinsi warume tunavyofikiri na kutenda. Tunataka tuwaonyeshe tusivyofikiri kwa massaburi kama wao. Sisi ni vichwa wala si massaburi kama wao. We’ll show them what it means to be thinkers who use kanywaji to warm their brains up. Leo jamani tuvumiliane kwa kuongea sana ukameruni. Ni kutokana na hangover niliyoipata pale Heathrow wakati nikirejea zangu toka Mexico. Hamuoni wale wanaorejea na hangovers kutoka Jersey, Uswisi na nchi nyingine wanakoficha njuluku wanavyoiba zaidi na zaidi kiasi cha kaya kuanza kuwa na mabilionea wezi watupu? Hivi kweli mbunge Kwa mfano, anaweza kuwa bilionea bila kuiba kwa kutumia uishiwa wake? Waulize akina Roast Tamu La Aziz na Mooooo Dewiiiiji. Wanaitwa mabilionea wakati ukweli siyo bali wasanii wanaotumia mfumo wetu mbovu na uongozi mfu na uchwara ambao lazima FACT iukomeshe. Moody Madabidabi uko na utapeli wako wa kuuza ARvS feki?
Habari ndiyo hiyo washikaji.
Chanzo:Nipashe Jumamosi Feb., 22, 2014.

Ukraine: Nguvu ya umma yamng'oa rais

$
0
0
... Tymoshenko – Letter to Ukranian President Viktor Yanukovych | News
Sasa si gumzo wala majungu. Viktor Yanukovych's aliyekuwa rais wa Ukraine ameangushwa na umma. Hii ni baada ya kukumbwa na maandamano ya zaidi ya miezi mitatu. Yanukovych alipatwa na yaliyomkuta baada ya kupinga juhudi za Ukraine kujiunga na jumuia ya Ulaya (EU). Pamoja na msimamo wake mkali akiungwa mkono na Urusi, Yanukovych alijikuta akipinguduliwa kutokana na mapigo mawili moja likiwa ni bunge kupiga kura ya kumuondoa madarakani na pili waandamanaji kuendelea kukaa mitaani pamoja na baridi kali kwa zaidi ya miezi mitatu. Msumari wa mwisho kwenye geneza la Yanukovych kisiasa ulipigwa baada ya kuachiwa kwa hasimu wake mkuu waziri mkuu wa zamani Yulia Tymoshenko aliyewashukuru wananachi kwa kuleta mabadiliko na kuomba wasiondoke mitaani hadi kieleweke zaidi.

Be serious this time Prof Tiba-Ijuka?

$
0
0











          























I’m sure Prof Ann Kajuamlo Tiba-ijuka, minister of Hekalus, Mbavu za Dog, Lands and Heavens  knows me. I know. You read my stuff not once or twice. I’m also sure. You know that boozers and I take seriously whatever you say. So too, you verily know that we love you so much so that we offer you our free nuggets of wisdom whenever you need them.
Good prof, you said recently that you’re going to demolish all buildings in open spaces and other grabbed lands.  Tawile! Well done big girl shall you live up to your words. If you don’t bring down those mijengos, beware. I’ll commit suicide. Given that you love and value me, you’ll live up to your words to save my precious life even if I'm a boozer.
You said that you’ll take on land grabbers mercilessly. Boozers are waiting anxiously to see how you’ll take on bigwigs such as Gettie Rwakaterehe and others with villas and castles in posh areas such Masaki, Upanga, Mikocheni, Msasani, Mbezi Beach and elsewhere. Guess what. When you fulfill your promise, true, we’ll invite you for kanywaji so as to show the world that you’re not done politically. We’ll shame your detractors who think you’re but a political cadaver if not a casualty.
Given that I've been reminding you to bring down the uhindini ghorofa to no avail, now hopefully, you’ll bring this killer building down just soon. Given that you've discovered how fat land grabbers use our courts to frustrate your efforts, we encourage you to stand your ground and see to it that no bin-Adam is stopping you however big or powerful that person is. I know. You know. Our hunk is now a laughing stock almost in everything. Did you hear how poachers killed our elephants and rhinos while those supposed to apprehend them end up complaining?  You know how our airports have become harbours of illegal trades in drugs, ivory, minerals and whatnot. I know you. You've nary become a person that complains. I also know that you know what transpired when a good Dr. Harry Mwakiembe boasted that he’d take on drug barons who ended up taking him down shamelessly as he vanished shamefully.
Good prof, you’re quoted recently as saying that you erected billboards notifying people who built in open areas to demolish their houses to no avail.  You went ahead chest beating saying that you’ll demolish those buildings and those who said you’re done politically should take a note that you’re not done yet. Bravo big girl.
You added “We will demolish houses I've seen in Mbezi areas and others without looking at the face of a person. We won’t waste time with those with fake title deeds. Instead we will  meet with before the court after demolishing.”
Such words are bold and encouraging if you'll live up to your promises. After all, boozers are tired of empty promises. They’d like to see you swing into actions.
Great prof, I need to warn you. Before you swing into actions make sure that the cops you’re going to use are not beating people up. If they do, your operation will end up a cropper just like Operesheni Tukuza Ujangili. You know what befell four ministers. Some gossipers in boozing circles are saying that the bigwigs were booted out not just because they violated Bin-Adam’s rights. Nay! The gossipers say that the guys were shown the door for trying to take on untouchable who happen to be connected. As one paper in the land of Brits put it, poachers are protected by powerful people who also happen to be their conspirators and biz partners. I don't mean your boss. Spare me.
So big girl, when you start taking on those land thieves aka land grabbers try to avoid all traps aimed at halting your noble cause for our hunk if you mean what you said and said what you mean. Again, though you broke my heart when you swore to bring down the ugabacholini building and failed, I still trust you. I understand. There are general elections next year. Watch your steps. Some party bigwigs could descend on you saying that if you demolish those buildings those owning them won’t give your outfit votes. Yeah! This once happened a few years ago when matching guys and those who live in  informal dwellings especially in Jangwani  marshlands were supposed to be moved forcefully. Again, given that such a move was to take place close to general elections, those who wanted to purge mabondeni dwellers were stopped for the same reasons, votes for Numero Uno. You know what I mean.
Great profwessor, thank your lucky stars I heard another minister who answers to the name Bin Lithmus Mahenge saying that he, too, will expel all top dogs who erected their infamous hekalus on our beaches. Team up with him and show those sons and daughter of the hell the heck. Usikubali kuingiliwa dear.
Source: The Guardian Feb., 23, 2014.

Hold your horses Jake Kiquette

$
0
0
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBI RAMBI KUFUATIA KIFO CHA PADRI MUSHI ...

           I evidenced Presider Jake Kiquette who always smiles and laughs even at the time one’d not dare to, being turned into a spitfire. During opening the National Executive Committee of his outfit in Dom the guy shocked many especially the message he put across. Wrinkles on his face, speaking in tongues and parables, he moaned, “Unyonge basi.” His displeasure sated by hard times ahead for his outfit, Chama cha Mapi (CcM) plus being blooded by one Brit paper that enjoined him with poachers alleging are his friends, the man had all reasons to breathe embers. His first step’s to paint opponents with the same brush accusing them of being quarrelsome.
 Vomiting vile or saliva’s one’s choice. Again, when it comes to fabricating things, nobody’s at liberty to do it. For, it hurts others. The good man said that the opponents are belligerent and chaotic while actually this might mean opposite.  Although Kiquette’s regime has always wanted to level the opponents off, it needs to use scientific and reasonable means instead of lies and far-fetched things such as calling them names.
The great man’s quoted as saying,“Let’s us not be afraid…let you journalists leave all the news, but say this…we won’t be cowed…patience has its end. “Wow! Did he mean that boozers’ patience of evidencing all messes aka madudu his outfit’s always made should come to a grinding halt? If this is what he meant, kudos.  Did he mean that boozers shouldn't be afraid to task him to come clean on allegations by a Brit paper that said he’s in bed with poachers? Does it mean that when he went to London to campaign for  the "abolition" of ivory trade he’s shedding cloc’s tears? Such damning allegations forced one fyatu Silvia Rweyemaaamu to surface and mount weak and skinny defense  that left us in shock especially when he pointlessly said that allegations that the doctor who cloned him has a soft spot in fighting poaching is “none sense, crap and malicious” without knowing that he’s trying to jump a smoking gun. He very well knows. Media especially international ones don’t jump on drawing conclusion without having all fact  rightly abreast. What he ended up doing’s just paint the wind and please his boss who’s not a savvy as far as media is concerned. This Nshomile who happen to be a scribe that betrayed the trade uses massaburis to think more than anything. I’m not trying to belittle him. Since he devoured his own vomits for the sake of being where he’s, I've nary forgiven him. Such ethical prostitution will piss off anybody who cares about ethics so to speak.
If I were present at that face-the-media pub, I’d have asked him how he feels to be used like a diaper. I’d have added to ask if he reads the articles he wrote before he became a tool in somebody’s hands.
Again, if Jake meant to order cops to kill like they did in Arusha, this is unacceptable. If he means to unleash death squad which butchered Daud Mwangosi, it is sad and megalomaniac. Who wants to see Mike Kamuhanda being promoted just for felling other boozers?
After CcM became a grotesque caricature of its giant and energetic former self, it seems, it’s decided to die with others. Who’d think that such old outfit would become so bankrupt that it relies on archaic and bush tricks such as using cops to humiliate, kill and demonize opponents so as to carry the day? While this goes on chakachuazation, tops up in the game. Is this that Kiquette wants boozers to be tired of? If this is what he meant, he said the right thing. But if he meant his sycophants, ala Rweyemaamu, should go and attack opponents, he’s but bankrupt as he once accused others of.
 One thing boozers are asking themselves is: Suppose you’re given gold on the silver platter, will you take the gold and throw the platter away or keep both? Some stupid beings will take the platter and throw the gold away. Now that Jake told us not to be afraid, why should we? We need to question everybody and everything in our hunk even if we’re not the members or sycophants of his outfit. We need to not be afraid even if it means to turn tables against the man himself.
When Jake spat embers boozers met at their swallowing joint to discuss his move. One fyatu wondered why Jake’s nary been as furious as he was when evil things such as smuggling our animals are done. He went on questioning Jake’s silence about many things such as EPA, Richmonduli, Meremeta, Mwananchi Gold and other stinking scams. While we mused about this challenge one boozer decided to give us an answer. He said that Jake has nary taken on those who committed this sacrilege.  After all, those scams mentioned were conceived and executed simply because those behind them were untouchable that nobody should touch.
Jake was right. Boozers won’t be cowed. So too, they’re not afraid of taking on those robbing them just like those who are afraid of them so as to complain.
Source: ThisDay Feb., 24, 2014.

Kufungwa mtoto wa rais faida ya kuchagua upinzani

$
0
0
Taarifa za kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili kwa mwana wa aliyekuwa rais wa Zambia Rupiah Banda aitwaye Andrew (53) ni faraja kwa wanaochukia ufisadi na utawala wa kifamilia ambapo madaraka ya mtu mmoja hutegemewa na kutumiwa na ukoo mzima.
Andrew Banda alifungwa kwa kosa la kutumia madaraka ya baba yake na kujipatia rushwa ya mamilioni ya shilingi toka kwenye kampuni moja ya ujenzi ya kitaliano. Je kwanini tukio lililotokea Zambia livute hisia za wengine nje ya nchi? Jibu ni rahisi kuwa kutokana na utawala wa kifisadi kutamalaki ambapo watoto au wake wa marais nao hugeuka marais wadogo na kujipatia utajiri wa haraka kwa njia haramu, kusikia kuwa mmoja wao hata kama ni kutoka nchi nyingine ni ushindi wa aina yake.
Zambia imekuwa mbele kwenye suala la utawala bora na demokrasia. ni nchini Zambia ambako mke wa rais amewahi kuhukumiwa kifungo na akafungwa kweli. Hii ilitokea mnamo Machi 3, 2009 ambapo Regina Chiluba mke wa rais wa zamani Fredrick Chiluba alihukumiwa kifungo cha miaka mitatu na nusu kutokana na kutumia madaraka ya mumewe kujipatia mali kinyume cha sheria. Je Afrika inao akina Andrew na Regina wangapi ambao hawajafikishwa mbele ya haki? Tunawaona wakituibia au kutumia ofisi zetu kujipatia utajiri kupitia NGO na biashara za ajabu ajabu kama kuwatumia makuwadi wao kununua mashirika ya umma kwa bei ya kutupwa kama ilivyotokea hivi karibuni kwenye kashfa ya uuzaji wa kutupwa wa UDA ambao nyuma yake  kuna mtoto wa mkubwa fulani ambaye ikifika wakati wa kumtaja tutamuanika. Kinachokera ni kushuhudia wezi hawa na makuwadi wao wakitukoga hata wakati mwingine kutunyanyasa, na kutudhulumu hata baada ya kutuibia kama umma.
Wakati Andrew Banda akifungwa kwa kujipatia $ 63,000, Regina alikuwa amejipatia dola 300,000. Hii ni rushwa moja. Je ni rushwa kiasi gani ambayo haikufichuka?
Kitu kinachovutia na cha kuigwa mfano ni namna mamlaka zilivyogundua ufisadi wa Andrew. Alikutwa akiwa na dola 63,000 kwenye akaunti yake. Alipotakiwa aeleze alivyozipata alishindwa na hivyo mahakama kuhitimisha kuwa alizipata kihalifu. Hivyo, ikaamua kumkuta na hatia. Je watoto na wake wa watawala wa nchi kama yetu inayosifika kwa uwekezaji wa kijambazi wana akaunti nono kiasi gani? Je tunaweza kuwakamata vipi? Jibu ni rahisi. Chagua upinzani kila kitu kitafichuka. Zambia haikupiga hatua hii ya kupigiwa mfano kwa ujanja zaidi ya kuwa na serikali ya upinzani madarakani. Tumeyaona kama haya nchini Malawi hata kama hayakufikia ukubwa wa Zambia.
Hivyo, njia rahisi kwa watanzania kupambana na kizazi cha kijambazi kitokanacho na ndugu na jamaa wa wakubwa kutumia nafasi zao kuibia umma ni kuondoa chama tawala madarakani ili kila kitu kifumuliwe upya. Tumekuwa tukilalamikia kashfa kama EPA, Richmond, Kiwira na nyingine nyingi. Uking’atua CCM kila kitu kinakuwa wazi na wale waliojiona hawawezi kunyea debe wanajikuta gerezani. Najua watanzania wengi wanakasirishwa na wizi wa kilafi na kiroho mbaya ambapo wengi wa wanaoiba hawaibii shida bali roho mbaya na tabia mbaya.   Haiwezekani umaskini uendelee kuongezeka huku genge la majambazi likiwashika matake taifa na kusiwepo na harakati za kukomesha jinai hii. Sasa ni juu ya watanzania kujilaumu kutokana na kutopenda mabadiliko. Bila kubadilika na kubadili utawala uliopo wengi watazidi kuumia. Tukichagua upinzani kashfa zote kama zile za kuficha fedha nje, mihadarati, mikataba ya kijambazi na uwekezaji wa kiwizi vyote vinafumliwa na haki inatendeka. lakini kama tutaendelea kuchagua status quo pro quo itakuwa ni kuteseka sana na sana huku wahalifu na mafala waliopata ukwasi si kwa ujanja wao bali vyeo vya baba zao au waume na jamaa zao wataendelea kututambia kwa chumo la wizi utokanao na pesa yetu wenyewe. Mafala watatugeuza mafala kiasi cha wao kuonekana wajanja wakati ni wahalifu wa kawaida tu.
Andrew kabla ya kukutwa na hatia alikuwa anatumbua na kuonekana mjanja wakati ni mhalifu wa kawaida.kabla ya Regina kupatikana na hatia alikuwa akiabudiwa kama first lady wakati ni mwizi wa kawaida tu. Tutaendelea na utawala wa kijambazi hadi lini? Tumezidiwa na wakoloni ambapo mke wa gavana wa kikoloni wala wanae hawakuwa magavana wadogo wala wabia wa wahalifu waliowatumia kama makuwadi wao!
Kwa umri wa Andrew ni aibu kumtegemea baba yake wakati ni mtu mzima mwenye akili anayepaswa kujitegemea. Wenzetu ni wa kweli kwao binafsi na wale wanaowaongoza. Mfano mwingine ni wa Hilary Clinton. Alipokuwa first lady wala hakutumia madaraka ya mumewe ingawa alikuwa akipenda madaraka. Baada ya muwe kumaliza muda wake, Hilary aliamua kujaribu kugombea urais na kushindwa. Hata hivyo, alijijengea heshima kuwa hakutumia madaraka ya mumewe kutimiza malengo yake ya kisiasa kama wanavyofanya wake za watawala dhalimu na fisadi. Hilary hakuiba hata dime moja ya wamarekani. Hakuanzisha NGO wala binti yao Chalsea hakutanua na kuiba kwa jina la baba wala mama sawa na wengi tunaoshuhdia.
Tumalizie kwa kuwahimiza watanzania kuchagua mageuzi ili kuondoa mfumo mbovu uliotamalaki wa kuhudumiana ambapo utawala unageuka mali ya ukoo ambao nao unageuza taifa kuwa shamba la bibi. Tukichagua upinzani tutaweza kuwakomesha akina Andrew na Regina wetu kiasi cha kurejesha heshima na maadili katika utumishi wa umma. Hatuwezi kuendelea na mazoea mabovu yaliyopo ambapo wachache wananufaika kwa kuuibia umma. Lazima tuwajibishane na wakati wenyewe ni huu.
Chanzo: Dira Feb., 2014.

Ukuaji wa uchumi unapokuza umaskini

$
0
0
 
         Juzi nilifurahi sambamba na kuchukia. Ni pale runinga ya Afrika Kusini ilipoonyesha kuwa uchumi wa Tanzania utakuwa kwa kasi kuliko chumi zote duniani miaka michache ijayo. Baada ya kuona hili nilianza kuangalia uzuri na ubaya wa kukua uchumi kwa kasi kwenye taifa linaloongozwa kifisadi. Je uchumi wetu utakapokuwa nani atafaidi kati ya wananchi na makuwadi wa wawekezaji ambao wamehakikisha kila kitu kinawanufaisha wao na mabwana zao? Rejea kugundulia utitiri wa madini ambao matokeo yake ni utitiri wa mashimo na kashfa kiasi cha kuwaacha watu wetu maskini na wakimbizi kwenye nchi yao. Nani amesahau mauaji ya watu wasio na hatia kule Mara kwa kosa la kukatisha kwenye mgodi? Nani amesahau magonjwa ya hatari yanayowasumbua wakazi wa huko huko Mara ambao kemikali zimenyiririshwa kwenye vyanzo vyao vya maji?
          Je kuna haya ya walalahoi kushangilia habari hii au kuomboleza kwani kukua kwa uchumi wa Tanzania kwao ni chachu ya kukua kwa umaskini? Hivi unategemea nini toka kwenye nchi inayogawa raslimali zake bure au kuharibu mali za umma kama vile kuuza mashirika ya umma kwa bei ya kutupwa kama ilivyotokea kwenye uuzaji wa iliyo kuwa Kampuni ya Usafiri Dar es salaam (UDA), NBC na mashirika mengi?
           Taarifa za ukuaji wa uchumi wa Tanzania zilizotolewa mwaka 2012 na Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Morrice Oyuke zilionyesha kuwa uchumi wa Tanzania ungekuwa kwa asilimia 7.1. Hili ni jambo la kujivunia. Kinachogomba ni kwamba huyu mtakwimu hakueleza ni kiasi gani umaskini utakuwa. Wapo waliosema kuwa umaskini ungeongezeka kwa asilimia 5 na ushei sambamba na ukuaji huu. Je hii inatoa picha gani? Wapo wanaoona kama takwimu tunazoletewa ni za ungo wa kawaida. Na hii inaweza kuwa kweli hasa tukizingatia jinsi takwimu zinavyoweza kuficha ukweli kama alivyowahi kusema, Joel Best kwenye kitabu chake cha Damned lies and statistics, “Mujumuisho ni hatua muhimu katika kufikiri kitakwimu. Mara chache twaweza kuhesabu matukio haya yote ya kijamii. Badala yake, tunakusanya baadhi ya ushahidi kutokana na sampli na kutoa hitimisho la jumla,” (uk.6). Sambamba na hili Benjamin Disraeli (1804–1881) waziri mkuu wa Uingiereza aliwahi kusema, “There are three kinds of lies: lies, damned lies, and statistics.” Hatuna tafsiri ya nukuu hii.  Pamoja na kwamba si takwimu zote zinaficha uongo, kuna haja ya kuwa makini na takwimu hasa katika kuzilinganisha na ukweli halisi.  Kwa wanaojua udhaifu wa takwimu, wanajua ninachoongelea hapa. Takwimu zinaweza kuonyesha picha tofauti na hali halisi kama ilivyo kwenye suala la kukua uchumi wa taifa. Ukitaka kujua uongo wa takwimu hebu nenda vijiji uangalie aina ya maisha wananchi wanayoishi. Huwezi kukuza uchumi kwa takwimu bali uzalishaji na matumizi bora na nidhamu ya pesa na raslimali za umma jambo ambalo ni msamiati mgeni nchini.  Huwezi kukuza uchumi kwa midomo au kisiasa au kwa kupika takwimu. Mwandishi wa makala hii ni muumini wa dhana tofauti na takwimu. Anaamini kuwa ukuaji wa kweli wa uchumi hauelezeki kwa takwimu tu bali unaweza kuelezewa vizuri na wakati maskini wa vijijini au mabandani mijini. Hali za maisha ya makundi haya ya wasio nacho zinaweza kutupa picha nzuri na ya kweli kuhusiana na kukua kwa uchumi. je wanapata huduma bora? Je wanaridhika na mambo yanavyokwenda? je wanashirikishwa kikamilifu? Je wanawezeshwa? je wanapewa taarifa muhimu? je wana welewa wa taarifa husika kiasi cha kuzichambua na kuzifanyia kazi ikiwamo na kuzikubali au kuzikataa? Haya ndiyo mambo ya kuzingatia katika kutoa tafsiri ya kukua kwa uchumi. Je waliotoa taarifa za ukuaji wa uchumi wetu wameyazingatia haya? Jibu ni hapana tena kubwa tu.
          Kwa wanaojua udhaifu wa uwekezaji nchini, bila shaka wanategemea ongezeko la wamachinga wanaojiita wawekezaji toka India, Pakstani, Bangladesh, China na kwingineko. Pia wanategemea utoroshaji wa mtaji na raslimali kuongezeka kutokana na mamlaka zilizopo kupoteza muda kwenye kusaka rushwa badili ya kukusanya mapato na kubana mianya ya kutorosha mitaji na mali za umma. Uliza madini kama Tanzanite yameisaidia nini Tanzania zaidi ya kuwa laana na msaada kwa nchi jirani ya Kenya na India?
          Je uchumi wetu utakuwa kiuchumi au kisiasa? Kwa wanaojua ukuaji wa uchumi wa kisiasa ambao ulielezewa na rais Jakaya Kikwete aliposema kuwa ukiona mitaa yetu finyu imejaa misongamano ujue uchumi umekuwa kiasi cha watanzania wengi kuwa na mikangafu. Tofauti, ukuaji wa kisayansi ni ule unaowezesha nchi kuongeza pato lake na kupunguza utegemezi katika misaada au kuagiza zaidi ya unavyouza. Je Tanzania nchi iliyojaa bidhaa zilizo chini ya viwango kutoka India na China kweli inaweza kuwa na ukuaji wa kujivunia kwa watanzania?
Tujalie kuwa uchumi wetu kweli utakua, je utafua dafu kwenye matumizi mabaya ya kisiasa ambapo tumezalisha mikoa na wilaya nyingi kukidhi mahitaji ya kisiasa badala ya matakwa ya wananchi?  Je ukuaji huu uliotabiriwa utaondoa au kupunguza uombaomba wa nchi yetu ambapo bajeti yetu hutegemea michango ya wafadhili kana kwamba hatukujaliwa raslimali?
Tukifie mahali tuuangalie ukweli kama ulivyo kwa kujitenga na kujipigia debe kisiasa ili wahusika wachaguliwe tena wafanya madudu tena. Swali linalopaswa kuulizwa na kujibia kwa utuo ni: Je uchumi wa Tanzania unapimwa na nani na nini katika ukuaji wake? Je ukuaji, kama upo, unamnufaisha nani na vipi?
Ukuaji wa uchumi unaowaacha nje maskini ambao wanaona umaskini na uduni wa huduma vikiongezeka hauna maana. Watawala wetu wanapaswa kufikiri kabla ya kutuletea takwimu za ajabu ajabu zilizokaa kikampeni zaidi ya sayansi. Je inakuwaje uchumi wa Tanzania unakuwa sambamba na umaskini?
Chanzo: Dira Feb., 2014.

I Love This Stuff

When a clone meets he who cloned it

$
0
0

Ally Hassan Mwinyi, the professor of political embryology is welcomed by his clone, Adam Malima. Mwinyi is credited for having cloned guys like Jakaya Kikwete, Adam Malima, Yusuf Makamba whose son was later cloned by Kikwete and many more suspicious characters in the ulaji in the hunk.

Katiba mpya: Mgosi kwenda na mkewe

$
0
0

BAADA ya kijiwe kufanyiwa mtima nyongo na kuenguliwa kushiriki Bunge la Katiba, mmoja wetu Mgosi Machungi amejipenyeza kama mzee Kimdunge Ngumaru Mwehu aliyepitia chama cha waganga wa jadi. Mgosi Machungi ametuacha hoi kwa kuingia Bunge la Katiba kupitia chama cha wapiga ramli.

Kwa vile Mgosi Machungi anaenda kwenye neema ameishaanza kudengua hata kuotesha kifriji. Anaingia akitembea kama anayecheza kidembwa kama si mdumange.
Haamkui wala nini zaidi ya kuagiza kahawa na kujifanya yuko bize akisoma mnyuzipepa wake wa Danganyana Daima. Si unajua Mswahili akiangukia!
Akiwa amekula jiwe na kujifanya mbukuzi, Mbwa Mwitu anamchokoza akisema: “Mgosi sasa hii kashfa. Yaani unatukuta waheshimiwa kama sisi unajikausha hata huamkui!”
Mgosi anajibu: “Sasa unyonge basi. Ukiendeea kutifatafata titakutoa mpaka tikubindize kabua ya kutoboa mimacho ili kujibu mapigo. Siku hizi sina mchezo. Ukinikera naamuisha wahuni wenzangu. Titakufanyia kitu mbaya kama si ku-Mwangosi au hata ku-Ulimboka.”
Mbwa Mwitu na wanakijiwe hatuna mbavu. Anasema: “Kumbe umekuja na mawazo mfu ya Njaa Kaya kichwani! Ujibu mapigo kwa lipi na unyonge upi wakati sote hapa tunaheshimiana wala hatuibiani wala kuchakachuana kama Njaa Kaya na genge lake dhidi ya wapingaji wake?”
“Usanii sasa basi. Lazima tupate Katiba mpya itakayowabana wezi wakubwa ambao wanaotuibia na kututumia watakavyo. Kila anayekuja anatajirisha ukoo wake na hata waramba makalio yake. Ushenzi na ujambazi huu hadi lini?”  Anachomekea Kapende huku akibwia tangawizi yake kwa madaha. Leo zimemtembelea.  Hanywi kahawa chungu. Hata alivyouramba kwa kuchomekea utadhani limbukeni aitwaye Pedejee!
“Hakuna cha Katiba mpya wala nini.  Ni ulaji kwenda mbele. Mambo yalivyo, wachovu wasipoingia mitaani, wataingizwa mkenge kwa Katiba mbovu kuliko iliyopo kama alivyosema fyatu Living stone Ushindwe hivi karibuni kuwa genge lake limejiandaa kuichakachua Katiba kulinda masilahi yake.” Anazoza mzee Maneno.
Msomi aliyekuwa akibofya ki ipad anakula mic. “Hakuna waliponiacha hoi kutaka eti kumpigia debe fisadi Endelea Chenga kuwa spika wa Bunge la Katiba.  This is nonsense crap and malicious! Hivi ukishakuwa na spika jambazi unategemea uwe na Katiba ya kuweza kuzuia ujambazi, bwimbwi na ujangili wakati mtu wao ndiye ameshika patamu? Hapa naona unafiki na kigeugeu cha Njaa Kaya. Amewaingiza mkenge wachovu kuwa anataka kuwapatia Katiba mpya wakati si kweli.”
Kanji anakwanyua mic na kusoza: “Somi sasa changanya sisi. Tukufu iko taka kuwa na constution zuri. Lazima shukuru yeye hata kama napinga yeye.”
“Wapashe wamezidi hawa.” Anachomekea Sofia Lion aka Kanungaembe.
“Sofia acha kumchomekea Kanji au kwa vile ni mshikaji wako?” anatania Mbwa Mwitu.
Msomi anapuuzia utani na kuamua kujibu mapingo. Anasema: “Tuwe makini tunapowahukumu wengine.  Simhukumu Njaa Kaya bila ushahidi. Hivi kama Kanji anavyodai kuwa alitaka kutupatia katiba bora, iweje ateuwe zaidi ya 75% makada wa genge lake badala ya watu wasio na upande ili haki itendeke? Kwani Katiba ni ya mama yake au genge lake?”
“Du! Hapa umemshika pabaya Njaa Kaya! Kweli haya maigizo. Hukusikia jamaa aliyeteuliwa yeye na mkewe kwenda kufaidi njuluku zetu?” Anachomekea Mchunguliaji.
Mpemba aliyekuwa kimya anaamua kuchangia: “Mie hakuna kitu kilintisha kama watu kujadili jambo moja, yaani Muuungano. Nadhani kama twataka songa mbele basi tuunganishe kaya iwe moja badala ya kuwa na sirikali tatu zitazozidi tuongezea nzigo ati au mwasemaje jamani? Hili la nke mbona kawaida hata Njengoni?”
Mijjinga anaamua kutia guu kwa vile alichelewa kufika kiasi cha kukuta mada ishaanza hivyo akalazimika kuifuatilia kabla ya kutia guu. Anasema: “Ami unfurahisha sana leo wallahi. Ila haya usemayo usiende yasema kule kwenye visiwa. Hujakosea. Watu wawezapeleka hata hawara zao mjengoni na hakuna ubaya.” Anaongea akimuigiza Mpemba ambaye anacheka tu.
Mipawa anachomekea na kusema: “Actuare hapa umeongeaga pwenti. Watu wamekuwa wakijadili muungano hadi wanasahau maulaji ya rahisi, mfumo wa kifisadi, kurejesha maadili, kuondosha madili, kupunguza utitiri wa wilaya na mikoa na madudu mengine kama vile rahisi na wakubwa kutolipa kodi na kutumia vibaya njuluku za wachovu.”
Wakati wengi wakichangia kuhusu Katiba hawakuwa na habari kuwa Mgosi Machungi alishaukwaa ubunge wa Katiba. Hivyo, naye kwa kutambua hili anaamua kutamba. Anasema: “Tisikiizane. Hapa tinapoongea mjue minaongea na mheshimiwa Mgosi Machungi Shemtwashua wa Kiango mbuge asimi wa Bunge la Katiba. Kwanza, nipigieni makofi.”  Kila mtu anapigwa na butwaa. Wengine wanadhani ni utani.
Sofi Kanungaembe anamzodoa: “Mgosi acha ulimbukeni utapigwa makofi. Uchaguliwe Bunge la Katiba una sura, dola au sera. Halo halo!”
“Kwei duniani kuna watu na viatu. Pigeni makofi siyo mnipige makofi, hujui Kiswahiii nini? Niko nafanya mpango na mke wangu Mama Andallah naye ateuliwe ili tule kuku kama yue Mkaidi aliyependekeza jina la mkewe.” Anachomoa kitambulisho chake huku akimpa Sofi ajionee mwenyewe.
Sofi anapigwa bumbuwazi na kusema: “Mwenzetu kumbe umo kwenye ulaji!  Nijuavyo, wengi hamuendi kupoteza muda kutoa mapovu kuchangia bali kufaidi posho au vipi mshikaji.”
“Sofia tiheshimiane. Hivi mama Andallah akimisikia unadhani ataacha kukupiga zongo? Tinaende kue kutetea haki zenu waa sina njaa kama chama chenu. Tinaenda kue kubomoa mfumo huu wa kifisadi ambao umeticheesha kimaisha na kumaiza rasiimali zetu.”
Mipawa anachomekea: “Kweli muendage kututetea badala ya kwenda kutafuta vidosho kama waishiwa ambao juzi juzi walifichua kuwa kila mmoja ana wake mjengoni. Je, utampa fisadi mzee wa Vijesenti au Sam Sixx?”
“Hayo matusi sasa.” Anang’aka Mgosi. “Namaanisha kura,” Anajitetea Mipawa. “Yue hata kigombea na mbwa nitamchagua mbwa kuiko yeye.” Anajibu Mgosi huku akitoa oda ya kahawa kwa wanakijiwe wote ili wafaidi neema iliyomtembelea.
Msomi kapata upenyo. Anazoza: “Tuache utani. Kama fisadi wa vijisenti atasimikwa mjue hakuna Katiba. Hapa unafiki wa Njaa Kaya ndipo utakapofichuka. Kama wachovu hawatakuwa tayari kuingia mitaani kupinga Katiba mchakachuo kama mikakati ya sasa ya mafisadi kupenyeza watu wengi itafanikiwa, mjue mtakuwa mmeliwa mara mbili, yaani mtaikosa Katiba na mtaliwa njuluku bure.”
Kijiwe kikiwa ndiyo kinanoga si tawi la mwembe likakatika.  Tulidhani mabomu ya ndata au al Shubbub!
Chanzo: Tanzania Daima Feb., 26, 2014.

Kalenga watachagua ukoo au ukombozi?

$
0
0

 

PAMOJA na kuwa na ustaarabu wa miaka mingi, Bara Hindi linasifika kwa mifumo ya kibaguzi chini ya mfumo wa ‘caste’, unyanyasaji wa kina mama na ubaguzi wa watu wengine hasa wasio Wahindi.Pamoja na mfumo huu kuwabagua hata kuwanyanyasa kina mama, una udhaifu mmoja ambao ni kuabudia madaraka na wenye nacho. Hapa ndipo siri ya wanawake kama Indira Gandhi na Sonia Gandhi (India), Benazir Bhutto (Pakistan), Sirimavo na Chandrika Bandaranaike, (Sri Lanka) na Sheikha Hassina bint Mujibur Rahman (Bangladesh) walikuwa maarufu na kuvuka vikwazo wanavyopambana navyo wanawake wengine kwenye Bara Hindi, kwa sababu wazazi wao walikuwa watu maarufu, wenye ushawishi kisiasa na kiuchumi.

Hivyo, kwa kupitia majina makubwa ya baba, waume au wakwe, mabinti hawa walitokea kuwa maarufu.


Tanzania hasa Chama Cha Mapinduzi (CCM) taratibu kimeingiza nchi kwenye siasa za Kihindi, ukiachia mbali uwekezaji hata ujenzi na biashara za Kihindi.  CCM bila aibu wala kujali malengo ya waanzilishi wake waliolenga kuwakomboa Watanzania kutoka kwenye unyonge, umaskini, ujinga, ubaguzi, magonjwa na maadui wengine, wameamua kuingiza nchini mfumo huu wa kilafi na baguzi ili waendelee kuhodhi madaraka ya taifa letu.
Ushahidi wa hivi karibuni ni kuteuliwa kwa mtoto wa kiume wa aliyekuwa Waziri wa Fedha na mbunge wa Kalenga marehemu William Mgimwa, aliyefia nchini Afrika Kusini mwanzoni mwa mwaka huu, kupeperusha bendera ya CCM kwenye uchaguzi mdogo.
Ukiuliza huyu bwana mdogo ana nini cha mno kisiasa zaidi ya jina la baba yake hakuna jibu linaloingia kichwani.
Walifanya hivyo Arumeru Mashariki alipofariki dunia, Naibu  Waziri wa Fedha, Jeremiah Sumari, kwa kumchagua mwanae Sioi kupeperusha bendera lakini akabwagwa na Joshua Nassari wa CHADEMA, baada ya watu wa Arumeru Mashariki kukataa siasa za kurithishana na majina makubwa badala ya sifa.
Je, tutegemee hili kujirudia Kalenga? Je, wapiga kura wa Kalenga watabariki au kukataa utawala wa kurithishana ambao umezalisha wanasiasa watokanao na majina ya baba zao kama vile Aman Abeid Karume, Ali Karume, Dk. Hussein Ali Hassan Mwinyi, Vita Kawawa, Zainab, Adam Malima, Januari Makamba, Violet Mzindakaya,  Emanuel Nchimbi  na wengine wengi?
Kwa wanaojua majukumu na wajibu wa mbunge kwa wapiga kura, watakubaliana nasi kuwa sifa kubwa anayopaswa kuwa nayo ni kukubalika kwa wapiga kura na kuwa na sifa za kufanya akubarike zaidi ya jina kubwa la baba au mama yake.
Unapochagua mtu kwa kuzingatia ukubwa wa jina la wazazi wake, unakuwa unalirudisha taifa nyuma na kukiuka msingi mmojawapo wa mapambano ya uhuru wa taifa letu ambalo ni kuondoa ubaguzi wa aina yoyote.
Tunasema ubaguzi kutokana na wakubwa wenye majina makubwa walio au wanaotaka kuwarithisha madaraka watoto wao kuwaandaa kwa kuwadhulumu maskini. Kwa mfano, wakubwa hawa wamefanikiwa kuvuruga na kuharibu mfumo wa elimu yetu huku wakisomesha watoto wao nje kwenye elimu bora wanayotumia kama kigezo cha kuwarubuni wapiga kura.
Ni ajabu kwa wazazi au jamaa wa vijana wanaohenyeshwa kwenye mikopo na kusomea kwenye mazingira magumu kuchagua watoto wa wateule waliosoma ughaibuni.  Je, mtu aliyesoma nje tena kwa pesa na kodi za wapiga kura anafanana nao?
Je, wananchi wa kawaida hasa wa mashambani kama Kalenga wanapaswa kumchagua mtu huyu asiyefanana nao? Watakuwa wendawazimu kama watafanya kosa hili hata mgombea husika angetoka chama kinachopendwa vipi.
Mbunge lazima afanane na wale anawawakilisha na si kuwatumia kama mtaji wa kuendeleza jina la baba yake. Mgombea namna hii hatafuti ubunge kuwatumikia wananchi bali kutimiza malengo yake na ukoo wake hasa kuendeleza jina la baba au mama yake na kuendelea kuwatumia wananchi kuchuma utajiri.
Tunaposema mfumo wa kisiasa wa Kihindi tunamaanisha hali hii ya baadhi ya koo kama tulivyoona hapo juu kuwatumia watu maskini tena waliosababishiwa umaskini na koo hizi hizi kuendelea kuwatumia kwa kisingizio cha kuwatawala.
Huu ni ufalme fichi na wa kijanja wa Kihindi, sawa na ufalme na uemir wa Mashariki ya Kati. Tofauti ni kwamba inatumika demokrasia kama vile uchaguzi kuhalalisha ufalme huu wa kinafiki na fichi.
Koo, hizi licha ya kuwaona wapiga kura kama punda wazibebao, zinawachukulia kama watu wasio na akili sawa sawa, ambao wameshindwa kujitambua na kutumia nguvu yao ya kura kuziondosha kwenye ufalme fichi unaoanzia baba kuelekea mwana hadi wajukuu. 
Ukweli huu ulifichuliwa na Katibu wa zamani wa CCM, Yusuf Makamba, aliyesema kuwa hakuna awezaye kumzuia mwanae kuteuliwa waziri.  Kweli baada ya muda mfupi, aliteuliwa na kuwa waziri. Tumeyaona haya kwenye kashfa zilizowahusisha watoto wa wateule kama vile Hussein Mwinyi –  Waziri wa Ulinzi aliyevurunda wizara hii mara mbili na kurejeshwa hata baada ya milipuko ya mabomu kuuwa watu wasio na hatia mara mbili asiwajibishwe.
Tumeyaona kwenye kashfa ya Adam Malima na jinsi ambavyo amekuwa akirejeshwa kwenye baraza la mawaziri si kwa sifa yoyote bali jina lake la ukoo. Je, watu wa Kalenga watabariki jinai hii au kuikataa kama wenzao wa Arumeru Mashariki?
Je, watashabikia ukombozi au umwinyi na ufalme wa Kihindi ambao hautawapeleka popote zaidi ya kuwarejesha kwenye zama za mawe? Je, watajitambua na kutoa somo kama walivyofanya watu wa Arumeru Mashariki ambao wameingia kwenye vitabu vitukufu vya taifa letu kwa kujitambua na kuleta ukombozi kwa kukataa utawala wa koo na majina?
Tumalizie kwa kuwashauri wananchi wa Kalenga wachague ukombozi. Tunaamini historia fupi ya utawala wa kifalme fichi wa Kihindi utawasaidia kuona mwanga na kuuchagua wakikataa kuchagua giza na utawala fichi wa koo na majina makubwa ya makada wa vyama na wakubwa wa serikali ambayo kimsingi inawachukulia kama punda vihongwe wa kubeba koo husika.
Chanzo:Tanzania Daima Feb., 26, 2014.
Viewing all 3175 articles
Browse latest View live